MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

ความคิดเห็น • 133

  • @yavuz5887
    @yavuz5887 ปีที่แล้ว +6

    MashaAllah very nice program thank you 🎉❤

  • @KassimUmeya
    @KassimUmeya ปีที่แล้ว +11

    Alhamdulilah Mashaallah Mama Kajizaa Mwenyewe Mtupu, Allah Subhana Wataala Amjaalie Apate Tabia Ya Mama Inshallah Ameen Yaarabbil Alameen.

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว

      Hakufanana kafanana na mzee Hafidh wee mama alikuwa pambeee amrmkopi sauti kidogo

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 ปีที่แล้ว +3

    Una Nidhamu sana safi, waislam Eneo la maadili mnajitahidi sana

  • @imranyusuf5505
    @imranyusuf5505 ปีที่แล้ว +8

    Like mother like daughter mashallah

  • @fatumakimaro3186
    @fatumakimaro3186 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana sauti kama ya mama jamani

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 ปีที่แล้ว +8

    Mashallah nimekukubali sana kama mamako yako mashallah ❤🥰🥰🥰🌹🇴🇲

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph8330 ปีที่แล้ว +5

    Kama Mama, Hongera.

    • @selinalawala2270
      @selinalawala2270 ปีที่แล้ว +1

      Kweli hongera sana mama yetu Samia suluhu Hasani, umelea vema, huyu Binti Yuko vizuri, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mungu mbariki Rais wetu na familia, na nchi na raia wote.

  • @Swahili14
    @Swahili14 ปีที่แล้ว +7

    WOW she's so well spoken ❣️😇

  • @mathalanally8367
    @mathalanally8367 ปีที่แล้ว +13

    Mashaallah layti kama asingetangazwa kama mtoto wa rais basi wengi wetu tusingemjua kwan watoto wa marais wengi kuwajua si jambo rahis ila mm kwa upande wng tu niseme Allah aibariki familia yao na awaepushie yote mabaya, amiin

  • @HamIslamicFoundation
    @HamIslamicFoundation ปีที่แล้ว +5

    Sauti kabisaa kama yake Mama Taifa Samia Suluhu

  • @magretsamba5002
    @magretsamba5002 ปีที่แล้ว +7

    Anaongea kama Mama yake....Mungu azidi kukubariki mtoto wa mheshimiwa

  • @SindiFRegis
    @SindiFRegis ปีที่แล้ว +1

    Wow! Mtoto wa Mheshimiwa Samia ni mrembo sana sana. Lakini pia ana malezi bora ya kiafrika. Nampenda sana. Ningekuwa na uwezo ningemwomba urafiki, ingawaje anaonekana huenda aliolewa. Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan.

    • @MohammedAlly-hp8fg
      @MohammedAlly-hp8fg 11 หลายเดือนก่อน

      Yes mke wa Mohammed mchengelw waziri w tamisemi

    • @robbyartsproduction7606
      @robbyartsproduction7606 8 หลายเดือนก่อน

      We jamaa kazinzi eti urafiki ushatamani mzigo huo dadeki

  • @HumoudMahmoud-dq3ff
    @HumoudMahmoud-dq3ff ปีที่แล้ว +5

    ukifuata maadil ya kiislam lazima uwe na kizazi bora kama hivi

  • @RukaiyaMustaph
    @RukaiyaMustaph หลายเดือนก่อน

    Mashaaalahhhhh

  • @hermanarron5341
    @hermanarron5341 ปีที่แล้ว +22

    Safi sana anaongea fact Wala hajiskii it's like hajijui kuwa ni mtoto wa raisi well deserve 👏👏

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว +5

      Sana hana shida ALLAH amuhifadhi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +5

      Exactly! Hana mashauzi,,,

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 ปีที่แล้ว +1

      😂😂

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว +2

      @@khadijahali4837 kwema my kweli ndivo alivo hana majivuno nilikutana nae siku moja kama tuna urafiki ilikua nampenda kwa ajili ya ALLAH huyu dada

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 ปีที่แล้ว +1

      @@Awatee ooh kwl anaonekana hana majivuno, kmb mwezt na kuonana nae umewahi hongera my

  • @SamweliFelix-ij2pc
    @SamweliFelix-ij2pc 8 หลายเดือนก่อน

    Mama nisaidie naomba unipepeleke studio pleasee

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 ปีที่แล้ว

    Bismillah masha'allah 🥰❤️

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 ปีที่แล้ว

    Maashaallah maashaallah

  • @amanimgoba4139
    @amanimgoba4139 ปีที่แล้ว

    safii sana Umeongea vizuri

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน

    Rais wangu ongera una bint mzuri❤❤❤

  • @muna1744
    @muna1744 ปีที่แล้ว +4

    Watu mnasema kafanana na mama ake lakini sio kweli amefanana na baba ake

  • @SeleFundi-ym1bv
    @SeleFundi-ym1bv 10 หลายเดือนก่อน

    Mtoto wa raisi yupo vizuri sana uku kwetu mtoto wa mjumbe wa myumba kumi tu tunakoma ongera sna Raisi Samia

  • @kissakayuni767
    @kissakayuni767 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana mrembo wa Mhe. Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan upo vizuri Sasa

  • @DottoMalago
    @DottoMalago 4 หลายเดือนก่อน

    Mh Wañu,uje Bara pia,tunahitaji MIF

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +3

    😍😍❤️

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 หลายเดือนก่อน

    Watanganyika acheni kujidharauni hivyo hivi lini mtajemiana? Kwa watoto wa nyumba kumi amekufanyia nini kama tutaendelea kuchukuana Watanganyika tutkufa omba omba kwa kweli. Kwa mama Saluuma mbona amendelea kuongea vizuri kwa wanawake wa kitanganyika? Watumwa kuwato katoka utumwa ni kazi kubwa sana.

  • @domimassawe7611
    @domimassawe7611 ปีที่แล้ว +4

    Sauti Kama ya prezooo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @cinterproductscinterproduc8606
    @cinterproductscinterproduc8606 ปีที่แล้ว

    Love her

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 ปีที่แล้ว +6

    Mbona Kama kiswahili hawezi vizuri au anakaa mbali

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว +2

      🙄🙄🙄Kiswahili kip unachokitaka

    • @stevennenelwa3192
      @stevennenelwa3192 ปีที่แล้ว +1

      @@Awatee watu mnamajibu ya haraka kaah🤣😂

    • @tatotato506
      @tatotato506 ปีที่แล้ว

      ​@@Awatee 😂😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว +1

      @@stevennenelwa3192 🤣🤣🤣Ndio nauliza kiswahili kip icho au vipo viswahili 3 siku hizi

    • @Awatee
      @Awatee ปีที่แล้ว

      @@tatotato506 🤣🤣🤣🤣💃

  • @alhammwijuma2421
    @alhammwijuma2421 ปีที่แล้ว

    Good spoken that's very nice

  • @alfredibrahim7085
    @alfredibrahim7085 ปีที่แล้ว +4

    Mtangazaji unatuangusha hujamuuliza kama kaolewa

  • @SalimMahdi-kx1dp
    @SalimMahdi-kx1dp 5 หลายเดือนก่อน

    Wallahi mmungu Skype uzima naafya nakupenda saanaa kwaulivojistiri mwanamke wakislam unaheshima mmungu atakujaza dadangu

  • @RoseKimishabhalemi-oz9bn
    @RoseKimishabhalemi-oz9bn 5 หลายเดือนก่อน

    Tatizo hiyo midomo mnakula sumu. Siyo maadili ya kiafya

  • @EMMA-oe9yt
    @EMMA-oe9yt ปีที่แล้ว +5

    Yupo single wajuba me nimemwelewa

  • @aminayussuf7215
    @aminayussuf7215 ปีที่แล้ว

    Unajiungaje kwenye hicho chama au umnawasaidia vipi hao watoto wa kike kama wetu Sisi mana tunahitaji pia

  • @mchagagaspar6649
    @mchagagaspar6649 ปีที่แล้ว +1

    HUYO NI UPUUZI 2 NA K7MEJIFICHA MENGI MNO TAFSIRIYAKENINI HAPO ,RAIA WALIA NA NYINYI MWA CHEZA NA HAKI YA RAIA ...

    • @mbwanarajab4756
      @mbwanarajab4756 ปีที่แล้ว

      Una siri nyingine tunaijua juu ya roho chafu.
      Wewe endelea na ushoga haya uachane nayo

  • @Exzaudmyinga
    @Exzaudmyinga 10 หลายเดือนก่อน

    Video

  • @abdillahamour234
    @abdillahamour234 ปีที่แล้ว +8

    Punguza unene dada WHA, utakuwa smart zaidi mungu akubariki

    • @ELIPHAZAMON-ex9zc
      @ELIPHAZAMON-ex9zc ปีที่แล้ว +3

      Unakoment ujinga huna kaz za kufanya

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +2

      @@ELIPHAZAMON-ex9zc sio ushauri mbaya usimnenee vibaya hivyo

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 ปีที่แล้ว +1

      Mhhhh

    • @eyabdimaha3698
      @eyabdimaha3698 ปีที่แล้ว +3

      ​@@ELIPHAZAMON-ex9zc ubYa uko wapi au kisa mtoto wa raisi shobo tu

    • @Swahili14
      @Swahili14 ปีที่แล้ว +1

      Umeongea utopolo
      I'm not fat but that's body shaming
      Size ya mwili wa mtu has nothing with their personality or soul💀

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 ปีที่แล้ว

    Sasa ule ujinga wenu eti mwanamke hawezi kuwa kiongozi huyo samia anaongoza mmbwa pori au ni tamaa za dunia tu mbona hakukataa??

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 ปีที่แล้ว

    Hao ni ccm

  • @Ms3w11Y1h1y
    @Ms3w11Y1h1y ปีที่แล้ว

    Mtangazaji niuliziye naye amisha olewa kama jimbo liko wazi mimi niko hapa ao nije kwa mama nitoe pesa, pesa siyo tatizo ntafikaaje kwa mama?

    • @khadijamwenda1851
      @khadijamwenda1851 ปีที่แล้ว

      Kaolewa na wazir wa utalii mchengerwa

    • @Ms3w11Y1h1y
      @Ms3w11Y1h1y ปีที่แล้ว

      @@khadijamwenda1851 ngombe ya maskini aizayi na ikizaa lazma mtoto awe chonga, amnashida kwamgaga nyumbani congo lazma ni mzibiti kama

    • @epifaniamzumbwe5159
      @epifaniamzumbwe5159 ปีที่แล้ว

      Cheee😂😂😂😂😂

    • @Ms3w11Y1h1y
      @Ms3w11Y1h1y ปีที่แล้ว

      @@epifaniamzumbwe5159 unaliya nini sasa na wakati sikuku wambiya wewe?

  • @HonesterMgombele-ln9wl
    @HonesterMgombele-ln9wl ปีที่แล้ว

    The same voice to your mother

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc ปีที่แล้ว +1

    Hakuns jipya apo

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 ปีที่แล้ว

    Sauti Kama yule mtoa pesa kila gori

  • @glorytolord-vv6in
    @glorytolord-vv6in 11 หลายเดือนก่อน

    EEH MUNGU muue huyu bibi afe na familia yake maana Tanzania TUNALIA

    • @AnuarMakame-iy2gy
      @AnuarMakame-iy2gy 8 หลายเดือนก่อน

      Utaumia Sana lkn mama Bado ataendelea kuishi na familia yake, labda ufe wewe 😂😂

    • @AnuarMakame-iy2gy
      @AnuarMakame-iy2gy 8 หลายเดือนก่อน

      Ukishindwa kuishi jinyonge ufe 😂🤣🤣

    • @ausonjustinian4673
      @ausonjustinian4673 7 หลายเดือนก่อน

      Kafe wewe km yamekushinda sio uombee wenzako kifo

  • @rasheedmbaraka7556
    @rasheedmbaraka7556 ปีที่แล้ว +14

    Hongera mama kwa malezi mazuri una bint mzuri sana na anaonekana ni mtu mkarimu sana..well done our President..SSH.

    • @victoriajoachim7271
      @victoriajoachim7271 ปีที่แล้ว

      Binti wa pekee hana mwingine wengine ni wa kiume 3 .

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 ปีที่แล้ว +16

    Sauti kama Mama 💞

    • @Boaz22
      @Boaz22 ปีที่แล้ว

      Yaani kabisa 💯

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini musiongele huko kwenu kwa nini Tanganyika ?

  • @mwajumaabeidy8137
    @mwajumaabeidy8137 ปีที่แล้ว +6

    Sauti y mamake kaibeba ,Maa shaa Allah

  • @HassaniIbrahimu-g6z
    @HassaniIbrahimu-g6z 4 วันที่ผ่านมา

    hamnakitu hapo

  • @SophiaMinja-no8dt
    @SophiaMinja-no8dt ปีที่แล้ว +4

    hongera umeongea vizuri sana

  • @jacksonmtonyore9871
    @jacksonmtonyore9871 ปีที่แล้ว +3

    Yko vzr Saana

  • @jerrytone6919
    @jerrytone6919 ปีที่แล้ว +2

    Daaa pis kaliiiiii

  • @gracemacha9357
    @gracemacha9357 ปีที่แล้ว +1

    Hongera unafanana na baba yako sana

  • @MaryamSimai-b9f
    @MaryamSimai-b9f 8 หลายเดือนก่อน

    Shirikianeni na wasaidizi wa sheria wanawake katika hiiii kazi ya kuilea jamiiii

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 ปีที่แล้ว +3

    🙏🙏🙏

  • @janethkilonzi4260
    @janethkilonzi4260 ปีที่แล้ว +1

    Aliye muona Aunt sadaka jaman apite na like hapa.

  • @JacksonMboso-c2r
    @JacksonMboso-c2r 7 หลายเดือนก่อน

    Bismillah Masha Allah bless ❤❤❤

  • @LevinaSowa
    @LevinaSowa 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera yake

  • @KhubeybJandaal-uz4oo
    @KhubeybJandaal-uz4oo ปีที่แล้ว +3

    Malezi gani wote watovu wa adabu😂

  • @sabrinarashid7990
    @sabrinarashid7990 ปีที่แล้ว

    Mashalah wanu

  • @IvoFransis
    @IvoFransis ปีที่แล้ว

    Mamako anapotezea hali mbaya ya watanganyika😢😢

  • @SHABANIMGOMI
    @SHABANIMGOMI 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 ปีที่แล้ว +5

    Vipi yuko single?

  • @salyali7807
    @salyali7807 ปีที่แล้ว +1

    Samia sio mpenzi wangu lakini kwa hili namsifu malezi aliomlea mtoto wake huyu

  • @aminashaaban5846
    @aminashaaban5846 ปีที่แล้ว

    Maashallah dada wanu

  • @salyali7807
    @salyali7807 ปีที่แล้ว

    Kiswahili cha zanzibar kimepotea kabisa... anazungumza kama mtu wa Tanganyika

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 ปีที่แล้ว

      Yeah km Mie watu hukataa sitoki znz 😂 eti siongei km wao 😂 nchi hii dah
      Huwa nawaambia wengi wanaoongea vile ni watu wanaotoka shamba na pemba sie pale mjini hatuongei km wao huwa nawatolea mfano mtt aliyezaliwa dar na kukulia na mtt aliyezaliwa mtwara wahawez fanana lafudhi yao lkn wapi hawakubali mpaka mtu aone passport ndo anaridhika kwa kushangaa😂😂

    • @salyali7807
      @salyali7807 ปีที่แล้ว

      @@machetebogota4218 unanichekesha "hatuongei" lugha munaitupa... zanzibar hakuna kuongea kuna "kuzungumza sio kuongea"