MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- MTOTO WA RAIS SAMIA AFUNGUKA KUHUSU MALEZI WALIOPEWA NA MAMA YAO RAIS SAMIA SULUHU HASSAN
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
MashaAllah very nice program thank you 🎉❤
Alhamdulilah Mashaallah Mama Kajizaa Mwenyewe Mtupu, Allah Subhana Wataala Amjaalie Apate Tabia Ya Mama Inshallah Ameen Yaarabbil Alameen.
Hakufanana kafanana na mzee Hafidh wee mama alikuwa pambeee amrmkopi sauti kidogo
Una Nidhamu sana safi, waislam Eneo la maadili mnajitahidi sana
Asante sana. Karibu katika uislam
Like mother like daughter mashallah
Safi sana sauti kama ya mama jamani
Mashallah nimekukubali sana kama mamako yako mashallah ❤🥰🥰🥰🌹🇴🇲
Kama Mama, Hongera.
Kweli hongera sana mama yetu Samia suluhu Hasani, umelea vema, huyu Binti Yuko vizuri, mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Mungu mbariki Rais wetu na familia, na nchi na raia wote.
WOW she's so well spoken ❣️😇
Mashaallah layti kama asingetangazwa kama mtoto wa rais basi wengi wetu tusingemjua kwan watoto wa marais wengi kuwajua si jambo rahis ila mm kwa upande wng tu niseme Allah aibariki familia yao na awaepushie yote mabaya, amiin
Sauti kabisaa kama yake Mama Taifa Samia Suluhu
Anaongea kama Mama yake....Mungu azidi kukubariki mtoto wa mheshimiwa
Mtoto wa pekee wa kike
Wow! Mtoto wa Mheshimiwa Samia ni mrembo sana sana. Lakini pia ana malezi bora ya kiafrika. Nampenda sana. Ningekuwa na uwezo ningemwomba urafiki, ingawaje anaonekana huenda aliolewa. Hongera sana Rais Samia Suluhu Hassan.
Yes mke wa Mohammed mchengelw waziri w tamisemi
We jamaa kazinzi eti urafiki ushatamani mzigo huo dadeki
ukifuata maadil ya kiislam lazima uwe na kizazi bora kama hivi
Mashaaalahhhhh
Safi sana anaongea fact Wala hajiskii it's like hajijui kuwa ni mtoto wa raisi well deserve 👏👏
Sana hana shida ALLAH amuhifadhi
Exactly! Hana mashauzi,,,
😂😂
@@khadijahali4837 kwema my kweli ndivo alivo hana majivuno nilikutana nae siku moja kama tuna urafiki ilikua nampenda kwa ajili ya ALLAH huyu dada
@@Awatee ooh kwl anaonekana hana majivuno, kmb mwezt na kuonana nae umewahi hongera my
Mama nisaidie naomba unipepeleke studio pleasee
Bismillah masha'allah 🥰❤️
Maashaallah maashaallah
safii sana Umeongea vizuri
Rais wangu ongera una bint mzuri❤❤❤
Watu mnasema kafanana na mama ake lakini sio kweli amefanana na baba ake
Mtoto wa raisi yupo vizuri sana uku kwetu mtoto wa mjumbe wa myumba kumi tu tunakoma ongera sna Raisi Samia
Hongera Sana mrembo wa Mhe. Rais wetu mama Samia Suluhu Hassan upo vizuri Sasa
Mh Wañu,uje Bara pia,tunahitaji MIF
😍😍❤️
well spoken
Watanganyika acheni kujidharauni hivyo hivi lini mtajemiana? Kwa watoto wa nyumba kumi amekufanyia nini kama tutaendelea kuchukuana Watanganyika tutkufa omba omba kwa kweli. Kwa mama Saluuma mbona amendelea kuongea vizuri kwa wanawake wa kitanganyika? Watumwa kuwato katoka utumwa ni kazi kubwa sana.
Sauti Kama ya prezooo🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Love her
Mbona Kama kiswahili hawezi vizuri au anakaa mbali
🙄🙄🙄Kiswahili kip unachokitaka
@@Awatee watu mnamajibu ya haraka kaah🤣😂
@@Awatee 😂😂😂😂😂😂
@@stevennenelwa3192 🤣🤣🤣Ndio nauliza kiswahili kip icho au vipo viswahili 3 siku hizi
@@tatotato506 🤣🤣🤣🤣💃
Good spoken that's very nice
Mtangazaji unatuangusha hujamuuliza kama kaolewa
Ameolewa kitambo sana
Wallahi mmungu Skype uzima naafya nakupenda saanaa kwaulivojistiri mwanamke wakislam unaheshima mmungu atakujaza dadangu
Tatizo hiyo midomo mnakula sumu. Siyo maadili ya kiafya
Yupo single wajuba me nimemwelewa
Mke wa mheshimiwa Mohammed Mchengerwa
😂😂
Unajiungaje kwenye hicho chama au umnawasaidia vipi hao watoto wa kike kama wetu Sisi mana tunahitaji pia
HUYO NI UPUUZI 2 NA K7MEJIFICHA MENGI MNO TAFSIRIYAKENINI HAPO ,RAIA WALIA NA NYINYI MWA CHEZA NA HAKI YA RAIA ...
Una siri nyingine tunaijua juu ya roho chafu.
Wewe endelea na ushoga haya uachane nayo
Video
Punguza unene dada WHA, utakuwa smart zaidi mungu akubariki
Unakoment ujinga huna kaz za kufanya
@@ELIPHAZAMON-ex9zc sio ushauri mbaya usimnenee vibaya hivyo
Mhhhh
@@ELIPHAZAMON-ex9zc ubYa uko wapi au kisa mtoto wa raisi shobo tu
Umeongea utopolo
I'm not fat but that's body shaming
Size ya mwili wa mtu has nothing with their personality or soul💀
Sasa ule ujinga wenu eti mwanamke hawezi kuwa kiongozi huyo samia anaongoza mmbwa pori au ni tamaa za dunia tu mbona hakukataa??
Hao ni ccm
Mtangazaji niuliziye naye amisha olewa kama jimbo liko wazi mimi niko hapa ao nije kwa mama nitoe pesa, pesa siyo tatizo ntafikaaje kwa mama?
Kaolewa na wazir wa utalii mchengerwa
@@khadijamwenda1851 ngombe ya maskini aizayi na ikizaa lazma mtoto awe chonga, amnashida kwamgaga nyumbani congo lazma ni mzibiti kama
Cheee😂😂😂😂😂
@@epifaniamzumbwe5159 unaliya nini sasa na wakati sikuku wambiya wewe?
The same voice to your mother
Hakuns jipya apo
Tupe jipya wewe
Sauti Kama yule mtoa pesa kila gori
EEH MUNGU muue huyu bibi afe na familia yake maana Tanzania TUNALIA
Utaumia Sana lkn mama Bado ataendelea kuishi na familia yake, labda ufe wewe 😂😂
Ukishindwa kuishi jinyonge ufe 😂🤣🤣
Kafe wewe km yamekushinda sio uombee wenzako kifo
Hongera mama kwa malezi mazuri una bint mzuri sana na anaonekana ni mtu mkarimu sana..well done our President..SSH.
Binti wa pekee hana mwingine wengine ni wa kiume 3 .
Sauti kama Mama 💞
Yaani kabisa 💯
Kwa nini musiongele huko kwenu kwa nini Tanganyika ?
Sauti y mamake kaibeba ,Maa shaa Allah
hamnakitu hapo
hongera umeongea vizuri sana
Yko vzr Saana
Daaa pis kaliiiiii
Hongera unafanana na baba yako sana
Shirikianeni na wasaidizi wa sheria wanawake katika hiiii kazi ya kuilea jamiiii
🙏🙏🙏
Aliye muona Aunt sadaka jaman apite na like hapa.
Bismillah Masha Allah bless ❤❤❤
Hongera yake
Malezi gani wote watovu wa adabu😂
Mashalah wanu
Mamako anapotezea hali mbaya ya watanganyika😢😢
Mpeleke mama ako
❤❤❤❤❤❤
Vipi yuko single?
🤣🤣🤣🤣
@@ferouzkeis6994 nauliza bro mtoto wa bi mkubwa huyo
Married
@@abdillahamour234 daah watu wanafaidi sana
Hhhhhhh haiwezekan kua single
Samia sio mpenzi wangu lakini kwa hili namsifu malezi aliomlea mtoto wake huyu
Maashallah dada wanu
Kiswahili cha zanzibar kimepotea kabisa... anazungumza kama mtu wa Tanganyika
Yeah km Mie watu hukataa sitoki znz 😂 eti siongei km wao 😂 nchi hii dah
Huwa nawaambia wengi wanaoongea vile ni watu wanaotoka shamba na pemba sie pale mjini hatuongei km wao huwa nawatolea mfano mtt aliyezaliwa dar na kukulia na mtt aliyezaliwa mtwara wahawez fanana lafudhi yao lkn wapi hawakubali mpaka mtu aone passport ndo anaridhika kwa kushangaa😂😂
@@machetebogota4218 unanichekesha "hatuongei" lugha munaitupa... zanzibar hakuna kuongea kuna "kuzungumza sio kuongea"