Tendo la ndoa inachukua nafasi kubwa kuliko yote,mko hapo kwa kitu hicho,hakuna kitu eti tuishi pamoja bila tendo la ndoa, mpaka mnatafutana ili muishi pamoja ni tendo la ndoa asikwambie mtu,hilo ndo limefanya muwe pamoja mengine ni maajaliwa
Nadhani wanawake wanapaswa kuhofia zaidi mara zote ambazo wanashinda kwenye arguments/mijadala. Ukiona mwanaume kakukanya jambo kwamfano kuhusu tabia au mavazi au maamuzi flani kisha ukamshinda kwa hoja. Huwa wanaume wanatunza na kuwaza maamuzi mbadala. Wengine haumua kukuacha tu wakiamini ipo siku utakwama na utarudi tena..... Na hapo ndipo utawajua vizuri.
Nimependa sana somo lako na nimala yangu ya kwanza kukusikiliza ombi langu kwako je naweza kupata darasa maana huwa napenda sana kufundisha mambo ya ndoa nipe muongozo tafadhari
Hutawezaje kufanya tendo wakati huko na stress Mwanamke akitaka kwa mwanaume huwa na tabia ya kupiga simu more the twice kwa mwanaume na huwa hawezi sema. Lakini kama mwanamke hanamueshimu mtu wake lakini wakati huohuo ni rafiki yake huwa wanatabia ya kutaniana hapo mwanamke ni laisi kumwambia mwanaume kama hanaitaji.
Yaan unapigia sim Mme wangu chakula kama yuko free anakujibu kwani mm mtoto ,au unarud saangap jibu mm mgojwa na kila kitu unamfanyia has a akiwa na pesa
Assalaam aleikum kaka.kwa kweli hapo umesema ya ukweli.mwanamume Ataka malezi..hata kama alikua Na shida flani inamsumbua anakua karibu Na ww kukutamkia..pia heshima ndio mpango mzima.
I think ntakuwa nimeanza kutumia simu kabla yako kipenzi.Swali lilitakiwa y the phone on my hand? Na jibu producer ndio alitaka iwe hivyo a mix video za cm na Camera but za cm hazikuwa nzuri ndio maana ikatoka hivyo
@@hunaiyasuleiman1931 wanaume wanaombaga bhan mwalimu wasomo kasema ukweli,ila akiomba tendo la ndoa inatokana na mwanamke kumkubalia au kumkatalia sababu wanakuwaga wanataka kupima waone kama huyo mwanamke ni raisi kumshika au sie wakuchezea
👏👏👏✅
Kweli kabisa utani nliona kwa dadangu na mumewe wanataniana kama watoto na wanapendana wameushi siku zote bila ugomvi napenda maisha yao
Ahsante kwa somo zuri mebarikiwa na wanaume pia wajufunze kuwashukuru wake zao kwa shughuli kwa majukumu wanayo watimizia
nime neemishwa kuwasikiliza. asanteni saaaaaaaana kwa ushauri wenu. kwa izi dakika tu nimesha sawanyisha mausiyano yangu. asante sana
Jamani kunawanaume wengine #Thexo,, nimanundu yani uwiiii
Unavaa nguo na heshima masha Allah weemdada Allah akuhifadhi, hapo ingelikua huna hilo wigi ukapiga shungi ungenogaje👌 ungelikua bonge la ustadhaty
Ndio kaka mwanamke lazima awe wakwanza kuamka aoge anukie ndio andae chakula
Hii imekaa vzr sana
Thank you for your teachings, I appreciate. Keep it up !
Asante kwa somo naanza kuoata picha halisi as for me now my husband anapnda Sana nivae Raba..
Thanks nice message
mafundisho ni mazuri kwakweli nmeipenda
Tjis giy speak good !! Welldone
shukranii sana kwa somo zurii
nashukuru Kwa kipindi chenu kimenihamisha na kimenifunza mengi saaaaan thanks
Asante sana Tira👏👏👏
Sure pia mume wangu yupo open sn akifanya kitu lazma umpe pole au asante anafurahi sn
Mubarikiwe
Safi sana kaka
Unaweza mpa mwanaume tu badae anakuacha,
Aki. Nikwele kabisa
Wanaumewa wanatamani
Araka.. (Ilisomo.. Inabidinifatilie
Aki, ninaonakunafaida.. Dah.. 🖊👌👌
Ana maana gani kusema shape imeharibika sijaelewa. Sisi wake mwili unageuka kwa uzazi
Ukitaka kujua mkeo mzuri nenda wakati katoka kuamka
Hongera Kaka kwa maelezo mazur sana. Lakini huyu dada hiki kipindi hakimfai kabisaàaa.
KAKA upo vizuri sana
Nashukuru sana mana wengi ndo tunapokosea.
Asanteni sana
hahaaaaahaa nmeipenda hii
Unaongea sana na iyo simu VP sasa
Duuh nimempenda uyo kaka
hahahahahahahaaaaa warereeeeee ❤❤❤💞
Nice one
Kuna mijanadume hata uwafanyie nn hawajui hata asant unaenda kujisifu nje mk wangu ananipenda lkn mkiwa wote hata asant kwa chochot
Dada unadakiq juu kwa juu hata hajamaliza kuongea 😎😎😎😎
Ujumbe mzuri sana
Kweli kabisa doctor 💯
Nice
asante kwa somo lako
Huhuhhhuh sheeeedaa mpkaaa lahaaaaaaaa
Nice Dr jiwa God bless you
Kweli sio kuhoji bali anachangia mada wakati yeye siye mtoa hoja.
Pia hiyo nguo siku nyingine usiivae kwenye kipindi kila saa unairekebisha haipendezi
Kweli kabisa we kaka
Thankx Tira
Asante kwa somo
asanteni sana
Ukofresh swaibah nimeipenda 😘
Tendo la ndoa inachukua nafasi kubwa kuliko yote,mko hapo kwa kitu hicho,hakuna kitu eti tuishi pamoja bila tendo la ndoa, mpaka mnatafutana ili muishi pamoja ni tendo la ndoa asikwambie mtu,hilo ndo limefanya muwe pamoja mengine ni maajaliwa
Mashallah nataka no yako
Unaboa unaongea sana akati unataka yeye aeleze kwa mapama
Ester Mgaya 😂😂😂
Umeona
Mazuri
Hilo nalo neno
I have become so much interested with this
Thank u for being a xo show lover i promise to do more, on this Topic soon.
,
Nadhani wanawake wanapaswa kuhofia zaidi mara zote ambazo wanashinda kwenye arguments/mijadala. Ukiona mwanaume kakukanya jambo kwamfano kuhusu tabia au mavazi au maamuzi flani kisha ukamshinda kwa hoja. Huwa wanaume wanatunza na kuwaza maamuzi mbadala. Wengine haumua kukuacha tu wakiamini ipo siku utakwama na utarudi tena..... Na hapo ndipo utawajua vizuri.
Umeongea kweli kunasiku nilifaa blauzi ikowazi mgongoni kidg aiseee sitajakaa nisahau alichukia balaaa Ila nilivyo badilisha kidg aka smail
AHSANTE KWA MAFUNZO YAKO, MNAOLAUMU DADA ANAONGEA SANA SASA MNATAKA AACHE KUHOJI NA KUCHANGIA MADA KAMA BUBU?
Duh huyu kaka anaongea ukweli mtupu.
Masha allah. ..kweli najifunza sana n kipindi chako...👍👍👍👍😅😅😅
😂
Asante nimependa
nkwel ndoa nyingi sana watu wanaishi tu...
Nimependa sana somo lako na nimala yangu ya kwanza kukusikiliza ombi langu kwako je naweza kupata darasa maana huwa napenda sana kufundisha mambo ya ndoa nipe muongozo tafadhari
Fact🙋
Asante
mazungumzo pambeee
Wow perfectly
Thank uuuu
tilaa jamani tilaa😍😎
na kwa wanaume ambao wako bize kutafuta afu yeye anajua kuoa sawa na mfanyakazi afu ukiwa na hisia za kufanya anakwambia amechoka
Tiraaaaa weeee
napenda niwe nasikiliza kipindi hiki kila wakati God bless you guys msiwe mnachukua mda mrefu kuweka hewani vipindi vyenu jmn plz madam tira
Weee kaka hongela nimejifunza kitu
Kwemay5yyyý yyyùuùy I 6yùuùy
Jamaa anajua sana uyu🙌🏿😂
NIMEJIFUNZA K2 KK YANGU YAAN UMETSHA
Sio kwawanaume wasaivi hawajui chchte nimateso tu na maumivu makali tu
Issue ni staying in DOA siyo muhusiano
Heeeee Dr. Njiwa umeacha kufundisha cku iz?? Haloooooo pambe hiyoooo
Mbona unakosea majina ya watu so njiwa JIWA
Ila dada mtangazaji kiatu na pozi lako tofaut
😅ujue nmecheka kwa nguvu
Maisha ya ndoa hayapo hivyo Kaka na hayana formula Ila Kuna Mambo ambayo ni mhimili mkuu
I 😍 this
The xo show
Hutawezaje kufanya tendo wakati huko na stress
Mwanamke akitaka kwa mwanaume huwa na tabia ya kupiga simu more the twice kwa mwanaume na huwa hawezi sema.
Lakini kama mwanamke hanamueshimu mtu wake lakini wakati huohuo ni rafiki yake huwa wanatabia ya kutaniana hapo mwanamke ni laisi kumwambia mwanaume kama hanaitaji.
Yaan unapigia sim Mme wangu chakula kama yuko free anakujibu kwani mm mtoto ,au unarud saangap jibu mm mgojwa na kila kitu unamfanyia has a akiwa na pesa
Tira munazungumuziaje kuhusu uchumba hasa kwa watu wasio na uwezo wa maisha, hususani wanafunzi wa chuo tusaidie
Ntalifikisha,kwa Jiwa Hassan
hallo kaka hapo penye nguo umenigusa mume wangu alivaa suti siku ya harusi na hakuvaa tena mpaka ililiwa na panya.yaani duuuuuu
Haa haa haa haa haa ni hatari hadi ikaliwa na panya nimecheka sana
🤣🤣🤣🤣
Assalaam aleikum kaka.kwa kweli hapo umesema ya ukweli.mwanamume Ataka malezi..hata kama alikua Na shida flani inamsumbua anakua karibu Na ww kukutamkia..pia heshima ndio mpango mzima.
Kuna wanaume wanajua thaman ya mke Kuna wale wanaotamani wa nje hawajui thaman ya mke hata utfanye nn
Kaka Nioe bs
Hahaha hahaha
Lilian Lilian 😂😂😂
niceee
We mdada unakiherehere hatare
Neema Neema heheheheeee
Hiyo yakubadilisha mtu jamani inakuwa ngumu kweli
Kwakweli kuna wengine km mawe
😂🤣 you guys are very funny
Hahahahaha Lilian Lilian
Jamani hapa raha tuu nawapenda bure
Ahsante tunakupenda pia,.
inabidi ukae kimya anapoelezea usimkatishe
Need jiwa contact got some issues need his help plz.thank you Tira
Nitumie SMS 0715172226
Nice😘😘
Thank u
We dada unaongea sana mpe nafasi watu wapate elimu pls.
asante kaka uko vzr
Hana maswali ya hisia pia hiyo cm ndo anaanza kuitumia nini? Ni mpya?
Maswali yakihisia ni kama yapi?Hebu nifundishe?
I think ntakuwa nimeanza kutumia simu kabla yako kipenzi.Swali lilitakiwa y the phone on my hand? Na jibu producer ndio alitaka iwe hivyo a mix video za cm na Camera but za cm hazikuwa nzuri ndio maana ikatoka hivyo
Mh!!
Are you guys husband and wife?Are you dating?
There u are like promoting zina
KAKA upo vizuri sana
Huhuhhhuh sheeeedaa mpkaaa lahaaaaaaaa
Nice
dada stop talking saan unakera bhana
Ni kweli kabisa watu wengi tunaishi hivyo maadamu watoto wakuwe
mwanmme. kama ankupenda kweli hawez kukuambiy umpe tendo LA ndowa huo ni uongo hapo umekosea Anco
lbd iwe ndani ya ndowa lkn kama hjakuowa huo ni uongo na nidhambi tup
@@hunaiyasuleiman1931 wanaume wanaombaga bhan mwalimu wasomo kasema ukweli,ila akiomba tendo la ndoa inatokana na mwanamke kumkubalia au kumkatalia sababu wanakuwaga wanataka kupima waone kama huyo mwanamke ni raisi kumshika au sie wakuchezea
KAKA upo vizuri sana
tupo kwajili yakulea watoto lkn ndoa zna majaribu sana ila mungu atusaidie tuweze kuyashinda