Hii Ndio Sababu ya Wanaume Wanachepuka Kwenye Ndoa Zao -
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Kuna Baadhi ya Wanawake Wapo Tayari Kushinda Kwenye Mitandao ya Kijamii Mpaka Kujisahau Kuhangaikia Famili.
Huwa Kuna Kujisahau, Lakini Mpaka inafikia Hatua Mumeo Anatoka Nje Kuna Walakini
Usipomtunza Mumeo..Jiandae kutunziwa na Wenzio..Maana Unachokiona wewe cha Nini Wenzio wanajiuliza Watakipata Lini
Mwanamke tambua mapenzi ni sanaa sharti uwe msanii ujue kuwa mbunifu la sivyo ndoa yako utaishia kusimulia kwamba ushawahi kuolewa.
Mwanamke tambua mwanaume ni kama mtoto ukimlea vibaya anakuwa mbaya ila ukimpa malezi mazuri atakuwa mzuri kwako daima. - บันเทิง
Wapo wanawake wasafi zaidi yako wewe warembo zaidi yako wewe yani mwanamke anaheshima sijuwi nisemeje lakini mwanaume nikiumbe asie tosheka na mke mmoja hata kidogo mimi mume wangu sifanyi hayo yote uliyo yasema ila kaniganda kama ruba ananipenda Sijuwi ata nisemeje kwaiyo mume kukupenda na kutokuchiti sio kwa hayo mafundisho yako ni roho yake tu , nampenda pia sana mume wangu
Masha Allah.. alhamdulillah 🤲
Unajuaje
Allah akuekee noor kwnye kaburi lko n akupanulie pia inshaallah ameeen,,,RIP
Allah akulaze mahalapema dada 😭😭😭😭😭😭
Maskin kwani amefarik Lin,
@@selmezahor46964 years ago, if I'm not mistaken
Wallah nakushukuru umenifunza mengi somo wangu allah anikutunzie
Mungu akuangazie nuru huko uliko, Innalillahi wainnaillahi raajiun
Allah alijaze nuru kaburi lako. R. I. P dear
Inna lilahi wainna ileyhi rajiun mungu akulaze pema peponi we miss you bi fatima tuma mwenye utamu wake😭😭
Most of things are accurate here👌🏽….Lets not forget we are in the new generations things in house should be 50/50 women should not do everything by her own .some of us work 8 hrs a week….with 2 days weekend only.
Ahsante dada nmejifunza japo bado cjaingia kwenye ndoa
Hakika dunia mapito Allah akurehemu
Wanawake wa kiswahili mna kazi kweli. Yani waume wenu mmewageuza mungu hata mnawaabudu?. Yote mwayafanya na mwisho wa siku mnajipata kushare wanawake wanne kwa mme mmoja. Hayo yamepitwa na wakati. Tunaamkia kazi nyie mwalala mkifikiria mabwana. Khaaaaa tafuteni hela zenu mabwana watawanyenyekea.
Tena wanaume wa siku hizi wanataka nao kulelewa. Wanataka kuona unajishughulisha na wewe sio kubweteka maana maisha yamebadilika yamekuwa magumu. Yaani ukiwa na pesa mwanaume hata kukusaidia kukupigia deki atapiga tu
Wanaume wao c mchezo kwa kushare penzi nao hata uumpe nn cju chezea wanaume wa pwani!!
Yani Wana kazi kweli kweli hta mm yamenichosha.. Kila kitu ni bwana bwana tu.. Kweli ukiwa na hela Ata umwambie akanawishe Mavi at afanya tu
Sema wewe mamy..mie upuuzi huo sina
Hujaambiwa usitafute rizki.tafuta riziki ila kama umeamua kuwa ktk uhusiano wa kindoa zingatia hayo.
Unaweza ukayafanya ayo yote ila mwanahume asi riziki akatafuta ungine mwanamuke ayajuwi ata kimoja Allah akupunguziye azabu za kaburini😭😭
Kitu mwanaume anataka kwenye ndoa ni utulivu wa akili na mwanamke mchapa kazi.
Mungu akurehemu kungwi🙏🙏
Allah amrehemu..lini kafariki?😥😥😥
@@shifaaal-baity4503 kafa zaman my
Jamani mbona sina habari😭😭😭😭innalillahi wainailehi rajiuni
@@sumayananabintimusa6321 muda sasa ni miaka 2
innalilah wainalilah rajuun
Mimi utanisamehe Kungwi ,,, wanaume in wale wale tu hats umlambe miguuni , no wako mkiwa nae kitandani akivuka mlangoni ni wa wengine ,,, tens vitambara mtu havai kwa kupenda wanaume wengine hawakununulii nguo ,,, mume mzuri ampambe mkewe amvishe usafi sio mbaya ,,,, hapo mm hata hayo ni buree jamani kungwi Mke sio mavazi ni tabia anaeza kua msafi na tabia ilioza na yule mchafu akawa na tabia na maadili mema Acheni hayo aki tumeona wengi taabu tu
Umeonaaae hajui na hayajamkuta
Point najma
Najma
Wanaume niwashenz
Mungu akulaze mahali pema peponi kungwi
Allah kawaona wanaume kwamba hawatosheki na mwanamke mmoja ndo kaweka mpaka sheria wanne hamna jipya makungwi.
Nonsense! Wacha udanganyifu. Wapi Mungu kawaona wanaume kwamba hawatosheki na mwanamke mmoja kisha kaweka mpaka sheria wanne? Hayo ni mafunzo wa kiIslamu kufanya usharati na umalaya. Mungu alimmpa Adam mke mmoja tu, Eva!
@@e.crabtree4313 mh mazito aya
Kwani nyie nyote ni makungwi bc nikisimama mie na nyie amnipati mnayajua ayo tu
Wake ni wanne sheria dini imesema Wala sishangai sana
Mwenyez mungu hajawaambia mzin kisa mmepewa ruhusa ya kuoa wake wanne muoe co kuzin
Huenda huyo kungwi kachwa mala saba😂acheni kutubpumbaza
Mashallah dada mungu akuzidishie umri mrefu amen
Allah akulaze pema peponi
Waaa pole sana my love from kenya
Mbona wenu wanahowa sana nayote hayo mwayafanya ,mume akipata hela ana chipuka tu
👌👌🙌🙌 true kbs. Tabia ya mtu ni tabia tu
Apo chacha. Mbona na wao Wana achwa 🤣🤣
Tenaaa
Mungu akupunguzie adhabu ya kabri
Maneno kantu👌👌👌
usikosee kuyafataa basi😂
Wanaume wa zamani pia walichepuka.sana .
asante sana dada nimejifunz mengi japo sijaolea
Wanaume wengine wajeuri,unawafanyia kila kitu lakini maneno mapenzi awezi kukupa.,ju kwake anatalajia wewe umpende mwenyewe.hakuna mapenzi side moja
Ziezi penda mwanaume..anipende..ama aende zake.. nimechoka kubembeleza!!!
Kweli
Pumzika kwa aman mumy
Kungwi icho kicheko balaa,moyo ndio unaopendwa na kupendwa sio chengine wangapi wazuri warembo wasafi wapishi na hawakai kwenye ndoa
Kwel
Kabisa
True
Ibirisi ndyo kaingilia kati, wapo wenye sifa zao wameachwa
@@doniaadammwantole5398 huyo anatafuta hela tu wala hayajui
Masha allah
Oyoyo😘😘😘 bi kungwi asante
Nimempenda bule
Uko sawa
Mmmh kazi ipo
Mbona Boss wako kachepuka kila siku
Hawafadhiliki dada wengine wajeuri unamfanyia kila kitu lakini ukimuluza kitu anamjibu mabovu
kweli kabisa dada unayo sema
Hakupendi. Sepa.
@@ahz6907 LA ni tabia hiyo ya mtu. Mm pia n8nekuwa nae
@@khadijaangore4408 kitu ambacho nyinyi hamjui mwanaume anachokitaka ni amani ya akili na kitu kingine ambacho sisi twaangalia kwenye mwanamke pia ni mchapa kazi(mtu ambaye anapenda kujituma) ama yeye yupo tu akidhani kwamba mapenzi ndicho kinachomvutia mwanaume.
@@alfanm.8221 kweli kabisa hapo nakubaliana na wewe 100/%
Oyooooo mambo ni moto
Aki nimejifunza mengi sana
Huko kupendeza si mpaka uwe unapewa hela kama hupewi ama meme hana uwezo utapendeza kweli maisha nitafauti kuna watu wanamaisha magumu
Mara y Kwanza.kumuona..nikajua kua kafariki huyu kungwi😥😥😥😥 Allah amrehemu..kuna msichana mkenya(siku mbili hizi) kaiga nasaha(za kungwi) kajifanya yeye ndie mwenye haya mawazo
Kweli dunia imeisha.. hapo ukute we hufanyi hata moja ila unausia wengine japo si vibaya yote hayo watu wanafanya ila somo zur nikuwafunda jinsi ya kuibana k ndo yenye utamu wote fanya yote af k mtepweto uone😃 kich3ko chako tu si cha maadil kuonesha huna bwana.. af sijui kwanin makungwi wengi hawana waume ukipanik basi na like zenu sitaki
Mashallah
Aaallah akurehem akuweke pema peponi anin
Nimependa hilo gauni Lakin maneno yako nakuachia mwenyewe🙌saingne ww mwenyew ushaachwa Mara saba👌🤔
Ahahahahha tabia mbaya wewe
R I P Kungwi 😭😭
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤔🤔🤔
Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema palipo na wema
Kwani kaisha kufaaaa huyu Dada
Kumbe umekufa 😢RIP
Ata mm nlikua cjuwi
Amefishwa sio amekufa kufa hua hua anakufa mnyama na sio binadamu lekebisha kauli yako
Karibu sana dubai my sister umedamshii
Ameshafariki 😓😭
Vuvuzela umeuwaa♥️
Mash'Allah....
Nikweli uzsemayo wanaume wangine hawabebeki jeuli imewajaa hawajui kumuheshim mke kama aniheshim Mimi yeyenitamuheshim ndoa niyawaote siommoja
Mwajuma mashallah wote hawaheshimu ndoa. Ndo maana research inaonesha asilimia kubwa sana ya wanaume wanalea watoto wasio wao kwny ndoa! Yaan tukisema wazazi wa kiume wakapime DNA za watoto inakuwa mpoteano
Hicho kijola unanunua nann huyo mwanaume kukupa pesa hadi sikuku mtu huongea tu yakiwa hajamfikia ila siku yakimfika atakuwa mpole hatari
Wape vidonge vyao wamezee
Allah akurehem Fatuma
Inna lillahi wa inna illeihi rajiun. Sikujua amefariki
Asant kungwi
Hayo yanawahusu hawa waarab.. Mabos wetu...
Hahaha nimecheka kasauti kubwa hahahahh
😂😂😂😂😀😀😀😀😀
Hahahaaaaaa apo
Hata huko east Africa yanawahusu kwani hawaweki house girl?
Bhalo asema hupendwa alie uchafu akaachwa alie msafi
Mwanamke pia Atika kazini siku hizi na waume wapo.maskani
Wanachukua kwa tamaa yao,,unaweza kufanya yote,still akachepuka
Asante sana
Dad kama umempata mume mshukuru mungu nn wew usiwachambe wezako kuaona ww ndounayajua mahaba San
Shukran
Tafuteni hela mamikia hayana dili yamepitwa wakati.heshima pesa.ukiwa nayo atakuheshimu tu
😄😄😄
Kabisa hujakosea🤝hakuna mapenz siku hiz
Kabsa dada point hyo hayo hayana mana....watu wanahangaika na pesa we unahangaika kumteka mume
Asante kugwi
We will always miss you sister Fatma 😭😭😭we love you but Allah loves you more than as
Allah akulaze mahala pema😭😭
Tafadhali wacha wanaume waseme wenyewe.. wewe ni mke yawanaume yako ndani yaoo. So waache watuambie wewe simamia wanawake.. kwanini wanawake tunawaacha wanaume
Mkipendana kwa dhati kila kitu kinakuwa sawa, mengine yatakuja taratibu
Tatizo nyinyi makungwi mwafundisha wenzenu lkn nyinyi wenyewe amdumu kwenye ndoa zenu kwa nini
😂😂😂😂😂😂😂Umeona
Hahaaaaaa kweli kabisaaa
True l
Jamani mm nataka kitu kipya mbona mambo ndio yaleyale kwa makungwi wote kila kungwi ndio hayohayo sioni jipya .
Well said @ Omar!
Exactly
mashaallah kungwi
Wamekua waarab
Hahahaaaaaa acha tu
Umeondok fatuma dah, tutasikia wap ngendembwe jmn kha😭😭😭
Allah akupanuliye kaburi lako😂😂
Mafunzo mazuri
R. I. P
Maskn ALAH AKUPE KAUL THABIT AKUSAMEHE MAKOSA YKO
salam aleykum, naomba number ya simu yako, kuna swala nataka kukuuiza plz
Rest Easy aisee dah
Kungwiiiiiiiiiii una hakikaa huyoo wakooo hajawahii kukusalitiiii tuanziee Apo usimalizeee manenoo
Uyo kafariki Kama miaka minne iliyopita
Uwo usafi ukiweka. Mpaka kwenye. Uchi lipustiki. Bado. Atamsakiti. Mumeo
Wanaume ata uwafanyie Nini kuchepuka kwak nilzima
Nisalimie ilo dera shoga
Wape dadangu wajirekebishe kama wako na tabia hizo za uchafu
MashaAllah bii Fatma Abdallah..
wape wenye tabia zao
kweli UKT umenena yapo
Wanawake wa leo ni wachafu kunuka usaf wao ni wa nje tu lkn humo ndani looo
Wayaaaaaaaa
Wanaume wanasema sheria wanne no matter what.... ata kama utaoga kwa jik na bleach utamaliza singo zote na kama hajaowa akajulikana basi anavimada kwa siri au vimada.
Kweli kabisa hawaridhiki
Tatizo jingine ukungwi inafanyika hadharani hadi mwizi anapata mafunzo kwanini asijiongeze akaibe vizuri wewe ukiweka sukari yeye ataongeza asali shuguli ipo siku hizi hata mzungu najua
Duuuh pumnzika kwa aman mama
Inna lilah wainna ilahi lajihun
Ww mwenyeo hujaolewa utajuwaje mambo ya ndoa
1:31 mambo da fatma please naomba namba yako unisaidie mambo fulani
Wee kungwi una mume?
We mwenyew wako.anachepk
Rest in peace
Naadhi ya wanaume hata uwaletee mbuga ya Serengeti nyumbani anachepuka
Huna jipya dada, tuambie mengine lkn sio hayo tushawazoea wanaume hivi ayo unayotuambia wayafanya mwenyewe unamume
Thanks my
Tena kazi hiyo wacha tafuta nyingine mwanamke pia hakosi soko
Kemu unazingu mwanaume ata umpe nn kuchepuka atachepukaa tu hmna Nini Wala nn ndoo maana wakaekewa Sheria n wanne
Eti Sanamu la michelin
naomba namba ya kungwi jaman aokoe ndoa yangu
Hiv hayo mapenz yazat band yap
Hamna jipya..wakuchepuka ni wakuchepuka.hta ukawa msafi kama malaika atatoka tu
Kunawanaume wengine wakiwekewa maji ya kuoga jioni haogi kwahiyo aogeshwe kitandani au
🤣🤣🤣🤣🤣
Kamuogeshe bibi wee😂😂😂😂