This Word Is Crazy,,,,,, This World Is So Sad 😔 😔 😔,,,, Walimu Wa Mapenzi Ni Wengi Na Watu Wko Busy Na Mapenzi,,,,Lkn Cha Ajabu Ndiyo Kizazi Kinacho Ongoza Kwa Talaka, Ukahaba, Umalaya, Usaliti Na Tamaa,,,, Mungu Tusaidiye Ichi Kizazi Na Hii Sayar Ya 21th
tunakosea sana katika malezi ndo maana hata waalimu wa ndoa tukiwa wengi,bado inakua vigumu kubadilisha tabia aliyoiona kwao/aliyoizoea kwao. sio wote wapo tayari kwa mabadiliko ya kheir. Tuosome mtume wetu/mwalimu wetu mtume Mohammed S.A.W alivyoishi na wake zake. na kwa sasa tunafaa mafunzo ya ndoa yaanze kufundishwa Madrassa...ili watoto wakikua watapata muongozo mzuri. Madrassa tunafundishwa dini Alhamdulillah ila ndoa/dunia waalimu wanaogopa kuyasomesha. Utakuta hata Baadhi ya mashekhe ku quote Quran ayyat zinazowazungumzia wanandoa vipi wanapaswa kuingiliana wanazikwepa. je tutaona aibu hadi lini kulizungumzia tendo la ndoa na vizazi vinaharibika? Unaona usipomfunza mwanao kuhusu mitandao na dunia,wengi tu wanaingia na kujifunza wenyewe...unaona aibu kumweleza mwanao ubaya wa kupiga punyeto/kumfunza kuhusu hisia atakazozipitia akianza kuingia umri wa miaka 12....unaifanya siri nae akifikia anafanya siri. kwa nini sikjuizi vijana wadogo tu wanaongoza kwa ngono za mapema???? wazazi tunaona aibu kuwazungumzia watoto maisha watakayoyapitia. Hauelewi kua wakijua mapema wataweza kujichagulia maisha wanayoyataka? watajua ubaya na uzuri wa jambo flani na wataweza kufanya maamuzi yaliyo na busara?
Rahill Hamidu .Tusimsingiziye Mungu, Mungu Wala Hahusiki. Mungu Aliumba Dunia Kisha Alituwekeya Mipaka Ila Wanadamu Tumejitengezeya Mipaka Ya Kwetu Wenyewe. Ina bidi Turudi Nyuma Kwenye Fact Na Tujiulize !!!!!??
TIRA,napenda kuangalia The XO kwa sababu unajua sana ku-host,hauna papara,una maswali ya msingi alafu uko tayari kusikiliza sio tu kuongea kama ma-host wengine. Thank you.
Bro abdulrazzak nikiwepo pba napnda kufatlia THE XO ukiwepo wewe na dada Tira nawapenda sn mungu awabarki mzidi kutufunza cc bdo tunahtaj kujua ivo kbla hatujaingia ndoan
Tira nakupenda🌹🌹♥️♥️unatusaidia Sana wanawake wenzio. Dah I have to change😍😍😍
This Word Is Crazy,,,,,, This World Is So Sad 😔 😔 😔,,,, Walimu Wa Mapenzi Ni Wengi Na Watu Wko Busy Na Mapenzi,,,,Lkn Cha Ajabu Ndiyo Kizazi Kinacho Ongoza Kwa Talaka, Ukahaba, Umalaya, Usaliti Na Tamaa,,,, Mungu Tusaidiye Ichi Kizazi Na Hii Sayar Ya 21th
tunakosea sana katika malezi ndo maana hata waalimu wa ndoa tukiwa wengi,bado inakua vigumu kubadilisha tabia aliyoiona kwao/aliyoizoea kwao. sio wote wapo tayari kwa mabadiliko ya kheir. Tuosome mtume wetu/mwalimu wetu mtume Mohammed S.A.W alivyoishi na wake zake. na kwa sasa tunafaa mafunzo ya ndoa yaanze kufundishwa Madrassa...ili watoto wakikua watapata muongozo mzuri. Madrassa tunafundishwa dini Alhamdulillah ila ndoa/dunia waalimu wanaogopa kuyasomesha. Utakuta hata Baadhi ya mashekhe ku quote Quran ayyat zinazowazungumzia wanandoa vipi wanapaswa kuingiliana wanazikwepa. je tutaona aibu hadi lini kulizungumzia tendo la ndoa na vizazi vinaharibika?
Unaona usipomfunza mwanao kuhusu mitandao na dunia,wengi tu wanaingia na kujifunza wenyewe...unaona aibu kumweleza mwanao ubaya wa kupiga punyeto/kumfunza kuhusu hisia atakazozipitia akianza kuingia umri wa miaka 12....unaifanya siri nae akifikia anafanya siri. kwa nini sikjuizi vijana wadogo tu wanaongoza kwa ngono za mapema???? wazazi tunaona aibu kuwazungumzia watoto maisha watakayoyapitia. Hauelewi kua wakijua mapema wataweza kujichagulia maisha wanayoyataka? watajua ubaya na uzuri wa jambo flani na wataweza kufanya maamuzi yaliyo na busara?
KHADIJA RAJ .Asante Umejaribu Kufafanuwa Vizur Kidgo Ila Ina Bidi Tuelewe Nn Hasa Chanzo ?!? Nn Hasa Ttzo.
Wallai tena sijui tunakosea wapi Allah atunusuru
Rahill Hamidu .Tusimsingiziye Mungu, Mungu Wala Hahusiki. Mungu Aliumba Dunia Kisha Alituwekeya Mipaka Ila Wanadamu Tumejitengezeya Mipaka Ya Kwetu Wenyewe. Ina bidi Turudi Nyuma Kwenye Fact Na Tujiulize !!!!!??
@@mohamedshaaban3297 swadaqtah
TIRA,napenda kuangalia The XO kwa sababu unajua sana ku-host,hauna papara,una maswali ya msingi alafu uko tayari kusikiliza sio tu kuongea kama ma-host wengine.
Thank you.
Hapo kwa kuingiliwa kumenifurahisha mno,love that part
Mashallah mashallah
Hapo kwenye matunzo wanawake tunapapendaaaaaaa....like mingiii Anna from chugaaa
Huyu kaka kanifurahisha tu hapo kwenye kutoa matunzo. Kuna wanaume wengine hawajiongezi kbs!
True fact .. kwa pande zote mbili kwa mke & mume... swadaqta shekh... 👌Mola azidi kutuongoza🙏Jazakahlaulkhairàan 😊
Alosema uyo shekhe ni kweli wanawake tunapenda kusifiwa...nlikua na ex wangu ata nkivaa dera alikua akinisifia
Catherine Nzeki Mwau Mwau 😄😄😄😄
Catherine Nzeki Mwau Mwau 😂😂😂
Jamaa romantic voice,
#na tira naeee dah...!
Jamani sheikh ntafutie mume kamili kama ww una hekma na busara sana masha Allah😘😘😘
Kuongea tuu ndio kwao vitendo zeroo
Mmeanza
Nimepend. hiki kipind kizur mno mashaa Allah
Nakupenda sana nataman kila mwanaume aone mafunzo yako
Kabs Mum Akikusifia Unasikiarah
shukrani nimefaidi mengi katika mafunzo haya
Kwnye Kujamba apo mmh!.. Mwanamke kujamba mbele yangu daaaah hapana itakua ajieshimu!.
Huyu kaka jamani sijaolewa ila huaga ananikosha sn jamani I love u for the sek of Allah ❤️❤️🇰🇪
kaka uko vzr natamn nigempat mwanaume kam wew aliyeko na wew au atakayekupat ataenjoy life moreee
Sheikh umenifurahisha kwakweli
Mashallah darsa zuri time ni chache
Dada diva jiandae
kaka nkupenda sana hongera kwa mafunzo Allah akubarik
Theory is good real life asa afrika na Maisha yetu magumu impossible
Huyu kaka namkubali sana ...anaongea ukweli na we Dada wacha kuongea kama upo kitandani
Maneno matamu yanamlegeza
tira kalegeaaa mpaka kaomba kahawa 😂
@@zamizozamy5528 hahahaha
@@mrswaris9224 hatari
Daah mungu anijalie nipate mwanaume.bor kama huy.kaka
Mme wangu Kwa utani mashallah
Mashaallah shekh umenipunga apo ukipapata ucachie kbs pata apo 👫😁
mashallah mada nzur shekhee
Mungu akujaalie ww sheihk
Nipo sehemu sahihi Allhamdulilla 🙏
👏👏👏👏👏 lazima wanaume washibishe wake zao ipasavyo👍
Yani unajua kutunyambulia maneno Abdul
Bro abdulrazzak nikiwepo pba napnda kufatlia THE XO ukiwepo wewe na dada Tira nawapenda sn mungu awabarki mzidi kutufunza cc bdo tunahtaj kujua ivo kbla hatujaingia ndoan
Mashallah
nimeipendaa
Asante kaka ila Nina tatizo mwanaume wangu mpole ila ukikosea tu anakupiga haingie sana nisaidie please nashindwa kujitoa kwake
Abdul jamaaaan hapo kwenye helaa mhmhm
Jamani I just love this mada
Jaman huyo shekh yuko vzr Mimi sijaolewa jmn nampataj
Umegonga ndipo sheikh
Unaongea vizuli mashalla nimependa
Jamani umeongea kweli kabisa
nmeipenda hii 😁😁
Asante kaka kunakitu ni mejifunza
Napata somo zuri
🔥🔥🔥🔥🔥🙌
Asante naomba no zako
Da! Noma
maneno mazuri kabisa mafunzo matamu😅😅😅😅💃💃💃💃
Ehe safi sana
Kitchen party za vyombo ndio zinaleta hizi shida
Swadakta shehk
Kweli kabis shekh maneno kuntu
Kabisa sheikh mwanaume lazima mzigo wa kutosha, true yaani, labda huyo mwanaume mgonjwa
Hapo kwenye kuingiliwa kumenifurahisha😂😂😂
Shekhe lazma mtu aje ale maisha juu angu nakuapiaa kamwe 👏👏 lazma ni mjampiee🤣🤣🤣🤣
Kujamba tenaa
Haswaa nimeielewa hiyo kweli sherh anasema haki
Upo sahihi kaka
Wanaume wasikuhiz mapenz yamepunguwa saan wanapendag mwanamke mweny akili za kimaendeleo zaid nasio kweny mapenzi
True
i lov ur voice dada
Kwenye matumizi apo awajiongezi mpaka uombee kaaa
Hahhahahaaaaaaahahahahhaaaaa vzr kaka hat kama unakifua kama naniii,,,,,,.....
Maneno mazur sana
Mambo madogo lkn makubwa kwa mwanamke
Love you dada
nimewapenda sana mnaongea vizur
Sheikh Wafunze,wanaume engine wawe,na adabu
kaka samahan namuomba mwenyezi mungu anipe mume kama wewe maana nishajikatia tamaa ya kuolewa
Nipo Kwaajili yako Naima
Njoo inbobo naima I'm serious
Nimeonjoy sana jmn hongereni 😘😘sheikh😘😘tira
Apo kwa matunzo wanaume wengi hua hawapapendi.Unapomuomba hela anakuuliza kwni we za kwako unazitumia na nn
☝️☝️☝️☝️☝️☝️🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wanaume wote wangekuwa kama huyu kaka watu wasingechepuka kabisa
jidanganye tu
Nzuri jaman
Wanume wanapenda ubabe kwenye mapenzi
Doctor u make my day😂
Nandomana ndoa xilizonyingi no 36.nasio 63.
Sauti iko chini sana
yupo vizuri sana huyu kaka
Yani yani😂😂😂😂nipate mume kama sheikh mimi😂😂😂😂😂 ntaishi nikiona niko peponiiii
Usihadaike na maneno hujui vitendo vyake
Mtengeneze wako
🤣🤣🤣🤣kumbe tunawaza pamoja 🤣🤣🤣🤣🙌
❤️
Kwakweli mm unanisemesha vizuli
Nakupa kilawakat
WANAUME wasasa hakuna wanaume hasira kibaooo hawana mahaba.
Bora nikae tu
Jaman Nahis nilichelewa kuanza kuangalia vipindi vyako.
Karibu,bado hujachelewa
Jamani mbona moto😜😜
Uko vzur kak
Noma
Tommy Tyga sanaaa
Huyu kaka anaongea ya kweli
Hahahaha zaituni ananijambia vizuriii nimecheka
Asante shehee
Nikweli
Sauti ya uyo Dada ss😂😂😂😂
True here that voice of tira
Carliz Talks jamanii
Ya chumbani sio kalegea
Mmmh hapo kwenye kuingiliwa apo 😅😅😅😅 balaaa
Dah wewe mkaka mkeo km utamfanyia haya bas uko vzr sana leo umesemaa nakupenda buree
💯🙌🙌🙌🙌🙌
Apo kwenye kuhudumia kaka ndiyo wanaume wengi wana geli sana
Jaman sheikh unatokea mkoa gani???????????
kiislamu kwènýè nģuo hapana hata kama ñ mumeo
Mimi ni mamy Niko Congo mutufundishe ngisi uke wetu ukuwe na misuti
Kwanini msitu?kwani kuwa msitu ndio unakuwaje
Haswaaaaaaaaaa
Wah!where do we find such men? he's so sweet
Mafunzo
Mwafaka.kaka
I'm here
Pray for them but they can change 😎
@@winnieumanzi5572 Can we Change
Yaan huyu kaka jaman
ooh jmn hapo kwenye majukumu sasa😂😂😂