UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2022
  • UNATAKA KUMTONGOZA MWANAUME ULIYEMPENDA, JE, UNALIJUA NENO SAHIHI LA KUMWAMBIA? | HARD TALK
    HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na Mshauri na Mwanasaikolojia Dkt Ellie ambapo wamezungumza maisha ya ndoa na mahusiano ndani ya kipindi cha Hard Talk, swali kubwa likiwa ni sawa mwanamke kumtongoza mwanaume?
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 78

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 ปีที่แล้ว +22

    huyu mzee anamajibu ya kila swali👌☺ salute

    • @allymasoudi6780
      @allymasoudi6780 ปีที่แล้ว

      Hatari huyu mzee 🤣🤣🤣🤣

    • @sabinibra3513
      @sabinibra3513 ปีที่แล้ว

      Umeona eh alaf hasomi popote pale kila kitu kinatoka kichwan

    • @silverman6930
      @silverman6930 ปีที่แล้ว

      Intellectual

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 ปีที่แล้ว +6

    Kwan Dr we Ni Nan!!!! We Ni binadamu wa kawaida kwel jaman mbona unaukwel ulionyooka kabisa na una kitu kikubwa mno ambacho hata Mimi sikijui MUNGU AKUTUNZE

  • @rosejoseph102
    @rosejoseph102 ปีที่แล้ว +20

    Inahitaji utulivu sana kumuelewa Dr

  • @ladygood7384
    @ladygood7384 ปีที่แล้ว +10

    Dr. Aje tena na tena nimejifunza vitu vingi sana 👏🏾👏🏾

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว +5

    Jn niliangali nusu ndiyo nimemalizia dada lily thank you kwa kumrudisha Dr Elly anatufundisha mengi saana

  • @aishajumaa6089
    @aishajumaa6089 ปีที่แล้ว +1

    Dokta huwa unaniponya sana pale ambapo nakaribia kukata tamaa Ahsante

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 ปีที่แล้ว +3

    Unamaswali mazuri Sana L. Pia amejibu vizuri sana jaman barikiweni sana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 ปีที่แล้ว +4

    Dr Ellie amebarikiwa upeo wa Hali ya juu kwa upande wa akili Mungu anawajua walio wake

  • @zainabtumba1186
    @zainabtumba1186 ปีที่แล้ว +3

    🇹🇿/🇺🇲 DR Elivid Waminiana hukunitosha kwa Matamuu bali Umenikoshaa 💯💕 Mfano wa Kipando ndege. Yaani nimemfahamu Dr ya kuwa Chema acha kijiuzee kisijitembeze. Or as he said Women don't pursue the Man. Let them Come and Carry them As you are ready and Real unshakable land to them with full up women Package!
    It deep hard talk!! Thanks Lillian I enjoy this and studying a lot of yours talk part 1/2 topics with Dr Waminiana 💥👏👏👏

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 ปีที่แล้ว +1

    Dr Ellie shkamoo kaaah we baba Mungu akupe afya kila siku tujifunze

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft ปีที่แล้ว +1

    jambo dada lilian na kaka tuna homba hili soma lihende lezwe tena tafadhali naomba kaka mungu ame kujaliya neema mubarikiwe sana

  • @sofiarugoye7929
    @sofiarugoye7929 5 หลายเดือนก่อน

    Dr,Mungu akutunze,tunakuhitaji unakitu kikubwaa saana ndani yako Mungu amekupa ututoe gizani

  • @khadijawaukweli1964
    @khadijawaukweli1964 ปีที่แล้ว +2

    Alhamdulillah nimejifunza mengi sana 🙏 mungu akulipe nauzidi kutusaidia

  • @babyhamisi1437
    @babyhamisi1437 ปีที่แล้ว +5

    Great job, i love it

  • @lusajoyuda6145
    @lusajoyuda6145 ปีที่แล้ว +3

    Smart people talks hards

  • @joelndowo
    @joelndowo ปีที่แล้ว +1

    Uliposema hard talk....this is an eye opening talk inakufanya uquestion everything you ever known

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 ปีที่แล้ว +3

    Dr Shikamo 💕🙏🏾🔥

  • @pearl3696
    @pearl3696 ปีที่แล้ว +1

    Dr. Ellie naomba uwe na TH-cam channel yako

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 ปีที่แล้ว +1

    Wewe baba noma sana unajuwa kufundisha

  • @salmatanz948
    @salmatanz948 ปีที่แล้ว +1

    Thankx so much kwa kipindi kizuri

  • @user-qh7fy2nz5v
    @user-qh7fy2nz5v 3 หลายเดือนก่อน

    Broo 1000 nakuelewa najifunza kitu kwako sana

  • @rittaaziz4470
    @rittaaziz4470 ปีที่แล้ว

    DR ELLIE YOU ARE SUCH A GREEEAT TEACHER YAANI UNA TREMENDOUS MAFUNDISHO ... UNAFUNDISHA VZR I LOOOVE LISTENING N LEARNING FROM U JAMANI....GOD BLESS U. WISH I COULD MEET YOU LIVE JUST TO KNOW YOU. MY DEAR LILIAN YOU ARE MY BEST PERSON WE MET AT WASAFI TV REMEMBER IAM ONE OF CHOIR OF UKOMBOZI SINGER MLITUALIKA WASAFI TV. YOU ARE SUCH A GREAT SOUL. HOPE TO SEE YOU MY FRIEND...YAANI I LOVE YOUR PROGRAM SAANAAA. MUCH LOVE.

  • @vanderkakwenzile2159
    @vanderkakwenzile2159 ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sanaaaaa 🔥🔥🔥🔥

  • @nevagasmsamba5060
    @nevagasmsamba5060 ปีที่แล้ว +1

    somo zur respect kwenu

  • @barakamapasa2947
    @barakamapasa2947 ปีที่แล้ว

    God bless you servant of God

  • @kigenimohammed7847
    @kigenimohammed7847 ปีที่แล้ว

    Asante mungu akubariki mzidi kutufunza mwengi🙏

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว +2

    Wew doctor ata mmewangu aniudhi vp Niki kusikiliza wew hasira Zina ishaa na najua akuna mkamilifu

  • @user-en6cd4zn1t
    @user-en6cd4zn1t ปีที่แล้ว

    Dr Elie natamani Sana kukutana na wewe

  • @kytv8780
    @kytv8780 ปีที่แล้ว +3

    Jaman lilian naomba namba ya dkt kuna mengne mengi nataka kujua kutoka kwake..yan ukimsikiliza huyu dkt hata njaa huskii..mwenye namba yake naomba

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 ปีที่แล้ว +2

    Eh mara hii Lilian kashachanganywa sasa😂 Yan huyu dada🤣🤣🤣 kwel doctor kazi anayo🙌😂

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sawa mzee wangu..

  • @dorahmwaqsa168
    @dorahmwaqsa168 ปีที่แล้ว

    Asantee ktk hili somo dr nimekuelewa sana 💪💪

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 ปีที่แล้ว +4

    Dr Ellie nakuelewa sana tena sana yaaan hapo kwenye kupstiana hapo ndio umekosha kabisa mtu anaekupenda hawezi kukufanya matangazo kwenye social media ana kulinda na manyang'au wanao postiwa ni wako kufurahisha jamii anaependwa analindwa ni siri ya jeshi hiyo.

    • @kytv8780
      @kytv8780 ปีที่แล้ว

      Umeona eeh yan huyu dkt ana madini hataree mim sichokaji kumsikiliza na ukitaka umuelewe huyu yan usikae hata sehem yenye upepo mana duu ana madini ambayo hayatakiw yakupite..salute kwake

    • @upendowakwelinaamani1060
      @upendowakwelinaamani1060 ปีที่แล้ว +1

      @@kytv8780 Hakika kupitwa na kipind chake ni khasara kabisa

    • @kytv8780
      @kytv8780 ปีที่แล้ว +1

      Channel yake kama channel ni ipi au ndo hii hii

  • @mkaliwafashion3116
    @mkaliwafashion3116 ปีที่แล้ว +1

    Yaani dada anavyogonganisha viganja napenda hatari 😂😂😂😂😂😂

  • @kytv8780
    @kytv8780 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Dkt ni hataree 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾 mikono juu ili kumsikiliza narudia tena ili kumsikiliza kaa sehem iliotulia kusiwe hata na upepo utapata mazur sana kwake..usiseme sijakwambia

  • @evasempita1144
    @evasempita1144 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda.sana.hiyo had tock.ya.leo.hongera.sana.dada.

  • @naomichuri7983
    @naomichuri7983 ปีที่แล้ว

    🥰🥰 Asante Dr

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe nimejifunza

  • @martingaudence1799
    @martingaudence1799 ปีที่แล้ว +1

    Lilian sasa unakuwa, ukirudia kujitazama kwenye kipindi upo clauds utatambuwa ninacho maanisha, hongera

    • @sabinibra3513
      @sabinibra3513 ปีที่แล้ว

      Sasa hivi Yuko mwenyewe Harris hayupo

  • @fatimaalnaqbi3470
    @fatimaalnaqbi3470 11 หลายเดือนก่อน

    Thankfully

  • @Lily-xw6hg
    @Lily-xw6hg 11 หลายเดือนก่อน

    Namteza uyu baba KWA jicho la kimajabuu,sio wa kawaidaa,ata kidogo taifa sijui km linajuaa,,

  • @T-Fellow
    @T-Fellow ปีที่แล้ว

    I really like this guy

  • @gracepaul9733
    @gracepaul9733 ปีที่แล้ว

    Huyu Baba big up sana

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi6146 ปีที่แล้ว +1

    Dr. sichoki kukusikiliza dah
    dada Lilly nisaidie nimpate huyu Dr please

  • @fauziyaomar7090
    @fauziyaomar7090 ปีที่แล้ว

    Kumfahamu kunataka akili ila sanyengine uyo anae muhoji pia hamuelewi

  • @shamimuhabibu5257
    @shamimuhabibu5257 ปีที่แล้ว

    Tunampataje Dk kwa sisi wahanga

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 ปีที่แล้ว

    Hatimaye Lilian ameelewa leo 😂

  • @aureliayuktankabebwa5066
    @aureliayuktankabebwa5066 ปีที่แล้ว +3

    Point taken👂🏾🙏🏾

  • @neemanjavike6947
    @neemanjavike6947 ปีที่แล้ว

    Sintachoka kuwaangalia najifunza vingi sana. Naomba namba yako Lilian kipenzi cha wengi.

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p ปีที่แล้ว

    Da Lilian huyo baba hajamaliza, umemkatisha, tunamuomba tena

  • @tileshopla
    @tileshopla 11 หลายเดือนก่อน

    simsumbui mume wangu tena aniposti jamani,

  • @eyabdimaha3698
    @eyabdimaha3698 ปีที่แล้ว +1

    Dr asante nimekuelewa sanaa

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 ปีที่แล้ว

    Duh atar

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 ปีที่แล้ว

    Huyu baba sijui kasom wap khaa anajuaa

  • @farlykunga8599
    @farlykunga8599 ปีที่แล้ว +1

    Nishakufolow dk,,nilichelewa wap mm..dah..

  • @samwelrobeth7763
    @samwelrobeth7763 ปีที่แล้ว

    Yani hapo kwenye kutongoza kanisema mim kabisa,yani sijawahi tongozaga mwanamke hisia tu hadi kufika kwenye tukio daah haya Mambo Kumbe Yana hostoria kubwa

  • @maryschroeder521
    @maryschroeder521 ปีที่แล้ว

    🤯🤯🤯🤯🤯🤯🤯

  • @sabinibra3513
    @sabinibra3513 ปีที่แล้ว

    Anaposema simstaili yan anamaanisha mfano Kama ww mwanaume ghafla ukatembea na mubeto au mwanamke Ally kina huyu hapa ukalalanae lazma utasikia raha sana kwa sababu mobeto hadh yake ni ya juu

  • @titongajilo1934
    @titongajilo1934 ปีที่แล้ว

    A

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 ปีที่แล้ว

    unapo zuia Uhuru wa MTU kutokana itikadi zakidini huleta shida nakuanza kutafuta Uhuru

  • @mlangaliromwenda6945
    @mlangaliromwenda6945 ปีที่แล้ว +1

    👋👋👋👋👋🙎🙎🙎🙎🙎

  • @edwardsamson4937
    @edwardsamson4937 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mdada awe ananyamaza doctor afunguke

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph255 ปีที่แล้ว

    kuna kifungo mahari hivi

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 ปีที่แล้ว +3

    Hili somo ni gumu, inaumiza akili.