Mpenzi wako hakuachi kama ukiyajua haya,..Darasa la bure.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2019

ความคิดเห็น • 592

  • @roseriakituku9750
    @roseriakituku9750 5 ปีที่แล้ว +24

    Asante kwa ushauri
    Nitajaribu kabiza kwa maneno n.a. vitendo. God bless me with a happy family,I Pray in Jesus Christ name.

  • @glorywalter6895
    @glorywalter6895 5 ปีที่แล้ว +190

    😂😂😂😂😂🤣🤣kama umemuelewe twende sawa

  • @dorineoyako4800
    @dorineoyako4800 5 ปีที่แล้ว +39

    😂😂😂😂wa kulia unakula,wa kushoto unakula🙌🙌🙌🙌

  • @fatmawema572
    @fatmawema572 3 ปีที่แล้ว +16

    Nampenda sana huyu mama anamafunzo mazuri ubarikiwe mama

  • @jamilamanariyojamila1487
    @jamilamanariyojamila1487 3 ปีที่แล้ว +3

    Wallah Mama mumenifurahish 🙌😍👍👌

  • @brigitteyamungu3396
    @brigitteyamungu3396 4 ปีที่แล้ว +6

    Hahaahah😃😃😃 jamani nimecheka 😄😄 adi machoz yananitoka. Asante sana mama kwa mafunzo haya.

  • @shtatsalfa1668
    @shtatsalfa1668 4 ปีที่แล้ว +6

    Hahaaaa asante mamaaaa!! Nakupenda bureeeee

  • @furahamudende6316
    @furahamudende6316 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante kwa maongezi,am learning

  • @juliusmatilya4025
    @juliusmatilya4025 4 ปีที่แล้ว +7

    Hongera sana Mama, kweli mwanaume Dhahabu kwa huduma hiyo! VIVA MAMA

  • @ednafiloteus5216
    @ednafiloteus5216 5 ปีที่แล้ว +20

    uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S

    • @janethkomba4485
      @janethkomba4485 ปีที่แล้ว +3

      wanaume km 👉🐓Ata uwawekee mchere ktk Sinia Ili wasichepuwe namchanga lakini SAWA nabureee🙆lazimaaa Atataka aparure nachini Mweeee🙄wamenishinda tabia❌

    • @jacklinebenjamine3936
      @jacklinebenjamine3936 ปีที่แล้ว

      😅❤🎺mama asnteee😆

    • @SidiAm-wn4vb
      @SidiAm-wn4vb ปีที่แล้ว +1

      Mmmmmmhhhhh mama hayo n kweli ila Hawa ndugu zetu sio

    • @rahimaessa2552
      @rahimaessa2552 ปีที่แล้ว

      ❤❤❤❤❤ Ahsante 👏 kipenzi Chang 🥰🥰🥰🥰

    • @abimelekifabian4047
      @abimelekifabian4047 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@rahimaessa2552😮😊😊😅😅😅plol lkkkkkkkkkkkkokkklklopopn

  • @jescamaro6226
    @jescamaro6226 5 ปีที่แล้ว +2

    Dada tira nakipenda sana kipindi chakoo... ❤❤

  • @tommytyga4417
    @tommytyga4417 5 ปีที่แล้ว +5

    I love this kipindi naitwa Tommy Tyga... Salute Dada Tira

    • @sintasmarty4974
      @sintasmarty4974 5 ปีที่แล้ว +1

      Du tommy sasa ujuzi umeshaujua nitakufanyiaje

    • @tommytyga4417
      @tommytyga4417 5 ปีที่แล้ว +1

      @@sintasmarty4974 0688455787 it's MA no.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 5 ปีที่แล้ว +7

    Ahsante sana kwa mafunzo mazuri ya kiufundi 😘😘

  • @halimaomar8087
    @halimaomar8087 2 ปีที่แล้ว

    Asante mama japokua cjaolewa ndio nakaribia kuolewa bac nimejifunza kitu asante sana

  • @salomegeorge7027
    @salomegeorge7027 5 ปีที่แล้ว +16

    Mwanamme hata umkunie nazi
    .umalaya wao huishi duniani..hata umpikie mkate wa sinia..tabia zao zile zile

    • @bettinajohn4985
      @bettinajohn4985 5 ปีที่แล้ว

      Jamn mama wafundishe maan sikuiz wanawk wanatak px xio kufundwa

    • @mgendimussa7224
      @mgendimussa7224 4 ปีที่แล้ว

      Nyie ndo hamfanyi hayo matokeo yake mbayaona maisha magumu na ndoa mby

    • @japharymsumule6550
      @japharymsumule6550 4 ปีที่แล้ว

      Salome George mhh

    • @davidnziku2492
      @davidnziku2492 3 หลายเดือนก่อน

      Kaa sio sio wote dada

  • @ummulkheirzubeir6320
    @ummulkheirzubeir6320 5 ปีที่แล้ว +10

    Mama nimekuelewa jmn nakupenda Burr asante kwa somo kungwi wangu

  • @jenipherclement2103
    @jenipherclement2103 4 ปีที่แล้ว

    Uko vzr mama ahsante kwa maneno mazur

  • @agathanyaguthii8034
    @agathanyaguthii8034 5 ปีที่แล้ว +11

    Volume iko👌👌👌👌👌👌

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 5 ปีที่แล้ว +22

    eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada

  • @missjudytuwei3900
    @missjudytuwei3900 5 ปีที่แล้ว +6

    😄😄😄 you made my day

  • @user-xo5ii2pw2h
    @user-xo5ii2pw2h 3 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you very much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ asante sana mama tunayafanyia kazi ubarikiwe

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 5 ปีที่แล้ว +18

    Mashauri matamu kwa sisi abao atujaolewa😘

    • @Switielie
      @Switielie 3 หลายเดือนก่อน

      Umeona eeeeeh

    • @Zubeda-zx7wt
      @Zubeda-zx7wt 22 วันที่ผ่านมา

      Kwr shaa apo kama unahakili utajifunza kitu from🇧🇮🇧🇮

  • @vipvip-zv7xv
    @vipvip-zv7xv ปีที่แล้ว

    Shuqran jazzilah khery mungu akujalie umri ili uwez kutuelimisha inshallah..❤

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +7

    🤣🤣🤣hatareee 🔥🔥🔥

  • @reenvictoria
    @reenvictoria 5 ปีที่แล้ว +75

    Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane

    • @ndzmah47ali6
      @ndzmah47ali6 5 ปีที่แล้ว +1

      😀😀😀😀😀kweli kabisa zamani sio sai

    • @salomegeorge7027
      @salomegeorge7027 5 ปีที่แล้ว +3

      Hahahaha ha-ha aise I like yua point ...mme mmoja wanawake 20..na misuruali zafunguliwa zip na kila jangili

    • @fahmsaidi1010
      @fahmsaidi1010 5 ปีที่แล้ว +13

      Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao

    • @sylviemutwale9527
      @sylviemutwale9527 4 ปีที่แล้ว

      Mh WW

    • @manasejames8404
      @manasejames8404 4 ปีที่แล้ว +1

      Sio wote

  • @aminachiziamina
    @aminachiziamina 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mamake kwa usaha urii huoo

  • @lazizerujanabose8802
    @lazizerujanabose8802 4 ปีที่แล้ว +6

    Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.

  • @annahkimani344
    @annahkimani344 4 ปีที่แล้ว +8

    Haaahhh kali hio,but you only do that kama ako na shilingi....akija mkono mtupu tuna angaliana tu😅😅

  • @annyrutty657
    @annyrutty657 5 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂 Chama chetu Cha Mapinduzi 😂😂😂

  • @yunicejames4263
    @yunicejames4263 5 ปีที่แล้ว +46

    Mmmh je wamezetu wanalud saa6 uck tunafanyaje kuondok asubuhi kam upo pamoj namim gonga like twend sawa

  • @sitatinaomi5942
    @sitatinaomi5942 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama nakuamini....tira hongera Kwa kumleta kwigi

  • @sitihassan9439
    @sitihassan9439 4 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣🤣 Hongera sn bb kama namuona kungwi wng

  • @hamidhamiyanji
    @hamidhamiyanji 5 ปีที่แล้ว +11

    Waschna wa oshe mume mgu mume akitoka viyatu atoke kazini bibi yuko kwa mamake sagapi socks zi tolewe

  • @zainabumohammed8334
    @zainabumohammed8334 5 ปีที่แล้ว +30

    mama Angu Upo Sahihi But now Wanaume Wassaivi Ukiwafanyia Hivo Utaulizwa Kwani Vipi Unataka Kuniomba Nini Mbona Mbwembwe

  • @zeyanaali5746
    @zeyanaali5746 5 ปีที่แล้ว +7

    Nataka ukande ukikunja siku ya kuachwa ikifika unamwagwa tu 😂😂

  • @majaliwamtemele4102
    @majaliwamtemele4102 5 ปีที่แล้ว +14

    Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.

    • @gloryavelin2583
      @gloryavelin2583 5 ปีที่แล้ว

      Majaliwa Mtemele kaka siyo wote wako hivyo

    • @chibochibz9917
      @chibochibz9917 5 ปีที่แล้ว

      😂😂😂🤣🤣🤣🤣

    • @moshiraelqady9513
      @moshiraelqady9513 3 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @dorislema2465
      @dorislema2465 หลายเดือนก่อน

      Nyie wanaume mnajikutaga nani vile?mwanamke siyo mtumwa wako kama akikufanyia ivo na wew mfanyie ivo hakuna mtu ambae apendi raha

  • @cissegabriel3074
    @cissegabriel3074 ปีที่แล้ว

    Jambo dada umeonge maneno sahihi Mungu akujalie nauendelee

  • @user-jg5xb4kp6e
    @user-jg5xb4kp6e หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana mafunzo❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @elizabethzephania6057
    @elizabethzephania6057 2 ปีที่แล้ว +2

    Aiseee!!!! Patamu hapo hongera mama Kwa mafunzo mazir 🌺

  • @halimanindi8055
    @halimanindi8055 4 ปีที่แล้ว +1

    Dada nakupenda na nitazidi kukupenda zaidi sijaingia kwenye ndoa lakin mashaaala

  • @sarahmohamed337
    @sarahmohamed337 5 ปีที่แล้ว +6

    Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.

  • @djrobie24
    @djrobie24 4 ปีที่แล้ว

    👀🔥hawajui visosi maslay queen aahahahhah #chama chao cha mapinduzi😇😇

  • @marypaul8908
    @marypaul8908 5 ปีที่แล้ว

    Majendj na majuu tenaaaaah👌 hahaha ataondka yy Asante mama

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 4 ปีที่แล้ว +4

    Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.

  • @elizabethelizabeth7335
    @elizabethelizabeth7335 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mama 😍😍😍

  • @OmanOman-sm6dv
    @OmanOman-sm6dv 3 ปีที่แล้ว

    Kungwi yupo vizuri 😂😂😂

  • @imeldabwire6628
    @imeldabwire6628 5 ปีที่แล้ว +3

    nimeelewa asante kungwi

  • @lovemonjemonje5777
    @lovemonjemonje5777 4 ปีที่แล้ว +3

    Onyesha mzigo😂😂😂😂😂😂😂

  • @bshrkkz
    @bshrkkz ปีที่แล้ว +2

    Wow 👍👍👍👍👍 vp

  • @marymaomar7592
    @marymaomar7592 5 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂nakukubali

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimewapenda kweli

  • @rizikihasan2198
    @rizikihasan2198 ปีที่แล้ว +1

    Wow nimependa sana nakufatiliy sana namimi nikijaliwa ndoa ntafatish ushaul wako ❤mung akulinde

    • @HappyCrescentMoon-ws8vj
      @HappyCrescentMoon-ws8vj หลายเดือนก่อน

      😅kumbe nina wezangu tunawo sikiliza halafu hatujaolewa

  • @mohamedkhamis1140
    @mohamedkhamis1140 5 ปีที่แล้ว +6

    Uyo dada mtangazaji nampenda sana sijui nitamuona wapi

    • @MtuSafi
      @MtuSafi 5 ปีที่แล้ว +2

      mohamed khamis clouds media ni department music clouds FM.

  • @zuwenakabesela5150
    @zuwenakabesela5150 5 ปีที่แล้ว +1

    kipindi kitam jamani 😂😂😂

  • @rajabusamsimba7150
    @rajabusamsimba7150 5 ปีที่แล้ว +2

    vzr san mam la mama

  • @umyalykaneza9526
    @umyalykaneza9526 5 ปีที่แล้ว

    Hahahahah ma amisa nakkubali sana

  • @zuwenayahya6767
    @zuwenayahya6767 5 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂shikamo bwana mkubwa nimejifindisha ki2

  • @annamwaiswelo9663
    @annamwaiswelo9663 5 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana

  • @user-hh6hv9bw1g
    @user-hh6hv9bw1g 24 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuweke nimekupenda bure ❤

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 5 ปีที่แล้ว

    Hayo ni ya bongo tu... kwa huku mko wote kazini mwatafuta hela ...hayo kwa huku mwanaume ndie ananiandalia...😆😆😆😆

  • @FlorenceKenaz
    @FlorenceKenaz 3 หลายเดือนก่อน

    Mashalaaa ww m bomba san mam nmejifunza

  • @mulhatjamal6678
    @mulhatjamal6678 5 ปีที่แล้ว

    Sadkta ...nmefurahi kwamawaidha mazuri...ahsanthum

  • @monicaalute1777
    @monicaalute1777 5 ปีที่แล้ว +14

    Chama chetu cha mapinduziiiiii.....aisee bibi umenipa somo

  • @rahmabenedicto6838
    @rahmabenedicto6838 5 ปีที่แล้ว +67

    Si kwawanaume wasasa hata ukifanya nn lazima litatoka tu

    • @juliethhenry2374
      @juliethhenry2374 5 ปีที่แล้ว +4

      Nilifanya yote mume anagubu

    • @joymasaki1657
      @joymasaki1657 5 ปีที่แล้ว +5

      Acha tuu kama wamerogwa wamevaa roho mbaya kama maibilisi utadhan amelazimishwa akuoe

    • @ibrahimamey3990
      @ibrahimamey3990 5 ปีที่แล้ว

      yafanyeni kweli muone atatoka mnasema tu

    • @jupiterbibi9630
      @jupiterbibi9630 5 ปีที่แล้ว +3

      Hata ukafanya nin kama hataki kuekwa at aenda tuu🙄🙄

    • @sophiashomari7896
      @sophiashomari7896 5 ปีที่แล้ว

      Yn

  • @user-zu2dc2bj6z
    @user-zu2dc2bj6z 3 หลายเดือนก่อน +1

    Haaaaaaaha asante mama nakupenda mnooo❤

  • @mayahhajih2636
    @mayahhajih2636 4 ปีที่แล้ว +2

    Walah nimecheka 🤣🤣🤣😝😘

  • @tunnaika
    @tunnaika 5 ปีที่แล้ว +5

    Si Mapenzi tena hayo ni bizness na politics 🤪😀😀😀

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 3 หลายเดือนก่อน

    Cha kwanza Mungu Sara na kazi ukikazana kumpetipeti mume bila kujua kuwa ndoa iliubwa bado kuachwa pamoja na hayo utaachwa

  • @tausimkali6878
    @tausimkali6878 4 ปีที่แล้ว

    Hahahahahah santreeeee mama

  • @SafeHaven_TV
    @SafeHaven_TV 4 ปีที่แล้ว

    SAFI SANA HII JAMANI....

  • @madamgrory8320
    @madamgrory8320 5 ปีที่แล้ว +10

    Wanao yaweza yaliyosemwa hapo nyosheni mikoko...utamaliza yote malipo atapokea mchepuko

  • @salwamohammed9542
    @salwamohammed9542 5 ปีที่แล้ว +2

    Napendaa ichii kipindi

  • @wycliffendege7785
    @wycliffendege7785 4 ปีที่แล้ว +1

    njoo kwetu kenya ujionee maajabu hivo mnavyo zungumza ni ndoto kwetu sie hatutambwi bora umwage uende ukabet

  • @khadijaswahibu4033
    @khadijaswahibu4033 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahaha ahsante

  • @pendorichardemanuel9559
    @pendorichardemanuel9559 4 ปีที่แล้ว

    Hahahaaaaaaa mambo ni moto kungwi balaaa

  • @airatkiyange3078
    @airatkiyange3078 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤asantee viva mam nakupenda sana mam

  • @Ester-fp3pk
    @Ester-fp3pk ปีที่แล้ว +1

    Mhh mama ujakutana na wanaume wenye asila ata uwe wazi kias Gani jogoo hapand mtung, hata mfanyanye sio Hawa wanaume wa Sasa labda wazamani

  • @aminatradjabu6392
    @aminatradjabu6392 5 ปีที่แล้ว +1

    Mubarikiwe ila ungeongeza sauti kuna baadhi yamaneno hayaskilizikani wamama wanguvu

  • @kaksridi6403
    @kaksridi6403 4 ปีที่แล้ว +2

    Mamisaaa wewe muhuni sanaaa but Naku hishimu sana mama nta mwambiya mkee wangu ajee umufunze

  • @florancemapenzi2825
    @florancemapenzi2825 4 ปีที่แล้ว

    Hehehe utajua hujui 😂

  • @glorywalter6895
    @glorywalter6895 5 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda

  • @ananiakamms7026
    @ananiakamms7026 5 ปีที่แล้ว +2

    Nzuriii

  • @desirenkuba4920
    @desirenkuba4920 4 ปีที่แล้ว

    Safi kabisa. Huu mama mfundaji expat.

  • @sarahdebaba2255
    @sarahdebaba2255 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante mama mafunzo mazur sn

  • @rachealwambui6303
    @rachealwambui6303 5 ปีที่แล้ว +1

    Hehehe hapa Kenya bora uhai

  • @arlettedebbiezaina6247
    @arlettedebbiezaina6247 5 ปีที่แล้ว

    Asante saana mama !!

  • @farhatsuleymaan5625
    @farhatsuleymaan5625 4 ปีที่แล้ว +6

    Kwa ninachokiamini mimi
    "Hakuna mkate mgumu mbele ya supu"
    Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii
    Je sisi wanawake wa karne hii je?
    Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu....
    Nawatakia kila la kheri wanandoa
    Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana

  • @luqmanmwinyi7953
    @luqmanmwinyi7953 4 ปีที่แล้ว +1

    HAAHAAAHAAHAA haaaaa hee Mhh huyu kweli Mamamisaaa

    • @kaksridi6403
      @kaksridi6403 4 ปีที่แล้ว

      Maximum respect mamisaaa ndo kwamana na hishimu sana mwanamkeee

  • @mugishalauxygyslaine403
    @mugishalauxygyslaine403 5 ปีที่แล้ว

    Nakubali mama

  • @hijrakassim304
    @hijrakassim304 2 ปีที่แล้ว

    Tuungieni group jmn❤❤

  • @husnajohn7466
    @husnajohn7466 5 ปีที่แล้ว +4

    Mwali wa zamani

  • @tausihasheem5169
    @tausihasheem5169 ปีที่แล้ว +1

    Sio kwa wanaume wa kibongo 😂

  • @lovenessmathew7170
    @lovenessmathew7170 3 หลายเดือนก่อน

    Responsible man au mwanaume yeyote anapaswa kufanyiwa hivi 😂

  • @CatherineUpendo
    @CatherineUpendo หลายเดือนก่อน

    Ushauri mzuri tatizo wote wapambanaji hayo utayafanya saa ngapi

    • @thexoshowtira
      @thexoshowtira  หลายเดือนก่อน

      Inaweza ikawa Mara moja moja sio lazima kila siku

  • @joycemdoye8555
    @joycemdoye8555 2 ปีที่แล้ว

    Asante mama mahaba niuweee

  • @michaelfrancis1959
    @michaelfrancis1959 5 ปีที่แล้ว

    Up Safi

  • @wamuyugathura1767
    @wamuyugathura1767 5 ปีที่แล้ว

    Oooh Mume wangu atafurahia

  • @mauwabijoux6966
    @mauwabijoux6966 5 ปีที่แล้ว

    Asante sana mamangu

  • @rosemongi5084
    @rosemongi5084 5 ปีที่แล้ว

    Hatare fire

  • @zahraaalhabsy5448
    @zahraaalhabsy5448 5 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaaa asante