uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S
eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada
Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane
Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao
Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.
Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.
Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.
Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.
Kwa ninachokiamini mimi "Hakuna mkate mgumu mbele ya supu" Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii Je sisi wanawake wa karne hii je? Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu.... Nawatakia kila la kheri wanandoa Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana
Asante kwa ushauri
Nitajaribu kabiza kwa maneno n.a. vitendo. God bless me with a happy family,I Pray in Jesus Christ name.
😂😂😂😂😂🤣🤣kama umemuelewe twende sawa
🔥🔥🔥🔥🔥😜😜😜👌
Duh nimecheka
Glory Walter mm
Cjaelewa
😂😂😂😂😂
💃💃
😂😂😂😂wa kulia unakula,wa kushoto unakula🙌🙌🙌🙌
😍💃💃
Nimekubal sana
Nampenda sana huyu mama anamafunzo mazuri ubarikiwe mama
Wallah Mama mumenifurahish 🙌😍👍👌
Hahaahah😃😃😃 jamani nimecheka 😄😄 adi machoz yananitoka. Asante sana mama kwa mafunzo haya.
Hahaaaa asante mamaaaa!! Nakupenda bureeeee
Ahsante kwa maongezi,am learning
Hongera sana Mama, kweli mwanaume Dhahabu kwa huduma hiyo! VIVA MAMA
😂😂😂😂
uwahiiiiiiiiii, mama unatufundisha mazuri tunayapenda kazi tunayafanyia ila kwa kweli hawa wanaume wa sasa uaminifu kwao ushapitwa na wakat kuchepuka kwao ndo kipaumbele Sijui hata wana nini uwiiiiiiiiii Mungu atuepushe tu STI'S
wanaume km 👉🐓Ata uwawekee mchere ktk Sinia Ili wasichepuwe namchanga lakini SAWA nabureee🙆lazimaaa Atataka aparure nachini Mweeee🙄wamenishinda tabia❌
😅❤🎺mama asnteee😆
Mmmmmmhhhhh mama hayo n kweli ila Hawa ndugu zetu sio
❤❤❤❤❤ Ahsante 👏 kipenzi Chang 🥰🥰🥰🥰
@@rahimaessa2552😮😊😊😅😅😅plol lkkkkkkkkkkkkokkklklopopn
Dada tira nakipenda sana kipindi chakoo... ❤❤
I love this kipindi naitwa Tommy Tyga... Salute Dada Tira
Du tommy sasa ujuzi umeshaujua nitakufanyiaje
@@sintasmarty4974 0688455787 it's MA no.
Ahsante sana kwa mafunzo mazuri ya kiufundi 😘😘
Asante mama japokua cjaolewa ndio nakaribia kuolewa bac nimejifunza kitu asante sana
Mwanamme hata umkunie nazi
.umalaya wao huishi duniani..hata umpikie mkate wa sinia..tabia zao zile zile
Jamn mama wafundishe maan sikuiz wanawk wanatak px xio kufundwa
Nyie ndo hamfanyi hayo matokeo yake mbayaona maisha magumu na ndoa mby
Salome George mhh
Kaa sio sio wote dada
Mama nimekuelewa jmn nakupenda Burr asante kwa somo kungwi wangu
Uko vzr mama ahsante kwa maneno mazur
Volume iko👌👌👌👌👌👌
eti jangwani una pita pita 😀😀😀 I love u da ma hamisa natamani kipindi hiki mke wngu awe anakitazamaga maana kuna vitu vya nyongeza humu...mwarabu anasema ziada
😄😄😄 you made my day
Thank you very much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ asante sana mama tunayafanyia kazi ubarikiwe
Mashauri matamu kwa sisi abao atujaolewa😘
Umeona eeeeeh
Kwr shaa apo kama unahakili utajifunza kitu from🇧🇮🇧🇮
Shuqran jazzilah khery mungu akujalie umri ili uwez kutuelimisha inshallah..❤
🤣🤣🤣hatareee 🔥🔥🔥
Mama hayo mafunzo ni mazuri ila sio kwa karne hii kila mtu Yule busy kufanya kazi kupata chapaa hiyo muda kuosha miguu za kunuka hatuna,mijanaume yenyewe ya now days haina shukrani,hata upige acrobatic and be a porno star to him still litatoka tu kwenda kucheat.kwa kifupi mapenzi now days ni kama bongo flavor music siku mbili zimechuja..peee tusichoshane
😀😀😀😀😀kweli kabisa zamani sio sai
Hahahaha ha-ha aise I like yua point ...mme mmoja wanawake 20..na misuruali zafunguliwa zip na kila jangili
Cyo kosa lako hujakutana tu na mwanaume ambaye anakupenda kiasi kwamba hata akiona wanawake wengine anawaona ni malaya tu! Au akawaona ni wabaya kwa jinsi anavyokupenda na wapo wengi sana ila kinachotokea ni bahat tu yakukutana nao
Mh WW
Sio wote
Asante sana mamake kwa usaha urii huoo
Mafunzo yahuyu Mama poa ila tatizo wanake wasasa wamekua wanaume kwa tabia ,sababu wakorofu saana na kusingizia sherti za haki na kusema, na wawo wanahaki na sio slaves, na ndio Mana mapenzi leo shiida.
Haaahhh kali hio,but you only do that kama ako na shilingi....akija mkono mtupu tuna angaliana tu😅😅
😂😂😂 Chama chetu Cha Mapinduzi 😂😂😂
Mmmh je wamezetu wanalud saa6 uck tunafanyaje kuondok asubuhi kam upo pamoj namim gonga like twend sawa
Hahahhaha
Tupo wengi kipenz
Bora wew saa 6 mm saa 10
🎉
amini kipenz
Mama nakuamini....tira hongera Kwa kumleta kwigi
🤣🤣🤣🤣 Hongera sn bb kama namuona kungwi wng
Waschna wa oshe mume mgu mume akitoka viyatu atoke kazini bibi yuko kwa mamake sagapi socks zi tolewe
mama Angu Upo Sahihi But now Wanaume Wassaivi Ukiwafanyia Hivo Utaulizwa Kwani Vipi Unataka Kuniomba Nini Mbona Mbwembwe
Hahhahhahahhaha mweh
zainabu mohammed hahahahah Yani dadangu acha kabisa
Hahahahahaha unaulizwa unashida gani
Hahahaaha
☝️🤣🤣🏃♀️
Nataka ukande ukikunja siku ya kuachwa ikifika unamwagwa tu 😂😂
Shikamo dadaa
Sio hawa wanawake watoto wa siku hizi maana unaweza ukawaoa woote na ukawaacha siku moja maana wao wanaume zao ni simu tu (smart phones) muda woote kwenye simu kujua umbea ya watu asiowajua wala kumjua tena walivyokuwa hawana adabu wanataka kukushirikisha na wewe kwa usiowajua.
Majaliwa Mtemele kaka siyo wote wako hivyo
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Nyie wanaume mnajikutaga nani vile?mwanamke siyo mtumwa wako kama akikufanyia ivo na wew mfanyie ivo hakuna mtu ambae apendi raha
Jambo dada umeonge maneno sahihi Mungu akujalie nauendelee
Nimependa sana mafunzo❤❤❤❤❤❤❤❤
Aiseee!!!! Patamu hapo hongera mama Kwa mafunzo mazir 🌺
Wao
Dada nakupenda na nitazidi kukupenda zaidi sijaingia kwenye ndoa lakin mashaaala
Nitaufanyia kazi ujumbe wako Bibi,ila Waume wasikuizi mitihani,wakutawamfanyia yote ayo,, na bado hakuthamini Wala hakujali,Ndoa Ni mitihani xikuizi.mwenyez" Mungu a2hifadhi.
Kwakweli my
👀🔥hawajui visosi maslay queen aahahahhah #chama chao cha mapinduzi😇😇
Majendj na majuu tenaaaaah👌 hahaha ataondka yy Asante mama
Wanawake wa sasa ni jeuri, wabishi, wajuaji, mapenzi hawayawezi, wanawaza pesa muda wote utawasikia kwa kauli zao, eti mwanaume hata umfanyie nini anatoka tu, huo wote ni ujinga wa kuongozwa na hofu ya kuachwa. Wajibikeni na mjiamini.
Hongera sana mama 😍😍😍
Kungwi yupo vizuri 😂😂😂
nimeelewa asante kungwi
Onyesha mzigo😂😂😂😂😂😂😂
Wow 👍👍👍👍👍 vp
😂😂😂nakukubali
Nimewapenda kweli
Wow nimependa sana nakufatiliy sana namimi nikijaliwa ndoa ntafatish ushaul wako ❤mung akulinde
😅kumbe nina wezangu tunawo sikiliza halafu hatujaolewa
Uyo dada mtangazaji nampenda sana sijui nitamuona wapi
mohamed khamis clouds media ni department music clouds FM.
kipindi kitam jamani 😂😂😂
vzr san mam la mama
Hahahahah ma amisa nakkubali sana
😂😂😂😂😂😂😂shikamo bwana mkubwa nimejifindisha ki2
Nimeipenda sana
Mungu akuweke nimekupenda bure ❤
Hayo ni ya bongo tu... kwa huku mko wote kazini mwatafuta hela ...hayo kwa huku mwanaume ndie ananiandalia...😆😆😆😆
Mashalaaa ww m bomba san mam nmejifunza
Sadkta ...nmefurahi kwamawaidha mazuri...ahsanthum
Chama chetu cha mapinduziiiiii.....aisee bibi umenipa somo
Si kwawanaume wasasa hata ukifanya nn lazima litatoka tu
Nilifanya yote mume anagubu
Acha tuu kama wamerogwa wamevaa roho mbaya kama maibilisi utadhan amelazimishwa akuoe
yafanyeni kweli muone atatoka mnasema tu
Hata ukafanya nin kama hataki kuekwa at aenda tuu🙄🙄
Yn
Haaaaaaaha asante mama nakupenda mnooo❤
Walah nimecheka 🤣🤣🤣😝😘
Si Mapenzi tena hayo ni bizness na politics 🤪😀😀😀
haya
Cha kwanza Mungu Sara na kazi ukikazana kumpetipeti mume bila kujua kuwa ndoa iliubwa bado kuachwa pamoja na hayo utaachwa
Hahahahahah santreeeee mama
SAFI SANA HII JAMANI....
Wanao yaweza yaliyosemwa hapo nyosheni mikoko...utamaliza yote malipo atapokea mchepuko
Kwani uongo
Napendaa ichii kipindi
njoo kwetu kenya ujionee maajabu hivo mnavyo zungumza ni ndoto kwetu sie hatutambwi bora umwage uende ukabet
Hahaha ahsante
Hahahaaaaaaa mambo ni moto kungwi balaaa
❤❤asantee viva mam nakupenda sana mam
Mhh mama ujakutana na wanaume wenye asila ata uwe wazi kias Gani jogoo hapand mtung, hata mfanyanye sio Hawa wanaume wa Sasa labda wazamani
Mubarikiwe ila ungeongeza sauti kuna baadhi yamaneno hayaskilizikani wamama wanguvu
Mamisaaa wewe muhuni sanaaa but Naku hishimu sana mama nta mwambiya mkee wangu ajee umufunze
Hehehe utajua hujui 😂
Nimeipenda
Nzuriii
Safi kabisa. Huu mama mfundaji expat.
Asante mama mafunzo mazur sn
Hehehe hapa Kenya bora uhai
Asante saana mama !!
Kwa ninachokiamini mimi
"Hakuna mkate mgumu mbele ya supu"
Sasa dadazangu tusilamu tu wanaume wa karne hii
Je sisi wanawake wa karne hii je?
Mi naamini kila kitu kinawezekana wanawake tubadili mienendo yetu....
Nawatakia kila la kheri wanandoa
Sio wapenzi maana wanandoa ndio wanapendana wapenzi tunadanganyana
Farhat Suleymaan Nimekukubali mpenzi
Shida kubwa wanaume wengi hawakufunzwa
@@khadijaidd7514 ndio my saaa iv twahara wanakatwa hosptal atafunzwa saa ngap
Na hawawekwi jandon
HAAHAAAHAAHAA haaaaa hee Mhh huyu kweli Mamamisaaa
Maximum respect mamisaaa ndo kwamana na hishimu sana mwanamkeee
Nakubali mama
Tuungieni group jmn❤❤
Mwali wa zamani
Sio kwa wanaume wa kibongo 😂
Responsible man au mwanaume yeyote anapaswa kufanyiwa hivi 😂
Ushauri mzuri tatizo wote wapambanaji hayo utayafanya saa ngapi
Inaweza ikawa Mara moja moja sio lazima kila siku
Asante mama mahaba niuweee
Up Safi
Oooh Mume wangu atafurahia
Asante sana mamangu
Hatare fire
Hahahaaa asante