#Harmonize
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.พ. 2022
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Huu wimbo unatupa nguvu na wengine tupambane ili huu mwaka Mungu atende muujiza uwe na baraka 💪🙏🏾
Kweli my
Mchungaj unalikat
Ssss
Wimbo mzuri una maneno mazuri sana.barikiwa sana harmonize
Jeshii ni kama maji usipoyanywa utaoga
Nasema mimi zainab naomba namba zako nabii pleas naumia nalia hapa nilipo nalia
Wooow very amazing
Let us not judge a person that song is good and the massage is also good to the community ....
😂😂
I said this kuwa Harmonize 🐘🐘 sio wa kawada leo inazindi kujidhihirisha Atafika mbali sana kwa uwezo wa Mungu 🙏🙏🙏
@Rukia Ali yeah Fact 🤝
Asante BABA kwa kumpa barara harmonize mana maadui wamemzunguka wengi sana🙏🙏🙏🙏tunapokea baraka kupitia wimbo huu
Barikiwa sana harmonize wimbo ni mzuri sana na una ujumbe mzuri sana
Good song from harmonize have influence people to struggle in this year, big up ✊✊✊
To be honest Harmonize has a lot of life influencing songs that give people hope... Mwaka huu, mama, matatizo, atarudi, such songs are just great and motivating
That pastor's dance moves are on another level😂
Umeonaeee 🧐😄😄😄😄😄
And he is just confident
Mungu hadhiakiwi jamani hata kidogo . Yesu wasamehe hawajuwi watendalo.
Mungu awasamehe nyote akika 😭mumefanya nyumba ya Mungu kuwa ya uchinga wenu kisha wewe pastor kipofu ole wako Mungu atakuazibu makosa sana 😭
Hivi kweli hii picha unaitazamaje mtu wangu kweli hapo kuna roho mtakatifu kweli hizi ni nyakat za mwisho
Wewe ni nani
@@ellyiss1559 sisi ni wana wa Mungu na tunaongozwa na roho mtakatifu hiv ukiangalia hii clipu ni tendo la kiMungu hapa linafanyika aua umelitazama kidunia iyo moja mbili wapi kwenye bibilia kuna nabii mkuu au nabii mkubwa au mdogo Mungu hatazami kama ss wanadam njia zake si kama zetu natamani unielewe bila kukukwaza mana nia yangu uwelewe utoke kwenye huu mkondo
Iyi siyo kanisa ila ni Tv show wana fanya
Ni wimbo mzuri sana kwan una ushuhuda mzuri hata mm nimeupenda
Sijapenda kabisa,giza na nuru vinaushirika ganiii????? I'm in Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪
Wimbo mtamu kweli 💕💕💕💕💕💕 mtumishi kacheza vizuri🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏
Good
Bibilia na Uislamû nyimbo haramu. Soma Ezekiel 26:13) Amosi 5:23) Amosi 8:3)
Natamani tu kumuona baba nabii Mkuu aseme neno juu ya maisha yangu nimechoka natamani hata kufa maisha yamenilemea sn namwamini baba aseme.tu neno nipone mimi
Umefikili sana pasta uko Safi sana Mungu bariki kazi za mikono yetu
.
Asante harmonize kwa kumkumbuka mwenyezi mungu.
Mwaka huu ni wangu kwa Baraka za mungu wangu.❤️❤️❤️❤️
Wewe unaejifanya nabii mkuu, angalia Sana unawaelekeza watu jehanam, MUNGU akusamehe na akufungue toka vifungo vya ibilisi.
This man sees things different from most of normal people ..he is really blessed prophet.Realy God works in his ways.Harmonize ni vyema kwako pia kuzidi kumtafuta Mungu
Noma 👏👏
This is how amind colonised by God's Word thinks
@@michaelowino410 su
@@nashipaikoima682 4 AED s111121,1e,3s3ze
Mungu atatenda kwa jina la Yesu utabarikiwa zaidi na zaid hamoniz baraka umeshushiw na Mwenyewz Mungu amina
Mwaka wangu by Harmonize that's Song from Heaven. God Bless you Konde and Our Pastor
Harmonize is a talented artist much love from kenya
This is Konde boy for everybody 🔥🔥🔥🔥🔥
Yes
Nimefurahi sana harmonize ni mtoto mzuri sana anaweza kuishi na dini zote mungu atamfungulia sana milango ya ridhiki mantashalla
Nabii mkuu anamchezea Mungu kweli hakuna kama wewe Baba
Mungu hadhiakiwi na Kila unachopanda mavuno tegemea kwenye nyumban ya ibaada du makubwa kanisan pastor kabsa
Mimi nimzaliwa wa burundi 🇧🇮 nikaa nairobi kenya natamani kuonana nahuyo mtumishi kirawakati namutizama mahubili yake yanani mbamba sana
I agree with you prophet....he should get saved n be singing like this👏👏👏👏👏💓💓
tas de parabens
Hallelujah glory be to God. God no one like you my father 🙏kenya 🙏
Hapa ndio huwa unanifanyaga nakuelewa sana mtu wa Mungu,yaani you bless me to the extent sir. Unafikiri upeo sana na najifunzaga sana kwako halloo. Let the blessings also come to me as you said a man of God. Naomba uniombee pia na mm,even silent i can receive. Love you more every day papaa. Salute
Nashukuru mungu saàna kusikiya mwana muziki harmoniz anaanza kumuimbiya mungu maana nihitaji sauti yake nzuri iwe namuimbiya mungu mimi ni Hortense kutoka Congo DRC
Nabii umeukosha Moyo wangu asubuhi ya leo🙏🙏🙏🙏😘😘
Harmonize Ubarikiwe.Hadi wimbo wako umegongwa madhabahuni...Nyimbo za Mondi hakuna isiyokua na verse ya Chomoaa Chomekaaa. ..😅😅
Kwanzia leo naokoka bravo Harmonize jeshii CEO of Konde gang
Baba nabii ,ata ucku wa manane nackiliza unavyo toa madini zaidi ya tanzanaiti barikiwa kwa uwezo ulio pewa na Mungu naamini ukisema neno juu yangu nitabarikiwa nabii ,naitwa Ezekiel Lema al,Amen.
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a subscriber this motivates me and make me work tirelessly. God bless you for subscribing.
Great musician from tanzania God bless u..mjeshi
Harmonize twakupenda sana❤❤❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪
Mpokee YESU yeye ni mpole na mnyenyevu wew xi nabii kalibu kwa YESU Baba angu BWANA WA MABWANA ANAKUITA
Love this 💯 🇰🇪... medicine is ONLY for the sick and Christ Jesus came for sinners ...by doing this you've shown Love ,the greatest commandment...May God continue expanding your Territories 💓
Amen 🙏 very true brother
Good songs i love it
Sawa
@@emmaculatekazungu9451 qqqqqq
@@emmaculatekazungu9451
*
Ameimba vizuri Kwa kweli acha Mungu aitwe Mungu
Lazima ujue anachofanya hapa, ni kumtunza Harmonize, ambaye ni mwimbaji wa nyimbo za kuhamasisha mapenzi ya dunia...
This is gospel music 👏🏽👏🏽👏🏽
Amen sikuwa napenda nyimbo zako ila huu nimupenda sana Mungu akubariki sana
Mungu akusame ukunasikiya nyimbo ya harmonize mu kanisa
Barikiwa harmonise! Pigia watu Moja Kali ya gospel
God has to bless Harmonize in abundance
Ameeen Ameeen Hallelujah Glory Glory to Almighty father let it happen thise yr
vraiment harmonise mungu atakuwa tu upande wake kwani amefurahisha nabii mkubwa wa tazania
Mwaka huu ni wetu ni Bura kenzo from Kenya 🇰🇪 wapi like zangu mkinifata
Halleluja Halleluja Halleluja dear DADDY. 🙏🏼💕.
Miss you.
Lots of LOVE from Sweden, hope to come to see you this year🙏🏼.
By his Grace 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Huu Ni mwaka wangu naamini kabisa ngoma nzuri
🔥🔥🔥
Yesu alisema ole ni wa Ulimwengu! Ndipo watakuja na kusema...Bwana...tulihubiri na kutenda miujiza KWA jina lako...nami nitawaambia...ondokeni sikuwajua ninyi nyote mtendao uovu....kasema...KWA matunda yao mtawajua....
Jamani hizi ni njakati za mwisho tukumbuke kanisa lililo ambiwa kuwa mmemridhia mwanake yezebeli tuwe makini Yesu yuwaja
That's my daddy Yaani anakwenda na wakati Ngurumo ya Upako raha Bwana asikwambie mtu na Sasa imekuwa MPYA SIPATI PICHA 🔥🔥🔥🔥🔥!!!
My Spiritual Father sees the good in evrythng and evry soul ni kwl kbs Mungu ananjia zake za kuvuna watu wake na kurudisha walio wake kwake but due to most ppl naive minds and luck of God wisdom n knowledge wanaona kuwa watu wamataifa hawawezi kuwa wa Mungu na kusahau Mungu haitaji walio wema tyr anahitaji waliopotea na wenye haja naye haijalishi wapoje, wawapi wala wanafanya nn His key point is for them to blv and trust in Him and be His ppl, Nabii Mkuu anatambua hilo na ninajivunia kuwa mwanae wa Kiroho i love u Daddy😊😘
Hata wewe umepotea kwakipi Nabi anacho kifanya kuhusu Injiri kuwasifia iri azidi kuwapata wafuasi bira Mbingu niasala
Kwenye mdomo mwamtamka na kumuita mungu lakini ukweli ni kuwa ndani ya moyo wala hamumjui kabisaaaa huyo mungu.Tambeni hapa duniani lakini mukifika huko kwa huyo munaemtaja nawambia mtakamuliwa vibaya.Illuminate hapa duniani inatamba lakini Ina mwisho hapa hapa duniani.
Ameni Ameni Nimebarikiwa sana na Ibada zote kwa ujumla naitwa JOEL mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania niko Dar es salaam
Uko vizuri hamoo pokea unabii wa nabii mkubwa🌹🌹
Excellent prophet ❤️❤️❤️❤️Kondegang for life
Nyimbo za dunia kupigwa kanisan ujue hilo sio kanisan, kanisa lakiroho haliwez kufanya mambo kama hayo but roho mtakatifu ndio anatawala nakiongoza ibada mungu nipe macho yarohoni nione nakujua manabii waungo
Harmonize amejifunza mengi kulingana na maisha aliyopitia Kwa io anaimba uhalisia.
Ama kweli konde boy kiboko duuh🙌
Warumi 12:1-2 wimbo mzuri sana tena unamtukuza bwana WARUMI 16:18
Amen Amen. Ndio Baba Nabii Mkuu GeorDavie
Even the great man of God recognises you, what a blessing, for Konde Boy,Mungu akutende mema mwaka huu
KondeBoy go go go to the World 🌎💪🏻💪🏻 Kondegang4Life 🔥💪🏻
God Bless Harmonize.
Hermonize ni chaguo la mungu kweli nawambia.tanzania mumebarika na huyu kijana
Acheni kuunganisha Mungu na dunia
Mchunganji amenichekesha mno amedance mno mwenyezi mungu ni mwaminifu 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
If God says yes no one can say No!!yes huu mwaka ni wangu..
Mh nabii anacheza muziki Allah atuokoe huu ni ukafir kabsa bila shaka
Na mimi namtamkia huyu kijana,maadui zake wote wazidi kushindwa 🙋♂️
True Harmonize he is really great musician.🙏🏻💞$ He always inspired many.💞
Very nice harmonize keep it up this is your year to do wonders❤️🙏💯
Nabii mkuu nko kenya nakuvatilia sana natamani sana kukutana na wewe lakini sina uweso wakuvika naamini nikivika maisha yangu ena patiliaka ungesaliwa Kenya nateseka sana natamani nkuje tansania kwa mkuu ubitamkie neno moja tu maisha yangu ebatilike
Jamani waumini wako wanacheza kiduku Yesu Bora urudi Ni kweli Nabii anacheza nyimbo za Duniani
Naye ni binadamu!
Amina barikiwa Sana na huu wimbo
Mungu mkubwa saaana yaani nimefurahiii saana aasante mcungaji
Nimependa harmonize Thomas Zuma from kenya,,,soo have my gift🎉🎉🎉🎉🎉❤❤
Arusha tunawafalikiwa sana love from thousands hills
Kond boy a.k.a jeshiii 🔥🔥🔥💪
God bless konde jeshi, it's our year
This is the song you can sing eny were even the church, because the Praise and Glory in to Gog only.
Vraiment j'adore trop cette chanson moi aussi
Wooowoooh harmonize karibu kweny uwokovu
Mgeukia mungu acha usanii yesu anakuja achia watu wamungu wajue njia ya kweli
Haki Mungu ni muweza huyu kijana Mungu anampeleka mbali wimbo mzuri na maneno ya busara na kutia nguvu kwa aliye kosa tumaini hakuna awezae kufunga baraka za Mungu Amen 🙏
Wooow!!! Abarikiwe sana harmonize
Baba Nabii mpe harmonize Gari kali maana una moyo wa pekee sana.
Mungu atampa si lazima baba nabii, ampe jameni
habari nabii wa mungu napenda sana mahubiri Yako yameniweka nisongee karibu n'a Mungu wangu île n'a muomba mungu animé Siku n'a muda ilisiku moja nifike kanisani hapa ulipo niombi langu kila Léo asante naishi kongo DRC
Mutumshi wa mungu sijakuelewa waumini unawamisha nyimbo harmonize wa cheze kanisani uoni unawapoteza
Asante Pastor
Mungu ndiye ajuaye moyo wa binadamu
Amen 🙏 Nabii 🙏🙏 Harmonize amkubali Bwana yesu na akombolewe katika jina la Yesu Christo na aokoke ..Na atakua na kipaji cha kumtukuza Mwenyezi Mungu na Yesu Christo Kwa uimbaji Kwa nyimbo za kutukuza.Amen
Baba mm nakubar baba mwakahuu niwang hakika❤️❤️❤️💕💕💕💕💕
From Kenya nawakilisha konde boy big up 🔥 i love Tanzania
Bwana yesu asifiwe sana naitaji sapoti huduma yangu ya uimbaji ifike mbali nipate Mutu wa kunishika mukono nifike mbali sana
Mungu anao watu wake wa Ajabu Nabii mkuu anayo ekima kubwa ya utumishi. Namkubali na nampenda.
God can talk in different ways 🙏🙏🙏🙏
Well said
God is great from the song of harmonize is uniting everyone to Gods platform
Ati kanisani apo mbona ni disco
Na washindwe kabisa Harmonize we are highly behind you be blessed bro you gat much love from kenya