UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 เม.ย. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Binti Bwana Akufunulie Zaidi lipendezalo be blessed Bigup MUNGU Akupe hekima ufahamu wake Have The Best fureture On Jesus Name Glory be to God
"Kujishusha na kukubali kujifunza Ili uweze kuvuka"Powerful Asante sana Monica
Amen, sipotezi tumaini langu na naitunza Imani yangu najua nafasi yangu ipo Kwa jina la yesu
Neno lako limebariki kila mmoja Mungu aendelee kukuweka na uzima dada una nizamu sana utafikiri ijakulia kwenye mapesa mengi ivyo kwa baba nabii. Una nidhamu sana.🙏🙏
Ooooh Hallelujah, thak you JESUS for this girl,Mungu akukuze kiroho zaidi,ufundishe mataifa yote kwa jina la YESU,AMEN
Somo lako zuri, nimelielewa limenikaa moyoni, I SALUTE U❤❤❤
Hongera Monica nimekuelewa somo zuri sn, nimejifunza jambo kutoka kwako. Mungu akubariki dear.
Nabii ubarikiwe kwakuwalea watoto ktk kulihishi neno hii nimeipenda ni zuri sana wengi wataongea wawezavyo ila hauwezi kuubadilisha wakati no ningumu tu🙏
Dada Monica Mungu akubariki, Mungu amekupa Karama nzuri endelea kuitumia kwa Utukufu wake.
Monica kazi nzuri sana,nimekuelewa, kutunza Imani na tumaini wakati wowote.🙏🏻🙏🏻💕💕
Nimeguswa sana na neno Yani kanigusa sana na kanifariji ameen
Asantee Sana Mtumishi songs mbele Ameeeeen
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu mimi unanibarki sana
Angalia nafsi yako wewe usiangalie ya mwenzako! Huyu amejitahidi sana kwa mara ya kwanza tu ameweza hivi! Huyu ni kipaji mavazi nywele wala havina shida kabisa sikuliza ujumbe tu.
Be blessed Father.songa mbele usimwangalie mwanadamu,nikigeugeu mwangalie mungu pekee
God. Bless you Monika for transfer our heart s pia msalimu baba yetu nabii mkuu tunamuombea kwa machozi kwa hekima aliyo nayo ambayo watesi wake hawawezi kushindana nayo amen Dada Monika bwana yesu akulinde ww na familiya ya ngurumo ya upako
You did amazing Monica. Extremely blessed by your message. ♥️🔥🔥
Ila nyie mungu ana waona mungu so wamchezooo ayyyyaaaaàà
Blessed family..loving and humble child.
Amazing family
Amen na hongera upo vizuri nimekuelewa
Safi sana , ❤
Ubarikiwe na Mungu wa mbinguni azidi kukuinua zaidi uweze kuifanya kazi yake kwa ukubwa❤
Blessed so much, hapo kwa kulalamika umenisaidia Sana
@@monicahmueni62788888i8888ï 11:41
nakupenda baba unavyo saidia watu akika wewe niwapekee mungu akubariki naomba nafasi yakuja naimani ntabarikiwa
Thank you so much for a nice word.I have lern something so precious ofcorse you touched my situation. Be blessed servant of God.
Asante sana kwaujumbe huu lakini nakusisanakama mutoto wa mungu unkebadili muonekanowakowaje iliuwevizurikwamungu wako sababu petro 3:3inasemahivi kujipambakwenukusiwekwakusukanyele navienginevio nivionakokwako dadangu sikusemevibaya❤
God bless you Mona Davie I appreciate your message
Thanks for the good message
Uyu baba niwakipekee sana love u nabii mkuuu
Mungu AKULINDE Monica songa mbele piga hatua.Umefundisha vizuri.
Mifano mizuri sana.KUJISHUSHA, KUKUBARI KUJIFUNZA.HONGERA KWA WAZAZI.
Mungu akubarik
Binti, mafundisho yako mazuri na mazito sana, nakushauri usichekecheke, unapunguza uzito wa mafundisho, somo zuri sana!
Akicheka ndo inaongeza bidii ya kutuelezea vizuri wengine tunapenda akicheka
Huo ndo ualimu, kucheka muhimu
Safi sna ❤
Mungu akulinde sana una kipaji na kalama za mungu mungu anaangalia matendo haangali nguo acheni kumnuku vipaya mtoto wa wawatu Amina pambana mungu yuko na wewe
Dah..
Cjawah muelewa mzee ila mtoto ake nimeelewa sana mahubiri yake..
Ni kweli tupo wenye shida lakini wapo wanaosema watatumia vipi pesa zao . Ameeen ubarikiwe tuombeane Barikiwa sana
Yes kabisa
Petro 1 3:3 kujipamba kwenu ,imeelezewa Mungu apendi tupoteze asili yetu na mapambo hayatatuingiza mbinguni pamoja na mavazi yasiyompendeza Mungu mbingu ipo kuzimu ipo mtu unabadili kucha, nywele, ngozi , jamani Mungu hazihakiwi tufuare Yesu ametuagiza Nini?
ona makuchaa'nywele hivyoo vyamapamb9 awazungumzii na mavazii wakati lipo kwenye biblia Wajanjaa wanarenga kwenye kipatoo Dah
Uhakik
Mungu tusaidie
U made it lady..keep it up 🥳
Amen Amen Monica Davie 2023.powerful.
Amen
Akuna k2 sipendi unafiki ila nyie mnao sapoti ujinga mungu ana waona wajingaa nyiiiee3e
Amen amen
Amejitahidi sana kufafanua! Kwa kweli maji hufuata mkondo kuhusu mwonekano! Kuna watu wanavaa mavazi ya kujisitiri ila matendo yao ni machafu kupitiliza siwezi kumwukumu! Tumwachie Mungu aonae ya sirini ahukumu mwenyewe!!!
Umesema vema
Mungu akikuonyehsa tatizo ataka wewe iwe sehemu ya mabadiliko, kumwachia Mungu ni kiburi
Kubali kubadilika hata wewe unajua sio sawa
@@petermwenda6470 😃🤣😂 nimechekaa atiii kiburi kabisaaa..hii gauni Haina utukufu😃hata nywele😄
Huwezi kuchunguza nguvu ya neno tuu bila kuchunguza appearance ya mhubiri,, huyu hana tofaudi na muonekano wa watu wanaodanga kama makahaba walivo, huwezi sema fuateni maneno msiangalie mavazi ,,iyo ni kuhubiliwa na wapuuzi wanaokalili neno ila mioyo yao ni vipofu.
I do appreciate you Frankly speaking, you inspired me
Amina, binafsi nimekuelewa sana! Barikiwa sana! ❤
Mungu akubariki dada Monica....somo lako halichoshi kujifunza.....sitaman umalize
Kajitahidi sana kufafanua ila mavazi hanaendani na mazingira aliyopo binti geor dav jiaribu kuheshimu madhabao mama nakupenda❤
Dah umenifariji sana moyowangu kutokana namapito yngu😢. MUNGU AKULINDE
Asante. Monica. Kw ujumbe mwema. Umenitia Imani na mungu. Ukazidi. Kutuombea. Ameni
Ameen!Nimependa sana mafundisho yako binti
Mwanadada ni mwalimu wa neno mzuri sana. Nimefurahia sana sana ..from +254.
Song.
Iende Mbele Injili hiyo......
Iyende Mbele...
Ndiyo Mana tunawambia Iende Mbele....(x4 )
Yaokoa Injili hiyo....
Yaokooa....
Kwa kwel Baba Umewalea watoto wako vyema .nashukuru kwa SoMo zur Sana.🙏🙏🙏
Asante monica ❤❤❤❤
❤❤❤ mtumishi wa mungu tunashuru Sana mkuu wetu amina
haya ndio mambo mungu arikutuma kuriko kuitetea viongozi wa ccm wakanye kwa kuuza bandari utakua nabii wa kweli goerdevie
Amina binti wa Yesu
Ubarikiwe
Thank you for a wonderful message. Watching from Nairobi, Kenya
Fhee
Hapo sasal
Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu.usipoteze Imani yako...itunze tumaini lako.
GOD BLESS YOU ABUNDANTLY 🙏 MISS MONICA DAVIE.❤
Powerful Message. AHSANTE SANA
Iko vizuri mis you
Iyo umeka poa
Good teacher
Binafsi nmetambua uwepo wako maneno yako all in all I thanks to God
Asante Monica
Mungu, akutie nguvu usonge mbele zaidi, coz watoto wengi wa wachungaji huwa hawajaokoka na hawapendi kabisa neno. Kwahiyo kitendo cha huyu binti kupata ujasili wa kufafanua na kufundisha vizuri ni neema ya Mungu. Hata kama atakuwa na mapungufu machache ,lakini hakuna aliye mkamilifu, huu ni mwanzo, tuendelee kuwaombea ili Mungu awatienguvu ,wasonge mbele.
Acheni umbea na kukariri mambo, kakwambia nani kwamba watoto wa wachungaji huwa wanakuwa hawajaokoka , we ndio unatazama mioyo ya watu, na mbona huelezi watoto wa waalimu , wakulima, na wengine , hao Je huwa wanakuwa wameokoka ? Don't generalise mambo
Achakukurupuka kuongea bila kuelewa nilichomaanisha.Kwani mi mi nimewataja wakulima na walimu hapa? Unatakiwa utoe comenti zako kulingana na ulivyomuelewa aliyehubiri, siyo kudakia tu mzee! Au usije ukafikiri kila mmoja anapenda malumbano yasiyo na maana, Alwayz tafakari kabla ya kutoa maneno, kuwa makini sana
Ni kweli watoto wengi wa wachungaji wanakuaga hawajaokoka na watukutu balaa sijui shetani ndo anakuwaga kazini, mf Linah Sanga baba yake mchungaji lakini mwangalie
Monica ,ndakuombeya kwa Mungu akuze hico kipawa cha uinjiliste, ubarikiwe sana
Good girl, be blessed in JESUS name MONICA
Barikiwa sana Monica Umeifanya vizuri snaa🌹
Barikiwa kwa kuwa biological daughter of prophet. It's blessings
Eeee Mungu ahsante kwa neno lako takatifu, kupitia Mtumishi wako Monica,amegusa nafsi yangu mpaka mwili umesisimka, Mungu akutunze mwanangu,Pia wabariki wazazi wake kwa malezi mazuri ya kumjua Mungu, AMEN
Kweli ni NENO la kusisimua mweli WALA sio kuponya roho
@@mugishomwenda4265 hapo sasa watu tunapenda neno la kusisimua mbali sio neno la kuponya Roho 😭😭
Mungu akubariki sana mtoto❤
Nguo hazimpi MUNGU Utukufu ,Na blich kichwani,Hadi hapo Ushamkosoa MUNGU,Ni machozii😭😭😭Hakika Mwana WA Adamu yupo karibu YESU tusaidie😭😭😭
Monica wajina wangu nakupenda mno Mungu anakutumia Sana wewe unakitu kukubwa Sana umepewa kusema namataifa
Mungu atusaidie sana
munguakujaliyeujasirinamoyomuzurikamawababa
Monica uko vizuri be blessed
Daddy natamani nikuone tu sir amini Mungu atafunguwa njia baba yangu
Barikiwa sana , nakupenda
Hakika leo nimejua Kuna Siri kubwa Sana ya kimungu kwa watu tunaoitwa Monica my sos umenitia moyo Sana nakupenda wajina wangu na hakika sitakata tamaa tena.
Good
Ubarikiwe dada monica ❤
❤❤sana
Amen 🙏
ujumbe mzuri sana hongela
Amina
Asante🙏 Monica maneno yako nimafunzo kwa watu
Ameeeen naiwe katika maisha yangu
Amin monica nimekuelewa from dubsi
Ameeeeeeen kubwa,somo zuri
Umeva vibaya sana kwenda za kwendeya disco
Monica love you so much god bless you
Amen
Amen Amen Amen dada nimekuelewa sana somo zuri sana
Amina mungu akubariki mtumishi
R.i.p nisher 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Siskiii Bwana Yesu asifiwe,
😃😃😃
usikariri, hapo ni kusikiliza mafundisho kwanza.
Hongera mtumishi wa mungu
Ameni
Ni kweli Dada Monika Imani inatembeya na mapendo.imani passport mapendo na matumaini ni bure.
Natunza Imani yangu na muujiza wangu upo
Nakubali maneno
Mungu wangu huyu ni faya nyingine nakuomba baba nabii asaidiwe ili kukua Saidi damu ya yesu umfunike kwa damu yako
Mungu pekee akakuinue monica ukafanye zaidi binti yangu
Amina Somo zuri sana lenye kutia moyo hakika mtu hutakiwi kukata tamaa cha msingi ni kupambania ndoto zako huku ukimtanguliza Mungu yeye muweza wa mazito na mepesi ipo siku atatenda kwa njia usiyoitaraji zidi kubarikiwa
Big up sana cute❤️❤️❤️👏👏👏🔥🔥🔥
Amina
Mungu alinde uzao awainue awalinde ni fraha sana sisi watumishi kuona mtoto wako anasimama madhabahuni analisema neno la Mungu ni fraha sana Mungu awainue hawa watoto wa huyu baba awainue sana awatukuze sana nawaombea
Hii comment ni yako au naona vibaya
Utanitambuaje kama mie nimeokoka? Nope majibu waumini wa kweli
She talked to me direct this lady,abarikiwe.
U are smart my sister 😊
Good job Monica.