AYUBU ALIOA MKE MWINGINE BAADA YA MATESO.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2024
- #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
Asante mwalimu kwa majibu mazuri je mtu aliyeokoka na baada ya muda akaanguka je anaweza kutubu tena na mungu akamkubili tena
Aisee Mungu akubaliki sana masomo adimu sana
Asnte sana mtumishi wa Mungu
ubarikiwe sana
Daa naona adi haya kama mtu uyu yuko chini ya Geordavie
Ubarikiwe to sana you are doing well, niko Kenya shitani ametawala dunia
Amen Amen Amen
Mafundisho ya mashetani kutoka kuzimu!
Ndg ninashukuru sana je nawezaje pata vitabu hivyo
Asante sana kwa mafundisho mema 🎉🎉
Wewe noma
Asante mwalimu Kwa masomo mazuri unayofundisha,samahani Nina swali,
me nmeishi kutoamini bibilia kumbe kuna sababu tosha,
Sikupendii
Wewe jamaa mwongo atar
Mafundisho yako ni yakuzimu hanahekima ya kuzimu kaeni mbali na mafundisho upumbavu wa mungu ni zaidi ya wenye hilimu luga ya leo maprofesa ogogeni kama ukoma mafundisho yanaokwenda kinyume na maelekezo ya neno la mungu
Sharamu Benson mwakilembe mwalim wa neno la MUNGU Mimi ngosha malambo ndeko nipo Tanga swali langu mke wa Adam wakwanza ririth nae alizaa?
Kweli Dinah wa yakobo kuolewa na Ayubu inaezekana kweli? Maana nyakati walivyoishi hao wawili nitafauti kabisa! How possible is that?
Acha uwongo
Swali lingine ayubu alikuwa katika kizazi chanani? Nimutoto wanani kwawana wa adamu