LILITH ALIMKIMBIA MUMEWE ADAM AKAENDA KUZINI NA WANAUME WENGINE NDIYE MAMA WA SINGLE MOTHERS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 มิ.ย. 2024
- #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
ZABURI 119:130
Kufafanusha maneno yako kwatia nuru na kumfahamisha mjinga
ZABURI 119:11
Moyoni mwangu nimeliweka neno lako nisije nikakutenda dhambi
1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani;
1 Timotheo 4:1
2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe;
1 Timotheo 4:2
Mnaacha kuhubiri kurudi kwa Yesu mnaongea mambo yasiyo ya Mungu Yesu ndicho alichawatuma ulimwenguni
Wewe Kama una hubiri si inatosha huo ni wito wako. Usilazimishe wito wako Kwa wengine. Do what you think you are called for
Hivi kweli Mungu ni mkatili kwa kuunguza watoto wake na moto?
@@leonardchoma3765
Msome vizuri huyo hapo juu hayo amesema ukweli kabisa, haya ni mafundisho ya Uongo ndio kosa walilolifanya wana wa Islael kwa kutosimama kwenye kweli
Hawa ndio shida mafundisho ya mafarisayo na masadukayo. Yesu Kristo anawaambia kufunga wanafikili kufunga kimwili anawaambi yeye ndio chakula kilicho Shuka toka mbinguni wanafikili chakula kama chakula.Biblia sio kama gazeti anasema wanamacho lakini hawaoni wanamasikio lakini hawasikii.
@@andrewmhagama9816 hatari sana nyakati mbaya hizi watu wameacha imani wengine hawamwamini Yesu Kristo tena wana waamini watumishi manabii mitume mafuta ya upako miujiza ishala maji ya upako hii yote ni kwamba tayali Mungu ametuvurugia lugha au usemi wenyewe kwa wenyewe tunagombana tunalaaniana tunachukiana n.k.
Jambo Hilo katika nyakati hizi haiwezi kuikuza Imani yetu katika kristo..imetupasa kuuhubili injili ya ondoleo ya dhambi!!
Ukweli kabisaa, Lilith was the first wife to Adam
Unatufunilia mengi Mwakilembe barikiwa sana❤❤🎉🎉
Asante kwa Somo zuri. Siku zote najifunza sana kutoka kwa chanel yako hii.
Kama hujaelewa ujumbe huu maanake sio kwa ajili yako.. 🙏
❤Asante Sana Kaka BENSON kwa Neno La Mungu ❤ Tuna kupenda Sana Tunakufata Vizuri Hapa Utah Salt Lake City America
Ubarikiwe mtumishi mwenyesikio na naasikie
Achakuhubili fanya kazi zako
Biblia ya mungu sio hii tunayo isoma.mzungu hawezi kukuletea neno la mungu la kweri.bali tuliletewa neno la kututia ujinga,hofu pamoja uoga ili wapate mwanya wa kututawala na kusomba Mali zetu.
Ukweli upo kwenye jadi yetu uliokuwepo tangu kabla ya jadi maana ata walio leta dini waliwakuta watu wanamtaja mungu embu jiulizeni walimuita mungu pasi kujua!? embu fuatilieni jadi yetu mpate ukweli uliojificha kwa viumbe.
Bwana
Bwana mkuu mimi nakufuatilia sana habari zako mkuu balikiwa sana
I like you bro😮😮😮😮
Ila ninavyoona nyie mshughulikiwe kisheria kwa kuchafua imani ya kikristo,mzusha kwa kiwango kikubwa sana,ila basi tu,Mungu atamua mwisho wenu upo!
Siyo dini unamaono ya kpepo kitabu Cha mwanzo kinasema hapo mwanzo Mungu alimuumba adamu na akatia ubavu wa Adam akamuumba Eva hya mmbwa wewe huyo mwingne katika wap je Ni bbli gan imsema hvo
soma Biblia kwa kina kijana acha ushetani wa kutukana ovyo
soma mwanzo 1:26-27 kisha njoo usome mwanzo 2:13--- uone Adamu alikuwa na wake wangapi katika maisha yake
Utachomwa usipo badilika kwa sababu unapotosha kondoo wa bwana yesu kristo 😢😢 nasikitika sana na mafundisho yako ya uongo
Alienda kuzini na wanaume kutoka wapi wakati adam ndie mtu wa kwanza?
Hili mwalimu umeenda kinyume na biblia hakuna mwanamke anaitwa lilith haya ni mawazo ya maframasiion siyo biblia tukitoka nje maandiko tutakosa njia hatuna mwanamke mwingine kibibliaa hayupo hayupo.
Hapana.hajaenda kinyume.pengine tunasoma biblia bila history ya biblia au uumbaji.lakini kama ukikomaa tu na agano huwezi kujuwa hata kidogo
Kwa mfano unahitaji kuokoka lakini unawanawake 6 je ? Utaenda okokanao au utafukuza ubaki na Mmoja? Sasa hapo wengi hawapati majibu.
Jiulize.Kaini alienda akaoa mwanamke.Angalia katika maandiko.Sehemu gani inaonyesha kuwa adamu na eva walizaa watoto wanawake?
Ulisha jiuliza, yule mke wa Kaini alitokea famailia gani? Hali maandiko yanaonyesha Adam na Hawa ndo watu wa kwanza?
Unapoongeza maneno ya uongo katika neno la MUNGU jiandae kumpokea mapigo ya MUNGU geuka mapema bado unayo rehema na MUNGU atakupokea Asante adamu hajawahi kuoa mwingine tena
Punguza jazba msikilize vizuri Adamu hakuoa kamwe ila aliishi na wanawake wawili kwa nyakati tofauti
Huo ni uongo unapepo la utambuzi tu ndilo linakufunulia hayo pole kwa kuwa mateka
Mungu sio biblia unayosoma, wala haya maneno ya Benson. Mungu ni zaidi. Ufahamu tulionao kuhusu Mungu hata hayo yaliyoandikwa kwenye biblia ni 1/100 ya maarifa yote kuhusu Mungu
Hivi nyinyi watu haya mafundisho munayapata wapi? ni mtume gani, nabii gani, au ni-kitabu gani cha Mungu chenye mafundisho haya?!!, hapo zamani 79-80's, kuna vitabu tulikuwa tunavisoma maktaba za shule za msingi viliharibu sana watu (Alfu lela ulela au siku elfu na moja) sasa vimerudi tena kwa mlango wa nyuma kupitia njia ya wahubiri....
Masingle mother waliotoka kwa waume zao ndiyo wanaosumbua jamii sasa hivi,na vijana wa elfu mbili ndiyo wanatuharibia kabisa😂😂😂
Naweza kupata kitabu cha Henoko cha kiswahili
Matokeo na Ushadadiaji , baada ya mkutano na maazimio ya huko Beijing 1995 yanaendelea kuutafuna umma wa hii Dumia.
👍👍🇿🇦🇿🇦
Shetan wew iv ni nani alikutum kudangany binadam ko unatak iwaj kwan hay mafundish yak Yan wew n shetan live
Mwalimu benson ubarikiwe kwa upana wako wa kueleza maandiko, ninamaswali mawili naomba msaada wa jibu, (1) MALKIA WA KUZIMU NA MAMA WA MAJOKA CHANZO CHAKE NI NINI? (2) SIVEMA MTU HUYU AWE PEKEYAKE NITAMFANYIA MSAIDIZI WAKUFANANA NAE, ( KWANI MKEWE ALIENDA WAPI MPAKA ADAMU AKAKAA PEKEAKE?)
Kanisa la Mungu limejengwa kwenye mafundisho ya mitume na manabii walio kwenye Biblia hatutumii rejea za kiyahudi au kiyunani ewe mwana wa Joka na baba yako Nabii wa uongo Geodavi
Nimeanza kupata maswali,
Benson sikiliza usiongeze wala usibunguze
Mtatuuwa sasa namaandishi yenu, eeh mungu wee mbona kondoo zako wanatutesa na maandishi haya
Vizuri sana mwalim kwa kujitolea kufundisha meno la Mungu Lilith Yuko wapi mpaka leo
Nilichomuelew nikwamba anaishi kama immortal. Napia kwani hawa yupo wapi? Ukilijib utakuwa umejua Lilith yuko wap
Shalom naitwa Alex mwakyoma kutoka mbeya ukisoma muhubiri 9-5 kwa sababu walio hai wanajua watakufa lakini wafu hawajui lolote hii imekaaje wakati huohuo tajiri aliteseka akimuommba lazaro achovye incha ya kidole ili aburudishe koo naomba unisaidie mwalimu
Hii pesa inayotusumbua ilianzishwa nanani? Na kwa sababu Gani?
SIVEMA MTU HUYU AWE PEKEAKE NITAMFANYIA MSAIDIZI WAKUFANANA NAE, (Kwani mkewe alienda wapi? )
ukweli kabisaa ni ambiya watu hawakuniamini
Kulikuwa na wanaume wengine kabla ya Adam maana si alikuwa pekee yake
Sawa. Ila naomba kufahamu hivi huyo Lilith alipokwenda huko nje ya Eden na kuolewa na Samael. Huyu Samael alitoka wapi yaani asili yake ni nini?
Ni malaika
Kwa lugha nyingine huyu Lilith was therefore demonized and now she lives like a spirit (celestial queen) meant to destroy marriages and causing single mamas, lesbianism, and whatever marriage related abominations. Let's be keen on this in Jesus mighty name....!!!
Adamu hajawahi kuwa na mke mwingine hayo ni mafundisho ya Kidunia na hadithi za kusadikika hawa ndiyo mwanamke wa kwanza kwa Adamu
Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai.
Mwanzo 3:20
Fungua ubongo ndo utaelewa
Kama hawa ni mama wa walio hai maanake kuna mama mwingine wa waliokufa
Biblia ya kwanza ilikuwa na vitabu 90. Mambo ni mengi sana.
Mbona lipo waz tu aoma vzr utaelewa tu
acha michanganyo na uongo, huyo lilith aliolewaje kwa mwanaume mwingine wakati adamu ni wa kwanza kuumbwa,
Mwalima muongo sana wewe, wew ni wa uongo, tubu kabla Mungu hajachukua pumzi yako, maana unanyo endelea hinyo utasema siku nyingine Mungu anakubaliana ma ushoga na usangaji na unako elekea ni huko, wewe naona unatimiza unabii
Mtumishi upo sawa nipo makini sawa naelewa
Kwa maneno hayo unasema biblia imetudanganya?
Mimi naitwa shukurani
Nipo pwani
Mwarimu naomba majibu
Tukisoma habari za Ayubu
Arivyo ripwa na Mungu
Mara mbili yavire arivyo poteza
Swali mke wake arienderea kuwa nae au Mungu arimpa
Mke mwingine Arie mzaria
Wengine watoto?
Je zama hizo kulikuwa na wanaume wengine zaidi ya Adam? Na je Uzao wa huyo Lilith ni upi?
Mwalimu umesema lilith aliondok kwenda kwa wanaume wengine sasa ina maana kulikuwa na wanaume wengine tofauti na adam?
Eva aliishi miaka mingapo?
Hakika wateule tuwe macho maana tunaloelekea nikubaya sana
tupe kuhusu sadaka za kuteketezwa
No. LILITH siye ndo Mke wa ADAM. Na wala ADAM akuwayi kuwa na Mke LILITH. Hadi si kuusu Lilith ni simply LÉGENDE, ni MYTH. Siyo hadi si y’a Kweli.
Fanya utafiti
Kwahiyo ndiye amemwingia Christina shusho?
Kweli umechambua kama nilivyokua nazani
Kwahiyo MUNGU aliuumba wanake wengi kuliko wanaume ,maana nachojua MUNGU aliuumba mwanaume na mwanamke ambae Ni Eva kumbe sio
Je wakati Lilith anaacgana na Adamu hakuwa na mtoto? Kama hakuzaa na Adam, baadae alizaa na nani na uzao wake ni upi??
Swali, huyo aliyezaa na lilith aliumbwa na nani na wakati gani?
Hata mimi nilikuwa najiuliza kuwa
Habili na Kaini waliowa wapi!??
Wenye akili kama zako ndiyo watakuelewa! Hiyo Injili yako ni ya kishetani kabisa.
MIMI NAKUKUBALI MWL. NA NDO MAANA WANASEMA Mke mwema utoka kwa Bwana, je mbaya yuko wapi? Anatoka kwa nani???
(Yakobo 3:1
Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.)
Ndugu zangu nawasihii kwa huruma za Mungu huyu mtu ni hatari sana kwa wale wateuli huyu ni adui wa haki. Huyu ni kisima kisicho na maji. Huju mwana wa uharibifu. Huyu ni mtu aliyekufa ganzi na hakuna anayeweza mrejesha.
Hivyo mjiepushe nae anaweza kukutia unajishi hata ukavurugika kwenye mambo ya imani.
Kabisa
Huyo mke wa kwanza wa Adam umemsoma katika kitabu kipi?,,biblia na Quran vyote,,hivijasema kuwa Adam alikuwa na mke mwingine kabla ya Hawa,,sasa huyo mwingine umemtolea wapi bro,,nakuakikishia watu wakipotea kwa mafundisho yako ya uongo,,siku ya hukumu,,utabeba mzigo wao
HUYU SINGLE MOTHER MWIMBAJI KAYAKANYAGA😂😂😂😂😂😂😂 UMEONGEA KWA HEKIMA KUBWA SANA❤
Kila kilichofichwa kitafichuliwa na kujulikana hadharan lakin huo ndio mwanzo wa utungu wa Mambo yote lakin musiiamini Kila roho zipimen katika matendo yao...Mana katika elimu zetu hakika tutaangamia!!
Amina
Amina
Aswa anafunza nini?
Sikuelewi kabisa.mpotoshaji mkubwa wewe! Si useme tu huyu Lilith alikuwa shetani, halafu kwani ni lazima hayo maandiko ya kiyahudi yaaminiwe U yafuatwe?
Sasa icho unachoongea kinatusaidia vp kwenye safari ya Mbinguni? na kinahusianaje na Biblia??
ACHA UJUAJI AMBAYO HAYAJAANDIKWA KWENYE BIBLIA USIFUNDISHE..what for?
Ndugu benson,naomba Aya inayosema Lilith alikuwa mke wa kwanza wa adam,kwa maana hata Jina Lilith halimo bibliani
Ameshasema haijaandikwa kwenye bibilia bali imeandikwa kwenye vitabu vya wayahudi ambako ndiyo chanzo Cha Imani ya kikristo.
Na mimi nakubaliananaye kwa sababu ukisoma kitabu Cha mwanzo kuanzia Aya ya 3-7 utagundua kwamba kulikuwa na watu wengine tofauti na Adamu na Hawa na watoto wao wawili ambao ni Kain na Habil, maana Kaini alivo muua ndugu yake Habil kain alienda mbali na wazazi wake na hapo tunaona Kaini ana mke maana biblia inasema Kaini akamjua mkewe wakapata mtoto wakampa jina Henoko . kama wewe unaamini hakukuwa na watu wengine Kaini alimuoa nani?
@@LeloSarwat0Sasa wayahudi walikuwa wanasali kwenye masinagogi ambayo màana yake misikiti, waislamu wanasali kwenye misikiti,hapa ndiyo utaona kuwa waislamu ni wayahudi wa Leo/siku hizi
Ukristo sio dini ya haki mnapoteza Muda
Unachekesha😂😂😂😂😂😂
Haki ndiyo nini?
Bila shaka wanapoteza muda wao tu.
Hakuna wanaopoteza muda kama waislamu,wanawekaga mihadhara kujadili ukristo maana hawajiamini wakisikia kitu ukristo kinawanyima usingizi,wanashinda vijiweni hawana kazi ni kujadili ukristo eti wanatetea uislamu ambao duniani unasem was a ni ugaidi siyo dini ya kumtukuza Mungu
😂ila nyinyi kwa kudanganyana mmeshindikana, sasa lilith alitokea wa ikiwa baada ya kuumbwa Adam M/Mungu alimtoa Hawa ubavu wa Adam, sasa huyo lilith aliumbwa lini?😂 acha uongo wakristo mnapotoshana saana.
acha kusema uongo Allah hapendi
Apo unaongea kweli kabisa
Je huyo shetani mbona hafi na kwanini shetani hafi mpaka Leo?
😂😂😂😂
Hakunanga shetani 😂😂😂😂
Badala yake Kuna negative energy ya mungu 😂😂😂
,ambayo tukikumbana nayo ,
Sababu ya ku muasi mungu tunalemewa malengo yetu ,
Eti ni sababu ya shetani😂😂😂😂😂?
Hivo bass ,tumepata shetani wetu
Wa kujitengenezeya ambaye pia
Anatushitaki kwa mungu,😂😂😂😂😂
Shetani anajuwa hata njia ya kwenda
Kwa mungu ,😂😂😂😂
Mtukane uone.😂😂😂😂😂
Bibliya Iko wazi ,😮😮😮😮
Munatukana mambo musio yajuwa.
Uongo
Mwalimu Benson,me sijawahi tofautiana na wewe hata neno moja,maana hii si sahihi,Neno Lilith limetokana na Talmud ya kale huko babeli,ni fundisho la uongo la kiyahudi.Mimi nimesoma vizuri Talmud,labda nikwambie tu tu zaidi ya 97% ya Talmud ni uongo,Talmud ni tafasiri ya uongo ya watu wsio fanya kazi kwa manufaa na matakwa ya Mungu.Mwanzoni ulikuwa sahihi sana ulipo fundisha kuwa hawa wayahudi ni fake.Biblia ni hadith za waafrika watu weusi 100% ashkanazi waliiba biblia na kujigeuza kuwa wao.USIAMINI TALMUD ni uongo mkubwa sana,Nimesoma vitabu hivyo cha Jesha,nimesoma cha henoko nimesoma kitabu cha Jubilee nimesoma.Usiamini Talmud ni uongo mkubwa sana.Lilith is a fake name
Hao wanaume aliwatoa wapi wakati Adamu ndiye mwanadamu wa kwanza
Sasa kama hata hujui samael ni nani alafu unacomment. Wewe Baki huko huko uliko ubongo wako ni mdogo sana
Ukisoma Biblia vizuri Adamu siyo binadamu wa kwanza, kama utakumbuka wale watoto wa Adamu Kaini na Habili baada ya Kaini kuwua Habili Mungu alimlaani Kaini na akakwambia atatangatanga sana na ataenda kuoa kwa majitu, na hayo majitu yaliitwa Manefili, kwahiyo tunaona Kaini alienda kuoa watu ambao walikuwepo kabla ya Adamu na Hawa
@@tetritetrino693 hujui kitu achana na hawa kina Benson kaini alioa jini yaani kati ya wale malaika waasi kaini akaende kuoa wana wa anaki baada ya kutoka mbele za uso wa Bwana akaenda Nod akamjua mkewe huyo mke alimpata wapi? Jibu ni kwamba alioa moja ya majini yaliyo angushwa toka mbinguni pamoja na ibalisi hata Hamu mtoto wa Nuuh alioa mwanamke ambaye asili yake ni mashetani kwa hiyo baada ya Nuuh kutoka kwenye safina anamkuta Mwanawe hamu kaoa moja ya majini ambao ni uzao wa kaini ndiyo sasa Nuuh tukaona hamlaani mwanae Hamu bali ana laani kizazi cha hamu kwa sababu ya asili yao ya damu ni ya mashetani na siyo asili ya binadamu kwa hiyo Nuuh alilaani uzao utakaozaliwa maana ni uzao wa mashetani ukitokea kwa kaini kanaani maana yae kaini
Huyo samael alitokea ikiwa aliumbwa yeye na Adam tuu?😅
Ni malaika aliyeasi
Naomba unijibu uyo Lilith alienda kuzaa nauyomtumwingine ametokea wapi nawatu walikua wawilitu? Uyomtuwatatu katokeawapi
Sikiliza tena ..Amesema alienda akatembea na mwanaume mwingine ambaye ni Malaika
Hizi ni nyakati za mwisho YESU KRISTO yuko malangoni TUJITAKASE TUJIANDAYE SHALOOM
Nani kakuambia hayo maneno? .simlete hivyo vitabu vya kutungwa tuvione.
Baada ya RUMI kuwa ni dola kubwa yenye nguvu,
Waliteka vitabu vyote na kuchomoa vitabu baadhi na kuvihifadhi na kisha kuruhusu vitabu 66 tu Vinavyotiwa biblia.
Be frank give us chapter n versus zenye pame andikwa kabisa.
Hasemi kwenye bibilia? Anaongelelea vitabu vya kiyahudi! Ndio maana ni vyema kufwatilia story nzima sio kurukia tu na swali
wewe ulifunuliwa na nani au tuoneshe ichokitabu tukione
Wacha kuingia dini ni biblia gani unayo itumia wewe wacha kudanganya
Biblia gani hiyo?
Msikie kutoka mwanzo usirukie tu kwa swali
Aliitwa Queen of poison
Mwalimu Isaya wewe ni muongo kabisa!!. The book of jasher is not part of the bible,its not canonically its a historical book.your explanation on creation story is a total lie.Lilithy story is a myth remember that there is a lot of satanism in the Israelites history that's why they were taken into captivity.
Kwahiyo wewe huamini haya maneno ya kitabu hiki?
Basi hata cha Enock hutaamini
Mambo ya msingi yote yamo katika Biblia. Wadanganye wajinga wenzio na hadithi za kusadikika za kipagani.
Kosa sio la kwako ila ni lawale walio kuosha ubongo.
Tafuta kazi ufanye hizi kufuru,zitakuletea matatizo makubwa sana mwisho wako.
Tutafute kujifunza kila iitwapo leo
Watu hamko tayari kujifunza, mnasikitisha sana
Kazi aliyo nayo Ni kumlamba geodev miguu ili ale ashibe she kudanyanya hapa😅