Mimi mchungaji cosmas jumaa Hamis ambaye natoa shuhuda zangu hapo Davista nimeona meseji baadhi wanakataa kwamba Allah aliumba majini na wanadamu ili wamwabudu Allah sasa nawapa Aya isemayo waama-halakta-jin-wal-untha-ila-liabuduna naamini nimewajibu ila wakihitaji msaada wa Aya zipo kichwani za kutosha
Hivi waislamu wanajifunza habari za majini kuwajua tania zao au.wanaruhusiwa kuwatumia ma'ana.ezekiel Mungu amewasema majini.nà miti kuishi.dunian kama wanadamu hawatakubali kushika sheria za Mungu
Ihi ni historia yake unabidi kujifunza sio mapigano ya dini au matusi heshima na hetifaki zingatiwe st wamoja mambo ya dini acheni kila mtu na jia yake
Twaibu Mimi siusemi vibaya uislamu naomba usinigombanishe na waislamu kumbuka unaongea na msomi na mtoto wa shekh hapo mimi naelezea ushuhuda wa maisha yangu binafsi kuwa mpole acha jazba
Kuna kusoma na kuna kuelimika pia kuwa mtoto wa shekh sio sabab,ibrahim alikua mtume ila baba yake alikufuru.Uislam unamisingi yake.Kwenye hadithi zako hakuna unalolijua kuhusu uislam zaid ya story za kuunga unga.
Mm siamini kuwa waislamu na jini.ni.ndugu.ila.naamini.wanajifunza habari za jini.lakini.kama.muislamu.aliyeshika.amri.za Mungu kabisa kabisa hawezi tumia jini Mungu atusamehe jamani tuachie dhambi waislamu.na wakristo tuachie dhambi
Kabisa wamepotoshwa wanaambiwa kufanya nao ibada ni sawa ila kwa yesu ni moto kwa sababu hana ushirika nao majini waliomba bora awaruhusu waingie kwenye nguruwe kuliko kukutana yesu .
Waislam wanasema mungu aliumba majini ili wamuabudu ni sawa lakini kabla ya kuasi ndio lilikuwa kusudi Hilo ila baada ya uhasi hawana uhusiano na mungu wa wanadamu pole kwa anaye fikiri kuna majini wazuri na kufanya ibada nao moto walio andaliwa hao mapepo ni pamoja nyinyi yesu ndiye mungu aishie milele hakuna mwingine.
@@rogerssimon9517 unafrahisha sana.Iko hivi kuna majini wema na majini wabaya kama ilivyo kwa binadamu wema na wabaya. Kwenye qur'an ibilisi ndio aliasi lakini kuna majini ambao wanamuabudu mungu kwa kuishi vile anahitaji na kuna majini waouvu waliokengeuka.Waislam kusema kuna majin wema haina maana wanashirikiana nao
MUONGO MKUBWA. Hakuna palipo andikwa waislamu na majini ndugu. ila ipo sehemu imeandikwa kwamba majini na binaadamu wameumba kwa ajili ya kuja kumuabudu mungu. acha kupotosha watu. na viumbe vyote vimeumbwa na mungu. ukiwemo wewe mpotoshaji.
ww mchungaji unasema ulikuwa shekhe.sasa ulikuwa shekhe au unajuwa tu kusoma aya .sio kila mtu anayejuwa kusoma quran ni shekhe .ww mzee acha kutia chumvi baadhi ya maneno
Kumbe unapotosha hujui Uislamu! Kul audh bila bin nas Malik nnass Ila in nass min sharir was wasir annas ala dhii yua suwis fisudurnnass minal jinat wannas! Hiyo sura ni ya kujukinga na shari za majini unapotembea! Wewe unawapotosha wasijojua kafiri wewe😂😂
Ww mwehu kabsa Mm nilidhani ungesema hivi " Ndani ya biblia ungekuta AYA İSAMAYO UKRISTO NI DINI YA MUNGU ndıo nıwe MKRISTO! Ningekuona unaakılı sana! Sasa ww unasema DINI N MKRİSTO wapi umesoma KTK BİBLİA YAKO??????? Huoni kama unafanya halipo?????????
Mimi ushuhuda wangu ni kuwasaidia walio tayari sasa siwezi kubishana na mtu na endepo utahitaji nikupe Aya zinazo eleza majini waliukubari uislamu nitafute kwenye simu yangu hicho unacho kisema kwamba Aya nilizo soma ni kujikinga na majini sawa je unakataa kwamba hakuna majini waislamu? Na je unakataa kwamba katika uislamu haifundishwi kwamba kuna majini wazuri na wabaya? Napenda kukushauri usihamaki Mimi kuwa mkristo ukitaka kujua elimu yangu ya uislamu nitafute nitakusaidia kwa moyo mweupe bila kinyongo Asante
@twaibumikidadi Acha makasiliko,hayo yalikua ni maisha yake na vile nafsi ilivyo muongoza kiimani. Okoka ndio Mungu atakufunulia vitu vingine vingi utavielewa .Msikae na vifungo mpaka muna kufa Ata huyo na pengine zamani alikua mbishi kama wewe (mtashikilia tu mungu hana mwana) uku majini yanawanyonga.
@andrewmhagama9816 Nijibu haya ntaokoka ndugu 1- wapi yesu asema mimi ni Mungu? 2- wapi biblia inasema Ukristo ni dini ya mungu 3- Wapi Yesu aiingia kasimisani kufanya ibada? 4- Wapi yesı alioa ili mm na ww tuoe kama kweli tunamfuata Yesu? Kama haına majibu kwa maandıko ndani ya Biblia basi jua kuwa ww umepotea maana unafanya kıtu yesu hakufanya!!!!
@twaibumikidadi7377 Maswali ya chekechea kwa Mktristo alie hai. 1.Yesu Kristo alijua zama alizo kuepo ya kwamba akisema yeye ni Mungu moja kwa moja Wayahudi wange mpiga kwa mawe kabla ya andiko kutimia..Zamani ilikua ni kufuru.kwahiyo yeye aliwaambia kwa mafumbo. Soma:Yohana 10:30 Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu
Swali > 1- wapi yesu asema mimi ni Mungu? Jibu > Yesu hakuja kujitangaza directly Yeye ni Mungu ingawaje alijua Yeye ni nani - "yeye kwa asili alikuwa sawa na Mungu, lakini hakuona kwamba kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kushikilia sana. Bali alikubali kuacha vyote, akachukua hali ya mtumishi, akazaliwa na umbo la wanadamu." - Wafilipi 2:6-7 Wayahudi (kama waislamu) walitaka kumpiga mawe “Tunataka kukupiga mawe si kwa sababu ya mambo mema uliyotenda bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ni mtu tu lakini unajiita Mungu.” Yohana 10:33 Makuhani wakuu na walimu wa sheria waliudhika waliposikia watoto wakishangilia Hekaluni wakisema, “Hosana kwa Mwana wa Daudi!” Wakamwuliza Yesu, “Unasikia hawa wanavyosema?” Akawajibu, “Nasikia. Kwani hamjasoma maneno haya, ‘Kutoka katika vinywa vya watoto wadogo na wale wanaonyonya umeleta sifa kamili’? Hapo Yesu alikuwa anawanukulia Zaburi 8:1 Ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wetu, kweli jina lako latukuka duniani kote! Utukufu wako waenea mpaka juu ya mbingu! Kwa sifa za watoto wadogo na wanyonyao, umejiwekea ngome dhidi ya adui zako, uwakomeshe waasi na wapinzani wako. Mbona ni aya nyingi kuanzia mwanzo hadi ufunuo zinadhihirisha Yesu ni Mungu. 2. wapi biblia inasema Ukristo ni dini ya mungu? Jibu...Ukristo sio dini kama uislamu na kadhalika...Ukristo ni kuwa mfuasi wa Yesu ...dini zote duniani zimeanzishwa na binadamu. Hakuna nabii wa Mungu alihubiri jiunge na dini hii au dine ile....Walihubiri imani kwa Mungu...ndio Ibrahim kwa Biblia anaitwa Baba wa imani...sio wa dini. Kiarabu Dini kiswahili ni NJIA. Yesu akawaambia, “Mimi ndiye NJIA (dini) NA Kweli NA Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu." - Yohana 14:6 3. Wapi Yesu aiingia kasimisani kufanya ibada? Jibu > Luka 4: 16 Baadaye Yesu akaenda Nazareti, mahali alipokulia. Siku ya sabato alikwenda katika sinagogi kama kawaida yake. Akasimama ili asome Maandiko. 17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua akasoma kitabu cha Nabii Isaiah 61:1,2 Kitabu cha Nabii Isaya kimo ndani ya Biblia ambayo inatumika kanisani kwa ibada. 4- Wapi yesı alioa ili mm na ww tuoe kama kweli tunamfuata Yesu? Mpango wa Mungu kumleta mwana duniani hukuwa wa kuishi kama sisi wanadamu.. Yohana 3:16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele." Kwa kifupi...waislamu mumefumbwa macho na akili mkaamini uongo wa ibilisi kuwa Mungu hana Mwana wala hazai....ni kweli allah hana uwezo wowote....kwa hivo mumelaaniwa milele jehanamu >>>> Yohana 3:18 "Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakumwamini Mwana pekee wa Mungu." NJOO KWA YESU NDUGU @twaibumikidadi7377
Usichokijua majini asili yake walikuwa malaika watakatifu huko mbinguni kabla ya kuasi zile ni roho ndugu, na asili ya roho wa mungu ni mbinguni ukiona roho yoyote yaani majini hapa ya mbingu hizo roho chafu unclean spirit.
@@rogerssimon9517 sas unaleta ufafanuzi kupitia biblia kwenye hoja yenye misingi ya qur'an mbona unstaajabisha 😂. Kuhusu majini kuwa malaika hilo ni lenu ila kwenye uislam malaika ni malaika na jini ni jini.Malaika kaumbwa kwa nuru huku jini kaumbwa kwa moto. According to islam majini walimuasi allah hivyo mungu akatuma malaika kwenda kuwaangamiza,story ni ndef kidogo ila malaika waliondoka na ibilisi akiwa mdogo akaishi na malaika mpaka alipokuja kumuasi allah baada ya kugoma kumsujudia adam kisa yey ni bora kaumbwa kwa moto.
Leo nimekuwa wa mwisho naomba like zangu 🎉🎉🎉
Asante YESU 🙏 Mtumishi Barikiwa na MUNGU
Amen
Kazi safi,tutangaze ushindi wa yesu
"Mungu amuweke mahali pema kama kuna uwezekano huo"
Maisha yetu sio yetu. powerful testimony
Mimi mchungaji cosmas jumaa Hamis ambaye natoa shuhuda zangu hapo Davista nimeona meseji baadhi wanakataa kwamba Allah aliumba majini na wanadamu ili wamwabudu Allah sasa nawapa Aya isemayo waama-halakta-jin-wal-untha-ila-liabuduna naamini nimewajibu ila wakihitaji msaada wa Aya zipo kichwani za kutosha
Tu njia ya ilo dangu mucungaji
Nimejifunza mengi
Wewe na Wazazi wako wote mlikuwa Wachawi ktk Sura ya Uislam.
Hahahah..ukizungumzia Allah kta jin antha ila aliabdun,..yaaan kunawatu wanatetea huku moyonimwao wanajua Majin na wao ni ndugu
Yesu ni MUNGU amen .
Hivi waislamu wanajifunza habari za majini kuwajua tania zao au.wanaruhusiwa kuwatumia ma'ana.ezekiel Mungu amewasema majini.nà miti kuishi.dunian kama wanadamu hawatakubali kushika sheria za Mungu
Story smart sana Mr DM👍👍
Mr dm 🎉
Uko sawa.mtumishi nimekukubali
Ihi ni historia yake unabidi kujifunza sio mapigano ya dini au matusi heshima na hetifaki zingatiwe st wamoja mambo ya dini acheni kila mtu na jia yake
Amen hakika
Shikeli ni aina yauchawi wakitabu niatali sana
Hivi ni kwanini waganga wengi wapo tu shinyanga mwanza kigoma Tabora na mwanza
Ukitaka nikupe Aya inayosema Allah aliumba wanadamu na majini Ili wamwabudu Allah sema
Allah mungu wa makar😂😂
Kama unadhani majini wanauhusiano na mungu muumba mbingu na aridhi umepotea njia
Sas ni nan kasema mungu hajaumba majini na watu ili wamuabudu?.TUNACHOTAKA NI WAPI MUNGU KASEMA MAJINI NA WAISLAM NI NDUGU ACHA KUTAFUTA KICHAKA.
UNAILETA MUDA MUAFAKA,,UCHOSHI UBOI,,NAKUBALI 🖐
Twaibu Mimi siusemi vibaya uislamu naomba usinigombanishe na waislamu kumbuka unaongea na msomi na mtoto wa shekh hapo mimi naelezea ushuhuda wa maisha yangu binafsi kuwa mpole acha jazba
Mtumishi naomba namba yako
Dàwa ya mpuuzi ni kumpuuza...mtumishi wapuuze maamuma hawa
Kuna kusoma na kuna kuelimika pia kuwa mtoto wa shekh sio sabab,ibrahim alikua mtume ila baba yake alikufuru.Uislam unamisingi yake.Kwenye hadithi zako hakuna unalolijua kuhusu uislam zaid ya story za kuunga unga.
Ohh kumbe majini na Uislamu ni ndugu! Aisee hizi dini balaa
Mm siamini kuwa waislamu na jini.ni.ndugu.ila.naamini.wanajifunza habari za jini.lakini.kama.muislamu.aliyeshika.amri.za Mungu kabisa kabisa hawezi tumia jini Mungu atusamehe jamani tuachie dhambi waislamu.na wakristo tuachie dhambi
Kabisa wamepotoshwa wanaambiwa kufanya nao ibada ni sawa ila kwa yesu ni moto kwa sababu hana ushirika nao majini waliomba bora awaruhusu waingie kwenye nguruwe kuliko kukutana yesu .
@@rogerssimon9517 wapi uislam umesema kufanya ibada na majini ni sawa
@@Yourshabanmnafanya ibada nao au ni uwongo?
@@Fm-MornStar2014 uongo
Huyu mchungaji ana fanana sana na Regina yule dada mwenye story ya Malikya wa kuzimu
Labda ni ndugu
@@Yusufu940 itakuwa maana wote Niwa uko tabora
Mwana damu alichagua kifo badala ya kuchagua uzima.
Huyu jamaa n muongo ukweli
ni asılımia2
%98 chumvi nying sana ktk hictoria hii n Uongo
ukweli unauma
Wape vidonge vyao
Yeye alisoma dini ya Majin akusoma uislam
Waislam wanasema mungu aliumba majini ili wamuabudu ni sawa lakini kabla ya kuasi ndio lilikuwa kusudi Hilo ila baada ya uhasi hawana uhusiano na mungu wa wanadamu pole kwa anaye fikiri kuna majini wazuri na kufanya ibada nao moto walio andaliwa hao mapepo ni pamoja nyinyi yesu ndiye mungu aishie milele hakuna mwingine.
@@rogerssimon9517 unafrahisha sana.Iko hivi kuna majini wema na majini wabaya kama ilivyo kwa binadamu wema na wabaya.
Kwenye qur'an ibilisi ndio aliasi lakini kuna majini ambao wanamuabudu mungu kwa kuishi vile anahitaji na kuna majini waouvu waliokengeuka.Waislam kusema kuna majin wema haina maana wanashirikiana nao
Aiseee kumbe kumbe waislam wanaundugu na majini au ni mwongo huyu
Muongo tena sana
Wasilamu na Majìni ni ndugu kweli Muhammad aliwasilimisha majini yakawa waislam
Bona mnapinga huyu huyu jamaa na wako wengi tu wametoka uislam tu baada ya kujua ukweri ikiwepo ustadhi amri, kuna hassan, Muhammed anji na wengineo
Mbona wapo wengi tu wametoka kwenye ukristo na saiv ni waislam mfano mazinge na mwaipopo
Wakristo weng wamekuja uislam. Usidanganye...
Ndio Dada
Kama huniamini Google tafsiri.ya Quran na iangalie tafsiri ya surat nas. Hii ni sura ya mwisho ndani ya Quran.
MUONGO MKUBWA. Hakuna palipo andikwa waislamu na majini ndugu. ila ipo sehemu imeandikwa kwamba majini na binaadamu wameumba kwa ajili ya kuja kumuabudu mungu. acha kupotosha watu. na viumbe vyote vimeumbwa na mungu. ukiwemo wewe mpotoshaji.
Ihi noma
Ushabiki wa Dini ndio alionao huyu jamaa.. asikofu JPM alikuwa muislam lakini hajawahi kufanya upotoshaji katika masimulizi yake.
Jamaa Hujui Uislamu
Kwa nini mnashindwa kukubali ukweli?mnapinga?mumefungwa ufahamu kwahiyo uwezo wa kufikiria kwenu ni mdogo.Ila ni kubishana tu.
@@andrewmhagama9816 Anawadanganya nyie mabumunda msioelewa kinachosomwa kwanza anakosea haisomwi hivyo nyie makafiri!
Hizo zinakuwaga kama kivuli tuu unapukiuka huwezi kuzikumbatia hata ufanyeje
Huyu jamaa ni muongo mwambie atafsiri hiyo surat nnasi vzr
Ni kweli kabisa hajatoa tafsi ya surat nasi kul aunzu birabiy nas
We mzee usipotoshe dini kama umebadili niww usiponde dini mdanganye uyo kaka d asiye juwa uisilam
Usilo lijuwa hatadavista alikuwa mwislam 😂
@@mwami_the_don_ watajuwa wao
@@mwami_the_don_ kama mm nakupenda ww siwezi kumponda jule
ukweli unauma
@@fredrickdeus29 sasa niumie nn kwani akuna waganga wakristo au wanga mm siumi kilamtu atabeba mzigo wake na yesu sio mungu
Mifano miingi, punguza explanations na kutaja watu wengiiii wenye hawausiki
Kwanini mlikuwa amuendi msibani kuzika watu mlio watoa kafara
ww mchungaji unasema ulikuwa shekhe.sasa ulikuwa shekhe au unajuwa tu kusoma aya .sio kila mtu anayejuwa kusoma quran ni shekhe .ww mzee acha kutia chumvi baadhi ya maneno
Yaan huyu alikuwa anajua tu kusoma kidogo….na tamaa zake ndangu haihusian na uislam kabisa.?
Kumbe unapotosha hujui Uislamu! Kul audh bila bin nas Malik nnass Ila in nass min sharir was wasir annas ala dhii yua suwis fisudurnnass minal jinat wannas! Hiyo sura ni ya kujukinga na shari za majini unapotembea! Wewe unawapotosha wasijojua kafiri wewe😂😂
Anapotosha uyu mzee
@@rayahamisi118
Kama anapotosha c mtoe vya kwenu tuvielewe,jehanamu ya moto inawaita nyinyi pendeni tu oohoo majini wazuri huku yamewafunga ufahamu.
Kama nyie mnavyofungwa kupiga mziki kuona ni Ibada mnafanya
Ndugu zangu waislam achaneni na Mila na desturi za kiarabu ambazo mnaziita Dini...okokeni Yesu Kristo anawapenda
Wew endelea kuvuta bangi zako zikitoka ndo utajua nn unafanya
Ww mwehu kabsa
Mm nilidhani ungesema hivi
" Ndani ya biblia ungekuta AYA İSAMAYO
UKRISTO NI DINI YA MUNGU
ndıo nıwe MKRISTO!
Ningekuona unaakılı sana!
Sasa ww unasema DINI N MKRİSTO wapi umesoma KTK BİBLİA YAKO???????
Huoni kama unafanya halipo?????????
Mimi ushuhuda wangu ni kuwasaidia walio tayari sasa siwezi kubishana na mtu na endepo utahitaji nikupe Aya zinazo eleza majini waliukubari uislamu nitafute kwenye simu yangu hicho unacho kisema kwamba Aya nilizo soma ni kujikinga na majini sawa je unakataa kwamba hakuna majini waislamu? Na je unakataa kwamba katika uislamu haifundishwi kwamba kuna majini wazuri na wabaya? Napenda kukushauri usihamaki Mimi kuwa mkristo ukitaka kujua elimu yangu ya uislamu nitafute nitakusaidia kwa moyo mweupe bila kinyongo Asante
@twaibumikidadi
Acha makasiliko,hayo yalikua ni maisha yake na vile nafsi ilivyo muongoza kiimani.
Okoka ndio Mungu atakufunulia vitu vingine vingi utavielewa .Msikae na vifungo mpaka muna kufa
Ata huyo na pengine zamani alikua mbishi kama wewe (mtashikilia tu mungu hana mwana) uku majini yanawanyonga.
@andrewmhagama9816
Nijibu haya ntaokoka ndugu
1- wapi yesu asema mimi ni Mungu?
2- wapi biblia inasema Ukristo ni dini ya mungu
3- Wapi Yesu aiingia kasimisani kufanya ibada?
4- Wapi yesı alioa ili mm na ww tuoe
kama kweli tunamfuata Yesu?
Kama haına majibu kwa maandıko ndani ya Biblia basi jua kuwa
ww umepotea maana unafanya kıtu yesu hakufanya!!!!
@twaibumikidadi7377
Maswali ya chekechea kwa Mktristo alie hai.
1.Yesu Kristo alijua zama alizo kuepo ya kwamba akisema yeye ni Mungu moja kwa moja Wayahudi wange mpiga kwa mawe kabla ya andiko kutimia..Zamani ilikua ni kufuru.kwahiyo yeye aliwaambia kwa mafumbo.
Soma:Yohana 10:30
Yohana 1:1 inasema “Neno alikuwa Mungu”. Yohana 1:14 inasema “Neno akafanyika mwili.” Hii inaonyesha wazi ya kwamba Yesu ni Mungu katika mwili. Matendo 20:28 inatuambia, “…Muwe wachungaji wa kanisa la Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe,” Ni nani aliyelinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe? Yesu kristo. Matendo 20:28 inasema ya kwamba Mungu alilinunua kanisa kwa damu yake mwenyewe. Kwa hivyo Yesu ni Mungu
Swali > 1- wapi yesu asema mimi ni Mungu?
Jibu > Yesu hakuja kujitangaza directly Yeye ni Mungu ingawaje alijua Yeye ni nani - "yeye kwa asili alikuwa sawa na Mungu, lakini hakuona kwamba kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kushikilia sana. Bali alikubali kuacha vyote, akachukua hali ya mtumishi, akazaliwa na umbo la wanadamu." - Wafilipi 2:6-7
Wayahudi (kama waislamu) walitaka kumpiga mawe “Tunataka kukupiga mawe si kwa sababu ya mambo mema uliyotenda bali ni kwa kuwa umekufuru. Wewe ni mtu tu lakini unajiita Mungu.” Yohana 10:33
Makuhani wakuu na walimu wa sheria waliudhika waliposikia watoto wakishangilia Hekaluni wakisema, “Hosana kwa Mwana wa Daudi!” Wakamwuliza Yesu, “Unasikia hawa wanavyosema?” Akawajibu, “Nasikia. Kwani hamjasoma maneno haya, ‘Kutoka katika vinywa vya watoto wadogo na wale wanaonyonya umeleta sifa kamili’?
Hapo Yesu alikuwa anawanukulia Zaburi 8:1 Ee Mwenyezi-Mungu, Bwana wetu,
kweli jina lako latukuka duniani kote! Utukufu wako waenea mpaka juu ya mbingu! Kwa sifa za watoto wadogo na wanyonyao, umejiwekea ngome dhidi ya adui zako, uwakomeshe waasi na wapinzani wako.
Mbona ni aya nyingi kuanzia mwanzo hadi ufunuo zinadhihirisha Yesu ni Mungu.
2. wapi biblia inasema Ukristo ni dini ya mungu?
Jibu...Ukristo sio dini kama uislamu na kadhalika...Ukristo ni kuwa mfuasi wa Yesu ...dini zote duniani zimeanzishwa na binadamu.
Hakuna nabii wa Mungu alihubiri jiunge na dini hii au dine ile....Walihubiri imani kwa Mungu...ndio Ibrahim kwa Biblia anaitwa Baba wa imani...sio wa dini.
Kiarabu Dini kiswahili ni NJIA.
Yesu akawaambia, “Mimi ndiye NJIA (dini) NA Kweli NA Uzima; mtu hawezi kufika kwa Baba bila kupitia kwangu." - Yohana 14:6
3. Wapi Yesu aiingia kasimisani kufanya ibada?
Jibu > Luka 4: 16 Baadaye Yesu akaenda Nazareti, mahali alipokulia. Siku ya sabato alikwenda katika sinagogi kama kawaida yake. Akasimama ili asome Maandiko. 17 Akapewa kitabu cha nabii Isaya, akakifungua akasoma kitabu cha Nabii Isaiah 61:1,2
Kitabu cha Nabii Isaya kimo ndani ya Biblia ambayo inatumika kanisani kwa ibada.
4- Wapi yesı alioa ili mm na ww tuoe
kama kweli tunamfuata Yesu?
Mpango wa Mungu kumleta mwana duniani hukuwa wa kuishi kama sisi wanadamu..
Yohana 3:16 “Kwa maana Mungu aliupenda ulimwengu kiasi cha kumtoa Mwanae pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele."
Kwa kifupi...waislamu mumefumbwa macho na akili mkaamini uongo wa ibilisi kuwa Mungu hana Mwana wala hazai....ni kweli allah hana uwezo wowote....kwa hivo mumelaaniwa milele jehanamu >>>> Yohana 3:18 "Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini amekwisha kuhukumiwa; kwa sababu hakumwamini Mwana pekee wa Mungu."
NJOO KWA YESU NDUGU @twaibumikidadi7377
J.B.B.1999
Ma halaktuljinna wal innsa
Ilalyabuduni maanayake ni sijaumba majini na watu ila waniabudu waliomuasi Allah, ndio wanaitwa mashetani
Usichokijua majini asili yake walikuwa malaika watakatifu huko mbinguni kabla ya kuasi zile ni roho ndugu, na asili ya roho wa mungu ni mbinguni ukiona roho yoyote yaani majini hapa ya mbingu hizo roho chafu unclean spirit.
@@rogerssimon9517 sas unaleta ufafanuzi kupitia biblia kwenye hoja yenye misingi ya qur'an mbona unstaajabisha 😂.
Kuhusu majini kuwa malaika hilo ni lenu ila kwenye uislam malaika ni malaika na jini ni jini.Malaika kaumbwa kwa nuru huku jini kaumbwa kwa moto.
According to islam majini walimuasi allah hivyo mungu akatuma malaika kwenda kuwaangamiza,story ni ndef kidogo ila malaika waliondoka na ibilisi akiwa mdogo akaishi na malaika mpaka alipokuja kumuasi allah baada ya kugoma kumsujudia adam kisa yey ni bora kaumbwa kwa moto.