Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa kutuonyesha usanii wa Isaya, usijali hawa wanaokupinga ni wafuasi wa Isaya ambao wengi wao ni waislamu.Kusema kweli Isaya ni mpinga Kristo, kwa hiyo tujihadharini na mafundisho yake, kwa sisi tunaompenda Yesu
Isaya ni mwislamu anajifanya kuwa ni mkristo ndiyo maana anaiponda sana Israel eti siyo taifa la Mungu, ndugu zangu wakristo jihadharini sana na huyu mtu, ni fisi aliyevalia ngozi ya kondoo, msiyashike mafundisho yake yatawapotosha.isaya unayejiita mwalimu wa neno la Mungu, kaa ukijua Mungu anakuona,kwa hayo unayo yafanya kwa kulipunguza kanisa,ole wako Isaya kwa kuwa unamuuzi Yesu
1 Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi. Yakobo 3:1 2 Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu. Yakobo 3:2
Unaoja nzuri tu ila umeshindwa kuiwakilisha zaidi zaidi nasikia matusi tu nakutetea wazungu aujulikani unatetea nini ukristo au wazungu ebu rejea umsikilize isaya vizuri utajifunza kitu acha kulopoka jenga oja mana uyo unaemtaja hana hulka kama wewe yeye anaenda na maandiko jipange upya umezingua
Kuna siku alidanganya eti Sanduku la agano la Mungu kuwa liko Ethiopia nikajua huyu naye anatia akili yake mwenyewe na wala siyo Roho mtakatifu anayefundisha watu
Angalia biblia ina vitabu vingapi. In the standard Protestant Bible there are 66 books, in the Roman Catholic Bible 73 books, and in the Eastern Orthodox Bible 78.Sasa kwanini unamlaum Isaya? Papa anataka kuiandika biblia tena. Biblia ilishabadilishwa, usibishe
@@dasilvajr9647 Unamtukana Isaya. We cha kufanya tumia maandika ya kwenye biblia alafu oanisha na vitabu vingine vya historia vilivyoandikwa na watafiti nguli duniani kisha njoo humu utushirikishe tukusikie. lakini sio kumwita mwenzio mpumbavu, mara shetani......We hujui binadamu tulivyo. Huwa tunamuonea huruma anaetukanwa. Unajiondolea wasikilizaji kwa lugha unayotumia
Mm cpingi kuwa wazungu walileta dini wakaondoka na madini..... Swali langu kwanini BIBLIA VIDABU 66 NA BIBLIA VIDABU 73....hapa yupi wa kanza kupunguza ima kuongeza......
Wewe unajiita ni mtumishi wa MUNGU aliye hai,ni kwa nini hutumii vifungu vya biblia kupinga huo uongo unaousema ni ukafirii,pia kwa nn unatukanaa,basi tuambie kweli unayoifahamu wewee,ha ha haaaa halafu wewee ni mwongooo kuna asilimia milioni mojaaa,,una macho lakini hayaoni,unamajitabu meengi lakini husomi
Sasa wewe mzee na papa wa roma muna mahusiano gani kiimani nk. Maana unasema ukristu hauhusiane na siasa wakati waliokuletea ukristu walikuletea kisiasa.uwe macho.omba Mungu akupe macho ma nne.uone ya mwilini ;ya rohoni;uone mbele na nyuma.ikibidi akuonyeshe yalio sirini na yalio bayana.ila tatizo huwezi kuyaamini kwa sababu ya mapokeo.
Mpaka hapo ninamashaka na elimu yako, unaonekana hujaenda shule na kama umesoma hukuelewa. Jibu kwa hoja nazaidi fundisha kweli unayoijua sio unaingia saiv ilihali mwenzio kaanza. Ulikuwa wapi kutupa mafndisho
Sema wakristo wakiambiwa ukweli halalamika mno, Isaya sio mwislam ila ni wale wakristo wanao jitambua na kuutambua ukweli. Ziko biblia za waroma na waingereza na idadi ya vitabu inatofautiana. Ndio maana Warusi kwakina Puttin wao ukristo wao na imani yao ni tofauti na wazungu. Ukisoma biblia yenyewe inasema torati ilichomwa mara kibao.
Biblia imepita ktk vita nyingiii,kuna karne biblia ilifichwa ,waaumini waligawana vipande vya kalatasi kwa kujifunzia kutokana na sheria kali zilizowekwa juu ya biblia,wewe ndiwe mwongo
Mzee hujambo?unayo research nzuri ya maandiko matakatifu?Hivi tangu ulienda kusoma neno la MunguMungu kuna sina ngapi za bibilia unazozijuwa? Na udhidi kuwaamini wazungu hao na mapokeo yao.kwani hao wazungu ndio malaika sio wanadamu?
Ama huyu kibaraka kweli, wazungu waliwapora mali za waafrika, waliwaua watawala wake kama Mkwawa, Isle, Abushiri ili wapate kutawala. King Leopord aliua wajonfo milioni 14, kwa kutumia aya za biblia . Angalia hii :Ephesians 6:5-8, Paul states "Slaves, be obedient to your human masters with fear and trembling, in sincerity of heart, as to Christ
Pr Kyabashasa namna unavyojibu naona hata MUNGU humjuhi historia yako ni ya hisia tu wala hujuhi kitu! Majibu yako inaonekana hata YESU KRISTO hakufa Talabani maana unavyotafasiri wanadamu wasingemuua!
Nikukumbushe mtumishi mpaka Leo ipo dini haiwafundishi wary blblia isipokuwa wai unyofoa baadhi ya maandiko na kama naming hawawezi kubadirisha maneno twambie walio waua mitume wa YESU MUNGU alifanya nini? Mzee ukija kujibu fanta maombi roho mt. Amusaidie
Leo nakoment, wewe ni mzee ila huna busara sababu unaongea lugha ya matusi kana kwamba umelazimishwa kumfuatilia. Mim naomba katubu kwa kumuataki mtu. ISAYA MY FRIEND TAKE ACTION TO THIS STUPID MAN CAUSE USES RUBISH WORDS.
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana kwa kutuonyesha usanii wa Isaya, usijali hawa wanaokupinga ni wafuasi wa Isaya ambao wengi wao ni waislamu.Kusema kweli Isaya ni mpinga Kristo, kwa hiyo tujihadharini na mafundisho yake, kwa sisi tunaompenda Yesu
Isaya yupo sahihi. Wewe ndiyo mwongo.
Ubarikiwe bwana mchungaji
Ameen🙏🙏
Mzee wa upako kisha wambia kuwa yesu sio mungu
AAA!!! Mwandagasya kumbe ndo ivyo? dunia hii usiamini maneno ya watu
Isaya yuko sahihi. We hujui chochote na hujasoma ,unacho jua ni kutukana tu.
inahitaji Moyo wenye akili kumuelewa mchungaji huyu Mungu akupe hekima na mafunuo ya Roho Mtakatifu
Yaani mavitabu umejaza mashelfu lakini bado hujui kitu chochote hahaha
Kwa mfano nini hakijui?
Isaya ni mwislamu anajifanya kuwa ni mkristo ndiyo maana anaiponda sana Israel eti siyo taifa la Mungu, ndugu zangu wakristo jihadharini sana na huyu mtu, ni fisi aliyevalia ngozi ya kondoo, msiyashike mafundisho yake yatawapotosha.isaya unayejiita mwalimu wa neno la Mungu, kaa ukijua Mungu anakuona,kwa hayo unayo yafanya kwa kulipunguza kanisa,ole wako Isaya kwa kuwa unamuuzi Yesu
Mzee pasta ebu Soma history vzr
Mtumishi wa Mungu mbona unatukana tena
Ww,haujui kitu,isays anajua
Toa vass au ushaidi wa maandiko hacha porojo maneno uliyoambiwa na mkeo nyumbani usilete uku jifunze kwanza ujue mambo ya Biblia hacha kudanganya watu
Hiii michungajiii haijui kitu kweliiiii😅😅😅 masikini imekua programed😂😂😂 imemeacha mira na desturi za kiafrika
We we ndo tapeli was injili ....soma thiolojia vizuri
We Mzee hujui kitu, unachojua ni kutukana tu.
Hujui kitu wwee
Sema ukweli waako tuusikie ili tuonee Nani muongo na mpumbavu kuliko kutoa Matusi tu
Isaya yupo sahihi, wewe
Huna akili
wewe hufai kuwa ni mtu wa neno la Mungu kwakuwa unatukana bila aibu pia ni mchonganishi wa dini zote.
Kwani huwezi kujibu pasi na matusi????
Jibu hoja
Hakuna mwenye nafuu awe mzungu au mwarabu wote walileta dini lakini walicho wafanyia babu zetu anajuaungu tu.
1 Ndugu zangu, msiwe waalimu wengi, mkijua ya kuwa mtapata hukumu kubwa zaidi.
Yakobo 3:1
2 Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.
Yakobo 3:2
Na sio kingi ni king.
Unaoja nzuri tu ila umeshindwa kuiwakilisha zaidi zaidi nasikia matusi tu nakutetea wazungu aujulikani unatetea nini ukristo au wazungu ebu rejea umsikilize isaya vizuri utajifunza kitu acha kulopoka jenga oja mana uyo unaemtaja hana hulka kama wewe yeye anaenda na maandiko jipange upya umezingua
Bado nenda shule kwanza vitabu nyote hivyo umeshindwa kusoma na kuelewa ww fundisha tukuelewe kwa somo rako mwenyewe
Kuna siku alidanganya eti Sanduku la agano la Mungu kuwa liko Ethiopia nikajua huyu naye anatia akili yake mwenyewe na wala siyo Roho mtakatifu anayefundisha watu
Wewe biblia ilikuwa na vitabu vingapi Toka mwanzo,soma biblia vizuri hujui bible
Angalia biblia ina vitabu vingapi. In the standard Protestant Bible there are 66 books, in the Roman Catholic Bible 73 books, and in the Eastern Orthodox Bible 78.Sasa kwanini unamlaum Isaya? Papa anataka kuiandika biblia tena. Biblia ilishabadilishwa, usibishe
Imani yake Imejengwa kwa misingi gani? maana anaikataa bibilia na anasema yeye ni mkristo
We mzee ebu jiongeze. Soma historia kwañza kisha uje upya. UPO shalow sana ndo maana unatukana.
Katukanwa nani sasa
Unataka kulazimisha uongo uwe ukweli
@@dasilvajr9647 Unamtukana Isaya. We cha kufanya tumia maandika ya kwenye biblia alafu oanisha na vitabu vingine vya historia vilivyoandikwa na watafiti nguli duniani kisha njoo humu utushirikishe tukusikie. lakini sio kumwita mwenzio mpumbavu, mara shetani......We hujui binadamu tulivyo. Huwa tunamuonea huruma anaetukanwa. Unajiondolea wasikilizaji kwa lugha unayotumia
Isaya kasema ukweli bibilia hii ni ya wazungu mpuuzi wewe mzee hujui kitu bibilia ni uongo
Padri Vasco Da Gama, alikuja Africa kueneza dini na kumuua kila aliyepinga. Kasome wewe mjinga
Tuambie tusome wapi mathoyo ngapi au matendo ya mitume ngapi hacha porojo nenda jalale umechoka huna ushaidi wa maandiko zako ni porojo tu
Mm cpingi kuwa wazungu walileta dini wakaondoka na madini.....
Swali langu kwanini BIBLIA VIDABU 66 NA BIBLIA VIDABU 73....hapa yupi wa kanza kupunguza ima kuongeza......
Wewe unajiita ni mtumishi wa MUNGU aliye hai,ni kwa nini hutumii vifungu vya biblia kupinga huo uongo unaousema ni ukafirii,pia kwa nn unatukanaa,basi tuambie kweli unayoifahamu wewee,ha ha haaaa halafu wewee ni mwongooo kuna asilimia milioni mojaaa,,una macho lakini hayaoni,unamajitabu meengi lakini husomi
Vp tukianda mdahalo wewe na isaya utakuwa na hoka
Waislam wanatoka wapi hapo. Soma theolojia kwan unaongea kwa uzio mmoja just go beyond the cage.
Sasa hujajibu hoja bali umetumia muda mwingi kushambulia mtu
Mungu akubariki sana kwakweli
Asante saaaaana kyabashasa wasaidie Awa makafiri awaelewi Mimi nakupongeza saaana
Sasa wewe mzee na papa wa roma muna mahusiano gani kiimani nk. Maana unasema ukristu hauhusiane na siasa wakati waliokuletea ukristu walikuletea kisiasa.uwe macho.omba Mungu akupe macho ma nne.uone ya mwilini ;ya rohoni;uone mbele na nyuma.ikibidi akuonyeshe yalio sirini na yalio bayana.ila tatizo huwezi kuyaamini kwa sababu ya mapokeo.
Mungu akubariki
Mpaka hapo ninamashaka na elimu yako, unaonekana hujaenda shule na kama umesoma hukuelewa. Jibu kwa hoja nazaidi fundisha kweli unayoijua sio unaingia saiv ilihali mwenzio kaanza. Ulikuwa wapi kutupa mafndisho
Du kumbe watumish weng hamjui biblia ivi wewe kweli unaijua historia ya biblia zaidi ilipopitia
Sasa mbona wewe unahusisha waislamu? Kwani lini Benson kasema yeye ni mwislamu? Wewe umechanganyikiwa, wewe ukapimwe, acha kumshambulia Benson kibaraka wa wazungu wewe mla sadaka
Uwazavyo kichwani mwako ndivyo ulivyo,
Soma Ezekiel 3&33-34. Katika sura hizi tatu utaelewa
Sema wakristo wakiambiwa ukweli halalamika mno, Isaya sio mwislam ila ni wale wakristo wanao jitambua na kuutambua ukweli. Ziko biblia za waroma na waingereza na idadi ya vitabu inatofautiana. Ndio maana Warusi kwakina Puttin wao ukristo wao na imani yao ni tofauti na wazungu. Ukisoma biblia yenyewe inasema torati ilichomwa mara kibao.
Mtumishi wewe ndy unadanganya watu yesu hakuja kuleta ukristo Wala yeye hakuwa mkristo yesu alileta wokovu Mt 1:21
Ukirisro siyo dini Ukristo ni Imani ukimwamini Yesu Kristo umekuwa mkristo yaani Ushirika wako na MUNGU
@@Aggreymbuganohaipo hiyo Iman ya kiktisto kwenye biblia
Kabisaaa
Biblia imepita ktk vita nyingiii,kuna karne biblia ilifichwa ,waaumini waligawana vipande vya kalatasi kwa kujifunzia kutokana na sheria kali zilizowekwa juu ya biblia,wewe ndiwe mwongo
Uwe untuwekea na vidro kama ushahidi wa alichosema benson maana unavonuukuu inawezekana unamuekea manano benso. Hamuaminiki nyie
Acha uongo wewe kwanza ujajibu Kwa hoja soma vifungu sio kutukana yeye anasoma pia adanganyi wewe ujui
Mzee hujambo?unayo research nzuri ya maandiko matakatifu?Hivi tangu ulienda kusoma neno la MunguMungu kuna sina ngapi za bibilia unazozijuwa? Na udhidi kuwaamini wazungu hao na mapokeo yao.kwani hao wazungu ndio malaika sio wanadamu?
Unamchuki yeye sio muongo wewe ndie muongo
Unaongea pumba....
Ama huyu kibaraka kweli, wazungu waliwapora mali za waafrika, waliwaua watawala wake kama Mkwawa, Isle, Abushiri ili wapate kutawala. King Leopord aliua wajonfo milioni 14, kwa kutumia aya za biblia . Angalia hii :Ephesians 6:5-8, Paul states "Slaves, be obedient to your human masters with fear and trembling, in sincerity of heart, as to Christ
Wote PAMOJA,waarabu na wazungu wameharibu tena Bora wazungu kuliko waarabu.
@@user-cf9sk4us6u Waarabu wamewastaarabisha, wamewalerea dini,lugha,mavazi, vizazi na wakaishi na nyie,muwe na shukran. Utumwa nyie wenyewe mliufanya
Pr Kyabashasa namna unavyojibu naona hata MUNGU humjuhi historia yako ni ya hisia tu wala hujuhi kitu! Majibu yako inaonekana hata YESU KRISTO hakufa Talabani maana unavyotafasiri wanadamu wasingemuua!
Nikukumbushe mtumishi mpaka Leo ipo dini haiwafundishi wary blblia isipokuwa wai unyofoa baadhi ya maandiko na kama naming hawawezi kubadirisha maneno twambie walio waua mitume wa YESU MUNGU alifanya nini? Mzee ukija kujibu fanta maombi roho mt. Amusaidie
Leo nakoment, wewe ni mzee ila huna busara sababu unaongea lugha ya matusi kana kwamba umelazimishwa kumfuatilia. Mim naomba katubu kwa kumuataki mtu. ISAYA MY FRIEND TAKE ACTION TO THIS STUPID MAN CAUSE USES RUBISH WORDS.