BUSTANI YA KWANZA ALIISHI SHETANI YA PILI WALIISHI ADAMU NA EVA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ธ.ค. 2023
- #specialthanks to my spritual father H.E HON. DR. GEORDAVIE PEACE AMBASSADOR.
Je una swali lolote gumu kutoka ndani ya biblia linakusumbua na umekosa majibu kabisa? basi usisite kuuliza Mwalimu Isaya Benson yupo kwa ajili ya kujibu maswali yako yote yanayokusumbua. Andika swali lako kwenye comment nalo litajibiwa bila shaka yoyote.
Asante sana mwalimu hakika wewe ni mtu Wa Pekee ..
Ninaamini mafundisho Yako...nadhani unafanya Kwa uongozi Wa Mungu.
Lakini kuna sehemu haujaweka sawa kwamba misri ya zamani waliishi weusi
Hapana bali waliishi wamisiri waliotokea Kwa yule kijana Wa Hamu aliyekuwa anaitwa misri.
kijana misri hakuwa mweusi ukizingatia aliwazaa wafilisti na mataifa mengine ya huko asia ..pia aliwazaa wamisiri ambao walikuwa si weusi watoto wengine Wa Hamu ni canaani,Libya na kushi . Huyu kushi ndiye anadhaniwa kuwazaa weusi.
Hamu hakuzaa weusi tu
Barikiwa sana mwalimu somo zuri endelea kutufindisha
Mungu akutienguvu yakutufundisha neno ra mungu jwajina rayesu emen❤
Mungu kusema amepumzika kama tunavyofahamu kwa kiswahili chetu.Kupumzika ni kumaliza kazi ya kutengeneza dunia.
Asante kwaufunuo ambayo unatuletea, naamini manenoyako sana, nataka uniambie kanisa la kweli na mashartiyake, basi
Barikiwa sana mumishi wa mungu uyo ni Mungu ana sema si wewe barikiwa sana
Mungu hakuinue saidi
Mungu akupe uvumilivu kuyavumilia matusi ya hao walio zoea kudanganya
Asante mwalimu ila kiswahili hakina 'majina!' Bali kina jina tu kama ilivyo katika Kiingereza ; 'my name is . . . . ! Siyo ' names'
Ubarikiwe mwalimu unanijenga kimani sana.from Nakuru Kenya
Mafundisho mazito Kweli, thank you teacher🎉 following you from Nairobi Kenya.🙏🙏🙏
Nashukuru sana kwamaneno yako mwalimu
Shetani alizingua !!!,daa hakika hii ni Neema yakujibu Maswali hongera my dear Teacher
Hongera mwalim kwa ufafanuz mzuri
Nakuelewa sana mwalimu naomba kuwa mwanafunzi wako
Mwalim kwa kweli, mungu akubariki akukupe ufunuo na ulelewa wa kazi hiyo aliyo kuitia kwa kuhidhisha ukuu wake kupitia kwako wewe mwalimu twapata kufunguliwa jinsi mwenyezi mungu kazi zake zilizo takatifu. Ubarikiwe sana sana Mimi ni mkenya kutoka mombasani, yaani wanifanya kiasi natamani kukuona wewe mwenyewe mwili macho kwa macho yaani jinsi ulivyo ipenda kazi ya mwenyezi mwenye vyote. Amen.
Mwalimu Isaya, ashukuriwe Mungu aliyekujaalia neema ya hekma ktk kazi hii njema.
Ameen mungu akubariki pia Ameen
Asante sana Mwalimu. Barikiwa.
Ubalikiwe mtumishi wa Mungu
Asante sana Mwalimu wa neno la MUNGU
Thanks mwalimu
Shukrani mwalim 😘😘😘
Nimekuelewa sana mwalimu
Big up teacher
Mwalim Mimi ninakihitaji hicho
Kitabu cha enocko
Nitakipataje
Nakufuatilia sana mtumishi
Ni kweli kabisa Mtumishi wewe umesoma kitabu cha Enoch,kuna vitabu vingi vipo havijawekwa kwenye Biblia.kwa watu wengine sio rahisi kuamini.
Havijawekwa maana ni hadithi za kutunga za watu
Ok keep it up !je hilo tunda alilo kula eva na Adam lilikuwa tunda gani ?
Hello hello man...mimi nakufatiria sana hio niukweri na uzidi kufuuza watu ambawo hawaelewi.
Mwalimu, Lucifer na Mungu walifiya Uwumbaji wa Adamu na Ever... udongo uli wawumba Adam na Eva ndiyo ulileta utata kati ya Lucifer na Mungu.
❤❤❤
Wewe unae mkosowa hujui chochote hayo mambo yanahitaji utafiti mwingi sana
Hi bro mwarimu nakupenda pia mafunzo yako inanijenga sana so kunakitano naweza pata niweze kuzingatia hio masomo na hio majibu unatoa kwa majubu mbarimbari mimi ni Abiah Nuru kultoka nairobi
Akuna siyo kweri
Thank you for your teachings teacher🎉 Am from Nairobi Kenya, I've a question plz, Mkrisito Anafaa Kupatizwa Mara ngapi, meaning Ulipatizwa mwanzo After wards you backslided? Kuna Anja ya Upatizo mwingine?- Am Geoffrey Morara/ Akili Saba Motors.
Wewe nuku heshimu bro
Eeh wakenya tupo ndani
Nawe ni haki yako uwepo ili kuongeza idadi ya watumishi wa uongo. Uwezo wa Mungu. Haufanani na akili zako Mungu, Mtakatifu. Anao uwezo wa kutamka tu na dunia ikatoweka. Acha kuwa mgodo wake shetani
Naomba kuuliza kuhusu mke wa kain l na wale watu alipobiwa wasimuuue wakiona ile alama aliowekwa je walitoka wapi ,?
safiii umelitendea haji hekalu LA MUNGU, Harika utalipwa memayako
Kwahiyo ina maana mpaka mungu anamuuliza shetani ametoka wapi mungu alikuwa hajui shetani alikuwa wapi.na shetani aliumbwa na nani
Wewe ni Mwalimu wa uwogo, Mwalimu ni mmoja tu Zouloula 100 search pia ujivuze na ujue kweli.
Naweze nikakutumia je swali.?
Ahsante sana Mwalim.swali hap hapa kwani kweny hio bustani ya kwanza kulikua kuna ile miti miwili ambayo ilionekana ndani ya bustani ya pili? Na hio miti inamaanisha nini?
Jamani kwani injili inayookoa imeisha Hadi kufundisha watu izi vitu ndugu yangu? Haya ni matango pori kabisa
Nimekufuatilia kwenye kila video nasoma komenti nikagundua unafundisha watu wenye upeo mdogo wakati mafundisho yako yanahitaji IQ kubwa ili kuelewa.
Nikweri mwarimu maana siku zake yeye moja kwetu ni miaka 1000
Napata wapi abali za awa malaika walio owa binadamu niwangapi
Isaya una mapepo, huna ajili wewe sio walokole, wewe ni mbumbumbu nenda kaolewe
Imeonyeshwa kuwa watu walikuwepo kuanzia miaka 300000 -100000 Kama Adamu alikuwepo Basi Ni miaka ya karibuni Sana 6000-8000 Watu wa wakati huo hawakuwa na stori zozote Kuhusu Uwepo wa Mungu na Mashetani Hayao ya dini na Uwepo wa Miungu yameanza 4000 kwenyemabonde ya Moto mikubwa baada ya kuimarisha Kilimo na kuwa na ziada ya chakula
Kwahuyo kumbe shetani aliubwa ?
Na
Alikuwa kwenye bustani ya adeni siyo edeni
Ya adamu
Sioni maana ya kujuwa nani alianza au kuishi, cha msingi fuata alichofundisha yesu, ni kuwa yuko adui na wa kupambana naye, hakufundisha tujuwe dunia iliumbwaje haikusadii, cha msingi ni kutoa, kufukuza mapepo na kuponya magonjwa na ndicho alichowatuma wasaidizi,😂
Hapo kwenye kuumbwa kwa dunia miaka mingi naomba,andiko tafadhali,tena umesema shetani ndiyw alianza kuishi duniani,hiyo ufunuo12 naomba uisometena hapo inaposema shangilieni enyimbingu,ole wa nchi na bahari,je hapopia mwanadamu hajaumbwa?,hiyo edeni ya lusifa ilikuwa wapi,
Hujambo mwalimu nifahamishe ili nifahamu je, tunda lililo liwa na Adamu na Eva lilikuwa ni tunda halisi au ni kitendo cha ngono?
Bustani ya Eden ni halisi? Kama ni halisi iko wapi, kuna viashiria vyovyote kwenye Neno la Mungu juu ya ilipokuwa/Ilipo? Pia, kwenye Kitabu cha Mwanzo inaonesha Mungu aliweka walinzi ( Makerubi) mashariki mwa Bustani ya Eden ili kuilinda, hapo naomba kupata ufafanuzi inalindwa kwasababu gani? Na je inalindwa hata sasa?
Mwalimu issaya umeniacha kidogo nataka nifahamu je shetani anafanya kazi yake duniani na huko mbinguni au bado anauwezo wa kwenda mbele ya uflame wa mungu?
Shetani ni ESAU YANI MZUNGU WA LEO
Asantee sana,Mimi swali langu ndoa ni nininii?? Maana wengi tunajua ndoa ni mpaka ifungwe kanisani
27:24 27:24
Swali langu ni kwamba kulingana na maelezo yako kuhusu bustani ya kwanza, unawezadhimbitisha kwamba hiyo bustani ilikuwa duniani au mbinguni sababu Mungu anamwambia shetani amemtupa chini watu waweze kumtazama kulingana na jinsi ulivyosoma hilo andiko.
Pia kulingana na andiko la ufunuo sura ya 12:12 inakuwaje malaika wanahuzunikia wanadamu walioko duniani kama bado alikuwa anaishi pamoja na wanadamu humo duniani?.
Je hizo historia kabla ya kuubwa Kwa Adam zinapatikana wap
Kwenye kitabu cha shetani nilifanikiwa kusoma ukurasa mmoja tuu😂😂😂
Arikuwa ajawa shetani kipind.adam na awa wanaumbwa
Kaka Mungu aliumba kwa siku saba halisi ukisoma mwanzo 1:2-- baada ya kutamka kuumba kitu fulani anasema ikama asubuhi ikawa jioni siku ya kwanza
Usijidai kwamba wewe ndie unaesoma sana kuliko wengine
Siku 6. Ya saba akapumzika
Lucifer alikuwa anakaa wapi wakati Adam na eve wako katika bustanini?sijaelewa, kwani shetani alikuwa katika bustanini baada ya kuanguka, na je malaika zake?
Sasa hiyo roho uasi aliipata wapi? Huyo rucifa . Zingatia ss binadamu tunasema shetani ametudanganya. Je? Shetan alidanganywa na nani?
MTU ukitaka kupindua nchi na mapinduzi yako yasifanikiwe na ukabaahatika kuchoropoka huwezi kurudi ktk nchi hiyo...why LUSIFA alijiudhulisha khali ni MHASI ...au si LUSIFA huyu wa Biblia..!?
Kuna maneno mengine unakichanganya --- unaposema walokole hatunaga majibu kwa waislamu --- siyo kweli,kama wewe huwa unakosa majibu,ni wewe tu.siyo walokole wote, ni baadhi yao,usiwajumlishe wote --- mwislamu anaweza kuwa na swali gani linaloweza kukosa majibu kwenye Biblia --- atakataa tu ukweli,lakini hawezi kukosa majibu.
Kuwa mkweli ndugu walokole sio wote ila baadhi Yao hawapendi kutafuta maarifa sahii ya Mungu na maarifa ni gharama lkn hawapo tayari kutoa hizo gharama ikiwemo na muda wa kujifunza
Kuna utofauti kati ya Dunia na Ulimwengu.
Dunia ni sayari inayo support maisha.
Ulimwengu ni mjumuiko wa sayari na viumbe vingi vyote nje na ndani ya dunia
lakini hiyo vita ya malaika shetani hahusiki, kipindi hicho yeye alikuwa mwema..
ushetani wake ulianzia alipo umbwa Adamu...
edit:
kwanini aumbwe aliye juu yangy
Mafundisho yako Yana make sense sanaa...
Shetani Ni nani
Kumbuka Yesu pia no el
Nauliza swali sabato ya kweli ni ipi kati ya siku 7 za juma nawewe unaamin katika siku ipi
We unapotosha watu
Aaah sorry kwa kukuzingua kumbe mwalimu wako ni GEODARVIE? Sio kosa lako ila upo wrong sana bro... nakukosoa nakuta kila kitu kinatakiwa kukosolewa.... ila ningeomba ukasome THEOLOGY maana hivihivi hautajitambua kama unapotosha na unafundisha bila ata Roho mtakatifu kaka yangu... Muombe Mungu aliye Mbinguni kabla ya kuandaa kipindi naamini yeye ni mwaminifu atakupa maneno ya kuongea...... kama utaendelea kufundisha kwa namna hii JUA KUWA Mathayo 18:6 "Bali atakayemdanganya mmojawapo wa wadogo hawa waniaminio, yamfaa afungiwe shingoni jiwe kubwa la kusagia, na kutoswa katika kilindi cha bahari." OLE WAKO KAMA HAUTABADILIKA NDUGU YANGU OLE WAKO KAMA UTAENDELEA KUPOTOSHA
Hapana Wewe ndo Huelewi tu na huraki kuelewa Shetani aliumbiwa bustani Ya Adeni Ezekiel 28:13 Na Adamu Bustani ya Edeni
Pia shetani hakuwahi kuwa malaika MKUU neno liko wazi malaika mkuu ni mikaeli, na hakuwahi kuishi duniani bali mbinguni sawasawa na neno la Mungu katika kitabu cha
Isaya 14:12
Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
shetani alipewa nafasi ya kuzijua siri za Mungu na hekima ya uendeshaji na si malaika mkuu, HAKUNA HATA SEHEMU MOJA NENO LIMESEMA LUCIFA ALIKUWA MALAIKA MKUU MBINGUNI BALI ALIWEKWA KWENYE BUSTANI NA MLIMA WA MUNGU yaani alipewa kumjua Bwana
Ukisoma kitabu cha isaya 14 kuanzia mstari wa 12 na kuendelea utagundua kuwa lengo kuu la shetani ilikuwa sio kuwa Mungu maana anajua kuwa kamwe asingeweza bali ilitaka KUFANANA NA MUNGU yaan kuchukuwa nafasi ya mwanadamu ambae kwa Mujibu wa bibilia ndie kiumbe pekee alieumbwa kwa mfano na sura ya Mungu (upendeleo katika mamlaka, utawala na umiliki) Sawa Sawa na neno la Mungu katika kitabu cha
Mwanzo 1:26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila kiumbe kitambaacho nchini.
Hapa tunaona wazi kabisa aliepewa neema na kibali cha kufanana na Mungu katika kutawala ni MWANADAMU TU! na si kiumbe mwingine yeyote. Malaika ni watendaji na wajumbe wa Mungu sisi tumehesabiwa haki kama wana wa Mungu kiasi cha kufikishwa katika cheo cha kristo na kupewa nafasi ya kutawala pamoja nae Sawa sawa na neno la Mungu katika kitabu cha
2 Timotheo 2:11-12
Usemi huu ni wa kweli: “Ikiwa tulikufa pamoja naye, tutaishi pia pamoja naye. Tukiendelea kuvumilia, tutatawala pia pamoja naye. Tukimkana, naye pia atatukana.
Mbona biblia inasema ikawa usiku ikawa mchana! Shetani alikuwa kwaya Master!
Hata kwa akili ya kawaida, lucifer alikuwa mkuu wa malaika asingeweza kufanya ushawishi wote huo akiwa malaika wa chini. Lazima alikuwa juu ya safu.
Wewe soma biblia vizu malaika aliekuwa mkuu ni lucifer wakati huu ni shetani .
@@antonyshikanga1864 onyesha maandiko acha mihemko
Shetani kuwa malaika haiwezekani na malaika kuwa shetani haiwezekani tusome kwenye dini zote zinasemaje kwa waislam shetani au lucifa ni kati ya katika kizazi cha majini ambao walianza kuishi kabla ya binaadam
Mwalimu Isaya benson bwana yesu asifiwe kuna kitabu kinaitwa kitabu cha lucifer kilichopotea kinaelezea Enki na enlili naomba kama ungeweza kuchambua izo tablets kwa uzuri utufanyie ivyo na kama kuna kaukweli au ni janjajanja
MTU ukitaka kupindua nchi na mapinduzi yako yasifanikiwe na ukabaahatika kuchoropoka huwezi kurudi ktk nchi hiyo...why LUSIFA alijiudhulisha khali ni MHASI ...au si LUSIFA huyu wa biblia