Kama hawatutaki ni bora zaidi watuuwe wote kwa pamoja wabaki peke yao kuliko uchukue ndugu mmoja uache maumivu na majonzi kwenye familia za watu hii damu inayo mwagika haitawaacha salama wallah naapa Mungu atawalipia kwa yote mnayo tenda harafu mtu anasema haya matukio ni yauongo sio kweli, Mungu atahukumu kwa yeyote anaye husika kwenye hili jambo linaloendelea Tanzania 😭😭😭
Nimeipenda familia yao. Wote wanashirikiana japo ni watoto wa mama tofauti. Journalist is very compassionate, wengine wakihoji kama wanamsuta wanaemuhoji.
Uharibifu au Kutekwa ,Umwagaji wa Damu unaotokea Ni Dhambi kuzidi duniani Wewe Kama hutaki kutubu waache wenzio watubu Maana kila mtu atabeba Msalaba wake ,Mungu skusaidie Ujue nyakati tulizopo
Polisi wanafanya kazigani? Nchi za wenzetu, Raia mmoja Taifa Zima linasimama mpka apatikane. Huku kwetu nikawaida. So sawa aibu kwa Taifa na viongozi maana hakuna Kauli yeyote.
MUNGU YUPO CHAMOTO WATAKIONA KISA WAO WANANA MAMLAKA! ILA YUPO ALIYE NA MAMLAKA KULIKO WAO, MUNGU NDIYE MKUU! ATAWASHUGULIKIA TU HAO MAHARAMIA...WAASI WA NCHI...
Hv mbona kwasasa kumekua namatukio sana serekali ikowapi jaman hii nchi inakwenda wapi jamani kilakukicha natukio niombe viongozi waselekalini jaman sie niwatu wachin sana selekali mtusaidie jamani tunaishi naisha gani kama tupo parestina jamani duuh?
Minaomba mungu kira siku aturinde waje mana akuna wakuturinda apa duniani zaidi yako naomba mungu ushushe paraa zito kwa wote wanefanya aya mambo yamauwaji na utekaji na ubakaji pia awashushie baraa zito nawao waone jee inanoga
Pole cn mungu tu awalinde ss hivi nchi yetu Tanzania haina tena Amani wala Usalama roho mkononi cjui tunaishi vp km wenyewe pesa wana ulinzi ss wahali ya chini tulindwe tu na mungu matukio kl cku
Alafu bunge linasema akuna utekaji Yani ukwel ni kwamba mapolice ndiyo wanachukua watu je wanawapeleka wapi na jela zimewekwa za nn km wanachukua Sheria mkononi na sio mtu mmoja serekali nayo inakaa kimya me nashemej yng hvy hvy mpk tushahisi wamekufa
Watu wajiange ikionekana gari limekuja hkuchukuwa MTU bassi hiyo gari watu wafatiliye na watu wasiondoke mpaka mupigesimu polisi kisha ndiyo wawachukuwe
haya ni madhara ya polisi kubeba watu kiholela yanasababisha hata raia kujichukulia sheria mikononi...sasa hapa tuna uhakika gani ni polisi wamewachukua...pengine ni raia tu wamejichukulia sheria kama vyombo husika
Wewe ndiyo unaongea pumba ndugu yangu hujui kama CCM Ndiyo katiba ya inchi tatizo letu watz tumekuwa Wanachama wa viama badala ya kudili na kuangalia viongozi bola hii CCM ck ikituachia inchi yetu ndiyo ck watu tutakuwa hulu@@MashaMbwana
Poleni sana ndugu zangu .... uka ndugu mtangazaji fanya mazoezi umekuwa kibongo mzee baba
Pole sana Mwanangu M/Mungu awalinde nakuwakinga kila aina yaUbaya
Eeeh mungu wangu tulinde na uwasaidie walio potea😢😢😢😢😢
Kama hawatutaki ni bora zaidi watuuwe wote kwa pamoja wabaki peke yao kuliko uchukue ndugu mmoja uache maumivu na majonzi kwenye familia za watu hii damu inayo mwagika haitawaacha salama wallah naapa Mungu atawalipia kwa yote mnayo tenda harafu mtu anasema haya matukio ni yauongo sio kweli, Mungu atahukumu kwa yeyote anaye husika kwenye hili jambo linaloendelea Tanzania 😭😭😭
Mwakani uchaguzi kaka, viungo
Mungu atusaidie sana jamaniii!!! Inatisha sana
NamieSikumojaNiliwazaHivyo.wabaki.pekeYaoNa.wanyama.akiwemoSimba
Lkn pia mkumbuke kuna wafanya biashara wauza figo na main na bandama
Tunamuomba M'Mungu awalinde na awarudishe wakiwa hai na salama
Jamani tujifunzeni kitu,tukiona hali kama hizi,tusishangae tu,tuchukue namba za gar ,maana hali inatisha
Bado tu hawajapatikana mpk hii Septemba 5:18 sbb tukio hili lina mda
Nimeipenda familia yao. Wote wanashirikiana japo ni watoto wa mama tofauti.
Journalist is very compassionate, wengine wakihoji kama wanamsuta wanaemuhoji.
Hii nchi 😢sijui tunaelekea wapi
Dah😢
Yani watu tumekuwa wanyama sana
Hizi Ni siku za Mwisho Usalama wetu nikwa YESU tu ,Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu unekaribia
Unaandika vitu visivyo endana na maudhui!hovyo kabisa
Kabisa aisee😓😓😓😓😓
Hallelujah🙏
@@IbniAbbas-yz3kt Ila wewe si ungenyamaza tu jamani kama hujapenda alicho comment😂😂
Uharibifu au Kutekwa ,Umwagaji wa Damu unaotokea Ni Dhambi kuzidi duniani Wewe Kama hutaki kutubu waache wenzio watubu Maana kila mtu atabeba Msalaba wake ,Mungu skusaidie Ujue nyakati tulizopo
Dogo anauchungu sana pole sana
Mmmmmh nyie nyie nyie nyie mbona mambo mazito nyie aiseee serikal serikal yangu naomba sanaaa angalien haya majanga ni mengi sanaaa jaman
Hao serikali ndo wanaefanya haya. Yote
Polisi wanafanya kazigani? Nchi za wenzetu, Raia mmoja Taifa Zima linasimama mpka apatikane. Huku kwetu nikawaida. So sawa aibu kwa Taifa na viongozi maana hakuna Kauli yeyote.
Huyo shem anajua ukweli wa kila kituuuu wallah kuwen makin
Sjui kwann tunaogopa jmn yan ASKARI WAMEKUA NDO WAKUOGOPWA JMN SAS RAIA WATAKIMBILIA WAP JAMANI 😢😢😢
MUNGU YUPO CHAMOTO WATAKIONA KISA WAO WANANA MAMLAKA! ILA YUPO ALIYE NA MAMLAKA KULIKO WAO, MUNGU NDIYE MKUU! ATAWASHUGULIKIA TU HAO MAHARAMIA...WAASI WA NCHI...
Wakenya wan wez sijui tuka wakodi waje kutusaidia
Poleni sana
Poleni Sana Mungu mkubwa atahukumu apa apa
Eeh! Mwenyezi Mungu tulinde na hivi vitendo vya kikatili
Mungu simamaa sisi wenyew hatuwezi onyesha ukuu wako Mungu ili watu wajue kuwa ww upo
Hii nchi sijui inashida gan wajomba zangu wametekwa toka tar 28/12/2023 Yaan had Leo hawajaonekana Wala hakuna dalili sijui tunaelekea wapi dah😢
Toa taarifa bc ht ktk vyombo hivyo vya habari pia
Ewe mola wetu tunaomba tulindie ndugu hawa waliopotea subhanallah haya majanga yanazidi sijui shida ni wapi😢😢😢😢
I like this journalist, he knows how to interrogate very well. Au huyu jamaa ni wakofia. Anajua kuoji vizuri yaani. You capture the story inside out
Ee MUNGU Wangu tusaidie yarabbi
Huyohyo shemeji ndio muhusika wa yote
Ila huyo mwandishi anapandia panda sana Maneno..mhusika anashindwa kujielezea vizuri...mpe nafasi
Yaani mi mpaka nimezima data
Hv mbona kwasasa kumekua namatukio sana serekali ikowapi jaman hii nchi inakwenda wapi jamani kilakukicha natukio niombe viongozi waselekalini jaman sie niwatu wachin sana selekali mtusaidie jamani tunaishi naisha gani kama tupo parestina jamani duuh?
Pole sana
Kwa nn msitrak iyo namba aiseeeee😢😢😢
Tz hakuna police hapo hao wamezoea lushwa bila hongo hawataweza kukusaidia dh
Hichihi. Tz ni hatari sana amani ishatoekwa kwa binaadam vitaya kimyakimya. MUNGU. tutetee wajawako
Familia ya watoto 16 wanazungukwa na shemeji yao hakuna hata mmoja anatoa wazo la kwenda police kweli??? Subhanallah yarrabi😢😢😢😢
Watu tubadilike
Daah!
Mungu awasimamie
Kuna wale Wengine wanne nao wauza cm walipotea kitambo sijui ni mwaka Jana hadi Leo hawakupatikana na gari Yao ikatelekezwa barabaran😢😢
Wameuliwa hao na oluşu wow
Upelelezi uanzie ku track izo namba zao zilipoitia mara ya mwisho
Kazi iendelee Samia Anaupiga mwingi watanganyika Uwa Awajawai kujielewa Acha Wawamalize😂 CCM
Chiyumba unafanya kazi kubwa sana m/mung akulinde na akupe afya njema.
😭😭😭😭💔💔💔
Mbona matukio haya yalikua yameishaisha? Kwanni yamerudi tena halafu kwaharaka sana jamani!! Mama Samia simama nahili kiukweli nimaumivu makali sana.
Uchaguzi jamani
@@AnnaMarko-k9t tutaogopa hta kutoka sasa
Kwahyo saiz wanatuteka mpaka sisi watu wazma,sitaki lift zenu tena mm ntatembea2 🚶🚶🚶
😂kimbia mwenzangu
Upo kama mim😂😂😂
Dunia sasa inatisha sana anapojuja tu akadainyeye ni polisi usikubali kuwafuata mpaka uwaonebwajumbe wa eneo lako
Poleni sana ndugu zangu dah dunia hii 😢😢
Hata mm nina kakangu tuna jina moja baba mmoja mama tofauti.
Nini tena hawanduguzetu Mimi nawafahamu kabisa kwani kitu gani kimeikumva tz
Hawa bado hawajapatikana hadi hii Septemba 2024 yaani nimewakumbuka tegeta wenzangu
Hii nchi inaenda wapi Tanzania 🇹🇿🇹🇿 mungu wangu
Mungu tunaomba utuhurumie waja wako
Aamina
Mwandishi unafaa na una jua jinsi ya kuhoji. Watanzania wanatakiwa wajifunze ku record pale wanapoona watu wanachukuliwa.
Uyoo. Shemeji ni tapeli
Mnatoaje pessa kishamba ivyo
Nchi ngumu hii tumuombe MUNGU sana
Minaomba mungu kira siku aturinde waje mana akuna wakuturinda apa duniani zaidi yako naomba mungu ushushe paraa zito kwa wote wanefanya aya mambo yamauwaji na utekaji na ubakaji pia awashushie baraa zito nawao waone jee inanoga
Huyo shemigiii uyooo wakuishiii naeee atiweee stick atasema
Auwawe
😂😂😂 unafanya tucheke kwenye matatizo
Shemeji yangu amechukuliwa na hao hao polisi toka 4/1 mpk hivi vituo vyote hayupo Tanzania Tanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole
Kamata huyo shemeji na huyo usalama wa taifa wanajuana wakibinywa vzuri wataongea
Ila huyu mkaka anatumia hakir nyingi San,pia pole sana
Pole cn mungu tu awalinde ss hivi nchi yetu Tanzania haina tena Amani wala Usalama roho mkononi cjui tunaishi vp km wenyewe pesa wana ulinzi ss wahali ya chini tulindwe tu na mungu matukio kl cku
Huyu shemeji yenu anahusika Kwa asilimia 99 inabidi abanwe atasema
Na kweli. Mganga wa kienyeji atapatia wapi pinguu
Huyo shemeji yake ndo muhusika mkuu 😊
Kweli mganga wa kienyeji anachukua watoto wa mtu jamani Mungu tusaidie kuna kitu gani hiki mbona wanadamu hatuna hofu ya Mungu
Mfanye matanga hao wameuwawa ni serikali na polisi wanajua yote hayo lkn hawataki kusema ukweli lkn mungu ataleta hukumu kwa wao madhalimu
Kwann haukuuliwa wewe ?
Mungu yupo atawshulikia hao mahalamia! Hakuna aliye na nguvu wala mamlaka kuliko Mungu.
Shemeji abanwe tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Alafu bunge linasema akuna utekaji Yani ukwel ni kwamba mapolice ndiyo wanachukua watu je wanawapeleka wapi na jela zimewekwa za nn km wanachukua Sheria mkononi na sio mtu mmoja serekali nayo inakaa kimya me nashemej yng hvy hvy mpk tushahisi wamekufa
Pole kijana unawapambania ngdzako.
Wafanye msiba tu Si tushafanya mafundi Simu msinunue Simu za kuletewa
Namba za simu zifatiliwe hakuna namba iliyosajiliwa bila vielelezo vya nida kuwakamata watekaji anaotumia simu ni rahisi tu
Tanzania ya samia
Ee MUNGU ionekanie Tanzania 🇹🇿 Bwana naomba utupiganie
Kwa kweli ole wenu ninyi mnaoteka watu. Sijui ninyi mtakaukia duniani. Hivi mnaowafanyia binadam wenzenu. Ueni sana watu. Sijui ninyi mtaenda wapi! Pingu wanamiliki polisi raia wanarusiwa kumiliki? Wahusika ni polisi.
Shemeji ana husika
Sasaivi htusomibtaarifa zamaendeleo yatanzania,miradi mingapi imefunguliwa,Bali tunona utekaji uwaaji,waganga wakienyeji kuuwa watu watoto,viungo kutolewa,jmn kama nchi tunaenda wapi,viongozi wtu wenye dhamani yausalama wananchi wenu mko wapi jmn.waziri wtu masauni sema kitu nawatanzania ,miyoyo inavija damu inalia .Uzazi unauma jmn.
Watu wajiange ikionekana gari limekuja hkuchukuwa MTU bassi hiyo gari watu wafatiliye na watu wasiondoke mpaka mupigesimu polisi kisha ndiyo wawachukuwe
Ukute hawakuwa hata polisi hao😢😢😢
Najitemegea mwenyewe naofisi yangu
Aiseeeeee 😂😂😂acha.bhasiiii
Bila Ya Serekali kupinga kuwepo kwa Waganga wa Kienyeji hapa Nchini bc hayamatukio ya watu kupotea hayataisha
Hiv unahisi hawa ni wagaga wakienyeji ndo sababu!? 😅
Shemeji ndie Muhusika ila kwa hapa Tz Sijui
Wanauliwa wanaenda kuzikwa mapolin vijana Mnauliwa bado naipenda CCM
haya ni madhara ya polisi kubeba watu kiholela yanasababisha hata raia kujichukulia sheria mikononi...sasa hapa tuna uhakika gani ni polisi wamewachukua...pengine ni raia tu wamejichukulia sheria kama vyombo husika
Hii nchi imezidi
Huyo shemeji ni tatizo
Duh
Mumshikilie shemeji huyo" mchezo wote anaujua vyema sana" Na kupitia yeye ndio mtapata pakuanzia.
Yaaraby wasimamie waja wako hawa uwaokoe huko walipo kwani wewe ndie muweza wa kila jambo
😢😢😢
Uyoo shemeg yakooo anajuwa haow2. Walipoo shemeg ykoo nitapeliii
Tanzania polisi kukamata laia bila kosa nikawaida hao wameenda kufa
MUNGU YUPO CHAMOTO WATAKIONA KISA WAO WANA MAMLAKA!
Jamani kakaangu makonda yupo wapi? tumemmiss arusha
Mimi enyewe nitakae mkamata na simu yangu atapotea hivyo hivyo
Mtangazaji vp unaingilia maongezi sana
Hata mie ananikera kweli
Anakera sana
Joman huyu mwandishi hapana sijamuelewa kabisa kaaa hayo maswali
Mnasemaga ccm ni nzuri haya mmejionea wenyewe
@@JohnJoseph-qq7ow haya ccm imekujaje apo watu wanazungumza mambo ya msingi unazungumza pumba tu
.ndo chama tawala chenye kuunda serekali yenye ubazazi wa kuteka watu hovyo ila mtatafunana tu wapi makonda
Wewe ndiyo unaongea pumba ndugu yangu hujui kama CCM Ndiyo katiba ya inchi tatizo letu watz tumekuwa Wanachama wa viama badala ya kudili na kuangalia viongozi bola hii CCM ck ikituachia inchi yetu ndiyo ck watu tutakuwa hulu@@MashaMbwana
Ni shemeji kahusika
Sim zao baada ya kuchkuliwa mala ya mwisho zimesoma wap??
Swali zuri sana
Hacha tu viongoz wameekaa tu
Duu waganga matapeli hau.
Huyo shemegi yenu anahusika atiwe hatiyani
Askari wanateka watu wanachikua pesa zao kweny akaunti...
Yan hii kesi yenu bana yani mmeshindwa kujuwa nani anahusika huyo shemeji yenu 😢
Yani tanzania yatu kwasasa atuna amani maana kirasiku ni matukiyo tu yakutekwa watu hawajurikani waperekwa wapi maana hasirimiya kubwa hawapatikani
Jamani huyo shemeji anahusika