HUZUNI: NDUGU WAWILI WAPOTEA, WALICHUKULIWA NA GARI MBILI “ALIJIFANYA USALAMA KUMBE MGANGA”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 194

  • @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
    @Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 2 หลายเดือนก่อน +6

    Poleni sana ndugu zangu .... uka ndugu mtangazaji fanya mazoezi umekuwa kibongo mzee baba

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 หลายเดือนก่อน +6

    Pole sana Mwanangu M/Mungu awalinde nakuwakinga kila aina yaUbaya

  • @shabaniiddy5465
    @shabaniiddy5465 2 หลายเดือนก่อน +13

    Eeeh mungu wangu tulinde na uwasaidie walio potea😢😢😢😢😢

  • @latwibujuma
    @latwibujuma 2 หลายเดือนก่อน +25

    Kama hawatutaki ni bora zaidi watuuwe wote kwa pamoja wabaki peke yao kuliko uchukue ndugu mmoja uache maumivu na majonzi kwenye familia za watu hii damu inayo mwagika haitawaacha salama wallah naapa Mungu atawalipia kwa yote mnayo tenda harafu mtu anasema haya matukio ni yauongo sio kweli, Mungu atahukumu kwa yeyote anaye husika kwenye hili jambo linaloendelea Tanzania 😭😭😭

    • @happinessmchome9101
      @happinessmchome9101 2 หลายเดือนก่อน

      Mwakani uchaguzi kaka, viungo

    • @happinessmchome9101
      @happinessmchome9101 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mungu atusaidie sana jamaniii!!! Inatisha sana

    • @SalmanMughal-lq5lt
      @SalmanMughal-lq5lt 2 หลายเดือนก่อน +1

      NamieSikumojaNiliwazaHivyo.wabaki.pekeYaoNa.wanyama.akiwemoSimba

    • @missmoona4497
      @missmoona4497 2 หลายเดือนก่อน

      Lkn pia mkumbuke kuna wafanya biashara wauza figo na main na bandama

  • @FatmaAlabri-lz2cw
    @FatmaAlabri-lz2cw 2 หลายเดือนก่อน +12

    Tunamuomba M'Mungu awalinde na awarudishe wakiwa hai na salama

  • @AishaHussein-en3wf
    @AishaHussein-en3wf 2 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani tujifunzeni kitu,tukiona hali kama hizi,tusishangae tu,tuchukue namba za gar ,maana hali inatisha

    • @saudalilingani9264
      @saudalilingani9264 หลายเดือนก่อน

      Bado tu hawajapatikana mpk hii Septemba 5:18 sbb tukio hili lina mda

  • @haskao77
    @haskao77 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda familia yao. Wote wanashirikiana japo ni watoto wa mama tofauti.
    Journalist is very compassionate, wengine wakihoji kama wanamsuta wanaemuhoji.

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 2 หลายเดือนก่อน +19

    Hii nchi 😢sijui tunaelekea wapi

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 2 หลายเดือนก่อน +14

    Hizi Ni siku za Mwisho Usalama wetu nikwa YESU tu ,Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu unekaribia

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 2 หลายเดือนก่อน +5

      Unaandika vitu visivyo endana na maudhui!hovyo kabisa

    • @adellaishengoma5301
      @adellaishengoma5301 2 หลายเดือนก่อน +2

      Kabisa aisee😓😓😓😓😓

    • @StelaJohn-nj5yf
      @StelaJohn-nj5yf 2 หลายเดือนก่อน +3

      Hallelujah🙏

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 2 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@IbniAbbas-yz3kt Ila wewe si ungenyamaza tu jamani kama hujapenda alicho comment😂😂

    • @InjiliyaUfalmetv
      @InjiliyaUfalmetv 2 หลายเดือนก่อน +3

      Uharibifu au Kutekwa ,Umwagaji wa Damu unaotokea Ni Dhambi kuzidi duniani Wewe Kama hutaki kutubu waache wenzio watubu Maana kila mtu atabeba Msalaba wake ,Mungu skusaidie Ujue nyakati tulizopo

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 2 หลายเดือนก่อน +8

    Dogo anauchungu sana pole sana

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mmmmmh nyie nyie nyie nyie mbona mambo mazito nyie aiseee serikal serikal yangu naomba sanaaa angalien haya majanga ni mengi sanaaa jaman

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 2 หลายเดือนก่อน

      Hao serikali ndo wanaefanya haya. Yote

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 2 หลายเดือนก่อน +7

    Polisi wanafanya kazigani? Nchi za wenzetu, Raia mmoja Taifa Zima linasimama mpka apatikane. Huku kwetu nikawaida. So sawa aibu kwa Taifa na viongozi maana hakuna Kauli yeyote.

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 2 หลายเดือนก่อน +8

    Huyo shem anajua ukweli wa kila kituuuu wallah kuwen makin

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 2 หลายเดือนก่อน +5

    Sjui kwann tunaogopa jmn yan ASKARI WAMEKUA NDO WAKUOGOPWA JMN SAS RAIA WATAKIMBILIA WAP JAMANI 😢😢😢

    • @JJTSUPERCLEANER
      @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน

      MUNGU YUPO CHAMOTO WATAKIONA KISA WAO WANANA MAMLAKA! ILA YUPO ALIYE NA MAMLAKA KULIKO WAO, MUNGU NDIYE MKUU! ATAWASHUGULIKIA TU HAO MAHARAMIA...WAASI WA NCHI...

    • @latifamubba100
      @latifamubba100 2 หลายเดือนก่อน

      Wakenya wan wez sijui tuka wakodi waje kutusaidia

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor7415 2 หลายเดือนก่อน +4

    Poleni sana

  • @khamushamad8857
    @khamushamad8857 2 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni Sana Mungu mkubwa atahukumu apa apa

  • @zamBakar-y3j
    @zamBakar-y3j 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eeh! Mwenyezi Mungu tulinde na hivi vitendo vya kikatili

  • @maryombella2409
    @maryombella2409 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu simamaa sisi wenyew hatuwezi onyesha ukuu wako Mungu ili watu wajue kuwa ww upo

  • @ukhtyrehemaabdy2830
    @ukhtyrehemaabdy2830 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hii nchi sijui inashida gan wajomba zangu wametekwa toka tar 28/12/2023 Yaan had Leo hawajaonekana Wala hakuna dalili sijui tunaelekea wapi dah😢

    • @KhadijaMasoud-m6u
      @KhadijaMasoud-m6u 2 หลายเดือนก่อน

      Toa taarifa bc ht ktk vyombo hivyo vya habari pia

  • @SalhaRamadan
    @SalhaRamadan 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ewe mola wetu tunaomba tulindie ndugu hawa waliopotea subhanallah haya majanga yanazidi sijui shida ni wapi😢😢😢😢

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 2 หลายเดือนก่อน

    I like this journalist, he knows how to interrogate very well. Au huyu jamaa ni wakofia. Anajua kuoji vizuri yaani. You capture the story inside out

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar หลายเดือนก่อน

    Ee MUNGU Wangu tusaidie yarabbi

  • @JosephAgustino-f9z
    @JosephAgustino-f9z 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyohyo shemeji ndio muhusika wa yote

  • @MaryNdondole
    @MaryNdondole 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ila huyo mwandishi anapandia panda sana Maneno..mhusika anashindwa kujielezea vizuri...mpe nafasi

    • @SudyMpanda
      @SudyMpanda 2 หลายเดือนก่อน

      Yaani mi mpaka nimezima data

  • @dottokulwa7075
    @dottokulwa7075 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hv mbona kwasasa kumekua namatukio sana serekali ikowapi jaman hii nchi inakwenda wapi jamani kilakukicha natukio niombe viongozi waselekalini jaman sie niwatu wachin sana selekali mtusaidie jamani tunaishi naisha gani kama tupo parestina jamani duuh?

  • @HamisiMatola-fs2gn
    @HamisiMatola-fs2gn 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa nn msitrak iyo namba aiseeeee😢😢😢

  • @EmanuelMbandi
    @EmanuelMbandi 2 หลายเดือนก่อน +6

    Tz hakuna police hapo hao wamezoea lushwa bila hongo hawataweza kukusaidia dh

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน +8

    Hichihi. Tz ni hatari sana amani ishatoekwa kwa binaadam vitaya kimyakimya. MUNGU. tutetee wajawako

  • @SalhaRamadan
    @SalhaRamadan 2 หลายเดือนก่อน +1

    Familia ya watoto 16 wanazungukwa na shemeji yao hakuna hata mmoja anatoa wazo la kwenda police kweli??? Subhanallah yarrabi😢😢😢😢
    Watu tubadilike

  • @DeogratiusMwizarubi
    @DeogratiusMwizarubi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Daah!

  • @maimukanabora8751
    @maimukanabora8751 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awasimamie

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna wale Wengine wanne nao wauza cm walipotea kitambo sijui ni mwaka Jana hadi Leo hawakupatikana na gari Yao ikatelekezwa barabaran😢😢

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wameuliwa hao na oluşu wow

  • @snipershort6988
    @snipershort6988 2 หลายเดือนก่อน +2

    Upelelezi uanzie ku track izo namba zao zilipoitia mara ya mwisho

  • @hafsasaif8004
    @hafsasaif8004 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi iendelee Samia Anaupiga mwingi watanganyika Uwa Awajawai kujielewa Acha Wawamalize😂 CCM

  • @ChainesBoufee
    @ChainesBoufee 2 หลายเดือนก่อน

    Chiyumba unafanya kazi kubwa sana m/mung akulinde na akupe afya njema.

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe 2 หลายเดือนก่อน +3

    😭😭😭😭💔💔💔

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona matukio haya yalikua yameishaisha? Kwanni yamerudi tena halafu kwaharaka sana jamani!! Mama Samia simama nahili kiukweli nimaumivu makali sana.

    • @AnnaMarko-k9t
      @AnnaMarko-k9t 2 หลายเดือนก่อน +1

      Uchaguzi jamani

    • @firdausqutty2067
      @firdausqutty2067 2 หลายเดือนก่อน

      @@AnnaMarko-k9t tutaogopa hta kutoka sasa

  • @AnithaThadeo-n2i
    @AnithaThadeo-n2i 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwahyo saiz wanatuteka mpaka sisi watu wazma,sitaki lift zenu tena mm ntatembea2 🚶🚶🚶

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 2 หลายเดือนก่อน

      😂kimbia mwenzangu

    • @TatuHusseni-hs7mu
      @TatuHusseni-hs7mu 2 หลายเดือนก่อน

      Upo kama mim😂😂😂

  • @abdallahashajuma1281
    @abdallahashajuma1281 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia sasa inatisha sana anapojuja tu akadainyeye ni polisi usikubali kuwafuata mpaka uwaonebwajumbe wa eneo lako

  • @sauda4505
    @sauda4505 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana ndugu zangu dah dunia hii 😢😢

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 2 หลายเดือนก่อน

    Hata mm nina kakangu tuna jina moja baba mmoja mama tofauti.

  • @EvangelistJsolomonMkwata
    @EvangelistJsolomonMkwata หลายเดือนก่อน +1

    Nini tena hawanduguzetu Mimi nawafahamu kabisa kwani kitu gani kimeikumva tz

    • @saudalilingani9264
      @saudalilingani9264 หลายเดือนก่อน

      Hawa bado hawajapatikana hadi hii Septemba 2024 yaani nimewakumbuka tegeta wenzangu

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nchi inaenda wapi Tanzania 🇹🇿🇹🇿 mungu wangu

  • @ElizaYanga
    @ElizaYanga 2 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu tunaomba utuhurumie waja wako

  • @totonata5384
    @totonata5384 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi unafaa na una jua jinsi ya kuhoji. Watanzania wanatakiwa wajifunze ku record pale wanapoona watu wanachukuliwa.

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 2 หลายเดือนก่อน

    Uyoo. Shemeji ni tapeli

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mnatoaje pessa kishamba ivyo

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 หลายเดือนก่อน +3

    Nchi ngumu hii tumuombe MUNGU sana

  • @RahmaShona
    @RahmaShona หลายเดือนก่อน

    Minaomba mungu kira siku aturinde waje mana akuna wakuturinda apa duniani zaidi yako naomba mungu ushushe paraa zito kwa wote wanefanya aya mambo yamauwaji na utekaji na ubakaji pia awashushie baraa zito nawao waone jee inanoga

  • @VincentGasper
    @VincentGasper 2 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo shemigiii uyooo wakuishiii naeee atiweee stick atasema

    • @PendoMatemba
      @PendoMatemba 2 หลายเดือนก่อน

      Auwawe

    • @esterhezron6143
      @esterhezron6143 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 unafanya tucheke kwenye matatizo

  • @celinamosha9420
    @celinamosha9420 2 หลายเดือนก่อน

    Shemeji yangu amechukuliwa na hao hao polisi toka 4/1 mpk hivi vituo vyote hayupo Tanzania Tanzania 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @MaallymAbdallah44
    @MaallymAbdallah44 หลายเดือนก่อน

    Pole

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kamata huyo shemeji na huyo usalama wa taifa wanajuana wakibinywa vzuri wataongea

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc หลายเดือนก่อน

    Ila huyu mkaka anatumia hakir nyingi San,pia pole sana

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 2 หลายเดือนก่อน

    Pole cn mungu tu awalinde ss hivi nchi yetu Tanzania haina tena Amani wala Usalama roho mkononi cjui tunaishi vp km wenyewe pesa wana ulinzi ss wahali ya chini tulindwe tu na mungu matukio kl cku

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu shemeji yenu anahusika Kwa asilimia 99 inabidi abanwe atasema

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 2 หลายเดือนก่อน

    Na kweli. Mganga wa kienyeji atapatia wapi pinguu

  • @TatuHusseni-hs7mu
    @TatuHusseni-hs7mu 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo shemeji yake ndo muhusika mkuu 😊

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli mganga wa kienyeji anachukua watoto wa mtu jamani Mungu tusaidie kuna kitu gani hiki mbona wanadamu hatuna hofu ya Mungu

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mfanye matanga hao wameuwawa ni serikali na polisi wanajua yote hayo lkn hawataki kusema ukweli lkn mungu ataleta hukumu kwa wao madhalimu

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 2 หลายเดือนก่อน

      Kwann haukuuliwa wewe ?

    • @JJTSUPERCLEANER
      @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu yupo atawshulikia hao mahalamia! Hakuna aliye na nguvu wala mamlaka kuliko Mungu.

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 2 หลายเดือนก่อน

    Shemeji abanwe tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @neykombe8831
    @neykombe8831 หลายเดือนก่อน

    Alafu bunge linasema akuna utekaji Yani ukwel ni kwamba mapolice ndiyo wanachukua watu je wanawapeleka wapi na jela zimewekwa za nn km wanachukua Sheria mkononi na sio mtu mmoja serekali nayo inakaa kimya me nashemej yng hvy hvy mpk tushahisi wamekufa

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 หลายเดือนก่อน

    Pole kijana unawapambania ngdzako.

  • @ggfffhii4706
    @ggfffhii4706 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wafanye msiba tu Si tushafanya mafundi Simu msinunue Simu za kuletewa

  • @NeemaUrasa-u4y
    @NeemaUrasa-u4y หลายเดือนก่อน

    Namba za simu zifatiliwe hakuna namba iliyosajiliwa bila vielelezo vya nida kuwakamata watekaji anaotumia simu ni rahisi tu

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 หลายเดือนก่อน

    Tanzania ya samia

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ee MUNGU ionekanie Tanzania 🇹🇿 Bwana naomba utupiganie

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli ole wenu ninyi mnaoteka watu. Sijui ninyi mtakaukia duniani. Hivi mnaowafanyia binadam wenzenu. Ueni sana watu. Sijui ninyi mtaenda wapi! Pingu wanamiliki polisi raia wanarusiwa kumiliki? Wahusika ni polisi.

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 หลายเดือนก่อน

    Shemeji ana husika

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 หลายเดือนก่อน

    Sasaivi htusomibtaarifa zamaendeleo yatanzania,miradi mingapi imefunguliwa,Bali tunona utekaji uwaaji,waganga wakienyeji kuuwa watu watoto,viungo kutolewa,jmn kama nchi tunaenda wapi,viongozi wtu wenye dhamani yausalama wananchi wenu mko wapi jmn.waziri wtu masauni sema kitu nawatanzania ,miyoyo inavija damu inalia .Uzazi unauma jmn.

  • @hidayahidaya-vd3ze
    @hidayahidaya-vd3ze หลายเดือนก่อน

    Watu wajiange ikionekana gari limekuja hkuchukuwa MTU bassi hiyo gari watu wafatiliye na watu wasiondoke mpaka mupigesimu polisi kisha ndiyo wawachukuwe

  • @hajramakwiro2830
    @hajramakwiro2830 2 หลายเดือนก่อน

    Ukute hawakuwa hata polisi hao😢😢😢

  • @joycemlay5762
    @joycemlay5762 2 หลายเดือนก่อน +1

    Najitemegea mwenyewe naofisi yangu

    • @estertiffa-ew5id
      @estertiffa-ew5id 2 หลายเดือนก่อน

      Aiseeeeee 😂😂😂acha.bhasiiii

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 2 หลายเดือนก่อน +3

    Bila Ya Serekali kupinga kuwepo kwa Waganga wa Kienyeji hapa Nchini bc hayamatukio ya watu kupotea hayataisha

    • @Sidrasidra636
      @Sidrasidra636 2 หลายเดือนก่อน

      Hiv unahisi hawa ni wagaga wakienyeji ndo sababu!? 😅

  • @Lundege_Hips
    @Lundege_Hips 2 หลายเดือนก่อน

    Shemeji ndie Muhusika ila kwa hapa Tz Sijui

  • @hafsasaif8004
    @hafsasaif8004 2 หลายเดือนก่อน

    Wanauliwa wanaenda kuzikwa mapolin vijana Mnauliwa bado naipenda CCM

  • @OG_20
    @OG_20 หลายเดือนก่อน

    haya ni madhara ya polisi kubeba watu kiholela yanasababisha hata raia kujichukulia sheria mikononi...sasa hapa tuna uhakika gani ni polisi wamewachukua...pengine ni raia tu wamejichukulia sheria kama vyombo husika

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 2 หลายเดือนก่อน

    Hii nchi imezidi

  • @PendoMatemba
    @PendoMatemba 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo shemeji ni tatizo

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 2 หลายเดือนก่อน

    Duh

  • @jillydezanzibar4435
    @jillydezanzibar4435 2 หลายเดือนก่อน

    Mumshikilie shemeji huyo" mchezo wote anaujua vyema sana" Na kupitia yeye ndio mtapata pakuanzia.

  • @abdallahashajuma1281
    @abdallahashajuma1281 2 หลายเดือนก่อน

    Yaaraby wasimamie waja wako hawa uwaokoe huko walipo kwani wewe ndie muweza wa kila jambo

  • @marthaaugustinokimilike4228
    @marthaaugustinokimilike4228 2 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢

  • @KassimAli-l8k
    @KassimAli-l8k 2 หลายเดือนก่อน

    Uyoo shemeg yakooo anajuwa haow2. Walipoo shemeg ykoo nitapeliii

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania polisi kukamata laia bila kosa nikawaida hao wameenda kufa

    • @JJTSUPERCLEANER
      @JJTSUPERCLEANER 2 หลายเดือนก่อน

      MUNGU YUPO CHAMOTO WATAKIONA KISA WAO WANA MAMLAKA!

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani kakaangu makonda yupo wapi? tumemmiss arusha

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi enyewe nitakae mkamata na simu yangu atapotea hivyo hivyo

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu 2 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji vp unaingilia maongezi sana

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 2 หลายเดือนก่อน

      Hata mie ananikera kweli

    • @MaryNdondole
      @MaryNdondole 2 หลายเดือนก่อน

      Anakera sana

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc หลายเดือนก่อน

    Joman huyu mwandishi hapana sijamuelewa kabisa kaaa hayo maswali

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mnasemaga ccm ni nzuri haya mmejionea wenyewe

    • @MashaMbwana
      @MashaMbwana 2 หลายเดือนก่อน

      @@JohnJoseph-qq7ow haya ccm imekujaje apo watu wanazungumza mambo ya msingi unazungumza pumba tu

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv 2 หลายเดือนก่อน

      .ndo chama tawala chenye kuunda serekali yenye ubazazi wa kuteka watu hovyo ila mtatafunana tu wapi makonda

    • @AliphonceMartina
      @AliphonceMartina 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndiyo unaongea pumba ndugu yangu hujui kama CCM Ndiyo katiba ya inchi tatizo letu watz tumekuwa Wanachama wa viama badala ya kudili na kuangalia viongozi bola hii CCM ck ikituachia inchi yetu ndiyo ck watu tutakuwa hulu​@@MashaMbwana

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 2 หลายเดือนก่อน

    Ni shemeji kahusika

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sim zao baada ya kuchkuliwa mala ya mwisho zimesoma wap??

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 หลายเดือนก่อน +2

    Duu waganga matapeli hau.

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo shemegi yenu anahusika atiwe hatiyani

  • @CalvinBeatus-l2e
    @CalvinBeatus-l2e 2 หลายเดือนก่อน +3

    Askari wanateka watu wanachikua pesa zao kweny akaunti...

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 2 หลายเดือนก่อน

    Yan hii kesi yenu bana yani mmeshindwa kujuwa nani anahusika huyo shemeji yenu 😢

  • @aminamareta9297
    @aminamareta9297 2 หลายเดือนก่อน +4

    Yani tanzania yatu kwasasa atuna amani maana kirasiku ni matukiyo tu yakutekwa watu hawajurikani waperekwa wapi maana hasirimiya kubwa hawapatikani

  • @PendoMatemba
    @PendoMatemba 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani huyo shemeji anahusika