Elimu itolewe kwa watanzania Co wengi hawajui kuhusu mbolea za mgodi so hamujui copper inahitaji nin ili iwe copper tumefanya kazi kwa pamoja kushusha mzigo Simba logistic p1 na Simba terminal Simba bigwa ✊
Kwanini hawezi ku ongea bila ku mshukuru raisi kila saa tuko north Korea hayo ni maendelo sifa kila saa ume skia mtu kenya ana shukuru ruto awe mu Amerika ana shukuru Biden to ache ushamba wa tz aibu!!!
Hiyo gatha au hiyo bandari bila magufuli msinge sifu leo sifa kwake magufuri!!na hongera mama kwa mwendelezo.
Elimu itolewe kwa watanzania Co wengi hawajui kuhusu mbolea za mgodi so hamujui copper inahitaji nin ili iwe copper tumefanya kazi kwa pamoja kushusha mzigo Simba logistic p1 na Simba terminal Simba bigwa ✊
Ammonium Nitrate??🤔🤔 Hawa jamaa wanalipua nini..eti mbolea ya migodi🤣🤣
Sema salfa mborea inauaga watu
sulphur na amoniam ni tofaut
Mbolea ..migod ..kama sielewi ivi
Copper inahitaji chokaa,sulfa, ammonium, Magazineum nk ili iweze kuwa copper
Mborea hutumika kwenye migodi Tena?
hii kwa zambia inatumika kama mbolea kweny mahind na pia congo inatumika kweny migod kwa kulipulia miamba hvy ina kazi nying tofaut tofaut
Kwanini hawezi ku ongea bila ku mshukuru raisi kila saa tuko north Korea hayo ni maendelo sifa kila saa ume skia mtu kenya ana shukuru ruto awe mu Amerika ana shukuru Biden to ache ushamba wa tz aibu!!!