Someni bhana msidanganye watanzania wasiojua kusoma, watu wataanza kusema "norin gen dawn" ndo nini sasa, at least Mkurugenzi mkuu wa board ya utalii TZA kasema "Norwegian Dawn" 👏🏼👏🏼👏🏼
This vessel called CRUISE SHIP in other hand called PASSENGER SHIP,, She has go alongside the berth without required assisting of harbour tug because of existence of bow thrust,, Congr Tanzania Government lead by Mama Samia suluhu for your strategy of devlp project in different sectors and boost up our Economy,,,,Am from Tanga 20 treet
Tunasifia kuja kwa meli wakati taifa ipo kwenye giza goverment waujumu uchumi leo wamepoteza mapato mengine sana na watu kukosa ajiri tunacha kutatua tatizo la umeme tuna sifu tu meli kubwa umekuja ata sisi tuna mali kubwa zipo kanda ya ziwa hao wazungu watatupa nini maisha yana zidi kuwa magumu tunataka umeme tuzalishe mali mnazingua na meli yenu
Hongereni saaana , naona Uongozi wa Bandari Sasa una jambo, Wananchi tunapenda update kama hizi, Kisheria nyie mmepewa dhamana tu ya Kuongoza lakini Bandari ni yetu wote, naomba mzidi kuwa wabunifu na msibweteke, Ukisikia watu wanamsaidia Rais ndo hivi, Sio Watumishi wa Temeke wanashindwa hata kujenga Soko la kisasa kama walivyofanya watumishi wa Kinondoni pale Mwenge, tunapenda watumishi wabunifu sio kukalia Posho tu
Nilichoona Mimi hii meli ina nembo ya ushoga nafiri ndio lengo hasa la wao kutembelea nchi za afrika hususan Zanzibar na vijana wengi wamekua mashoga hususan Zanzibar
Hongera sana Rais wetu kwa kuiongoza nchi yetu vizuri na kuikuza sekta ya utalii, hongera sana Manahodha wetu , hongera Mamlaka ya Bandari Tz, hongera sana board ya utalii Tz,Mungu ibariki nchi yangu nzuri Sana ya Tanzania
we nae usichekeshe watu huyu konde hana uwezo wakuinunua hii hata uyo boss wake simba hawezi hii meli inauzwa dolla billion miamoja huko marekani china finlend na korea kusini pya
@@ScopionScopion-zj9cd Sasa si ndio naskia ameghairi kufungua kituo cha redio na Runinga na kununua iyo Jet anataka kununua hilo Meli wakatembee huko Baharini na Posh Queen, maana vile viboti vya slipway Posh vinambana hips hazitoshi kwenye kiti"
kweli kwetu washamba mbona hizi meli zipo kitambo sana toka mwana 19930 hasa kampuni ya CMCC inazo nying kweli unaweza ukapanga nyumba ukawa ukawa unazunguka nayo kila pahali huduma zote zipo maduka hospital hoteli sehem ya michezo mpara jim kuogerea yani swim pool kila kitu kama nyumbani2
meli hii ilipokuja zanzibar imetia nanga nje hakuna bandari yakufunga meli kubwa,wala serikali yetu haijasema inataka kuboresha bandari yetu. hii ndo faida ya muungano wetu.
Tunachekelea meli huku mnashindwa kuendesha bandari tunawapa wawekezaji hii ni aibu, tuko mil60 hatutakiwi kushindwa jambo, sekta ya umma iwe bora kuliko wawekezaji ,tunahitaji viongozi wenye uwezo huo wanao shindwa wa p ishe
Imetoka Mombasa imekuja Dar inaondoka inaenda zake Mozambique , hakuna cha royal tua apo ao wanazunguka dunia nzima 😁😁
3:31 3:33
Kwahio Mnataka iwe yakwenu
Nimekuelewa, jamaa analeta siasa..kwahiyo tulitangaza vivutio vya Africa nzima au Tanzania tu!? Jamaa anatuona wajinga
Siku hizi watumishi wa serikali wamekuwa wanasiasa, badala ya kuizungumzia meli na lengo la safari, yanazungumziwa maboresho bila kuulizwa swali
Kwel kaka kam hawan akili yaan ni uchawa tu
Yaani adi mzungu kaambiwa aseme kazi iendele
Kabisa wanazingua
ALAFU NYIE TRC HAMUMUELEWI MAMA MABEHEWA YA TREN YAMEFIKA MUDA BADO NAYAONA HAPO .MAMA AWATUMBUE SHENZI NYIE
Someni bhana msidanganye watanzania wasiojua kusoma, watu wataanza kusema "norin gen dawn" ndo nini sasa, at least Mkurugenzi mkuu wa board ya utalii TZA kasema "Norwegian Dawn" 👏🏼👏🏼👏🏼
poleni sana Tz mko nyuma sana biidi mwimu ..frm KENYA
This vessel called CRUISE SHIP in other hand called PASSENGER SHIP,, She has go alongside the berth without required assisting of harbour tug because of existence of bow thrust,, Congr Tanzania Government lead by Mama Samia suluhu for your strategy of devlp project in different sectors and boost up our Economy,,,,Am from Tanga 20 treet
Tunasifia kuja kwa meli wakati taifa ipo kwenye giza goverment waujumu uchumi leo wamepoteza mapato mengine sana na watu kukosa ajiri tunacha kutatua tatizo la umeme tuna sifu tu meli kubwa umekuja ata sisi tuna mali kubwa zipo kanda ya ziwa hao wazungu watatupa nini maisha yana zidi kuwa magumu tunataka umeme tuzalishe mali mnazingua na meli yenu
Hapo hapo watatuachia na magonjwa yao ndo tujue hatujui😯😯
Nyie baba zenu walkosea kuwaza pumbavuzenu
@@athumanabdallah-hn6li ukweli unauma na ukweli utakuwaka huru
Hongera sana kwa Utalii wetu kukua na kuongeza uchumi. Rais wetu hongera sana!
At Last! kwa kweli tujivunie...Cruise Ship in Dar es salaam, na sie tuwe kwenye cruise destination! IamSoProud
Haya mambo ya kupokea wagen huku mnacheza Cheza ngoma ni ya kishamba sana 😂😂
Wanaona ka manyan hawa
Bora hata umesema mana nlikua nashangaa sasa wanacheza nini? kipi cha ajabu yani,
Nimeshawaelewa. Kilichobakia ni sisi raia tutapandaje meli kama hizo. Asante
Royal tour inatokea wapi hapo ?????
Hongereni saaana , naona Uongozi wa Bandari Sasa una jambo, Wananchi tunapenda update kama hizi, Kisheria nyie mmepewa dhamana tu ya Kuongoza lakini Bandari ni yetu wote, naomba mzidi kuwa wabunifu na msibweteke, Ukisikia watu wanamsaidia Rais ndo hivi, Sio Watumishi wa Temeke wanashindwa hata kujenga Soko la kisasa kama walivyofanya watumishi wa Kinondoni pale Mwenge, tunapenda watumishi wabunifu sio kukalia Posho tu
fact big up
Mrisho Mrisho, hongera sana kwa kuitangaza nchi yetu kwa matukio haya.
Atleast watoto wetu wali enjoy kenya big up , all the best
Nilichoona Mimi hii meli ina nembo ya ushoga nafiri ndio lengo hasa la wao kutembelea nchi za afrika hususan Zanzibar na vijana wengi wamekua mashoga hususan Zanzibar
Na baba yako pia shoga
@@FahadAbdallah-v5d Babake hawezi kuwa shoga asingeweza kumtengeneza😓😓
mlisem meli yenye ulefu wa mita Zaid ya mia 150 haiwezi kutia nanga bandali ni ndogo ndio mana kapewa muarabu sasa hii imetua wap nchi kavu
Soma vzr kilaza ww
Hongera sana Rais wetu kwa kuiongoza nchi yetu vizuri na kuikuza sekta ya utalii, hongera sana Manahodha wetu , hongera Mamlaka ya Bandari Tz, hongera sana board ya utalii Tz,Mungu ibariki nchi yangu nzuri Sana ya Tanzania
sifa nyigi sana jamani da
Fanyeni mjenge waterfront yakisasa kupokea hizo meli,amuoni hata aibu kupokea wageni kwenye hicho kibanda
Na walipokuwa wanaweka mikingamo,hicho chombo kingefika? Mambo mazuri hayataki munkar
Ila ww😂😂😂 nikweli lkn
ha ha ha
Kweli kabisa. Dubai Port wafanye haraka!
ilikuwa mombasa hiyo but wabongo mpaka viongozi wao wanapenda kiki,,,kenya ilifika lakini viongozi hawakuongea hivo😂😂😂
Wakati tunashangilia ujio wa hiyo meli tusijisahau swala la kiusalama! Make kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo!
Hizo mita zilotajwa ni sawa na urefu wa viwanja vitatu vya mpira wa miguu
Nasikia Harmonize kaghaili kununua private Jet sasa ndio anataka kuinunua hii Meli# Hongera Konde Boy🎉
we nae usichekeshe watu huyu konde hana uwezo wakuinunua hii hata uyo boss wake simba hawezi hii meli inauzwa dolla billion miamoja huko marekani china finlend na korea kusini pya
@@ScopionScopion-zj9cd Sasa si ndio naskia ameghairi kufungua kituo cha redio na Runinga na kununua iyo Jet anataka kununua hilo Meli wakatembee huko Baharini na Posh Queen, maana vile viboti vya slipway Posh vinambana hips hazitoshi kwenye kiti"
kweli kwetu washamba mbona hizi meli zipo kitambo sana toka mwana 19930 hasa kampuni ya CMCC inazo nying kweli unaweza ukapanga nyumba ukawa ukawa unazunguka nayo kila pahali huduma zote zipo maduka hospital hoteli sehem ya michezo mpara jim kuogerea yani swim pool kila kitu kama nyumbani2
Ujaambiwa ushamba kina kilikua kidogo meli kama iyo ilikua aiwezi kuingia ndo maana ata tanker kubwa zinafunga SPM ,
Si mlikua mnasema bandari imeuzwa 😂😂, watanzania ujinga royal tour mlisema mama alitumia pesa za nchi vibaya wabongo tuache ujinga
Awam ya tano iliongeza kina cha maji na kuchimba bahari, zanzibar ilitia nanga mbali sana
hujaulizwa kuhusu awamu ya ngapi nini kimekuwasha mwangaruka ?
Hawa mi nahisi ndio wametuletea ugonjwa wa Macho Red eyes"
Uuu utumwa mpakalini ao wanaocheza apo wanamanisha nini kama sio uboya
KARIBUNI WAGENI. AYA NI MATOKEO YA FILAM YA MAMA. ILA msituibie jmn.
Iyo meli inapita kila nchi ikitoka apo inaenda kenya itaenda Mozambique south ivo mpaka mataifa mengine msilete usiasa sijui nani sijui nani da!
Karibuni wageni zingatieni maadili yetu
😂 😂
Hhhhh kwa yap
Mbona kenya imefika na viongozi awajawa na promo za siasa ivo 😂😂 ao wanapita tu bahari ya indi na wanasepa
meli imefunika bandari haionekani😂😂😂 maisha haya nyie mungu ya balance hapo kidogo na sisi tuishi..tusishindikize wenzetu
Iyo meli ilikuwa zanzibar aache uwongo
Mbona ka Naona kila anayeshuka mzee waliojichokea wanasubir kufa😂
Wanakuja kuongeza ushoga 😂 noma sanas
Utazani yetu
Huyo muongeaji Hana uwakika ilipotokea 😂mana Ana waza majibu
Jamani mtukumbuke na ziwa Tanganyika huku hakuna meli
Zinatemgenezwa moja mpya na kuirejshea upya mv liemba
meli hii ilipokuja zanzibar imetia nanga nje hakuna bandari yakufunga meli kubwa,wala serikali yetu haijasema inataka kuboresha bandari yetu. hii ndo faida ya muungano wetu.
Hio meli ya diamond platinum
Mmmmh sasa hao wa mama mmeweka wacheze hao lengo nini?
Tunachekelea meli huku mnashindwa kuendesha bandari tunawapa wawekezaji hii ni aibu, tuko mil60 hatutakiwi kushindwa jambo, sekta ya umma iwe bora kuliko wawekezaji ,tunahitaji viongozi wenye uwezo huo wanao shindwa wa p ishe
Wadau umeme vp maana unakatika kama sifa😅
Wametoka Zanzibar ndipo wakaja Tanganyika
Tunapataje ajira huko dAh
Mbona wabongo mnapenda sifa hiyo meli ilikuwa zanzibar na tumekaa kimnya kwani tumeshayazoea nyinyi huko ni gumzo acheni hayo mambo
C hamna vyombo vya habari ,Nyinyi kazi yenu kupiga umbea tu vibarazani ,kwani ikionyeshwa tatizo liko wp?
Acha mawazo hasi Kwani kai ya media ni nini?
Mnaitana na meli jmn
Tutajutia ujio wa meli hizo wenzet wanajitambua endeleen kufagilia tu adi zitakuja mnaziita za wataliii zaid ya hiyo
Duuh 😮
😅madanga nnjenje jamani😂😂😂😂
Kwaiyo mfano ilipokuja apo nilijua wataongea watu wa Dubai na pesa za parking wanachukua watu wa dubai ama vp
Ushamba tu
Watanzania tutaacha lini kusujudia wazungu
Kwani mombasa napo royal tour ilifnywa na Rais wao?
WANGEAGIZA SUKARI KWANZA KWA WINGI NINGEONA WANATUJARI WANANCHI WAO
Kwaufisadi na lushwa zilizo kisili katika nchiyetu ujio wa hizomeli utakuwa natija kweli kwa taifaletu?
Kwani inauzwa?
Eeh...wamesema laki 2 bila hao abiria, ikiwa na abiria laki 3😃😃
Tz jengen cruise ship yenu achen kushangaa vya wazungu
Marubani, 😢😢
😂😂😂
Hatari sana
Hi kubwa kuliko iliyoleta magari 4000
Na mpaka rufaa ikisikilizwa, tutakuwa tumeshaingiza meli za kutosha, na dolari nyingi
Nijuze kaka, rufaa ipi hiyo tuliyokatiwa?
Duuuh
Hyo meli ipo znzbar
Achaga ujinga basiiii !!!!
Ashukuriwe alieleta wazo la kuongeza kina na upana wa mlango...
Google waongo. Yaani uki translate kiswahili kwenda English ni majanga
Imetoka Zanzibar ndio imekuja dar
Sasa si ushaambiwa inatoka zanzibar ww
Jengo liboreshwe tafadhali linatia aibu
Najiouliza hakuna mwandishi ameuliza itakaa kwa muda gani?
Hongereni🎉
***Hao siyo watalii ni wakimbizi wanakimbia vita Ulaya***
HACHENI UONGO WALISHAKUJA ZAIDI YA HAO
Wamefata nini
huyu jamaa anavyoongeaga utafikiri dah
ukisema haijawahi tokea meli kubwa kuja tanzania na si tunaona inekuja tanzania unatuchanganya
😅😅😅😅
Cruise ship
Chuma hiyo inakata wimbi