HAIJAWAHI TOKEA MELI KUBWA HIVI KUJA TZ, WATU ELFU 2,210, INA VIWANJA VYA MPIRA, PAKUTUA HELIKOPTA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 120

  • @kelvintowo4287
    @kelvintowo4287 8 หลายเดือนก่อน +12

    Imetoka Mombasa imekuja Dar inaondoka inaenda zake Mozambique , hakuna cha royal tua apo ao wanazunguka dunia nzima 😁😁

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 8 หลายเดือนก่อน

      3:31 3:33
      Kwahio Mnataka iwe yakwenu

    • @ototek8037
      @ototek8037 8 หลายเดือนก่อน +1

      Nimekuelewa, jamaa analeta siasa..kwahiyo tulitangaza vivutio vya Africa nzima au Tanzania tu!? Jamaa anatuona wajinga

  • @deogratiuskapongo4568
    @deogratiuskapongo4568 8 หลายเดือนก่อน +19

    Siku hizi watumishi wa serikali wamekuwa wanasiasa, badala ya kuizungumzia meli na lengo la safari, yanazungumziwa maboresho bila kuulizwa swali

    • @CK-ri1mo
      @CK-ri1mo 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kwel kaka kam hawan akili yaan ni uchawa tu

    • @Clevomk
      @Clevomk 8 หลายเดือนก่อน

      Yaani adi mzungu kaambiwa aseme kazi iendele

    • @jeremiahmsemwa8323
      @jeremiahmsemwa8323 8 หลายเดือนก่อน

      Kabisa wanazingua

  • @mayaally2512
    @mayaally2512 8 หลายเดือนก่อน +8

    ALAFU NYIE TRC HAMUMUELEWI MAMA MABEHEWA YA TREN YAMEFIKA MUDA BADO NAYAONA HAPO .MAMA AWATUMBUE SHENZI NYIE

  • @mwebrannia
    @mwebrannia 8 หลายเดือนก่อน +3

    Someni bhana msidanganye watanzania wasiojua kusoma, watu wataanza kusema "norin gen dawn" ndo nini sasa, at least Mkurugenzi mkuu wa board ya utalii TZA kasema "Norwegian Dawn" 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @erickben774
    @erickben774 8 หลายเดือนก่อน +1

    poleni sana Tz mko nyuma sana biidi mwimu ..frm KENYA

  • @MohamedSaid-jx3df
    @MohamedSaid-jx3df 8 หลายเดือนก่อน +4

    This vessel called CRUISE SHIP in other hand called PASSENGER SHIP,, She has go alongside the berth without required assisting of harbour tug because of existence of bow thrust,, Congr Tanzania Government lead by Mama Samia suluhu for your strategy of devlp project in different sectors and boost up our Economy,,,,Am from Tanga 20 treet

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 8 หลายเดือนก่อน +5

    Tunasifia kuja kwa meli wakati taifa ipo kwenye giza goverment waujumu uchumi leo wamepoteza mapato mengine sana na watu kukosa ajiri tunacha kutatua tatizo la umeme tuna sifu tu meli kubwa umekuja ata sisi tuna mali kubwa zipo kanda ya ziwa hao wazungu watatupa nini maisha yana zidi kuwa magumu tunataka umeme tuzalishe mali mnazingua na meli yenu

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      Hapo hapo watatuachia na magonjwa yao ndo tujue hatujui😯😯

    • @athumanabdallah-hn6li
      @athumanabdallah-hn6li 8 หลายเดือนก่อน

      Nyie baba zenu walkosea kuwaza pumbavuzenu

    • @amanichaula1
      @amanichaula1 8 หลายเดือนก่อน

      @@athumanabdallah-hn6li ukweli unauma na ukweli utakuwaka huru

  • @Shukurukoll
    @Shukurukoll 8 หลายเดือนก่อน +6

    Hongera sana kwa Utalii wetu kukua na kuongeza uchumi. Rais wetu hongera sana!

  • @IAm_Significant
    @IAm_Significant 8 หลายเดือนก่อน +6

    At Last! kwa kweli tujivunie...Cruise Ship in Dar es salaam, na sie tuwe kwenye cruise destination! IamSoProud

  • @danielmussa6944
    @danielmussa6944 8 หลายเดือนก่อน +8

    Haya mambo ya kupokea wagen huku mnacheza Cheza ngoma ni ya kishamba sana 😂😂

    • @kelvintowo4287
      @kelvintowo4287 8 หลายเดือนก่อน +2

      Wanaona ka manyan hawa

    • @mwebrannia
      @mwebrannia 8 หลายเดือนก่อน +1

      Bora hata umesema mana nlikua nashangaa sasa wanacheza nini? kipi cha ajabu yani,

  • @quickbookingzanzibar
    @quickbookingzanzibar 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeshawaelewa. Kilichobakia ni sisi raia tutapandaje meli kama hizo. Asante

  • @CK-ri1mo
    @CK-ri1mo 8 หลายเดือนก่อน +6

    Royal tour inatokea wapi hapo ?????

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni saaana , naona Uongozi wa Bandari Sasa una jambo, Wananchi tunapenda update kama hizi, Kisheria nyie mmepewa dhamana tu ya Kuongoza lakini Bandari ni yetu wote, naomba mzidi kuwa wabunifu na msibweteke, Ukisikia watu wanamsaidia Rais ndo hivi, Sio Watumishi wa Temeke wanashindwa hata kujenga Soko la kisasa kama walivyofanya watumishi wa Kinondoni pale Mwenge, tunapenda watumishi wabunifu sio kukalia Posho tu

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 8 หลายเดือนก่อน

    Mrisho Mrisho, hongera sana kwa kuitangaza nchi yetu kwa matukio haya.

  • @wemakalama6458
    @wemakalama6458 8 หลายเดือนก่อน +1

    Atleast watoto wetu wali enjoy kenya big up , all the best

  • @BakariMtangenange
    @BakariMtangenange 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nilichoona Mimi hii meli ina nembo ya ushoga nafiri ndio lengo hasa la wao kutembelea nchi za afrika hususan Zanzibar na vijana wengi wamekua mashoga hususan Zanzibar

    • @FahadAbdallah-v5d
      @FahadAbdallah-v5d 8 หลายเดือนก่อน

      Na baba yako pia shoga

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      @@FahadAbdallah-v5d Babake hawezi kuwa shoga asingeweza kumtengeneza😓😓

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 8 หลายเดือนก่อน +3

    mlisem meli yenye ulefu wa mita Zaid ya mia 150 haiwezi kutia nanga bandali ni ndogo ndio mana kapewa muarabu sasa hii imetua wap nchi kavu

  • @florashauri9228
    @florashauri9228 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Rais wetu kwa kuiongoza nchi yetu vizuri na kuikuza sekta ya utalii, hongera sana Manahodha wetu , hongera Mamlaka ya Bandari Tz, hongera sana board ya utalii Tz,Mungu ibariki nchi yangu nzuri Sana ya Tanzania

  • @clementmsenga2485
    @clementmsenga2485 8 หลายเดือนก่อน +3

    Fanyeni mjenge waterfront yakisasa kupokea hizo meli,amuoni hata aibu kupokea wageni kwenye hicho kibanda

    • @HamisiMakasara-hb3nt
      @HamisiMakasara-hb3nt 8 หลายเดือนก่อน +1

      Na walipokuwa wanaweka mikingamo,hicho chombo kingefika? Mambo mazuri hayataki munkar

    • @JenifaJohn-k5d
      @JenifaJohn-k5d 8 หลายเดือนก่อน +1

      Ila ww😂😂😂 nikweli lkn

    • @danielkullwa1613
      @danielkullwa1613 8 หลายเดือนก่อน

      ha ha ha

    • @saidnoumani7244
      @saidnoumani7244 8 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa. Dubai Port wafanye haraka!

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 8 หลายเดือนก่อน +2

    ilikuwa mombasa hiyo but wabongo mpaka viongozi wao wanapenda kiki,,,kenya ilifika lakini viongozi hawakuongea hivo😂😂😂

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati tunashangilia ujio wa hiyo meli tusijisahau swala la kiusalama! Make kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo!

  • @salummussa1139
    @salummussa1139 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo mita zilotajwa ni sawa na urefu wa viwanja vitatu vya mpira wa miguu

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nasikia Harmonize kaghaili kununua private Jet sasa ndio anataka kuinunua hii Meli# Hongera Konde Boy🎉

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd 8 หลายเดือนก่อน +1

      we nae usichekeshe watu huyu konde hana uwezo wakuinunua hii hata uyo boss wake simba hawezi hii meli inauzwa dolla billion miamoja huko marekani china finlend na korea kusini pya

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 8 หลายเดือนก่อน

      @@ScopionScopion-zj9cd Sasa si ndio naskia ameghairi kufungua kituo cha redio na Runinga na kununua iyo Jet anataka kununua hilo Meli wakatembee huko Baharini na Posh Queen, maana vile viboti vya slipway Posh vinambana hips hazitoshi kwenye kiti"

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 8 หลายเดือนก่อน +1

    kweli kwetu washamba mbona hizi meli zipo kitambo sana toka mwana 19930 hasa kampuni ya CMCC inazo nying kweli unaweza ukapanga nyumba ukawa ukawa unazunguka nayo kila pahali huduma zote zipo maduka hospital hoteli sehem ya michezo mpara jim kuogerea yani swim pool kila kitu kama nyumbani2

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 8 หลายเดือนก่อน

      Ujaambiwa ushamba kina kilikua kidogo meli kama iyo ilikua aiwezi kuingia ndo maana ata tanker kubwa zinafunga SPM ,

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 8 หลายเดือนก่อน

    Si mlikua mnasema bandari imeuzwa 😂😂, watanzania ujinga royal tour mlisema mama alitumia pesa za nchi vibaya wabongo tuache ujinga

  • @agapemunyi2095
    @agapemunyi2095 8 หลายเดือนก่อน +4

    Awam ya tano iliongeza kina cha maji na kuchimba bahari, zanzibar ilitia nanga mbali sana

    • @maclaudismail6606
      @maclaudismail6606 8 หลายเดือนก่อน

      hujaulizwa kuhusu awamu ya ngapi nini kimekuwasha mwangaruka ?

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa mi nahisi ndio wametuletea ugonjwa wa Macho Red eyes"

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uuu utumwa mpakalini ao wanaocheza apo wanamanisha nini kama sio uboya

  • @ausonjustinian4673
    @ausonjustinian4673 8 หลายเดือนก่อน +1

    KARIBUNI WAGENI. AYA NI MATOKEO YA FILAM YA MAMA. ILA msituibie jmn.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 8 หลายเดือนก่อน

    Iyo meli inapita kila nchi ikitoka apo inaenda kenya itaenda Mozambique south ivo mpaka mataifa mengine msilete usiasa sijui nani sijui nani da!

  • @evaristsamali5858
    @evaristsamali5858 8 หลายเดือนก่อน +3

    Karibuni wageni zingatieni maadili yetu

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂 😂

    • @seifsoud266
      @seifsoud266 8 หลายเดือนก่อน

      Hhhhh kwa yap

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona kenya imefika na viongozi awajawa na promo za siasa ivo 😂😂 ao wanapita tu bahari ya indi na wanasepa

  • @kariz_3264
    @kariz_3264 8 หลายเดือนก่อน

    meli imefunika bandari haionekani😂😂😂 maisha haya nyie mungu ya balance hapo kidogo na sisi tuishi..tusishindikize wenzetu

  • @FahadAbdallah-v5d
    @FahadAbdallah-v5d 8 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo meli ilikuwa zanzibar aache uwongo

  • @MrSam700
    @MrSam700 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona ka Naona kila anayeshuka mzee waliojichokea wanasubir kufa😂

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 8 หลายเดือนก่อน +1

    Wanakuja kuongeza ushoga 😂 noma sanas

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 8 หลายเดือนก่อน +4

    Utazani yetu

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo muongeaji Hana uwakika ilipotokea 😂mana Ana waza majibu

  • @JosephAluphonc
    @JosephAluphonc 8 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani mtukumbuke na ziwa Tanganyika huku hakuna meli

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 8 หลายเดือนก่อน

      Zinatemgenezwa moja mpya na kuirejshea upya mv liemba

  • @Allybinamour
    @Allybinamour 8 หลายเดือนก่อน

    meli hii ilipokuja zanzibar imetia nanga nje hakuna bandari yakufunga meli kubwa,wala serikali yetu haijasema inataka kuboresha bandari yetu. hii ndo faida ya muungano wetu.

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hio meli ya diamond platinum

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 8 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh sasa hao wa mama mmeweka wacheze hao lengo nini?

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 8 หลายเดือนก่อน

    Tunachekelea meli huku mnashindwa kuendesha bandari tunawapa wawekezaji hii ni aibu, tuko mil60 hatutakiwi kushindwa jambo, sekta ya umma iwe bora kuliko wawekezaji ,tunahitaji viongozi wenye uwezo huo wanao shindwa wa p ishe

  • @highlights973
    @highlights973 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wadau umeme vp maana unakatika kama sifa😅

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 8 หลายเดือนก่อน

    Wametoka Zanzibar ndipo wakaja Tanganyika

  • @barakakephasi4741
    @barakakephasi4741 8 หลายเดือนก่อน +3

    Tunapataje ajira huko dAh

  • @hajiameir8688
    @hajiameir8688 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona wabongo mnapenda sifa hiyo meli ilikuwa zanzibar na tumekaa kimnya kwani tumeshayazoea nyinyi huko ni gumzo acheni hayo mambo

    • @mangulimanguli3974
      @mangulimanguli3974 8 หลายเดือนก่อน

      C hamna vyombo vya habari ,Nyinyi kazi yenu kupiga umbea tu vibarazani ,kwani ikionyeshwa tatizo liko wp?

    • @Thekidp3702
      @Thekidp3702 8 หลายเดือนก่อน

      Acha mawazo hasi Kwani kai ya media ni nini?

  • @JUSTNEMITOMINGI
    @JUSTNEMITOMINGI 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mnaitana na meli jmn

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 8 หลายเดือนก่อน

    Tutajutia ujio wa meli hizo wenzet wanajitambua endeleen kufagilia tu adi zitakuja mnaziita za wataliii zaid ya hiyo

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 8 หลายเดือนก่อน

    Duuh 😮

  • @zahramohammed2337
    @zahramohammed2337 8 หลายเดือนก่อน +1

    😅madanga nnjenje jamani😂😂😂😂

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 8 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo mfano ilipokuja apo nilijua wataongea watu wa Dubai na pesa za parking wanachukua watu wa dubai ama vp

  • @JUSTNEMITOMINGI
    @JUSTNEMITOMINGI 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ushamba tu

  • @prezyb1699
    @prezyb1699 8 หลายเดือนก่อน

    Watanzania tutaacha lini kusujudia wazungu

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 8 หลายเดือนก่อน

    Kwani mombasa napo royal tour ilifnywa na Rais wao?

  • @hassanmsonga
    @hassanmsonga 8 หลายเดือนก่อน

    WANGEAGIZA SUKARI KWANZA KWA WINGI NINGEONA WANATUJARI WANANCHI WAO

  • @yasiniswedi8835
    @yasiniswedi8835 8 หลายเดือนก่อน

    Kwaufisadi na lushwa zilizo kisili katika nchiyetu ujio wa hizomeli utakuwa natija kweli kwa taifaletu?

  • @abdallahchande2913
    @abdallahchande2913 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani inauzwa?

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      Eeh...wamesema laki 2 bila hao abiria, ikiwa na abiria laki 3😃😃

  • @jerrywilliamz1795
    @jerrywilliamz1795 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tz jengen cruise ship yenu achen kushangaa vya wazungu

  • @Fesary
    @Fesary 8 หลายเดือนก่อน +2

    Marubani, 😢😢

    • @nelsonmtui3808
      @nelsonmtui3808 8 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @Fesary
      @Fesary 8 หลายเดือนก่อน

      Hatari sana

  • @piterasifa3757
    @piterasifa3757 8 หลายเดือนก่อน

    Hi kubwa kuliko iliyoleta magari 4000

  • @HamisiMakasara-hb3nt
    @HamisiMakasara-hb3nt 8 หลายเดือนก่อน +1

    Na mpaka rufaa ikisikilizwa, tutakuwa tumeshaingiza meli za kutosha, na dolari nyingi

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 8 หลายเดือนก่อน

      Nijuze kaka, rufaa ipi hiyo tuliyokatiwa?

  • @VICEMOINVESTMENTS
    @VICEMOINVESTMENTS 8 หลายเดือนก่อน

    Duuuh

  • @SideMohd
    @SideMohd 8 หลายเดือนก่อน +4

    Hyo meli ipo znzbar

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      Achaga ujinga basiiii !!!!

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 หลายเดือนก่อน

      Ashukuriwe alieleta wazo la kuongeza kina na upana wa mlango...

    • @wolinet1
      @wolinet1 8 หลายเดือนก่อน +2

      Google waongo. Yaani uki translate kiswahili kwenda English ni majanga

    • @shabanponera2895
      @shabanponera2895 8 หลายเดือนก่อน

      Imetoka Zanzibar ndio imekuja dar

    • @nuhumaalim4976
      @nuhumaalim4976 8 หลายเดือนก่อน

      Sasa si ushaambiwa inatoka zanzibar ww

  • @kabaranamaganga6646
    @kabaranamaganga6646 8 หลายเดือนก่อน

    Jengo liboreshwe tafadhali linatia aibu

  • @abdallahkisuda4859
    @abdallahkisuda4859 8 หลายเดือนก่อน

    Najiouliza hakuna mwandishi ameuliza itakaa kwa muda gani?

  • @abbumwaipopo2940
    @abbumwaipopo2940 8 หลายเดือนก่อน

    Hongereni🎉

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 8 หลายเดือนก่อน

    ***Hao siyo watalii ni wakimbizi wanakimbia vita Ulaya***

  • @hamisikitwana7957
    @hamisikitwana7957 8 หลายเดือนก่อน

    HACHENI UONGO WALISHAKUJA ZAIDI YA HAO

  • @MashauriEnock
    @MashauriEnock 8 หลายเดือนก่อน

    Wamefata nini

  • @samasob8233
    @samasob8233 8 หลายเดือนก่อน

    huyu jamaa anavyoongeaga utafikiri dah

  • @testmyphone1305
    @testmyphone1305 8 หลายเดือนก่อน

    ukisema haijawahi tokea meli kubwa kuja tanzania na si tunaona inekuja tanzania unatuchanganya

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 8 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

  • @dismasdastan5493
    @dismasdastan5493 8 หลายเดือนก่อน

    Cruise ship

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 8 หลายเดือนก่อน +1

    Chuma hiyo inakata wimbi