BOTI MPYA YAKISASA YAWASILI TANGA - SAFARI TANGA,PEMBA NA UNGUJA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Mkuu wa Mkoa wa Tanga Waziri Kindamba amepokea Boti ya kisasa ya Mwendokasi kutoka Kampuni ya Zan Fast Ferries kwa ajili ya Usafirishaji wa abiria itakuyokuwa ikifanya safari kutoka Tanga kuelekea Unguja na Pemba ikiwa ni mara ya kwanza katika Historia ya mkoa huo kupokea Boti aina hiyo.
Waziri Kindamba amepokea Boti hiyo katika Bandari ya Tanga mara baada ya kuwasili kutokea Visiwani Zanzibar ambapo amesema kuwasili kwa boti hiyo ya kisasa ni kutokana na mazingira rafiki ya uwekezaji wa biashara ambayo yanafanywa na kusimamiwa na serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe Dkt.Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar Mhe.Dkt Hussein Mwinyi.
Amesema boti hiyo itakuwa ikifanya safari zake za kutoka Tanga kwenda Pemba na Pemba kwenda Unguja kwa siku za Jumamosi,jumatatu, na jumatano
Aidha Kindamba Amesema uwekezaji uliofanywa na Kampuni hiyo si chini ya Dollar Milioni 10 hadi 15, ambapo ameipongeza kampuni ya Zan Fast Ferries kwa uwekezaji huo katika Sekta ya Usafirishaji mkoani Tanga ambapo amewahakikishia Ulinzi na Usalama wa uwekezaji huo
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR AND TZ. PEMBA. AND TANGA .REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM UK 🇬🇧 LONDON. I AM LIVING IN UK 🇬🇧 LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA MOMBASA
Jaman pia meli ya mizigo
Kila la kher mungu aibariki meli yetu hii ndo gar yet inshallah
Mkuu wa mkoa naweka rekodi sawa, boti hii sio ya kwanza kuliwahi kuwepo boti inaitwa M.V SEPIDEH alitoka Znz-Pemba-Tanga-Mombasa
Kweli kabisa kaka, wakati huo huyu mkuu wa mkoa alikua baado anasoma shule ya msingi.
Nd lkn haikuw n speed km hh
Ngoja nikupe ratiba ya juzi ilivo fanya kazi
Juzi ilitoka pemba 11:30 nakwenda unguja ikafika 1:30 na ikaondoka unguja 3:45 na kufika pemba 11:45 na kwenda tanga 7:00 na kwenda tanga imefika 8:10 na kuondoka tanga 9 imefika pemba 10 :10 na imeondoka pemba 11 kwenda unguja sepide haikifanya ivo😅😅😅
MegaSpeedLine MS
Ya kwanza ilikuwa sepide ilikuwa inatoka dar,znz,pemba,msa
Hii ni private sector sio mali ya serikali.
Mheshimiwa ww naona ni mgeni kulikuwa na speed boat inaitwa sepide hyo ilikuwa ni hatar
Sepide ilikuwa inatembea knot 27 hio zanzibar 3 inatembe knot40 sasa utajuwa wewe hapo
Mm naomba tu upande wa Nauli Ufanyiwe Marekebisho Nauĺi Ipo Juu SIO Utani
Hii ni one hour na nusu so ni historia
Walitunze na vyoo wajitahid viwe usafi
Ni boti ya pili yamwanzo ilikua sepidee lakini baadae kidogo nnaomba iwepo na nyengine boti ya 3
Aliyeskia muhindi akisema janjiba nani
Hongereni tanga
But haikuwa speed boat ni boat ya kawaida
Ipi
Sio kweli ulikua wapi wakati MM SEPIDE inakuja tanga?
Yaani watu hawana jema pemba walikuwa wanalalamika kuwa hakuna usafiri leo waneletewa boti ya haraka wanalalamika nauli
Yaani umesema, sisi twataka vitu vizuri lakini kuvigharamia ndio Mtihani.
Mkikosa abiria mtajua sababu kwa nn boti nyengine zimeacha safari za Tanga, shoot me kwa kusema hivyo.
Mbona incline ni kubwa kiasi watu wanashindwa kupanda na kuteremka? Sasa Tanga na Janjibar si itakuwa kazi 🤣
Mnaiba mnawapa makabachori wajifanye zakwao kenge nyinyi atuwataki waindi mufrisi
Mm naomba tu upande wa Nauli Ufanyiwe Marekebisho Nauĺi Ipo Juu SIO Utani