ALICHOKIBAINI DC JOKATE BAADA YA KUFIKA BANDARI YA TANGA "RAIS AMEWEKA HAPA ZAIDI YA BILIONI 400"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 19

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz 10 หลายเดือนก่อน

    Tanzania Tanga mzuri Sana kweli nakupenda sana kweli 💖💕💖💕

  • @Nedjadist
    @Nedjadist ปีที่แล้ว +2

    Kama ikiwa na tozo nzuri, hata wanaopitishia Mombasa, hasa wenye mizugo ya wastani watapitisha kwetu. Ila ubunifu hatuna, twapenda pesa za haraka haraka ili mameneja wanunue v8. Jinga kabisa !

  • @maase2023
    @maase2023 ปีที่แล้ว +1

    Mmh jokate kagundua nn jamani?

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 ปีที่แล้ว

    Safi sanaa DC unaupigamwingi watanga tunakupenda😊

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 ปีที่แล้ว

    Sijui ni kwa nini Tanga watu waifanyia Husda bandari ipo dahali wala hakuna shida yyte kwa meli kubwa kutia nanga namnukuu meneja. Ila kuna watu wanatamani ingekua ktk miji yao . Lkn M'mungu kaipangia iwe Tanga.

  • @MagufulificationOfAfrica
    @MagufulificationOfAfrica ปีที่แล้ว

    frame rate mliotumia sio sahihi

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 ปีที่แล้ว

    Tatizo sio bandari tatizo Kwa wakulima na wachakataji tunasumbuliwa na tozo za halmashauri ni kubwa halafu hao wazabuni wanaoweka mageti barabarani ni tatizo kubwa sana hebu fuatilia mkuu utaona

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 ปีที่แล้ว

    Kikubwa ni kuweka mwekezaji anyeweza kuvunja Bei kubwa ili mwananchi anufaike

  • @serviceandrecycling3780
    @serviceandrecycling3780 ปีที่แล้ว

    More guts more ships lines❤❤

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw ปีที่แล้ว

    Hiyo bandari unatakiwa isimamiwe vizuri serikali iwekeza pesa sio kuanza kufanya mazingira magumu Kwa wafanya biashara kuchukua muda mrefu bandari .

  • @chacha-255
    @chacha-255 ปีที่แล้ว

    Hawa ni watu wanaomuheshimu zaidi raisi kuliko wananchi, Hivi ni raisi au kodi zetu wannchi ndio zimejenga hio bandar ?

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 ปีที่แล้ว

    Piga KAZI mkuu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 ปีที่แล้ว

    ❣️🇹🇿🇹🇿💪💪. Good job

  • @babawatoto4312
    @babawatoto4312 ปีที่แล้ว

    Tanga inaweza ikanya kazi sana kama kipindi kile cha miaka 2002 mpka mwaka 2013. Lkn ttr ni TRA walipowaleta akina Ben Mwalala, ndio waliokimbiza wateja wengi. Matokeo yake Tanga ikazidi kumalizika ikawa kama ghost town. .Jee kuna mikakati mikakati yyt iliyoekwa kuhakikisha hayatarejea makosa ya mwanzo, ili fursa iliyopotea irudi tena.

  • @rommelmauma8081
    @rommelmauma8081 ปีที่แล้ว

    Kwa nini hao wa nje wananunua katani yetu? Kwa nini tusiiongezee thamani katani yetu; badala ya kusafirisha katani ghafi, tutengeze, kwa mfano, kamba na/au magunia na kuuzia hao wa nje?
    Kwa kufanya hivyo, tunaweza kuongeza ajira kwa Watanzania na kupata pesa zaidi kutokana na dhana ya *added value to raw materials*.

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 ปีที่แล้ว

      Kwa hii mitaara ya MKOLONI kwa kweli kila kitu kitasafilishwa na kuneemesha nchi za vibeberu mbuzi 😂😂😂😂😂

    • @geeva99
      @geeva99 ปีที่แล้ว

      We unawaza kutengeneza magunia na kamba wakati watu wanatengeneza vitambaa wanawauzia versace na balenciaga

    • @rommelmauma8081
      @rommelmauma8081 ปีที่แล้ว +1

      @@geeva99 Niko hapa Marekani miaka karibu 50 - nchi inayoagiza nyuzi za katani [sial fibres] sana duniani kwa ajili ya kutengeneza twine, ropes, yarn, kusuka carpets, mats, vikapu na vyombo vingine vingi vya handcrafts ... ndio maana nilitoa mifano ya magunia na kamba.
      Na kama "watu wanatengeneza vitambaa wanawauzia versace na balenciaga", naafiki na Shini Papaya, hapo juu, kuboresha mitaala ya elimu.
      Zaidi, kuunga mkono hoja yako, yatubidi tuboreshe hayo ya katani yetu, ubunifu na teknolojia ili tuweze kutengeneza vitambaa tuwauzie hao akina Versace na Balenciaga au Louis Vuitton, Prada, nk.
      Vijana, mna changamoto za ku-summount! Kazi kwenu! Wengine, sisi tumekaribia ya kwaheri ya kutoonana. Ninawatakia kila la heri!

  • @FredyVincent951753852456
    @FredyVincent951753852456 ปีที่แล้ว

    Tanga iamke Sasa, inyanyuke iwe kama Mombasa