MAPYA YAIBUKA MGOMO KARIAKOO,MWENYEKITI AFUNGUKA A-Z"NILIPIGIWA SIMU USIKU NIENDE DODOMA,SIKUOGOPA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 203

  • @JomoJomo-g4q
    @JomoJomo-g4q 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mweshimiwa

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 ปีที่แล้ว +11

    This man is a people's true leader.

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 ปีที่แล้ว +10

    Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 ปีที่แล้ว +3

    This man is apple 🍎

  • @sangajaffar7419
    @sangajaffar7419 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekiti uko sawa sana big up

  • @mustafaally274
    @mustafaally274 ปีที่แล้ว +12

    Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati
    Mungu akulinde,kwa pamoja tutashinda
    We love you

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว +1

      Mwenyeketi we we ni kiongozi unayejitambua

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว +1

      Kaka we we usiogope kaka mungu yuko na we we hayo magugu yameka tu kusubiri kodi zetu

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว +1

      Mweshimiwa mwenyeketi wewe usiogope mungu yuko na wewe usiofu kaka hayo majini yaliyojikalia tu kwenye viyoyozi ayajuhi shida watu wanazopata kariako

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Mwenyeketi wewe ni big up usiofu chochote wewe ni kiongozi wetu tuko nyuma yako kwa asilimia mia moja mijitu imeka kwenye ic inazunguka na vitu vya kuzunguka theni yanasubiri mitozo ili ijichulie inafikiri itaishi milele inakosa ata hofu ya mungu ata sijuhi kwa nini mungu asiishukie hiyo migugu iliyoka kama ndezi hapo Dodoma inasubutu kukuambia una hamazisha mgomo mbona Mimi nimefunga biashara alafu ilo lijitu lillo kuambia una amazisha maandamano tafuta jina lake peleka kwa kaka yetu lifukuzwe kama jambazi sugu

    • @sultansallah8772
      @sultansallah8772 ปีที่แล้ว +2

      Kuwaamini watu haraka ndo ugonjwa unaowatesa watanzani. Yaan bingo ukiwa na ufasaha wa kutunga uongo tu umetoboa

  • @harunrhobi3007
    @harunrhobi3007 ปีที่แล้ว +12

    Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.

  • @richardmagaka9525
    @richardmagaka9525 ปีที่แล้ว +8

    Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana

  • @gibsonzumba
    @gibsonzumba ปีที่แล้ว +1

    Upo vizuri

  • @edithajoseph7675
    @edithajoseph7675 ปีที่แล้ว +19

    Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 ปีที่แล้ว +6

    Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤

  • @ibraagwanda4683
    @ibraagwanda4683 ปีที่แล้ว +8

    Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 ปีที่แล้ว +1

    bright sana

  • @rahmaabdallah728
    @rahmaabdallah728 ปีที่แล้ว +5

    Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts ปีที่แล้ว +1

    Waziri mkuu ni mwelewa sana, nimemuelewa na anaelewekaga..kiongozi

  • @danvasmasese3180
    @danvasmasese3180 ปีที่แล้ว +1

    Ur true leader

  • @muna1165
    @muna1165 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana kiongozi uko sawa kabisa

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 ปีที่แล้ว +1

    Kweli wèwe ni kiongozi safi

  • @emmanuelkundael2743
    @emmanuelkundael2743 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akuinue kaka,na akulindee aiseee

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 ปีที่แล้ว +10

    Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 ปีที่แล้ว +1

    Pole ndugu yetu kilio chetu hakina mwenyewe ukithubutu utasokotwa na wasokotaji wazoefu kwa kazi hiyo !!mungu ametuweka hapa nae atatusaidia maana ndugu zetu wametugeuka kabisa hawana huluma na sisi

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 ปีที่แล้ว

    19:20 tunamupasuwa😂

  • @goldenmaduhumedia4681
    @goldenmaduhumedia4681 ปีที่แล้ว +9

    This man is a leader

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 ปีที่แล้ว +1

    Kweli

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz ปีที่แล้ว +5

    Fact brother uko sahihi

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 ปีที่แล้ว +8

    TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo

  • @salama1113
    @salama1113 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana yy c anatwambiaga twende burudy😂😂😂

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 ปีที่แล้ว +3

    *Mungu akubariki sanaa kaka kuendelea kutusema ss tunaodhulumiwa*

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 5 หลายเดือนก่อน

    Wamezoweya nikuondoka wote watafute kazi nyingine kibuli Cha ccm mungu anawaona tu ipo siku wabongo wataamuka

  • @antonyndinga8890
    @antonyndinga8890 ปีที่แล้ว +1

    mkuu,
    Safi Sana.
    Dawa kukusanya machine za efd kuwarudishia

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto ปีที่แล้ว +1

    Big Brain and very persuasive

  • @mekumeku2484
    @mekumeku2484 ปีที่แล้ว +1

    Dah

  • @nailaty
    @nailaty ปีที่แล้ว +8

    Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti

  • @andrew29468
    @andrew29468 ปีที่แล้ว +3

    Upo vzr mwenyekiti, mihemuko ikemee upo vzr sanaaa
    Nimependa tuna watu wazuri sanaa nchi hii,huyu jamaa yupo safii mtii

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 ปีที่แล้ว +3

    Loh! Nakuaminia kiongozi, hawajakosea kukuchagua, wakuombee Mungu sana wakati unapambana na hao wasio na utu wako kama simba wala watu!

  • @maulidmnukwa3171
    @maulidmnukwa3171 ปีที่แล้ว +6

    I repeat again the guy is more than smart itself....

  • @michaelelia7058
    @michaelelia7058 ปีที่แล้ว +3

    Kinacho endelea ni mgomo kwanini wamechoka safi sana 😂😂😂 MUNGU akulinde aiseeee

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kiongozi upo sa hihi sana

  • @DominikoTvOnline
    @DominikoTvOnline ปีที่แล้ว +22

    This man is powerful

  • @sylvestrengwelu2012
    @sylvestrengwelu2012 ปีที่แล้ว +4

    Hapo sawa MWENYEKITI

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 ปีที่แล้ว +4

    Good job brother ❤❤❤❤❤❤

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 ปีที่แล้ว +6

    Kiongozi umeongea kiutu uzima sana Mungu akulinde

  • @barakaleader1550
    @barakaleader1550 ปีที่แล้ว +4

    Mmetisha msilainike mpka kieleweke

  • @yusufunguruko8080
    @yusufunguruko8080 ปีที่แล้ว +7

    Yeah, wewe ni kiongozi, sifa za kiongozi kwanza ni kuwa na ushawishi kwa unaowaongoza, hekima na busara, usiwe muoga, na uwe na misimamo itakayoleta utatuzi wa shida iliyopo. Kiongozi hutakiwi kuamua mambo kutokana na mihemko ya wale unaowaongoza bali uamue kwa kufuata njia ambayo unaona ndio sahihi itakayoleta solution ya shida iliyopo na kubwa zaidi kiongozi unatakiwa uwe mzuri ktk kujieleza na kuwasilisha kile unachotakiwa kukiwasilisha kwa watu wako kiufasaha na busara na hatimae wakielewe na kukubaliana nacho - Kwa hili bro naona haya yote umekuwa nayo na kwa kweli approach uliyoitumia ya kuwashawishi viongozi wakuu wa serikali wao wenyewe kuja kutoa majibu mbele ya wananchi wako hiyo ndio imekuwa kete kubwa sana iliyokupa nguvu na kukuweka huru mbele ya wale unaowaongoza - hongera sana sana uko vizuri mno !

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 ปีที่แล้ว +13

    Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali

  • @nolasc0mushy651
    @nolasc0mushy651 ปีที่แล้ว +1

    good bro

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 ปีที่แล้ว +12

    Hata Mimi nimeichoka Serikali...

  • @andrew29468
    @andrew29468 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekiti safi sanaaaaaaaaaaaaa
    Upo vzr

  • @innocentjohn4040
    @innocentjohn4040 ปีที่แล้ว +4

    Big up brother Kwa msimamo wako

  • @oscarmlaponi8355
    @oscarmlaponi8355 ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa anajua sana kuwaandaa watu, kaanzia mbali sana hahahaahah, alafu kawarudisha dhamira yake ni maduka yafunguliwe

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 ปีที่แล้ว +6

    Powerful man we love you brother

  • @ismailsalumu1112
    @ismailsalumu1112 ปีที่แล้ว +5

    M/Kiti wa wafanyabiashara kariakoo umepevuka akili
    Hakika unaongea points

  • @damaspmtz1018
    @damaspmtz1018 ปีที่แล้ว +3

    Chalamila akitoka hapo dar es salaam unatakiwa wewe ndiye uwe Mkuu wa Mkoa wa hapo

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 ปีที่แล้ว +1

    Uko vizuri kiongozi

  • @janechengula2833
    @janechengula2833 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akulinde mwenyekiti wetu

  • @nimlambangu2771
    @nimlambangu2771 ปีที่แล้ว +5

    Uko sahihi sana, malaika wa bwana wakulinde,wasiojulikan a wasikuone, na baada ya yote ukavalishwe taji

  • @habibukessy-pf4xf
    @habibukessy-pf4xf ปีที่แล้ว +4

    Upo saw kabisa

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 ปีที่แล้ว +3

    Safi sana namungu awabariki hakuna kurara

  • @emmyanold9306
    @emmyanold9306 ปีที่แล้ว +4

    Mungu nakuomba umlinde huyo mwenyekiti maana hawajui kujitetea wanaishia kufa na mapresha

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jmaaa Yuko vizuri

  • @jeamwenda7394
    @jeamwenda7394 ปีที่แล้ว +1

    Ur true a leader

  • @DavidikaAldo-ky4ek
    @DavidikaAldo-ky4ek ปีที่แล้ว +7

    Baba mbarikiwa alisema mwanadamu Kwa upole wowote ukimugusa sana atatumia nguvu yake ya mwisho kutatua tatizo lake

  • @oscarluvanda4589
    @oscarluvanda4589 ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa kichwa sana

  • @mukhutarymatimbwa864
    @mukhutarymatimbwa864 ปีที่แล้ว +4

    Leo nimeamini serikari Inatumia wanasaikolojia vizuri sana

    • @twaalibkeya859
      @twaalibkeya859 ปีที่แล้ว

      Kivipi ndg
      Plz nipe madini insha’Allah

  • @alexpuwale9653
    @alexpuwale9653 ปีที่แล้ว

    Hivi kwnin huyu Waziri wa Fedha asitenguliwe,uwaziri wake

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 ปีที่แล้ว +8

    Peke yangu nawaza yani usipokuwa na hadhi fulani hata kama una fact huwezi sikilizwa

  • @mbondelotv8380
    @mbondelotv8380 ปีที่แล้ว +10

    Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee

  • @dominikishilali4645
    @dominikishilali4645 ปีที่แล้ว +3

    una ongea ww kiongozi naumia mm pole sana

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 ปีที่แล้ว +13

    Kiongozi mzuri huyu safari sana

    • @BIGBOSS-hl3bu
      @BIGBOSS-hl3bu ปีที่แล้ว +2

      I love penina wangu❤❤❤

  • @martinkagussa3406
    @martinkagussa3406 ปีที่แล้ว +1

    My God protect you 🙏

  • @elizabethdonat1344
    @elizabethdonat1344 ปีที่แล้ว +1

    Daah yesu akulinde

  • @sudymlela1705
    @sudymlela1705 ปีที่แล้ว +2

    HAPO MWISHO, TULIOSOMA QUBA TUMEMUELEWA MWENYEKITI😄😄😄😄

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 ปีที่แล้ว +4

    Achen ujinga na upuuzi makufuri mngemfanyia hivi???????

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 ปีที่แล้ว +10

    Tanzania na Kenya inabahati ya kuwa na viongozi sio watawala awamu hii lakini waongozwa wanatest

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu ปีที่แล้ว

      charlz lomo unachokiongea hata hakieleweki

    • @danvasmasese3180
      @danvasmasese3180 ปีที่แล้ว

      Kenya kinaturamba bwana wewe hujui unasema nini

  • @romwaldsimonkasian8018
    @romwaldsimonkasian8018 ปีที่แล้ว +1

    Good 👍

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 ปีที่แล้ว +6

    huyu jamaa Mungu amlinde maana inaonesha wazi hapendi uchawa!

  • @godwinegasper8212
    @godwinegasper8212 ปีที่แล้ว +4

    hyu jamaa n kiongozi kwel

  • @mghuna
    @mghuna ปีที่แล้ว +5

    Huyu ndio mfano wa kiongozi anatakiwa awe hvi kiongozi ndio njia

  • @stevenibrahimu326
    @stevenibrahimu326 ปีที่แล้ว

    kuna watu wamejificha kwenye carpet lakini DMI

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 ปีที่แล้ว +1

    Bro big up......

  • @chesconkwera2005
    @chesconkwera2005 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mwenyekiti

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana

  • @youngkidor3296
    @youngkidor3296 ปีที่แล้ว +2

    Hatuitaki selikali ambao wapo nami gonna like acha uwoga 👍

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa ilifaa kua kiongozi mkubwa au kua bungeni maana anaonekana ni mtu Alie ishi na uhalisia wa maisha ya kawaida

    • @bockerbocker8495
      @bockerbocker8495 ปีที่แล้ว

      Wenye akili kubwa kama hizo huwa hawapewi nafasi

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekiti Anastahili Kuwa Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam

  • @obedwilliam5906
    @obedwilliam5906 ปีที่แล้ว

    Wewe ni zaidi ya kiongozi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 ปีที่แล้ว +8

    Ndo hivo, Kiongozi unapaswa kuongea hivo kwa misimamo!

  • @erickzephania1030
    @erickzephania1030 ปีที่แล้ว +4

    Aya mambo ni ya mda mrefu.. na Serikali inayafahamu. Iyo wiki ni ya nn zaidi ya viongozi kutoa maamuzi..!?

    • @mwaaang
      @mwaaang ปีที่แล้ว

      Basi wavunje uongozi wao waendelew kugoma kila mtu ashinde mechi zake

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 ปีที่แล้ว +5

    Jamani tumusikilize mwenyekiti jamani amepambana sana

  • @mwijagenelsoni357
    @mwijagenelsoni357 ปีที่แล้ว +2

    Kweli uongea kama kiongozi safii sana na mim nakuombea wakupe kweli huo mda

  • @jumangomuo-ho7il
    @jumangomuo-ho7il ปีที่แล้ว +1

    Safiiiiiiiii

  • @mariasmith4301
    @mariasmith4301 ปีที่แล้ว

    Umoja ni nguvu 💪💪💪💪

  • @yohanaelias3336
    @yohanaelias3336 ปีที่แล้ว

    Mfikwa tumepaa juu zaid
    Mwenyekit uish

  • @AbdulRazak-jp1hv
    @AbdulRazak-jp1hv ปีที่แล้ว +5

    💯💯💯💯💯

  • @Abdillahali-t8i
    @Abdillahali-t8i ปีที่แล้ว

    wafanya biashara mumepingwa na kitu kizito na mwenyeketi 🤣🤣😂😂

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 ปีที่แล้ว

    Bravo kariakoo.
    Tuko pamoja mpaka kieleweke.

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus255 ปีที่แล้ว

    TRUE LEADER

  • @prijoseph4665
    @prijoseph4665 ปีที่แล้ว +5

    Huyu jamaa apewe ububge

  • @mwaaang
    @mwaaang ปีที่แล้ว +2

    Huyu ni kiongozi na nusu. Mnapompa kazi. Mpimeni kwa muda huo alioumba. Kama hamtaki, mtoeni mwekeni mtu mwingine au endeleeni na harakati zenu mpimane nguvu na serikali mpaka mmoja atakapo surrender. Tutajua nani anamtegemea nani. Yetu macho.

  • @iwenikigodi5419
    @iwenikigodi5419 ปีที่แล้ว +1

    Nimesikia sauti nampasua🤣🤣🤣🤣