Mama tunaomba utabadilishie mkuu wa mkoa mwenye characters kama za makonda huyu chalamila analeta siasa kwenye mambo ya msingi kabisa. Huyu anakutia aibu
Huyu hata sijui kwanini kaenda kariakoo Kama Hana solution yeyote?? Kaenda kuwaongezea watu hasira tuu…Kuna baadhi ya viongozi wanajisahau wanafikiri hii Nchi ni Yao…Tanzania ni ya watu wote watanzania…na bila watu serikali haina kitu
Shida anatumia nguvu kusolve ila angewaita wote akawasikiliza harafu akawaambia wao wenyewe wakubaliane nini kifanyike..hii case ingeisha bila hii nguvu anayoitumia
Nimejikuta nacheka, hivi shida ilikuwa kupanda kwa kodi sasa machinga wanalipa kodi? Hao chinga ndio wanachukua kwa wenye maduka , hapa kunashda tena kubwa sana kunawakat utaisi miili mikubwa itakuwa na eshima kumbe duh, mtambo 🤔🤔🤔
Jamani akili ya wapi Mheshimiwa, haya ya kupigwa mikwara unamtolea mfano Manji, eti mpaka akaikimbia nchi, hii ni kauli ya kiongozi? Kweli? Mheshimiwa ebu kuwa na kariba ya ulimi.
Chalamila Dar ishamshida siasa na porojo tu badala ya kutatua kero! Kawaomba wafanya biashara wafungue maduka 7bu watakosa mapato maana hapo ndio chazo kikuu.
HATA MIMININGEAMUA HIVYOHVYO WAFUNGE KAMA WAMEAMUA KUFUNGA, HAWA JAMAA WANAKWEPA SANA KULPA KODI KWA KUTUMIA RISIT SANA TENA SANAAAAAAAA LEO WANATAKA WENZAO WAONDOLEWE HAPAKIE WAO, SI WAENDE KUFANYIKA BIASHARA MAKWAO...
Huyu Mzee hafai kuwa kiongozi
Hufai kwanza nashangaa hujapigwa mawe
Siasa kwenye mambo ya msingi
Hafai kuwa kiongozi
Mmachinga ndoo wengi kuliko hao unao watetea Wana lipa Kodi kubwa
Kipindi anakuja apo alipitia bar kwanza kunywa bia
Kiongozi mjinga sana yan
Mmmh hv huyu n kiongozi wa wapi?
Mama tunaomba utabadilishie mkuu wa mkoa mwenye characters kama za makonda huyu chalamila analeta siasa kwenye mambo ya msingi kabisa. Huyu anakutia aibu
Huyu hata sijui kwanini kaenda kariakoo Kama Hana solution yeyote?? Kaenda kuwaongezea watu hasira tuu…Kuna baadhi ya viongozi wanajisahau wanafikiri hii Nchi ni Yao…Tanzania ni ya watu wote watanzania…na bila watu serikali haina kitu
Tatua kero za wafanya Biashara ili biashara ifanyike.
Kero ndo zinapekea haya mambo kutokea.
Mkooa unamshinda huyu jamaa kiongozi anatakiwa awe na hekima kwenye maongezi
Huyu haya Mambo hayawezi kabisa
Hivi hawa viongoz wanajijua wanachoongea
Huyu kila siku nasema huyu sio kiongozi huyu nichawa wa raisi hafai kua kiongozi anatuletea tu komedi
hii nchi yakibabe sana
Aina ubabe ila wengi ni wapumbavu
Huyu Leo kapuyanga rahis ndo aelewe Hana viongoz
Kwamba hii ndo picha halisi ya viongozi wa nchi hii eti au kuna aina nyingine?
Shida anatumia nguvu kusolve ila angewaita wote akawasikiliza harafu akawaambia wao wenyewe wakubaliane nini kifanyike..hii case ingeisha bila hii nguvu anayoitumia
Nimeshindwa ata nicoment nn
Nimejikuta nacheka, hivi shida ilikuwa kupanda kwa kodi sasa machinga wanalipa kodi? Hao chinga ndio wanachukua kwa wenye maduka , hapa kunashda tena kubwa sana kunawakat utaisi miili mikubwa itakuwa na eshima kumbe duh, mtambo 🤔🤔🤔
Hapa n devide and rule😂
Exactly what i was thinking about 😅
Rip JPM
Huyu mngepiga mawe tu
Jamani akili ya wapi Mheshimiwa, haya ya kupigwa mikwara unamtolea mfano Manji, eti mpaka akaikimbia nchi, hii ni kauli ya kiongozi? Kweli? Mheshimiwa ebu kuwa na kariba ya ulimi.
Huyu arudishwe mkoani tuu!!! Kwa Dar hatufai
Kwani Dar siyo Mkoa??
@@deuskatemi640 Ni JiJi… Mkoa ni PWANI.
Ila wabongo mna huruma mtu anaongea utumbo na mnamuangalia tu aise poleni jirani
tatua shida mzee
Tatua kero za wananchi usipige kelele Mzee😂
Uyu mbona Kama katumwa
Yani hata aibu kiongozi hana hunahoja wewe nenda kalale unatuletea tu komedi
Alafu selikali iangalie vizuli hapo huyi mmachinga huyu halipi hata shilingi huyu selikalini
Hapa ndipo anakumbukwa mwamba alie pelekwa arusha
Yani huyu ndio anamsaidia raisi kutatua migogoro au yeye ndio anazidisha migogoro hata elimu inaonelana hamna kitu yani unatisha watu
Huyu amekwama😂
tunakuomba Rais tuondolee huy mtu hafai kuwa mkuu wa mkoa
Kwahiyo huyu ndo kingozi wa Jiji la Dar es salaam, haya majibu si ya kiongozi mwelede,Huyu atafutiwe mkoa mwingine Dar imempalia.
RIP Ramadhani
Tunaojua uchungu wa kodi ndo tunaelewa maumivu yake
Kwani ubungo penyew hapatakuwa na kodi
Mh mbona umeanza kutishia tena ko hiyo ndo suluhu yenyewe? Akina Manji wameingiaje kwenye huo mkutano wako
Hakunambogo anaweza kugomabongo
Kuongoza dar makonda ndo aliiweza tu
Nimeukumbuka ulanzi wa mfindi mieeeee
Watu wameroga mziko😂😂
Hakuna mtu mkuu wa mkoa hapa
Unatumia mabavu kwenye mambo ya msingi
Chalamila Dar ishamshida siasa na porojo tu badala ya kutatua kero!
Kawaomba wafanya biashara wafungue maduka 7bu watakosa mapato maana hapo ndio chazo kikuu.
Ww chalamila mjanja mjanja tu unapeleka siasa kwa walipa Kody wako haliyakua wanapatashida na hao wasiolipa Kody kweliii...?
Mh. Hapo umechemka kutumia mabavu hayawezi kutatua hii kero
Hakuna kiongoz hapo, anachoongea ni upuuzi mtupu. Hatutishiki mzee
Anapigania maslahi ya aliye Mteuwa, nyie mnategemea awapiganie wakati hamjamchagua
Hizo mambo wachieni wakenya nyie eti mwandisha nae wafanyabiashara wamigoma au wako likizo hao maana hawana likizo
Huyu amewekwa dar ili alete ujinga na vichekesho ili tu kusahaulisha mambo so msiwe wajnga
HATA MIMININGEAMUA HIVYOHVYO WAFUNGE KAMA WAMEAMUA KUFUNGA, HAWA JAMAA WANAKWEPA SANA KULPA KODI KWA KUTUMIA RISIT SANA TENA SANAAAAAAAA LEO WANATAKA WENZAO WAONDOLEWE HAPAKIE WAO, SI WAENDE KUFANYIKA BIASHARA MAKWAO...
Haupo kwenye huo mzunguko mzee ungekuwepo nahisi ungekuwa namba moja kwenye mgomo
Ww aupo kwenye mfumo wa biashara
Comedian
kitumbua kimeingia mchanga
APA KUNA MKUU WA MKOA SEEEE
Tatua kero
Hakuna fack apo