🔴

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 66

  • @NicholausLaurent-t6x
    @NicholausLaurent-t6x 4 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu Mzee hafai kuwa kiongozi

  • @LuluSuleiman-w3j
    @LuluSuleiman-w3j 4 หลายเดือนก่อน +8

    Hufai kwanza nashangaa hujapigwa mawe

  • @vom84
    @vom84 4 หลายเดือนก่อน +5

    Siasa kwenye mambo ya msingi

  • @SunguraMmarekan-bs2lr
    @SunguraMmarekan-bs2lr 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hafai kuwa kiongozi

  • @ShabanMohamed-e9l
    @ShabanMohamed-e9l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmachinga ndoo wengi kuliko hao unao watetea Wana lipa Kodi kubwa

  • @japhethmwimba4849
    @japhethmwimba4849 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kipindi anakuja apo alipitia bar kwanza kunywa bia

  • @VivianGerlad
    @VivianGerlad 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kiongozi mjinga sana yan

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh hv huyu n kiongozi wa wapi?

  • @AnthonySindabaha-de3xb
    @AnthonySindabaha-de3xb 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mama tunaomba utabadilishie mkuu wa mkoa mwenye characters kama za makonda huyu chalamila analeta siasa kwenye mambo ya msingi kabisa. Huyu anakutia aibu

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu hata sijui kwanini kaenda kariakoo Kama Hana solution yeyote?? Kaenda kuwaongezea watu hasira tuu…Kuna baadhi ya viongozi wanajisahau wanafikiri hii Nchi ni Yao…Tanzania ni ya watu wote watanzania…na bila watu serikali haina kitu

  • @JOSEPHATMwesigwa-vi7he
    @JOSEPHATMwesigwa-vi7he 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tatua kero za wafanya Biashara ili biashara ifanyike.
    Kero ndo zinapekea haya mambo kutokea.

  • @hazardmjeshi5200
    @hazardmjeshi5200 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mkooa unamshinda huyu jamaa kiongozi anatakiwa awe na hekima kwenye maongezi

  • @trendings1293
    @trendings1293 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu haya Mambo hayawezi kabisa

  • @richardtom38
    @richardtom38 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi hawa viongoz wanajijua wanachoongea

  • @saidally5763
    @saidally5763 4 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu kila siku nasema huyu sio kiongozi huyu nichawa wa raisi hafai kua kiongozi anatuletea tu komedi

  • @RAJABURAJABUHASSANKITINDILE
    @RAJABURAJABUHASSANKITINDILE 4 หลายเดือนก่อน

    hii nchi yakibabe sana

  • @godfreykiwelu7253
    @godfreykiwelu7253 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Leo kapuyanga rahis ndo aelewe Hana viongoz

  • @omarkipotwile9052
    @omarkipotwile9052 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwamba hii ndo picha halisi ya viongozi wa nchi hii eti au kuna aina nyingine?

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 หลายเดือนก่อน

    Shida anatumia nguvu kusolve ila angewaita wote akawasikiliza harafu akawaambia wao wenyewe wakubaliane nini kifanyike..hii case ingeisha bila hii nguvu anayoitumia

  • @kweltv5106
    @kweltv5106 4 หลายเดือนก่อน

    Nimeshindwa ata nicoment nn

  • @kelvinidamiani7808
    @kelvinidamiani7808 4 หลายเดือนก่อน

    Nimejikuta nacheka, hivi shida ilikuwa kupanda kwa kodi sasa machinga wanalipa kodi? Hao chinga ndio wanachukua kwa wenye maduka , hapa kunashda tena kubwa sana kunawakat utaisi miili mikubwa itakuwa na eshima kumbe duh, mtambo 🤔🤔🤔

  • @mcvituz1103
    @mcvituz1103 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapa n devide and rule😂

    • @visionstudios6804
      @visionstudios6804 4 หลายเดือนก่อน

      Exactly what i was thinking about 😅

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 4 หลายเดือนก่อน +1

    Rip JPM

  • @mejamiela7436
    @mejamiela7436 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu mngepiga mawe tu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani akili ya wapi Mheshimiwa, haya ya kupigwa mikwara unamtolea mfano Manji, eti mpaka akaikimbia nchi, hii ni kauli ya kiongozi? Kweli? Mheshimiwa ebu kuwa na kariba ya ulimi.

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu arudishwe mkoani tuu!!! Kwa Dar hatufai

    • @deuskatemi640
      @deuskatemi640 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani Dar siyo Mkoa??

    • @Zenny89
      @Zenny89 4 หลายเดือนก่อน

      @@deuskatemi640 Ni JiJi… Mkoa ni PWANI.

  • @Yory334
    @Yory334 4 หลายเดือนก่อน

    Ila wabongo mna huruma mtu anaongea utumbo na mnamuangalia tu aise poleni jirani

  • @mzeebabumzee
    @mzeebabumzee 4 หลายเดือนก่อน

    tatua shida mzee

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tatua kero za wananchi usipige kelele Mzee😂

  • @AthumaniMohamed-bj6um
    @AthumaniMohamed-bj6um 4 หลายเดือนก่อน +2

    Uyu mbona Kama katumwa

  • @saidally5763
    @saidally5763 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yani hata aibu kiongozi hana hunahoja wewe nenda kalale unatuletea tu komedi

  • @yahayamohamed6822
    @yahayamohamed6822 4 หลายเดือนก่อน

    Alafu selikali iangalie vizuli hapo huyi mmachinga huyu halipi hata shilingi huyu selikalini

  • @Cag645
    @Cag645 4 หลายเดือนก่อน

    Hapa ndipo anakumbukwa mwamba alie pelekwa arusha

  • @saidally5763
    @saidally5763 4 หลายเดือนก่อน +1

    Yani huyu ndio anamsaidia raisi kutatua migogoro au yeye ndio anazidisha migogoro hata elimu inaonelana hamna kitu yani unatisha watu

  • @mamalange2277
    @mamalange2277 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu amekwama😂

  • @joelvenasi6248
    @joelvenasi6248 4 หลายเดือนก่อน

    tunakuomba Rais tuondolee huy mtu hafai kuwa mkuu wa mkoa

  • @sirmungureombeni4218
    @sirmungureombeni4218 4 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo huyu ndo kingozi wa Jiji la Dar es salaam, haya majibu si ya kiongozi mwelede,Huyu atafutiwe mkoa mwingine Dar imempalia.

  • @BrunoNamanga
    @BrunoNamanga 4 หลายเดือนก่อน

    RIP Ramadhani

  • @SerahGlam
    @SerahGlam 4 หลายเดือนก่อน

    Tunaojua uchungu wa kodi ndo tunaelewa maumivu yake

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani ubungo penyew hapatakuwa na kodi

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 4 หลายเดือนก่อน

    Mh mbona umeanza kutishia tena ko hiyo ndo suluhu yenyewe? Akina Manji wameingiaje kwenye huo mkutano wako

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 4 หลายเดือนก่อน

    Hakunambogo anaweza kugomabongo

  • @SunguraMmarekan-bs2lr
    @SunguraMmarekan-bs2lr 4 หลายเดือนก่อน

    Kuongoza dar makonda ndo aliiweza tu

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando 4 หลายเดือนก่อน

    Nimeukumbuka ulanzi wa mfindi mieeeee

  • @mcvituz1103
    @mcvituz1103 4 หลายเดือนก่อน

    Watu wameroga mziko😂😂

  • @alexmwashibili3616
    @alexmwashibili3616 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna mtu mkuu wa mkoa hapa

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk 4 หลายเดือนก่อน

    Unatumia mabavu kwenye mambo ya msingi

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein 4 หลายเดือนก่อน

    Chalamila Dar ishamshida siasa na porojo tu badala ya kutatua kero!
    Kawaomba wafanya biashara wafungue maduka 7bu watakosa mapato maana hapo ndio chazo kikuu.

  • @YusuphSomo
    @YusuphSomo 4 หลายเดือนก่อน

    Ww chalamila mjanja mjanja tu unapeleka siasa kwa walipa Kody wako haliyakua wanapatashida na hao wasiolipa Kody kweliii...?

  • @MtegekiKaijage
    @MtegekiKaijage 4 หลายเดือนก่อน

    Mh. Hapo umechemka kutumia mabavu hayawezi kutatua hii kero

  • @MelchizedekShirima
    @MelchizedekShirima 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kiongoz hapo, anachoongea ni upuuzi mtupu. Hatutishiki mzee

  • @johnsonmria3824
    @johnsonmria3824 4 หลายเดือนก่อน

    Anapigania maslahi ya aliye Mteuwa, nyie mnategemea awapiganie wakati hamjamchagua

  • @EmmanuelChrispin-bo5xh
    @EmmanuelChrispin-bo5xh 4 หลายเดือนก่อน

    Hizo mambo wachieni wakenya nyie eti mwandisha nae wafanyabiashara wamigoma au wako likizo hao maana hawana likizo

  • @fahamnitwahir9249
    @fahamnitwahir9249 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu amewekwa dar ili alete ujinga na vichekesho ili tu kusahaulisha mambo so msiwe wajnga

  • @hajimgwami5224
    @hajimgwami5224 4 หลายเดือนก่อน

    HATA MIMININGEAMUA HIVYOHVYO WAFUNGE KAMA WAMEAMUA KUFUNGA, HAWA JAMAA WANAKWEPA SANA KULPA KODI KWA KUTUMIA RISIT SANA TENA SANAAAAAAAA LEO WANATAKA WENZAO WAONDOLEWE HAPAKIE WAO, SI WAENDE KUFANYIKA BIASHARA MAKWAO...

    • @FrankSamson-r6s
      @FrankSamson-r6s 4 หลายเดือนก่อน

      Haupo kwenye huo mzunguko mzee ungekuwepo nahisi ungekuwa namba moja kwenye mgomo

    • @youngsachafurniture5482
      @youngsachafurniture5482 4 หลายเดือนก่อน

      Ww aupo kwenye mfumo wa biashara

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 4 หลายเดือนก่อน

    Comedian

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 4 หลายเดือนก่อน

    kitumbua kimeingia mchanga

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 4 หลายเดือนก่อน

    APA KUNA MKUU WA MKOA SEEEE

  • @EwaldAntony
    @EwaldAntony 4 หลายเดือนก่อน

    Tatua kero

  • @HarunGeorge
    @HarunGeorge 4 หลายเดือนก่อน

    Hakuna fack apo