MFANYA BIASHARA AJILIPUA KUMTAJA MWIGULU SAKATA LA KARIAKOO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 76

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 ปีที่แล้ว +15

    R.i p magu ulifanya watu kuwa jasiri

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 ปีที่แล้ว +5

    Mwigulu ni mzigo jpg alimtumbua alipokuwa mambo ya ndani ndo tulishuhudia watu wasiojulikana kutamba kila kona...akwende huko

  • @malindimalindimerinyo1632
    @malindimalindimerinyo1632 ปีที่แล้ว

    Tatizo kubwa waziri mkuu anateuliwa na rais waziri wa fedha anateuliwa na rais je Majaliwa pamoja na uchapaji kazi wake mzuri mno atamfanyanini Mwigulu aliesema yakitushinda tutimukie Burundi...hatahao wakariakoo anashangaa wanamlalamikia Majaliwa badala ya kutimukia Burundi.

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 ปีที่แล้ว +1

    Waziri wa fedha ni tatizo tunaomba mhe Rais asimfumbie macho. Ni maeneo mengi yanayotozwa kodi yanaumiza wananchi. Mfn:-pango la nyumba, umeme, tozo za kibenki, miamala ya Simu nk.

  • @peternaaly4081
    @peternaaly4081 ปีที่แล้ว

    Simuungi mkono mwigulu tokea ametuambia tuhamie Burundi

  • @alenimgaya3889
    @alenimgaya3889 ปีที่แล้ว +6

    Namshukuru mungu tanzania yangu imeanza kupevuka sasa hii ndio inatakiwa

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 ปีที่แล้ว +5

    Utashangaa mtoto MDOGO MTUMISHI TRA ana mshahara MDOGO na Hana muda mrefu KAZINI labda miaka MIWILI au mitatu KAZINI ana mihela KIBAO,amejenga nyumba ya KIFAHARI , gari zuri, hakuna biashara anayofanya wala shughuli inayomuingizia kipato Cha ziada kama si ULAJI kupitia unyanyasaji WA wananchi wanapataje UWEZO huo ?

  • @nakali79
    @nakali79 ปีที่แล้ว +3

    Mwigulu alit akiwa aachie uwaziri

  • @reenesa
    @reenesa ปีที่แล้ว +1

    Huyu Baba kuongea point tupu. Hawa Mawaziri 2 tatizo lipo hapo. Mwenye akili anajua.

  • @peterrichard4087
    @peterrichard4087 ปีที่แล้ว +1

    daaaah,,,,,kwer saiv viongozi wamekuwa miungu watu, R.I.P magufuli

  • @fabianhaali8437
    @fabianhaali8437 ปีที่แล้ว +2

    Ujasiri ndo Kila kitu vyeo ni takataka usipotumia akili

  • @MarandaIhonde-qe6df
    @MarandaIhonde-qe6df ปีที่แล้ว +1

    Uyo mwiguru simpendi sijui kwann hatoki kwenye iyo wizala

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 2 หลายเดือนก่อน

    Mzee kusema kweli ila ccm haikubali ukeli

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 ปีที่แล้ว +1

    Mwigulu mh wasikilize wa tz inauma

  • @sirizawa3360
    @sirizawa3360 ปีที่แล้ว +2

    Hakiamungu mwigulu angekuwepo magufuli usingepona

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 ปีที่แล้ว

      Si alikimbia huyu magu alipokufa kakirudisha kidude chake

  • @mmrkipaji
    @mmrkipaji ปีที่แล้ว +3

    Aisee Huyu Mzee Ni Mwamba

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 ปีที่แล้ว +1

    Wenimekuelewa mwigulu ndo tatizo uyo

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 ปีที่แล้ว +2

    Halafu mwamba watu wananchana yeye anacheka tu

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 ปีที่แล้ว +1

      Anajifanya haelewi.huku somo linamuingia kunako

    • @shalimwansite776
      @shalimwansite776 ปีที่แล้ว

      Aibu tu unadhan atafanyaje? Anazuga tu ila yanamchoma sana

    • @reconcompanyltd2177
      @reconcompanyltd2177 ปีที่แล้ว

      Hacheki anakenua

  • @abelkingu4653
    @abelkingu4653 ปีที่แล้ว +1

    Kuna Jamii ya watu wanatafuta uwaziri wa fedha badala wafanye kazi, Komredi Fanya kazi, hawa wamekuwa wakiongoza wizara hii miaka mingi na imekuwa na wizi tu na kujipendelea wao kwa wao

  • @JoeMziwanda
    @JoeMziwanda ปีที่แล้ว +1

    Oyaaaaaa huyuuu mzeee kaongea bn eeeh

  • @safinahanga476
    @safinahanga476 ปีที่แล้ว

    Mwigulu za uso👊👊👊hana hamu ingekua za Rais wetu angeliwa kichwa.

  • @MgetamafuruMafuru
    @MgetamafuruMafuru ปีที่แล้ว +1

    Wanafidia walizoiba

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwigulu SI mmupumuzishe jamani

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 ปีที่แล้ว

    Kachomoa betri

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 ปีที่แล้ว +1

    Jamaaa kaminya pumbu kwa kwa kuweka nne damn

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq ปีที่แล้ว

    Afukuzwe hana nafasi ya kuwatumikia Watanzania. Labda anafanya hivyo akifikiri atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na huo ndio ukweli na makusudi yake kuna genge ndani ya serekalini mawazo yao kutaka Urais ndio maana wanawafanyia Watanzania hivyo. Na kama Urais ndio makusudi yao ? Ni Vipi watakuwa watawala na kusimamia Wananchi ambao kwa ndoto zao wanataka kuwaongoza??.

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 ปีที่แล้ว

    Watu wanaumia kodi lakini mwigulu ukasema tuhamie burundi dah, maana ikipanda wewe una shida gani wewe ni waziri wa pesa.Haya bwana poa lakini.

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 ปีที่แล้ว +2

    Kwanamna hii Tanzania tutapiga hatua mzee uko vizuri Sana kuliko wanao piga kelele pembeni

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Eti anajita mwanauchumi uchumi gani labda mwanauchumi wa kusimamia bass ya ester

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana mwingulu achia ngozi

  • @mwakagarimwakipelelefi9738
    @mwakagarimwakipelelefi9738 ปีที่แล้ว

    Umeongea point ☝️ sana tatizo Sheria tu hapo waludi Bungeni kulekebisha tu sheria

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU ISAIDIE NCHI YETU

  • @enockchachagimonge7093
    @enockchachagimonge7093 ปีที่แล้ว

    Dawa ya kupunguza makodi ni kuindoa Ccm Madarakani na kwa njia hii tutapunguza wezi na ushindani wa maendeleo. Kelele ya nini majukwaani wakikutana baada ya hapo husemesana tuendelee achana na kombe la mwanaharamu

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 ปีที่แล้ว

    MWIGULU ULISEMA TUKAISHI BURUNDI..BADO UKO TZ UNAFANYA NINI

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 ปีที่แล้ว +1

    baba baba baba unafaa kweli

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 ปีที่แล้ว +3

    Sema usiogope🎤

  • @robertmsukwa8466
    @robertmsukwa8466 ปีที่แล้ว +1

    Umeongea point

  • @givenndegeulaya419
    @givenndegeulaya419 ปีที่แล้ว +1

    Big up.. Sema usikike

  • @januarymbunda8472
    @januarymbunda8472 ปีที่แล้ว

    Mwiguru mwiguru ni nan yeye hapa Tz

  • @cleartzboy
    @cleartzboy ปีที่แล้ว

    Mwigulu hii niabuuu

  • @frankgibore9813
    @frankgibore9813 ปีที่แล้ว

    Kama ningekuwa mimi ndo mwigulu.ningekaa kwenyekiti hicho.hii sasa ni aibu

  • @fabianhaali8437
    @fabianhaali8437 ปีที่แล้ว

    Upande Wa afya serikali inataka hela ambayo haijafanyia lolote ni aibu

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 ปีที่แล้ว +1

    J p m

    • @yolamkidima8242
      @yolamkidima8242 ปีที่แล้ว

      Mwigulu mbona gumzo c ae nde na yeye burundi kama alivyosema akaone vita tuachie nchi yetu yenye amano

  • @najmaabby5034
    @najmaabby5034 ปีที่แล้ว +1

    Well said Mashaallah

  • @josephinemichael1514
    @josephinemichael1514 ปีที่แล้ว

    Chuki Shabani a.k.a tajiri mbishi😄

  • @cleartzboy
    @cleartzboy ปีที่แล้ว

    Tutamkumbuka sana mwenda zake daah kaenda na nchi inaendaaa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 ปีที่แล้ว +1

    Mzee kalipua hahaha

  • @abouayman8713
    @abouayman8713 ปีที่แล้ว +1

    Mwamba ndi uy sasa

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul ปีที่แล้ว

    Daaaaaa kazi hiii ipo Nchini education is a continuous process.

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 ปีที่แล้ว

    Napata wapi namba ya huyu Chuki Shabani?

  • @nakali79
    @nakali79 ปีที่แล้ว

    Wazambia wana "Tools gate" hizi zimewekwa njia zote, kila gari lazima lilipe ushuru likipita njia hiyo, ya ndani ya nchi na ya nje" wanakusanya hela nyingi sana, sio tz serikali inatoa macho kwa walalahoi tu,

  • @geofreyemanuel3593
    @geofreyemanuel3593 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee yuko vzr balaa dah'

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul ปีที่แล้ว

    Eheeeeee ndiyo mambo Sasa haya yakuzungumza

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb ปีที่แล้ว

    Sasa waanza kudai kibali Cha kushusha na kupakia kama huna faini laki Tano.

  • @fadhilinzano5840
    @fadhilinzano5840 ปีที่แล้ว

    Bless watafutaji Bless viongozi

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul ปีที่แล้ว

    Uwiiiiiiiiiii boss imemuangukia hiyo tuone mambo haya Sasa.

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 ปีที่แล้ว

    Tz saiz kumekucha

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul ปีที่แล้ว

    Wao good job Kabisa mambo ni mazuri.

  • @SamsonBarazingiza
    @SamsonBarazingiza ปีที่แล้ว

    Duh mmeamua kweli mwiguru mwehu

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 ปีที่แล้ว +4

    Tutaendelea kumkumbuka baba Hayati Magufuli

  • @MgetamafuruMafuru
    @MgetamafuruMafuru ปีที่แล้ว

    Nchi hii Tanzania

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee aliongea point

  • @youngzabron181
    @youngzabron181 ปีที่แล้ว

    Shakamooo mzeee wangu

  • @macklinabenedicto4627
    @macklinabenedicto4627 ปีที่แล้ว

    Safi Sana umeongea kweli

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 ปีที่แล้ว

    Nyundo tupu wallah

  • @godmwalembe
    @godmwalembe ปีที่แล้ว

    Hatareeeeeeeeeeeee