Sio marekani tuu hata wewe myu aki inuka na kupinga maslahi yako na familia yako hata wewe hutamuelewa huyo mtu, watu wanauana hata afrika kwaajili ya maslahi yao huwezi kumtenga mtu na maslahi yake kwani maslahi ndio maisha ,usidhani kama weee ni kiongozi halafu uache kuitetea heshima ya nchi yako na watu wako utakua wewe hujitambui.
@@saidmsuya3165 wewe ndo mbumbumbu, unang'ang'ania kuvaa nguo za kizamani wakati binadamu hajajua kujishonea nguo inayompendeza na uhuru wa mwili kufanya kazi yoyote
#fikra gani hizi? Kwamba uislamu bila waislamu? Ni sawa na kusema kivuli bila mwenye nacho ni dhana ambayo sio sahihi Pia si kweli Amerka ana angalia tu maslahi na hauchukii uislamu bali ni vyote viwili Nchi ya kiislamu ni inayo tawala kwa khilafah na hilo halikubali #Siri_ni_hii Uislamu ni mfumo wa kiutawala na sio dini ya kiroho pekee kama baadhi ya masheikh wanavyo somesha na kuhubiri
Mahali popote penye waislam hapakosi chuki nenda somalia, alfaghanistan, Pakistan, Sudan, Mali, Chad, Yemen kote huko wanauwa hovyo sababu ya dini, waislam wengi wanakuwa na amani wakiwa USA, UK, Canada, Australia, France, Norway na hawataki kukimbilia Saud Arabia, Iran au Kuwait
Bahati mbaya sana kila kitu kiko wazi kuwa huko kote kwenye migogoro katika nchi za kiislam mastermind wa migogoro hiyo ni marekani,,,labda wewe uelewa wako Mdogo ndio maana pengine hujui kinachoendelea duniani
WIslam ndio wanaongoza kukimbilia nchi za Wakristo,hawaendi Saud au Yémen. Pia Uislamu umebakiza miaka 62 tu kutoweka duniani.soma hadithi za mtume,alisema Uislam ataishi miaka 1500 tu.Huu ni mwaka wa Kiislamu 1438.
ukiona ivo ujue kiama kipo karibu maana mtu wakuongopea maswahabe wake n hadith zake ni sahihi ukiona nchi zimejiandaa kupigana vita ndo utajua hii dini haina shaka na muhamad ni mkweli
#Njozi hakika jambo msingi na kiini cha tatizo hujakipata Na haijalishi wewe ni prof au laa Kiini ni uislamu Una mfumo wa utawala na wao wanazuia uislamu usiwe na utawala Don't hit around the bush Mazungumzo kama yako ambayo una fanya general sio tishio kwao kwani wazunguka huku na kule Bado prof jipinde Lakini على كل حال Allah akulipe kila la kheri
Usiwasifu wachina.Wachina ndio hawataki kabisa uislamu kwenye ardhi Yao na wanawawekea vitu maalumu vya kuwaangalia waislam chochote wanachofanya kuogopa ugaidi. Uislamu umejengwa kwenye chuki na siasa Kali kwa wote wasio waislamu ndio maana nchi zingine kama Poland hawataki kabisa waislamu kwenye nchi zao kuogopa ugaidi na siasa kali
tumekubali uislam hawautaki je kilichowafanya hao makafiri kuandika quran ya kwao walikua na maana gani dunia inapoelekea huwezi kujua kama wewe sio muislam chuki mmezitengeneza wenyewe ukiniuliza mimi nakupa mfano apa mwanza mwenyekiti wa mtaani alikua mchangaji mtanii makanisa yapo kama matatu ivi waislam walijengeza msikiti mchungaj akazuia msikiti usijengwe msikiti ulipojengwa walikua wanaubomoa unadhani waislam watafanyaje wachungaji na maasikofu wanaongea lolote hawachukulia hatua upande wapili masheikh wangap wangwa kwa kuongea tu nikuambie kitu haha unayoaona ya taendelea mpaka kiama
Hakuna unachoelewa kuhusu uisilamu. Waswaili wanasema ikitaka kuua mbwa muite jina baya. Ndicho wanachofanya maadui wa uisilamu, kuwachafua waisilamu na uisilamu juu ya ugaidi. Mbona hao wanaoua waisilamu hawaitwi magaidi. .? Waisilamu tu ndo magaidi
Hawataweza kwa jina la Yesu mungu ni mkuu sana
Hasbunalah waneemanwakil
Mzee nashukuru kwa kutupa Elimu
Una akili kaka, tofauti na watu wengine anaamua kubisha kwa mtazamo wa dini bila kuangalia ukweli
Mzee ana uchambuz mzuri sana hakika
Muwe mna mleta mara nyingi ana madini mengi Allah amuhifadhi
Truly!!
Na wmefanikiwa kutufanya tusiwe na uwezo mkubwa wa kufikiri na kufanya maauzi sahihi
Mwamba ana madini sana chuma kamili
Shukran 🙏🇹🇿
👍✌️👊.
Swadakta sheikh umenena ukweli
Sio marekani tuu hata wewe myu aki inuka na kupinga maslahi yako na familia yako hata wewe hutamuelewa huyo mtu, watu wanauana hata afrika kwaajili ya maslahi yao huwezi kumtenga mtu na maslahi yake kwani maslahi ndio maisha ,usidhani kama weee ni kiongozi halafu uache kuitetea heshima ya nchi yako na watu wako utakua wewe hujitambui.
PROFESSOR NZOZI
Nikweli hata mambo ya uzazi wa mpango ni mbinu ya mayahudi.
Hivi hii mtu kutaka ni kitu gani????
8:38 8:55 8:57 8:58
😂😅😅😅😅
Yaani hawezi kuzungumza Jambo bila kutaja uislam wenye dini yao waarabu wapo kimya nyinyi mijitu myeusi mnahangaikia uarabu
Unateseka ukiwa wapi?
Unaropoka hakuna unachoelewa. Halo kwambia uisilamu ni dini ya waarabu Nani?
Waislamu acheni kujitia mnajua saaana wakati hamtaki elimu ya duniani!!!!!
😂😂😂😂tatizo we ni mbumbumbu
@@saidmsuya3165 wewe ndo mbumbumbu, unang'ang'ania kuvaa nguo za kizamani wakati binadamu hajajua kujishonea nguo inayompendeza na uhuru wa mwili kufanya kazi yoyote
Kwenda zako wewe. Nyinyi ndio mna Elimu ya dunia mngekua na Akili finyu namna hiyo Loooo! Fyuuuuuu!
Hao waislam tatizo ni ugaidi na ubaguzi
Kitu Cha mwanzo ni haki maslahi ni jambo la pili ukisoma suratul al asr kwa hiyo marekani ni Wala dhalin
Una uongo tu
Hv umeona uko sawa kiakili?
Mbona Waislamu wengi Mashoga? Sasa wanapambanaje na USHOGA?
😂😂😂😂😂Unaharish ukiwa wap
Lkn kwenu ushoga uko kanisani
Ushoga umeletwa na waikristo
Kila kitu uislam Islam too much waislamu wenyewe ni hawa hawa tunaoishi nao. Tatizo nini waislamu?
#fikra gani hizi? Kwamba uislamu bila waislamu?
Ni sawa na kusema kivuli bila mwenye nacho ni dhana ambayo sio sahihi
Pia si kweli Amerka ana angalia tu maslahi na hauchukii uislamu bali ni vyote viwili
Nchi ya kiislamu ni inayo tawala kwa khilafah na hilo halikubali
#Siri_ni_hii
Uislamu ni mfumo wa kiutawala na sio dini ya kiroho pekee kama baadhi ya masheikh wanavyo somesha na kuhubiri
Wewe ndo walewale wenye fikra za kimagharibi, mnataka kuishi mnavyotaka, na mnakubaliana na mifumo ya maisha ya hao wamagharibi
Mahali popote penye waislam hapakosi chuki nenda somalia, alfaghanistan, Pakistan, Sudan, Mali, Chad, Yemen kote huko wanauwa hovyo sababu ya dini, waislam wengi wanakuwa na amani wakiwa USA, UK, Canada, Australia, France, Norway na hawataki kukimbilia Saud Arabia, Iran au Kuwait
Kwenu muwe na chuki...ila mkiwa Kwao mtaishi kwa amani?!
Ndio unamaanisha ndg.....?!
Bahati mbaya sana kila kitu kiko wazi kuwa huko kote kwenye migogoro katika nchi za kiislam mastermind wa migogoro hiyo ni marekani,,,labda wewe uelewa wako Mdogo ndio maana pengine hujui kinachoendelea duniani
@@jumakapilima7295Magaidi hayo acha kuweka maneno meeengi ,hio ni dini ya fujo na ya kigaidi 😅
@@annasolomon9855 hahahaha,,,, kafiri wewe Una chuki binafsi
@@jumakapilima7295 Mimi kuitwa kafiri ndio furaha yangu 😂😂ilimradi najijua na ninawajua Magaidi Wala hawatusumbui☺️☺️
Hovyo kabisa.. pointless
WIslam ndio wanaongoza kukimbilia nchi za Wakristo,hawaendi Saud au Yémen. Pia Uislamu umebakiza miaka 62 tu kutoweka duniani.soma hadithi za mtume,alisema Uislam ataishi miaka 1500 tu.Huu ni mwaka wa Kiislamu 1438.
Ww n maiti inayotembea
Alafu inakuaje
Shoga kama wewe huwezi penda waisilamu
Shukran mzee Allah akutunze
ukiona ivo ujue kiama kipo karibu maana mtu wakuongopea maswahabe wake n hadith zake ni sahihi ukiona nchi zimejiandaa kupigana vita ndo utajua hii dini haina shaka na muhamad ni mkweli
#Njozi hakika jambo msingi na kiini cha tatizo hujakipata
Na haijalishi wewe ni prof au laa
Kiini ni uislamu Una mfumo wa utawala na wao wanazuia uislamu usiwe na utawala
Don't hit around the bush
Mazungumzo kama yako ambayo una fanya general sio tishio kwao kwani wazunguka huku na kule
Bado prof jipinde
Lakini على كل حال
Allah akulipe kila la kheri
Assalam alaikum Aisha,kama hutojali tunaomba kuja tukurekodi ili watu wapate faida
Usiwasifu wachina.Wachina ndio hawataki kabisa uislamu kwenye ardhi Yao na wanawawekea vitu maalumu vya kuwaangalia waislam chochote wanachofanya kuogopa ugaidi.
Uislamu umejengwa kwenye chuki na siasa Kali kwa wote wasio waislamu ndio maana nchi zingine kama Poland hawataki kabisa waislamu kwenye nchi zao kuogopa ugaidi na siasa kali
tumekubali uislam hawautaki je kilichowafanya hao makafiri kuandika quran ya kwao walikua na maana gani dunia inapoelekea huwezi kujua kama wewe sio muislam chuki mmezitengeneza wenyewe ukiniuliza mimi nakupa mfano apa mwanza mwenyekiti wa mtaani alikua mchangaji mtanii makanisa yapo kama matatu ivi waislam walijengeza msikiti mchungaj akazuia msikiti usijengwe msikiti ulipojengwa walikua wanaubomoa unadhani waislam watafanyaje wachungaji na maasikofu wanaongea lolote hawachukulia hatua upande wapili masheikh wangap wangwa kwa kuongea tu nikuambie kitu haha unayoaona ya taendelea mpaka kiama
😅😅😅
Kasome uislam ndo uongee
Hakuna unachoelewa kuhusu uisilamu. Waswaili wanasema ikitaka kuua mbwa muite jina baya. Ndicho wanachofanya maadui wa uisilamu, kuwachafua waisilamu na uisilamu juu ya ugaidi. Mbona hao wanaoua waisilamu hawaitwi magaidi. .? Waisilamu tu ndo magaidi