Tabasamu la huyu dada wallah allah kamjalia sura yenye nuru, naomba allah anamnusuru na husda na kama hajapata mume basi allah ampe mume mchamungu na mwenye huruma na kama ana mume basi muwe wake awe mwema kwake
Masoud Kipanya namuomba Allah akuhifadhi na akuongoze njia iliyonyooka.Umeeleza kile kinachotakiwa kutendwa na mja anaejitambua nakutambua kuwa hapa duniani ni mapito tu;hivyo tuishi kiadilifu kwa maslahi ya maisha ya milele tutapohitajika na Muumba wetu.Amin.
🤔Mke wangu mwili wangu, mali zangu na chochote ninachomiliki ana haki ya kujua, kukiona na ana haki sawa na mimi. Sina siri ambayo mke wangu hajui kwasababu amenivumilia na anavumilia mengi kiasi kwamba sioni sababu ya kuwa msiri na kumficha.
Iyo ana sema ya baskeli ni kweli mimi nakumbuka bado niko mudogo mzee wangu alikuwa aki leta baskeli kutoka tanzania kuja burundi.....izo baskeli zilikuwa ngumu...zina itwa *SWALA*..IYO ANA SEMA NI KWELI
HAYA MAJIBU NI MAJIBU YA KINA SANA ,HAWEZI KUJIBU MTU MWENYE MIHEMKO YAKE ,HONGERA SANA MY BROTHER.❤❤❤
absolutely 💯... Uislam ndio solution to the world problems...
Tabasamu la huyu dada wallah allah kamjalia sura yenye nuru, naomba allah anamnusuru na husda na kama hajapata mume basi allah ampe mume mchamungu na mwenye huruma na kama ana mume basi muwe wake awe mwema kwake
Masha'Allah nampendaga masud jmn ❤
Ahsante saaana sheikh umeongea vizuuri Mheshimiwa
Maa shaa Allah... my brother Masoud is full of wisdom... we need an official podcast in shaa Allah
Barakallah fiiki
Masoud Kipanya namuomba Allah akuhifadhi na akuongoze njia iliyonyooka.Umeeleza kile kinachotakiwa kutendwa na mja anaejitambua nakutambua kuwa hapa duniani ni mapito tu;hivyo tuishi kiadilifu kwa maslahi ya maisha ya milele tutapohitajika na Muumba wetu.Amin.
Kinachoharibu jamii siku hizì Kuna taasisi moja ya kipumbavu inaitwa Haki za binadamu hawa watu nuksi sana Africa ndio wanaoharibi jamii yetu
Angekuwa analngelea jambo jingine la kishabiki, ungeona "likes" hizo!
Umesema,yani mambo yasio msingi ndio hupendwa...Astaghfirullah
Maashallah respect my brother Masoud for proud of your religion
🤔Mke wangu mwili wangu, mali zangu na chochote ninachomiliki ana haki ya kujua, kukiona na ana haki sawa na mimi. Sina siri ambayo mke wangu hajui kwasababu amenivumilia na anavumilia mengi kiasi kwamba sioni sababu ya kuwa msiri na kumficha.
Mashallah
Maashaalla maashaalla❤❤
Hongera ubarikiwe na mungu atazid kukufungulia kwasababu umekuwa muwazi kwa mkeo watu wanatakiwa wawe na mfano kama weye nice one 👍👍
@@MahraMansoor5969 asante mpendwa 🤝
Sio kweli
👌Kipanya'' Kichwa kipana👊
Jamani tunapokomenti tukumbuke kuna Sudan, kuna Libya, kuna Afghanistan, kuna Syria, kuna Yemen, kuna Iran, kuna Iraq. Tuweke na akiba ya maneno.
Pia nawe ukumbuke humo ulimo taja kumepandikizwa makundi kwa lengo maalumu la kuiharibu haiba na nuru ya uislamu
Mashallah, Nakupenda sana shekhe Masoud, nakukubali sana mno.
Allah awabariki, ukumbusho bora,
Iyo ana sema ya baskeli ni kweli mimi nakumbuka bado niko mudogo mzee wangu alikuwa aki leta baskeli kutoka tanzania kuja burundi.....izo baskeli zilikuwa ngumu...zina itwa *SWALA*..IYO ANA SEMA NI KWELI
Maaanshaallah Alhamdoulillah tabbarakallahu Allahu Akbaru
Maashaa Allah.. 💖
Huyu masoud ikatokea amefariki inatakiwa ubongo wake ufanyiwe utafiti maana ana uwezo mkubwa wa kiakili..!!
Mashaa Allah ❤❤❤
Kipanya hili bichwa lina akili kubwa😂😂😂
Mashallah manshallah ❤❤❤
Mashallah!
Assalam aleikum,ukivaa shungi na nikabu utadamshi sana
😂😂swali moja lkn lemejibiwa Kwa assay paper 7... ,,,mwandishi ukome😅😅😅
Bwana Masoud upo wapi siku hizi? Nimekumiss sana. Mungu akubariki sana.
Dah akili kubwa kaka
Alafu tunaomba icho kipindi kieendeleee
Jazakallah ya shekhe kipanya uko vizuri Sana
Huyu kamera man anashida mbona wamuonyesha sana Huyu dada uso wake, mcheni Allah.
Na wewe pia umemuona!!
Alikuwa atuzanishe kamera kwa Massoud basi
Chizi wewe! Huo ni mtazamo wako 😂😂
Kaka Masoud anauliza kwa nini hatuinamishi macho?? Hilo swali ungejiuiza kabla ya kipindi ungemuomba huyo dada aweke pazia baina yako na yeye
😂😂😂
Mawazo mazuri mno , ni jukumu na nani kusimamia hilo?
Huyu dada ameshapata nusra....?? Allah akimuafikisha naomba nimnusuru
Majibu yenye hekima na busara. Huo ndio ukweli.
Dada uwe unavaa niqab ni khery kwako
Niqaab tu na sauti jee ?
Allah akujaalie hicho unachokihitakji.
Mimi nitakuwa wa kwanza kuku kubali.
WAISLAM TUMELALA NA GOLD MKONINI WALLAH
Kaka Masoud anauliza kwa nini hatuinamishi macho?? Hilo swali ungejiuiza kabla ya kipindi ungemuomba huyo dada aweke pazia baina yako na yeye