VTS 01 3

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2012

ความคิดเห็น • 24

  • @loveyourneighbor204
    @loveyourneighbor204 2 ปีที่แล้ว +6

    Allah amrehemu Shekh wetu

  • @yassinhamza1969
    @yassinhamza1969 6 หลายเดือนก่อน

    Sheikh alikuwa na point sana huyu

  • @lulujidahbrighton5148
    @lulujidahbrighton5148 2 ปีที่แล้ว +1

    Allah akuweke mahala pazuri marhum Ilunga Shekh

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 2 ปีที่แล้ว +2

    الله يرحمه ويغفر له ويسكنه فسيح جناته امين يارب العالمين

  • @mohdnasser894
    @mohdnasser894 ปีที่แล้ว +2

    Kikwete alikuwa ni muislamu wa jina tu

  • @issakasansa2148
    @issakasansa2148 4 ปีที่แล้ว +4

    ALLAH akulipe heri Inshaa Allah

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 5 ปีที่แล้ว

    ni muislamu yupi alienda shule au chuoni akafukuzwa? acheni unafiki

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 3 ปีที่แล้ว

      Watu kama wewe mwatakiwa mkutane na khilafah

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 5 ปีที่แล้ว

    hotuba yako imejaa uongoo huna historia ya kweli

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 3 ปีที่แล้ว +3

      Wewe huna maana kabsaa unapinga dini ama wewe ni wale mashekh mzigo wanafki... Bora unyamaze Bure sana mkiambiwa ukweli wa mambo mwakataa kwani mwataka je nyie ndo... Mwatakiwa mpatane na Mujahideen... Urekebishwe tabia

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 2 ปีที่แล้ว

      Tatiz nikwamba huna radh zawazazi kafir alie laaniwa

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 ปีที่แล้ว

      Huyu Mzee Alipitiliza Mungu Amrehemu huko aliko alikuwa anachochea chuki za kidini wazi wazi.....Uislaam Sio Kujua Huo Mshaafu na kiarabu

    • @makenaOG
      @makenaOG ปีที่แล้ว

      Nyerere , kikwete na viongozi wengine walikuako na hawakubisha itakuwa wewe kigagula hata labda ulikuwa hujazaliwa

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 6 หลายเดือนก่อน

      Sheikh alikuwa na madini sana

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 5 ปีที่แล้ว

    huo ni upotoshaji kusema waislam ndo wanalipa kodi na kodi inawaidisha wakristo sio kweli kodi kila mtazania analipa na inatumika kwa wote kodi inayokusanywa na serikali haitumiki kujenga makanisa wala misikiti kodi zetu zinajenga mabarabara hospital madaraja shule

    • @aliandrew3537
      @aliandrew3537 3 ปีที่แล้ว

      Hayo wajua wewe mzee huyu Ana hekma anajua zaidi yako mnafunguliwa bongo bado tu rigid minded style up bro

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 2 ปีที่แล้ว

      @@aliandrew3537 😂🤣😁
      Kweli mko gizani kumwamini huyu!
      Hata mtoto mdogo angesema huyu atumie hizi nguvu kuendeleza Waislamu wenzake, anayosema yanawarudisha karne ya 18.

    • @JamalMchachumbi
      @JamalMchachumbi 10 หลายเดือนก่อน

      Na hiyo mikataba walioandikiana serikali na kanisa, kanisa wanapewa pesa ipi?. Mbn Kwa mujibu wa sheikh, kikwete alisema kanisa wanapewa pesa Kwa kua wameomba, Bali waislam hawaombi, kumbe hawaombi pesa ipi? Ivi wewe ingawa u mkristu huoni kwamba waislam wanabaguliwa na serikali ya ccm? Unajua vzr ila hutakiwi ulikiri Hilo.

    • @MohammedMohammed-gp9xq
      @MohammedMohammed-gp9xq 3 หลายเดือนก่อน

      Mfumo Kristo umejaa

  • @allanalex6601
    @allanalex6601 2 ปีที่แล้ว

    Huyu mtu hajielewi, kwa nini alianza kusoma shule ya wakatoliki wakati waislamu walikuwa na shule nyingi?

    • @husseinkazigo6189
      @husseinkazigo6189 2 ปีที่แล้ว +1

      Usingekuwa kafir ningekwambia kit

    • @Fm-MornStar2014
      @Fm-MornStar2014 2 ปีที่แล้ว

      @@husseinkazigo6189 😁😂🤣
      A good actor.