PUTIN aionya MAREKANI na wenzie! Adai atatoa silaha kwa nchi zingine ziwashambulie, kutumia NYUKLIA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 383

  • @CastoryKapinga-nb7ht
    @CastoryKapinga-nb7ht 18 วันที่ผ่านมา +84

    UYU MWAMBAA PUTIN HUWA NAMKUBALI SANA HAPA DUNIANI KUSHINDA RAIS YEYOTE YAANI

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 18 วันที่ผ่านมา +6

      Msimpe kichwa vita haina macho uwa inageuka ni kuomba amani tu maisha ya hendere

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 18 วันที่ผ่านมา +3

      @@MajutoElliasi USIMFUMBUE MACHO MJINGA 🤣🤣🤣ANAMKUBALI? AU MSHABIKI MAANDAZI TU

    • @MajutoElliasi
      @MajutoElliasi 18 วันที่ผ่านมา

      @@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 18 วันที่ผ่านมา +7

      Wewe ndio mjinga
      Kama bado kaka sasahivi hujajua unwell wa Marekani kua ndio anaesababisha vita Finish basi wewe utakua mjinga.

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 18 วันที่ผ่านมา +1

      @@minicooper9642 udini unasababisha vita sio mmarekani 🙄

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 18 วันที่ผ่านมา +20

    Najua nchi ya urus haikupenda kuchukua watumwa inapenda sana haki kwahiyo natto wanachezea shilingi kwenye tundu la choo

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 18 วันที่ผ่านมา +2

      Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.

  • @pilotmadata5791
    @pilotmadata5791 17 วันที่ผ่านมา +12

    Alie sikia mbwa akibweka na mtoto akilia, gonga like hapa, ...

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 17 วันที่ผ่านมา +2

      😅😅 nilikuwa natafuta hii comment 😅😅

    • @DjMswati
      @DjMswati 12 วันที่ผ่านมา

      @@RamadanPaul kaka unazingua😂😂

    • @afandechanel1507
      @afandechanel1507 12 วันที่ผ่านมา

      😅😅😅😅😅

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk 18 วันที่ผ่านมา +13

    NA UGANDA NAO WAPEWE HIZO SILAHA😂😂😂 MANA MZEE MUSEVEN NAE HATAKI UPUMBAVU😂😂😂.

    • @heridunia
      @heridunia 12 วันที่ผ่านมา

      mapema sana tunaomba mana kenya wanajifanya wao wanawapenda wamagharibi

    • @louangesid
      @louangesid 6 วันที่ผ่านมา

      😅😅😂😂

  • @FranckDaniel-cc5rg
    @FranckDaniel-cc5rg 18 วันที่ผ่านมา +25

    Piga hao mashoga marekani ni washenz,dunia bila marekan ni amani mungu awaondoe marekani wanaitesa dunia

    • @itsdvoice.
      @itsdvoice. 18 วันที่ผ่านมา +3

      😂😂😂😂 kweli Akili una 😅

    • @hafidhyakoub8369
      @hafidhyakoub8369 18 วันที่ผ่านมา +3

      Ww dvoice na ww shoga au

    • @Jgjgjggjaieifhfv
      @Jgjgjggjaieifhfv 18 วันที่ผ่านมา +2

      D pambana n'a muziki achana n'a siasa marekani ni ovyio Sisi wa Congo 🇨🇩 tuna juwa match Zao n'a Rwanda

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Jgjgjggjaieifhfvpoleni ila muda utasema mungu yupo

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 18 วันที่ผ่านมา +4

      Hii TH-cam ni ya hao Marekani saa wakiondoka sijui utatumia mtandao gani kutukana 😂😂

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 18 วันที่ผ่านมา +12

    Apeleke silaha palestine na yemen

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma 18 วันที่ผ่านมา +29

    M/mungu mlinde putin

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 18 วันที่ผ่านมา +1

      HAWEZI HATA MUOMBE DUNIA ZIMA 🤣

    • @melkizedck
      @melkizedck 18 วันที่ผ่านมา

      Kweli Mungu amlinde putin maan amekaribia kufa.

  • @philemonyesaya4353
    @philemonyesaya4353 18 วันที่ผ่านมา +12

    Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 18 วันที่ผ่านมา +7

    Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili

    • @johnmwangi9231
      @johnmwangi9231 18 วันที่ผ่านมา

      Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga
      Gender equality
      Wizi wa mali ya wengine
      Mauaji ya watu bira hatia!

    • @mariaalenge2106
      @mariaalenge2106 18 วันที่ผ่านมา

      Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu

  • @user-cf6qo9rs4f
    @user-cf6qo9rs4f 18 วันที่ผ่านมา +3

    Nakupenda sna dj smaa

  • @hafidhyakoub8369
    @hafidhyakoub8369 18 วันที่ผ่านมา +13

    Huyu jamaa anahisabu rahisi sanaa

    • @user-xl9so6jg1e
      @user-xl9so6jg1e 7 วันที่ผ่านมา

      Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 6 วันที่ผ่านมา

      Sip kweli,,,,,siaha zaNATO zimechakazwa Sana uwanja was vita😂

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-xl9so6jg1embona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 18 วันที่ผ่านมา +5

    Kuna jambo? Nahisi sio kuzuri hata kidogo. Maana najua nuclear sio kitu cha mchezo. Hii silaha mbaya kwelikweli inatisha vibaya!! Usiombe!!

  • @sharifuahmed8340
    @sharifuahmed8340 18 วันที่ผ่านมา +8

    BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 18 วันที่ผ่านมา

      Yaan ata urusi mwenyewe hathubutu kuanzisha vita ya moja kwa moja na israel maana wale wana uwezo na akili ambayo sio ya kawaida

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 18 วันที่ผ่านมา +13

    Sauti ya dhahabu shukrani mtangazaji

  • @josephelias7364
    @josephelias7364 18 วันที่ผ่านมา +6

    Hii sasa ndo inaitwa COLD WAR

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 18 วันที่ผ่านมา +5

    Absolutely 💯 💯 💯

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 18 วันที่ผ่านมา +6

    Time wii tell

  • @AbdiBendera
    @AbdiBendera 18 วันที่ผ่านมา +9

    Nilisubira sana uchambuz wenu juu ya taarifa hii

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 18 วันที่ผ่านมา +21

    Mwamba Putin namkubali sana

    • @melkizedck
      @melkizedck 18 วันที่ผ่านมา +1

      Urus wamechoka, vitisho tu.

    • @stevenlugojeremia2323
      @stevenlugojeremia2323 18 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅

    • @Brunotarimo10
      @Brunotarimo10 18 วันที่ผ่านมา

      @@stevenlugojeremia2323 watamkoma mwamba

  • @SwedyMohamed-vt5zm
    @SwedyMohamed-vt5zm 18 วันที่ผ่านมา +7

    Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 วันที่ผ่านมา +1

      ,swedy swedy kama mbwayi na iwe mbwayi 😅😅😅😅😅😅

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 18 วันที่ผ่านมา

      Mtakatifu tena????

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw 18 วันที่ผ่านมา

      Nafurah sana mwislam unavyomsifia mkristo

    • @fahadabdalla8194
      @fahadabdalla8194 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko

    • @adrianomaulaga1599
      @adrianomaulaga1599 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@melanialeonard4031mtakatifu kwasababu hajawahi sapoti ushoga kama wale wengine

  • @GraceMashinga-be9wb
    @GraceMashinga-be9wb 18 วันที่ผ่านมา +2

    Bro sky tupe gps ya hii topic 🙏

  • @Shehasweet-hy6xn
    @Shehasweet-hy6xn 18 วันที่ผ่านมา +4

    Safiiiiiiiii

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ni mbaya Sana ...mungu ajalie Kila la heri..hii hali sio nzuri kabisa ...mwenyezimungu tusaidie Kwa hili vita isitokee kwamana sio powa ujuwe

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 วันที่ผ่านมา

      Kule gaza mnongea au ni Ukraine tuu

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 18 วันที่ผ่านมา +5

    Vita uwanjani imeshindana inakua tena zenlekys kushambulia urusi 😂😂😂😂

    • @peterilimwa5754
      @peterilimwa5754 18 วันที่ผ่านมา +1

      wakati unaanza kuipiga Ukraine ulizan Dunia itakaa kimya

  • @user-km4kb3xj3y
    @user-km4kb3xj3y 18 วันที่ผ่านมา +8

    Safiii wape

    • @noel3290
      @noel3290 18 วันที่ผ่านมา +2

      Hii ni shida kweli, we unasherehekea vita unathani hutaathirika? Fikiria tena

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona hamfikirii kuhusu Gaza

    • @festokasongi4537
      @festokasongi4537 18 วันที่ผ่านมา

      gaza acha wafe mbona auwazi kongo

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 18 วันที่ผ่านมา +6

    Mwnangu putin usisahau nami kunipa hata bomu moja la nyuklia

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 วันที่ผ่านมา +1

      Athumani kakaangu unalipeka wapi au g......

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 18 วันที่ผ่านมา

      @@MiriamAbdallah😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 15 วันที่ผ่านมา

      Tena kalipue israhell mamae

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 18 วันที่ผ่านมา +7

    Wape na cuba wawanyoshe marekani pale ndo karibu

    • @soudmoshmnyika5813
      @soudmoshmnyika5813 18 วันที่ผ่านมา +4

      Ndio maana hakusema Tampa nani ila nchi nyingi zitakuwa za kiarabu

    • @Gulfnas1
      @Gulfnas1 17 วันที่ผ่านมา

      ​@@soudmoshmnyika5813 Cuba pia ina asilimia kubwa tu

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 วันที่ผ่านมา

      Tayali

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 18 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana wachambuzi... Putin ana experience ya vita hakuna wa kumtisha apeleke silaha jule parestina tuongee mengine

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 17 วันที่ผ่านมา

      Mwenye uzoefu anaogopa silaha za masafa

  • @Khalid-oi9qb
    @Khalid-oi9qb 18 วันที่ผ่านมา +4

    Awape tu

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 18 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu ndie kiboko wa marekani

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 18 วันที่ผ่านมา +2

      🙄🙄🙄

  • @peterilimwa5754
    @peterilimwa5754 18 วันที่ผ่านมา +6

    so raia wa urusi ni bora kuliko raia wa Ukraine

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 18 วันที่ผ่านมา +1

      Uliza Zelensky kwanini anatumiwa ili kuiandama urusi ,hata kama nini niweke siraha mlangoni kwako utafanyaje.

    • @yusuphmashallah3732
      @yusuphmashallah3732 18 วันที่ผ่านมา

      Yeah uko sahihi urusi ni bora zaid ukihitaji shule mm n mwalim

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 18 วันที่ผ่านมา

      @@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .

  • @YustaMfugale
    @YustaMfugale 18 วันที่ผ่านมา +2

    Putin anatumia sana akili,,, tuombe mungu tu putin amekataa vita kuanzia mda sana wanamtaka ,,ila mungu is with you

  • @YusuphLiyanga
    @YusuphLiyanga 18 วันที่ผ่านมา +2

    Sns mnatisha kwa habar

  • @abdullahhilalabdullahalmug3168
    @abdullahhilalabdullahalmug3168 18 วันที่ผ่านมา +4

    Putin yupo Sahihi kabisa

  • @Gulfnas1
    @Gulfnas1 17 วันที่ผ่านมา +1

    The situation is getting worse than ever...

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y 18 วันที่ผ่านมา +8

    Faza watandike hao mashoga wa magharibi

    • @leonardjohnson2058
      @leonardjohnson2058 17 วันที่ผ่านมา

      Na hawa mashoga wa kwetu vipi kule mafia

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 18 วันที่ผ่านมา +3

    wapewe au wahipige wingereza napia waige marekani napenda iyo

  • @salimwanga
    @salimwanga 17 วันที่ผ่านมา

    Good hope for Africa.❤🎉🎉

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 3 วันที่ผ่านมา

    Safi sana😂😂putin nakukubar mkuu

  • @koudrashabani1912
    @koudrashabani1912 14 วันที่ผ่านมา

    Ndio
    Na inshallah Atafanye vizuri
    Huu
    Akishindwa Ulimwengu inaharibika
    Sana Sana Sisi wa Afrique Na Asie
    Tutakuwa watumwa wa kwanza

  • @newtonmwewa6220
    @newtonmwewa6220 17 วันที่ผ่านมา

    The greatest of all time

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 18 วันที่ผ่านมา +1

    MWAMBA XNA PUTIN Namkubali xna VIVA RUSIA

  • @Dr.O-md1hy
    @Dr.O-md1hy 18 วันที่ผ่านมา +1

    Tunaomba na makala kuhusiana na silaha maaana tunaziskia tu
    Lakini tunawakubali sana

  • @adamfungamwango4640
    @adamfungamwango4640 วันที่ผ่านมา

    Hivi hii vita haijaisha tu!! Kila siku jamaa anaonya tu!!!

  • @user-rq8zq1mf7u
    @user-rq8zq1mf7u 18 วันที่ผ่านมา +3

    Maneno mengi vitendo ziro hakuna wakumshinda us

    • @academicsite8524
      @academicsite8524 18 วันที่ผ่านมา +1

      US alishamchunguza Putin na hakuna nchi inapigana kwa akili na tafiti kama USA

    • @meckmussa1840
      @meckmussa1840 15 วันที่ผ่านมา

      Kabisa aisee

  • @democritenzoisaba9117
    @democritenzoisaba9117 18 วันที่ผ่านมา +2

    Apewe hizo siraha kwanza Iran Cuba na Syria

  • @SalickSuleiman
    @SalickSuleiman 18 วันที่ผ่านมา +5

    Im warning USA

  • @AshaDany
    @AshaDany 18 วันที่ผ่านมา +3

    Vita ya dunia inakuja

  • @elvira9325
    @elvira9325 18 วันที่ผ่านมา +1

    Sauti ya sns inanikosha unajua kusimulia hadi kero, msukuma watu piga kaz

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 18 วันที่ผ่านมา +6

    Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 18 วันที่ผ่านมา +1

      Weeeee tusubir tuone 🤣

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 18 วันที่ผ่านมา +3

      Sasa kwani urusi kashinda?unaota nini ww

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 18 วันที่ผ่านมา +2

      Urusi bado hajashinda na wenzake washamweka kwenye tageti na akijichanganya tu wanammaliza.

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz 18 วันที่ผ่านมา +3

      Urusi hana uwezo wa kupambana na NATO hata kidogo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 18 วันที่ผ่านมา

      @@MathewNathan-yb2bz hata hivo 😉

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 18 วันที่ผ่านมา +6

    Putin ni mtu asiyekiwa na masihara

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 8 วันที่ผ่านมา

      Amefanya nini toka vita ianze mbona ni maneno tu

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c 18 วันที่ผ่านมา +3

    Poga hao wafe manyangau

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 18 วันที่ผ่านมา +6

    Putin 🎉🎉🎉

  • @jackhans7708
    @jackhans7708 18 วันที่ผ่านมา +3

    Kiufupi mmarekani safari hii ameyakanyaga

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 8 วันที่ผ่านมา

      kivipi na uku raia wake wako salama

  • @fredymushy9674
    @fredymushy9674 18 วันที่ผ่านมา +1

    Marekani kubwa sana akuna wakuwasumbua

  • @aziza9093
    @aziza9093 18 วันที่ผ่านมา +4

    Pige mashoga hao

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 18 วันที่ผ่านมา +1

    Kiduku km namuona anavosubiri kifurushi chake cha gawio

  • @Jgjgjggjaieifhfv
    @Jgjgjggjaieifhfv 18 วันที่ผ่านมา +2

    Congo 🇨🇩 ❤️atupe sisi hata sasa ivi tuh sisi na Rwanda tu malizane mara moja

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 18 วันที่ผ่านมา

      Piga USA na EU wanauza minerals zenu na ma campun ya Apple,Tesla na Microsoft

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 18 วันที่ผ่านมา

      Resources zenu zinauzwa Eu na USA

    • @Jgjgjggjaieifhfv
      @Jgjgjggjaieifhfv 18 วันที่ผ่านมา

      Ndiyo

  • @yusafbayu7016
    @yusafbayu7016 18 วันที่ผ่านมา +1

    Awape silaha yemeni na houth uone watakavyo choma dunia

  • @hijazhija316
    @hijazhija316 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hisabati

  • @almasbakari5359
    @almasbakari5359 18 วันที่ผ่านมา +1

    Fredrick bundala🔥🔥🔥

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 18 วันที่ผ่านมา +2

    🇹🇿❣️🇷🇺

  • @akbarkisamo8392
    @akbarkisamo8392 18 วันที่ผ่านมา +1

    Uyo mbwa vipi😂😂 nae anajambo lake asikilizwe

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hili swali la mwamba Lina zaidi ya utata.

  • @user-sd5hj2im4q
    @user-sd5hj2im4q 18 วันที่ผ่านมา +2

    Asichelewe sasa maña ulaya tyr washampa ukrein na yy asichelewe

  • @user-xo9we4yx1c
    @user-xo9we4yx1c 18 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu mlinde puttin

  • @user-km1dm8et9x
    @user-km1dm8et9x 18 วันที่ผ่านมา +1

    Smaa mwongo yani leo unsema hamas ni wa iran si ulitudanganya ni wa izlael

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 18 วันที่ผ่านมา +7

    Kuna jimbo kule marekani linaitwa alasaka ni mali ya urusi ile na itauchukuliwa wameanza wenyewe putin atamaliza

  • @HansChuma
    @HansChuma 18 วันที่ผ่านมา

    Toa baba we are already Tired with America marekan niwashenz navibaraka wake

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 18 วันที่ผ่านมา +1

    Fanya hivyo urusi dawa ya moto ni moto

  • @amantuyininahaze7794
    @amantuyininahaze7794 12 วันที่ผ่านมา

    Sawa tunaelewa, na huyo mbwa anaebweka, je??? 😐

  • @bosssyedmund8785
    @bosssyedmund8785 17 วันที่ผ่านมา

    🤒

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 15 วันที่ผ่านมา

    Yaani anawadharau magharibi hadi raha😂😂😂😂

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 14 วันที่ผ่านมา

    .. "pumba tupu!..." Hahaaa

  • @raydanfrenk
    @raydanfrenk 18 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂amna kila kitu si afanye kama anajikubali

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 18 วันที่ผ่านมา

      Anatoa tahadhari ,, msije kusema hajaonya

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 8 วันที่ผ่านมา

    Maneno tu amna kitu hapo huyu urusi hii vita awezi kushinda

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 6 วันที่ผ่านมา

    Piga nuklia mzee time Time befor

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani7801 16 วันที่ผ่านมา

    Hii vita si urusi na NATO bali INA athiri usalama wa ulimwengu mzima kwa hiyo tuombe visi sambae

  • @assateke7199
    @assateke7199 16 วันที่ผ่านมา

    Ila Putin ni kichwa sn...😂
    Western na hela zao na silaha zao na Kila kitu chao lkn huyu jamaa amewazidi...😂😂😂

  • @davidsika5292
    @davidsika5292 17 วันที่ผ่านมา

    Ukitaka kujua USA ni nani mpige ndio utajua ana mabomu ya aina gani...muulize Japan ,, hawa wachambuzi ni mashabiki wa Urusi tu

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 18 วันที่ผ่านมา +1

    Bora walikoroge tu kwani vp watu waowane potelea kwete

  • @MankoWeitala-pe7mi
    @MankoWeitala-pe7mi 17 วันที่ผ่านมา +1

    Putini❤❤❤

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 18 วันที่ผ่านมา +4

    Ikitokea siku nikapata walau mwaka mmoja tu nika iongoza tz dunia inatalia mara 10 yakilio walicho lia kipindi cha magufuli 🤦🏻‍♀️

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 18 วันที่ผ่านมา +1

      Jombaa agiza juice 🥤 akuja kulipa penda sana point yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @khamisomar889
    @khamisomar889 18 วันที่ผ่านมา

    Hapa kwa smaaa ndo nakubali, habari inachangamka

  • @babumrisha
    @babumrisha 15 วันที่ผ่านมา

    Inatakiwa awape Alqaeda au Al shababu hizo zilaha, tuuone huo mtanange...

  • @ErickMwashambo
    @ErickMwashambo 18 วันที่ผ่านมา +1

    Alie skia mbwa akibwe weka comment

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 18 วันที่ผ่านมา +1

    Nani kasikia mbwa

  • @user-jp9tf5nw9l
    @user-jp9tf5nw9l 18 วันที่ผ่านมา +1

    Yani awape hamas

  • @abdulhalimomar5329
    @abdulhalimomar5329 16 วันที่ผ่านมา

    Oya huyu jamaa kwanni tusimpe uraisi wa mataifa yote huyu jamaa anajuwa hesabu

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz 18 วันที่ผ่านมา +1

    Acha uruss iwatandike hao maboyo

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 16 วันที่ผ่านมา

    meli ina dunguliwa?

  • @kiatu
    @kiatu 17 วันที่ผ่านมา +1

    Aimalize kwanza Ukraine ndio ashindane na Marekani. Kuvimba tu.

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 15 วันที่ผ่านมา

      Sa anashindwa we unavyoona kweli???😂

    • @Saidkhel
      @Saidkhel 11 วันที่ผ่านมา

      Tatzo hujui Ukrein yuko vipi na urusi iko kama Zanzibar na tanganyika kwaiyo huwez piga nchi nzima maana Zanzibar kua wabongo na wazanzibar na urusi na Ukrein ndivyo ilivyo

  • @waynejoseph8856
    @waynejoseph8856 18 วันที่ผ่านมา

    8:12

  • @MasomeAbell-cr1um
    @MasomeAbell-cr1um 18 วันที่ผ่านมา +2

    vita ya tatu ipo

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 18 วันที่ผ่านมา +3

    Boya uyo

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 18 วันที่ผ่านมา +2

    Acha waliuee

    • @Emanueli-vz6fd
      @Emanueli-vz6fd 18 วันที่ผ่านมา +1

      Nani ss mbona usomeki

  • @dullahtechtz3422
    @dullahtechtz3422 16 วันที่ผ่านมา

    Nakubal putin

  • @GregoryModaha
    @GregoryModaha 2 วันที่ผ่านมา

    Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 9 วันที่ผ่านมา

    ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.

  • @leonardjohnson2058
    @leonardjohnson2058 17 วันที่ผ่านมา

    Sasa wapigana vita vya nini wakati unaogopa silaha za masafa