MashaAllah, hakika ujembe una manufaa sana katika maendeleo ya Sayansi. Allah awajaalie afya na kutoa elimu kama hizi ili kudhihirisha ukweli wa Qur'an na Uislam kwa wale wanaopinga.
Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh shukran Mwanasayansi IBRAHIM KITOTA niwiye radhi ikiwa nimekosea kuandika jina lako kwa usahihi, tuletee na mada za sayansi ndani ya Qur'an ulizowahi kuzielezea ktk vipindi vya tv iman, pia naomba utaratibu wa kupata vitabu ulivyo vitunga, BARAKALLAHU FIIKUM.
Maa shaa llah Allah sw.azidi kukupa akili yenye Afya baba ubainishie ummah wetu huu. Miujiza tele.iliyoko ktk kitabu na sunnah. baaraka llahu laka yaa Akhii
@@allybobsaith unfortunately,mtu anafahamu sayansi lakini bado anaamini kuna mwanaadamu yupo mbinguni!!mtu huyu ana elimu ya sayansi au amekariri sayansi ?
Muujiza wa quran kama jua litachomoza mashaliki kuzama maghalibi basi hakika itakua ndio maana ya kuludi livas kwenye muhimili wake hivyo hawana budi kuifata quran hakika😊
Sio hivyo ndugu yangu! kubainisha mfano: Qurani Surat Ar-rahman aya 33: Enyi makundi ya Majini na watu km mnaweza kuzipita mbingu na kuzifikia hizo ardhi basi piteni! hamtapeta ila kwa kupewa madaraka. Na hayo majini ndio wanaofundisha watu kutengeneza rocket,wako marekani na ulaya na urusi na china n.k. Na huku Africa majini wamewaletea tunguli,vinyamkela na wa ganga wa kitabu. Naictoshe bara la Asia majini wamewapa mungu ngombe,tembo,panya,n.k😂😂😂😂😂
KAFIRI @USER ACHA POROJO, KAMA WEWE KIDUME KWELI LETE AYA MOJA NDANI YA BIBILIA YAKO INAYOZUNGUMZA KWA UHALISIA ELIMU YOYOTE YA SAYANSI KAMA INAVYOJIPAMBANUA QUR'AN.
MashaAllah, hakika ujembe una manufaa sana katika maendeleo ya Sayansi. Allah awajaalie afya na kutoa elimu kama hizi ili kudhihirisha ukweli wa Qur'an na Uislam kwa wale wanaopinga.
I appreciate to be Muslim,,,,,, Al-hamdulillah 🤲 Allah accept our good deeds ❤❤ thank you my teacher,,,,,l follow you your lecture,,,,,Masha Allah
Mashaa Allah kua muislam ni bahati wallahi....
Proud to be muslim
Dr kitoto my lecturer for science Allah akubarq
Waislam ss vichwa vikubwa alhmdllh
Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh shukran Mwanasayansi IBRAHIM KITOTA niwiye radhi ikiwa nimekosea kuandika jina lako kwa usahihi, tuletee na mada za sayansi ndani ya Qur'an ulizowahi kuzielezea ktk vipindi vya tv iman, pia naomba utaratibu wa kupata vitabu ulivyo vitunga, BARAKALLAHU FIIKUM.
Mungu-atupe-mwisho-mwema
Jazzqkallah khair hii ndiyo Elimu sahihi ya kuuonyesha ukuu wa Uislamu toka Lwa Allah Azza wajjslla
Maa shaa llah
Allah sw.azidi kukupa akili yenye Afya baba ubainishie ummah wetu huu.
Miujiza tele.iliyoko ktk kitabu na sunnah.
baaraka llahu laka yaa Akhii
Namshukuru mungu ktk uislam wetuu hakika tunafurahiya sana na rehema na amani imshukie mtume wetu muhamadii swalalah alye salam
We will shows you our signs in the surface of the earth and in themselves untill its clear manifest to you that Qur'an is true..Quran
Inna ddina in da llaha l Islam
mashallah ahsante sana shekh kwa uchambuzi mzuri kabisa Allah akuzidishie kila la kheri
Maa shaa Allahu, darsa lake liendelee in shaa Allahu
Mwenyezmung azid kukuongezeaa ufahamu kaka mchambuzi
MashaAllah, Allah akulipe kheri
Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri mola akulipe Kwa kutuelimisha tunafaidika mno ostadh
Alhamdulilah aaalaa neeamatul islaam
MaashaAllah!Hiyo Ndiyo Raha ya kubobea katika Quran na Elimu ya Sayansi.
kabisa ndugu yangu, kuvijua vyote viwili huyu jamaa natamani nimwone na kumsalamia ameen
@@allybobsaith unfortunately,mtu anafahamu sayansi lakini bado anaamini kuna mwanaadamu yupo mbinguni!!mtu huyu ana elimu ya sayansi au amekariri sayansi ?
Maasha Allah shukran Jazakallahu best
Maasha Allah shukran Jazakallahu Khair
Jazaakallah Khairan!
Asante sana kwa elimu sheikh
Mashaallah shukran kw Darasa ALLAH akuzidishie zaid
M /mungu atujaalie mwisho mwema tukiwa ndani ya uislam
MashaAllah3
Ahsate Sana Kwa ujumbe mzuri,ila wengi wanaamini dhambi kugundua yaliyofichikaana.
Allahu akbar
Allahu-akbar
❤❤ mashaAllah
Muujiza wa quran kama jua litachomoza mashaliki kuzama maghalibi basi hakika itakua ndio maana ya kuludi livas kwenye muhimili wake hivyo hawana budi kuifata quran hakika😊
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Mashaallah
Allhamdullih
Samahani sheikh nataka kujua ikiwa kila nikiangalia saa au muda naona namba zinajirudia kwa mfano 22:22 naomba nisidie ina maana gan
Sio hivyo ndugu yangu! kubainisha mfano: Qurani Surat Ar-rahman aya 33: Enyi makundi ya Majini na watu km mnaweza kuzipita mbingu na kuzifikia hizo ardhi basi piteni! hamtapeta ila kwa kupewa madaraka. Na hayo majini ndio wanaofundisha watu kutengeneza rocket,wako marekani na ulaya na urusi na china n.k. Na huku Africa majini wamewaletea tunguli,vinyamkela na wa ganga wa kitabu. Naictoshe bara la Asia majini wamewapa mungu ngombe,tembo,panya,n.k😂😂😂😂😂
Hili litakuwa kafiri nishalijua
KAFIRI @USER ACHA POROJO, KAMA WEWE KIDUME KWELI LETE AYA MOJA NDANI YA BIBILIA YAKO INAYOZUNGUMZA KWA UHALISIA ELIMU YOYOTE YA SAYANSI KAMA INAVYOJIPAMBANUA QUR'AN.
Mambo haya hawayasemi makafiri wanakaa kimya
Sub-hanallah
Hawa ndo masheikh nnaowapenda
Ok
🤔
Usiwaze sana kuwa muislamu ni neema kubwa
Mpuuzi wewe
Jazaakallahu khayran.