HUU NDIO MWAROBAINI WA KUMKAMATA MUME
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ต.ค. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Mashaallah kipindi kimeenda vzr Allah awabariq muweze kutuongoza inshaallah kwa hayo na mengine Allah atawalipa ujira wenu
Somo mtoto umemaliza kila kitu👌
Maa Shaa Allah,kipindi kizuri
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤
Alhamdulillah mashaallah mada nzuri imegusa kila sehem❤❤
Asante Sana kipindi cha Leo ni kizur mpak nakos cha kusem somo mtoto huna baya❤❤❤❤
Shuran sana mafunzo mazurka some mtoto mashallah
Hapa tuna somo mtoto mashaallah basi na kwa upande wa kiume akuwepo
Ma sha Allah uqti atiya! JazakiLLAH...Happy to follow u guys..... keep going ❤❤❤❤
Assalaam alaykum tunawapigia cm hamupokei twahitaji bidhaa kwa somo mtoto
❤❤mada nzur sna
Alhamdulillah. Shukran
Nzuur
Hakuna bora kwenye wakwe kuingilia ndoa za watoto wao ila imayoumiza zaid ni ya wakwe kufanya ushirikina ndoa ivunjike kwakua tu mke si chaguo lake......
MaashaaAllah
Alhamdulillah
Hta mm alhmdullah mkwe wng ananiona wa familia yke na ana wakwe wengi lkn alhmdullah mm na yy kma mtu na mwanawe heshima ni kitu kizur snaaa.
mashllh.. hii siku nilikuona mtendeni umevaa nguo hizo hizo #somo_mtoto nilitamani japo nikusalimie ila nilikuhofia sn dadaangu
Next time niite tujuane 🙏 shukran
Kipindi munaqasha kabsa.. yaan ndo mule mule.......
Tuongeze muda hasa kwa vile mada zinazojafiliwa ni nyeti na ni muhimu sn kwa maisha ya kla sku.
Allah awahifadh muwe na afya njema murder kuelimisha
Asalam aleikum, mashaallah kipindi kizuri pamoja na mafunzo.
Ningependa kusikia pia na wanaume wanapata mafunzo sawa na wanawake. Ndoa ni ya wawili hakuna mmoja kuwa juu mmoja chini.
Mwalimu mzur wa mume ni mke wake ndo maana tunadeal na wanawake zaid 🥰
@@AttiyaHassan_somomtotohpana hya masomo wapewe wanaume ndio yanawafaa .
@@malak-lz6kxmm nimechagua wanawake 🥰🥰🥰ww unaweza kuwapa wanaume nchi huru hii kipenzi 🙏