HII NDIO DAWA YA MWANAUME MWENYE GUBU (HUBBUL HALAL)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.พ. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 30

  • @rizumohd5074
    @rizumohd5074 8 วันที่ผ่านมา

    Subhana allah kauli ya wanaume mnawapenda wake zetu sio wote.

  • @FunnyRamadhan-gz5ic
    @FunnyRamadhan-gz5ic 17 วันที่ผ่านมา

    Mashallah kabisa.umesema neno lizuri(kuniwiya sadaka)

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante hii gubu jamani kama boss wangu Allah amsamehe

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaomba mitume kwenye Tik Tok

  • @ZainabJolie
    @ZainabJolie 4 หลายเดือนก่อน

    Mwanaume mwenye gubu ana zarau saaaaaaaana 😢😢

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wanawake wa kizanzibari wakizungumza huwa inanijia kama tone ya mama samia

  • @user-hb2wd8lu7b
    @user-hb2wd8lu7b 4 หลายเดือนก่อน

    Huku kazi zote Allah atuongoze wanawake

  • @nduwimanafatma9948
    @nduwimanafatma9948 2 หลายเดือนก่อน

    Nahayo yakutazama ndoa za wengine ndio yanaharib ndoa zetu

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je 4 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah ukhty wang umepndz sn mn huadhihirisha mapamb

  • @GhaniyeHaji-hv3je
    @GhaniyeHaji-hv3je 4 หลายเดือนก่อน

    Swadakta ukhty aisha

  • @aboudhamid3
    @aboudhamid3 2 หลายเดือนก่อน

    Somo mtoto pamoja na wenzako nimefuatilia advice zenu kwa kuwaongoza wanandoa kama wake watatilia maanani basi tutakua na wake bora na hapo nasema ndio pepo ya dunia.

  • @mamii7935
    @mamii7935 4 หลายเดือนก่อน

    Shukran mi niliuliza kama nikijipamba anapenda akasema kikiwa kibaya nitasema 😅😅 nilichoka nikaviacha haswa.

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 4 หลายเดือนก่อน

    Kungwi mtoto umesema vizuri Sana 'sort out unacho ambiwa nikosa' hakuna anaetaka kumgomba mkewe kama yuko sawa. Tatizo ni mtu kukubali kujirekebisha au kubadilika bila kuona anadogoshwa au kejeliwa.

  • @mziguwaosman8539
    @mziguwaosman8539 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asalamualekum warahmatulahi wabarakatu jamani hasa kwa upande wa USA tuna mengi ya kusema maana tukianza hatuta maliza mwanamke kama mwanaume mwanaume kama mwamke

  • @thaammarsaidrashid8516
    @thaammarsaidrashid8516 4 หลายเดือนก่อน

    😢Daaaah Sina usimi na ilo gubu alo nalo

  • @zaynaothman6505
    @zaynaothman6505 4 หลายเดือนก่อน

    Hehee mfalme njozi

  • @abdulkaleemmbarak6670
    @abdulkaleemmbarak6670 4 หลายเดือนก่อน

    Makungwi muna kazi ngumu Sana Kwa sasa coz mwaletewa wari ambao mama zao wenyewe wanahitaji kufundwa. Zamani ilikua warii wanapata mafunzo 80% nyumbani na 20% kwenu.Cku hizi wari wafundishwa mpaka kupika na usafi Kwa kungwi kweli watashika yote munayo wafunza katika huo muda mdogo? Sheikh Othman Maalim ana msemo husema 'kama kilemba kimeroa saruni itakua hali gani.

  • @juhudiyaislamiya2660
    @juhudiyaislamiya2660 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Rashid Salum hiyo ndio gubu

  • @user-hk3xi6kf9d
    @user-hk3xi6kf9d 4 หลายเดือนก่อน

    Somo peke yke katosha, wengine shangwe tuu

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman 4 หลายเดือนก่อน

    Vipambe vipande

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu Shogaake Somo mtoto hana maneno naona bora abakie tu kwenye kund la waskilizaji🙄😢

  • @qz680
    @qz680 หลายเดือนก่อน

    MUME SURAUALI ALIMUOWA UKHTY SADA ZANZIBAR NI MUME ANAGUMU SANA NA HATAKI KAZI KUCHUHULIKIA WATOTO WANANE ALIMZALISHA MKE INAMFAA HII NA ABADILIKE

    • @user-ge5yp9me7y
      @user-ge5yp9me7y หลายเดือนก่อน

      Naomba no ya simu dada