HILI NDIO LILILOWAFELISHA WENGI KATIKA NDOA ZAO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.พ. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
MashaAllah Allah awalipe kheir kubwa dunian na akhera
Mashallah hubbu lhalali inafanya kazi mpka kwa waandaaji wa kipindi inaonesha msumari umegongomelewa kwa umakini na rangi inaendelea kupakwa kwa ustadi.
Mashaallah ❤❤❤ Allah awazidishie InshaAllah
Mashallah
Mashallah nimefurahi kumuona somo mtoto jungu kuu amerudi mezani kipindi kimenoga 🥳👏
A alaikum warahmatullah wabarakatu mashallah somo zuri shukran saba kwa ukumbusho Allah akubarik
Somo miwani kama mjeruman kweli😂😂😂😂kusem kwel hki kpind nkipenda kinaamasha ndoa zlizofubaa, ahsante somo❤
hii mada yafaa waarabu maana kila kitu mtu wa kazi
Wewe huna unalolijua kabisa ,zero brain.kama me wako Hana hela za kukuwekea mfanyakazi usiwe na husda Kwa waraabu kuwawekea wake zao mfanyakazi. Kwa Taarifa yako mwanamke sio jukumu lake lazima akupikie chakula au kukufulia nguo,anaweza kukufanyia hivyo Kwa mahaba tu lakini sio lazima.mwanamke jambo la kwanza anatakiwa kuwa na heshima kuwa na upendo na tendo la ndoa ni wajibu wake Kwa mme wake.mme wake kama anamoenda mke wake atamuwekea mfanyakazi amsaidie kazi za ndani ikiwemo hata kupika pia.
Eti hii mada yafaa Kwa waraabu kila kitu mfanyakazi khaaaa 😮😢.kwahiyo unataka mke wako aangalie watoto afue nguo za watoto akupikie chakula akufulie nguo.halafu na usiku akupatie na tendo la ndoa.acha husda Kwa waraabu wewe kama huwezi kufanyiwa na mme wako ni wewe hiyo
Aalaykum mashallah kipindi kizuru,lakini kunawanaume wengine hata ujitahidi kiasi Gani haoni jitihada zako Sasa mwanamuke kama huyo tufanyeje?
Mashaallh
Asante 👏
Tutanunua kitanda, sio usingizi
Tutanunua nyumba, sio makaazi,
Tutanunua dawa, sio afya
Tutanunua mapambo, sio utulivu.
🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli kabisa tena utamgandaa nabutampambania mumeo wakt wote!!
Jamani wmama wenzangu kuwa mama unaejitambua ni raha sana hata km mtavurugwa na hasad mumeo atakuganda
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Assalam aleikum me naomba muzungumzie hii mada mume anaependa kumuapiza mkewe kwa mambo tu madogo madogo ya nyumbani
Nikweli somo mtotot hata mimi mwanagu mmoja yupo hao wako
20:45 🎉🎉🎉❤😂😂😂😅🤣
Somo umenena mashaa Allh.....
Uyuu atie jeuri saana na anaringa
😂😅
Hakuna mtu mzur kam huyu sijui ww unaeesem mjeur unakwama wap
Ulimchokoza ukapewa unachostahiki🤣
😂😂@@laylahsalim8873