HII NDIO SABABU PEKEE INAYOFANYA MWANAUME AONGEZE MKE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ก.ค. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Lakini ukhty Mashallah umzuri unapendeza sana ivo mbele ya wanaume na hinna hiyo
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah .lkn na wanaume wapeni darsa zao sabb ndoa ni mashirikiano baina ya mke na mume
Mashallahhh❤❤❤
إنَّ اللهَ لا يقبضُ العلمَ انتزاعًا ينتزعُهُ منَ النَّاسِ ، ولَكن يقبضُ العلمَ بقبضِ العُلماءِ ، حتَّى إذا لم يترُك عالمًا اتَّخذَ النَّاسُ رؤوسًا جُهَّالًا ، فسُئلوا فأفتوا بغيرِ عِلمٍ فضلُّوا وأضلُّوا
Allah awafanikishe ktk maisha yenu yote.shukran Kwa muongozo wenu
Shukran kwa nasaha nzuri Allah Akubaarikini
Barakallah fiihu
Kifua icho na mapambo nakumbusha mashekhe zetu
Hubbul halal mashaallah 💯💯
Manshaallah 😊
Mashaallah
Dada unaelimisha lakini umeharibu kwa kudhihirisha mapamboyako, tunakuangalia wengi na ayomambo wengine tunayapendasana, naomba urekebishe tafadhali.
Dada jistiri unampa shida sheikh dimoso
Maudhui ya hiki kipindi hakikustahili jinsia mbili tofauti
Mi nakuone nyote mupo kwenye makosa, mna uyo mwanamke ana mapambo tena ypo wazi kma piko, 2. uyo anaeitwa sheikh kwann yye hajamkemea? nidhamu zenu ni mbaya.
Hiki kipindi ni kizuri sana ila muda mdogo mliotuwekea
Ha ha nimecheka apo Dada atia alipo taja point ya kuwa hata ukiwa kwenye period Unaweza kumkamilishia mume haja zake😂😂😂Alivoirukia poin sasa yaaan ameipenda😂😂🙈Dah Jaman Sina lakusema Mola wangu atusaidie Ndoa yaan wanaume no wagonjwa tu nikama watoto 😁🙈Mwanaume mtakosana kila kitu atakusameh lkn sijambo hilo mhh utajua hujui🙄😜😂
Apate kichefukichefu aweze kutapika...😂😂😂
Nanyinyi mashekhe muliokaanae hamuoni hilo?
Hubul halali swadakat
Jee uyo mwanamme ameomba rukhsa kwa mumewe? mm wangu cimruhusu kufanya upumbavu uyo.
Tunaipata