UNAMPENDAJE MUMEO BILA KUMPENDA MZAA CHEMA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2023
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

ความคิดเห็น • 30

  • @rahmagobz9230
    @rahmagobz9230 2 หลายเดือนก่อน

    Mama your communication skills on top m a

  • @idrisaabdillahibpxkijykbs4162
    @idrisaabdillahibpxkijykbs4162 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah, hichi kipindi sio kizuri kwa mada zake tu lkn pia watangazaji wapo vizuri sana, namna wanavyo zungumza zamu kwa zamu, namna wanavyo wasilisha hoja zao, Mwenyezi mungu awaongezee

  • @hassanharuna1519
    @hassanharuna1519 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wa alaykum ssalaam warahmatullah wabarakatuh Masha Allah mini moja mwahawo sipitwi nipo inchi jiran Rwanda lakin Alhamdulillah kwa kujua swaili na wafatiriya kila kipind pongezi Allah atujaliye kuya fanyia kazi❤

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mm sina mkwe lkn nawaona ma wakwe wa siku hzi walivyo wengi wao watapitapi na wapenda kuingilia mambo ya wtto wao. Kweli huezi kumpenda mumeo bila ya kumpenda mzaa chema lkn na wakwe nao wajitahidi kwassbu huezi kuulazimisha moyo wa mtu unaemfanyia maudhi kukupenda. Inabidi jirekebishe uusaidie moyo wa mke wa mwanao kukupenda❤

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 9 หลายเดือนก่อน

    ‏ما شاء الله وجزاكم الله خير

  • @asha1122
    @asha1122 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah kwa somo 😘Allah ajaalie mazuri tuyafuate na mabaya tuyaache

  • @mamamamam4723
    @mamamamam4723 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah kipind ni kizur hongera kwa somo mtoto👏👏

  • @DirectorOne.t
    @DirectorOne.t 10 หลายเดือนก่อน

    MI NAPONGEZA SANA HICHI KIPINDI MASHLLAH.. ila natoa ushauri tu kuw jitahidini sn kubana maneno icwe mnaeka wazi kimatamshi km ivo

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 9 หลายเดือนก่อน

    W’me wajitahidi hata km Allah hajawapa uwezo wa kununua banda japo chumba akodi. Maisha ya siku hzi mahasidi wengi sana na mahasidi wakubwa wa ndoa ni mawifi/wakwe. Allah awape wepesi wenye kupambana na viumbe hvyo, amiin.

  • @maryammohamed5312
    @maryammohamed5312 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wallah wema hauozi na ubaya hausahauliki tatizo la mda tu

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman 5 หลายเดือนก่อน

    Mimi sijaolewa lakini napata faida nampenda huyu dada

  • @biubwazahir782
    @biubwazahir782 10 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah 🌹

  • @user-vp5zi2xe3m
    @user-vp5zi2xe3m 4 หลายเดือนก่อน

    Somo nimependa Hilo vazi la kanga

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 10 หลายเดือนก่อน

    Tupeni vituuu👌👌👌👌kungwi jike na kungwi dumeeee

  • @Dalilahothaman
    @Dalilahothaman 5 หลายเดือนก่อน

    Alie kuwa mwari nivizuri kuskiliza inafaa

  • @runam906
    @runam906 10 หลายเดือนก่อน +1

    Assalamualaikum alaykum kipindi kizuri sana lakini muda mchache,tujitahidi kuongeza muda inshallah ili tuendelee kustafidi na mafundisho haya

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 10 หลายเดือนก่อน

      Moyo wenye shukran huongezewa zaid kutoka chini ya dkk 20 kwenda 30 ni jambo la kushkuru 🙏 sio kila siku kukosoa mara moja moja shkuru ili Allah akuongezee 😊 Ahsante kwa kuangalia kipindi endelea kujifunza 🥰

  • @kulthum8335
    @kulthum8335 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wanawake jitahidini mkiwa kwenye media msidhihirishi mapambo ni haram hinna mk up namengineo tujitahidini saana Kwasababu wafwatiliyaji ni wengi 🙏

  • @user-qi3su8zh6m
    @user-qi3su8zh6m 9 หลายเดือนก่อน

    ﷲﷲ

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nyumba haikai Nyumba Kipindi kimenitouch Wakwe Allah awaongoze yarabby Unakuta anasema mpaka unasikia kama Mim Simpend fulan Imagine Muhim Subra Kwel Somo mtoto umenena😭😭😭😭Nimecheka ulipoigiza et unkuja naye shetan😂😂😂😂Napenda wanavyoongea watu wakenya😍😂😂😂😂😂

    • @amour8802
      @amour8802 9 หลายเดือนก่อน +1

      Lakini hawa ni wazanzibar

    • @amour8802
      @amour8802 9 หลายเดือนก่อน

      @ bintsalimalbimany ni wa znz

  • @user-qi3su8zh6m
    @user-qi3su8zh6m 9 หลายเดือนก่อน

  • @maryammkubwa465
    @maryammkubwa465 10 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli huwezi kumpenda mume bila ya mamamkwe nae kumpenda

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 10 หลายเดือนก่อน

    Chukueni mauwa yenu, leo kusukimegusa mfupa. Lamsingi mtu akitaka kuoa ajitosheleze habari yakwenda kukaa kwa wakwe ni mtihani. Kapange hata chumba ki 1 tu.

  • @asha1122
    @asha1122 10 หลายเดือนก่อน

    Somo la leo cjui nieleze nn kwakwel maana kama mlikuepo yalipotendeka kwa upande wangu ,Allah atawalipa kwa yote

    • @AttiyaHassan_somomtoto
      @AttiyaHassan_somomtoto 10 หลายเดือนก่อน

      Pole Allah atakupa nguvu hatuna story za uongo wala hatuzitungi ni uhalisia wa maisha yetu. Endelea kujifunza kipenzi 😊

  • @alimau7939
    @alimau7939 2 หลายเดือนก่อน

    Ni haramu mwanamke kuonesha mapambo kwa mtu anaeweza kumuoa, sheikh rashid ww huzioni hizo hina