VITU VITAMU VINAVYONOGESHA MAHABA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Salam , studio Kwanza naomba radhi Kwa ushauri nitakaoutoa huenda ukapokelewa kivyenginevyo ila nia yangu ni njema ,kipindi ni kizuri ,mafunzo ni mazuri lakin kauomba somo punguza mapambo ya mahina ukija ktk kipindi na ata mtandio wako ungeshuka kidogo ingependeza zaid ,kumradhi
Nikweli swadakta
Swaddakta iyo piko nishubha inashawishi wanaume sana
Mashallah shukran kwako bi somo kwa vinogesho
Allah awalipe kher wana hubbul halaal
Umenitibu mdogowangu kwenyemaradhi yangu Asante mungu aidumishe alfah
Ma sha Allah uqti attiya!!!!! Tunakupata sawa sawa!shukran for sharing uqter. JazakiLLAH ❤❤❤❤
Naomb no yak anty unifundishe meng
Maa shaa Allah, tuite CHAI YA WAPENDANAO
Asalmalaikum hii alfatah inapatikanaje kwenye tv
Shukraan kwa elimu allah akupe afya allahumma amiiin.
Bizari nene. How do u cal it in English?????
Shukran kwasomo ila binzari nene ndio ipi jaman
Jina ni hubul chai ❤
Mashallah
Bizari ya maandazi nd ipi
tafadhali tuandikie hizo spice in english.
Tuite Chai mahabaaa Jamani niolewe na mimi napitwaa nyieee😂😂😂
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
😂😅 MashaAllah
assalam alaykum. Ukhy mm n daktr I mean a doctor of medicine. Lkn hamu yangu kujifunza mitishamba .. Je nakupataje .. Ahsant
Bizari nene bado sijaijuwa
Tupeni japo kwa kizungu.
Hata mm sijaijua pia
Mm naona tuite hubul halali tea
Jina chai ya wanandoa
Giligilani ndio bizari nene jamani
Je kwa mjamzito inafaa kunywa
shukran ila bizani nene ndoipi ina jina lengine?
Hubu lhalali tea😅😅
Chai isionakero
Biharus wamoto😂😂
Chai ya fikra
Chai ya fikra tayar ipo na sio hiyo 😊 asante kwa kushiriki
Nahitaji msaada wako madam
Tutaiita mundende
Nikitaka kujiunga nadarasa lako nafanyaje