Kitonga Ndio Hii/Mwanzo Mwisho Mwonekano wa Mlima KITONGA na KONA zake Hatari.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ค. 2020
- Mlima Kitonga ni Moja ya milima inayotisha sana Kutokana na Kuwa na kona Kali sana na nyingi afu Miteremko mikali kibao.
Ajali nyingi Utokea karbia kila siku katika mlima kitonga,
NI NDANI YA MKOA WA IRINGA , BARABARA ya lami kama unaelekea Morogoro moja kwa moja kwenda Dar es Salaam .
TAZAMA MPAKA MWISHO VIDEO HII.....
ENDELEA KUTUFUATILIA......TEAM "FOCUS DIGITO"
USIKOSE VIDEO MPYA INAYOFUATA BAADA YA HII.....
Yote HAYA ni Habari ndani ya Focus Digito TH-cam Channel.
SUBSCRIBE TO SHOW YOUR LOVE.
(Consider Subscribing So That You Wont Miss Other Life Changing Videos Like This)
PRESENTER:
Focus Digito Studios
FOLLOW US:
INSTAGRAM: / focus_digito
GOOGLE: tiny.cc/4uc3mz
TH-cam: bit.ly/2wM119u
TWITTER: / focusdigito
KEEP IN TOUCH WITH US
WE LOVE YOU
#Kitonga #Iringa #LIVE #Safari #Trending #Tourism #HMG #MillardAyoUPDATES #GlobaTvOnline #WasafiMedia #CLOUDSMEDIA #CCM #Magufuli #JPM #UEFA #Mlima #Mountain #
Iringa ina umbijani mzuri sana jaman inapendeza ila huo mlima nauogopa hatar
SUBHANNALLAH Allahu Akbar. Huo ni uwezo wake Mungu Mola Muumba.
Hii ngoma ya kikongo, naomba jina lake na Muimbaji
Juma kassim kiroboto nature
Mandhari nzuri zaidi ya mlima kitonga huko mkoani Iringa.
Jamani kitonga inatisha nilipita na new fosi apo naire gari irivo ndefu nauko chini parivo mbari Mimi presha
Iringa moja hiyo hakuna namna🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Alie ckia barabara znashindwa kuhimili uzigo wa mizito😀😀😀😀
Umetisha umeutoa kama ulivyo huko ndo nyumbani
Madereva ni wazembe mno yaani hawafati sheria za barabara na ndio kilasiku watu wanapoteza maisha ni kutokana na uzembe wa madereva.
Iringa kwetu mungu ibariki iringa
Hiyo nitoka morogoro kwenda iringa
Siku moja mtuletee zile Kona za nyang'oro tujionee
Mmmh
MIMI MSANII NAITWA MATUNZO CLASSIC TAZAMA VIDEO YANGU
KISHA SUBSCRIBE WEKA COMMENT YAKO NAOMBA SUPPORT YAKO
Weka
Nice
Mandhari mazuri yale!
Al Saedy inateleza tuu kama nyoka pangonii
Shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhh🔥🔥🔥🔥🔥
Ninyi pia munasikia music ya congo
Kaka voice yako km naijua iv ushawah tanga,aza County Fm
We mwenyewe mvunja sheria za barabarani. Mwenzio kapunguza mwendo we una overtake
Duuu dereva wa basi ni nyoko sana
jamaa hamna ushirikiano yan anaewazia trip mtu mmoja...wengine sijui ndo mnavyaza???dah..ila nimekubali Idea.....thats great...ila presenter pia hata ungekaa kimya tu tungeelewa...big up guys!!!na mngezihesahabu izo kona ingependesa zaidi...hamjasimama hata sehem ingenoga zaid!!!
Hivi angekaa kimya ungejuaje km kunasehem maalimu za kuovatake??
Akili nyingi huondoa
Iringa raha jamani
Daah n hatri sio kwa kna hizo
Duh kumbe iringa napo kuzur ivi
Nyce video nimeipends
It's amazing!
Unaufahamu mlima ndololo kaka mahengee ukooo ni hatar
Good traffic terrain update.keep doing it also in google drive.
Huyo drive anaeendesha Hilo gari inatakiwa ashitakiwa maana kaovertake sehemu isiyoruhusiwa
ilinga au iringa
Kumbe Iringa kuzuri hivi!!!
Iringa y etu hiyo
Wala kitonga haitishi kiviileee..pa kawaida sana labda zaman but sahv hapasumbui
Iringa Co Ilingaa
mlima muze mkoa wa rukwa sumbawanga unaitwa kaburi wazi huo ndo mlima hatar Tanzania maderev wanaipatapat sana
@ uzigo wa mizito
Sio poa
appreciate
Madereva wote wa malori akili zao haziko vizuri,wanapita sehemu za hatari wakifikisha mzigo wanaambulia matusi kutoka kwa mabosi wao,kukatwa pesa zao bila sababu maalumu,kubambikiwa makosa barabarani,na kelele kutoka kwa wake zao.Hivyo ukimwomba njia asipokupa tulia mpaka akili yake ikae sawa.Vinginevyo atakutia kwenye mtaro.
Daaa kwetu aise
Kwenu kubaya tena kunatisha
Saw bwan
J
Iringa...sio Ilinga ...
Matumizi ya L & R
@@Ctenzosaidi sawa kabisa
Sio Ilinga ni Iringa
Ajali zinazotokea MLIMA KITONGA
Check hii!!
th-cam.com/video/xYiCbM5-LRg/w-d-xo.html
XXX video and
boss
Unaachaje kununua mahindi ya kuchoma pale mwanzo wa mlima
Hii video mmerekodi lini
Duu mbona gari nyingi sana
Ila Al saed kiboko,,ametafuuuuta hajamuona kabisa, hao wazoefu njia hizo
mm na enjoy na juma kasimu kiloboto
Ngoma ya kikongo...safi sana
Siku nyingine mtuonyeshe nahuko chini kwenye maji kukoje,,,?????
frm kenya lakini hamna kitu kama "fuso limedondoka"
Si we unajua hao watanzania vile Wapenda kujisifu
@@rihannaajie3866 Sinanyie mjisifie yawatz yana mihus ?????????
@@aishaasumany561 OSHA kuma ulale kibibi
@@rihannaajie3866 Kaanze kuosha mkuma wamamaako kwanza ndio ubishane na mimi mjusi kafili wwe kweeenda nguchiro wwe
@@aishaasumany561 vyuuuuuuuuuuuu choooniii
Na bbara nyemmba kweli
Kwa sisi tunaijua hiyo barabara tangu enzi hizo hapo tunaiona pana maana kabla mlima haujachongwa tena 2009 huko nyuma ilikuwa nyembamba kwelikweli
Jé
Wewe ni msanii chipukizi?!
Umefungua TH-cam account?!
Jiepushe na matapeli waanaotoa huduma za kufungulia account kwa pesa kibao...
Siri ya KUFUNGUA TH-cam ACCOUNT BURE hii hapa
th-cam.com/video/Luh_GQCub4w/w-d-xo.html
Ipo kwa Kiswahili ili kila mmoja aelewe.
Usipoelewa Jambo
Ingia sehemu ya notification
Utaona anuani ya barua Pepe
Usiogope kuuliza kitu!
Maajabu. th-cam.com/video/atHD9Z_s29c/w-d-xo.html
Ubawa Wake Ni Barabara Ndio Tatizo Haipo ?
Na Inachukuwa Mudagani Kushuka Na Kupanda Huu Mlima
lisaa limoja
Fuso imedondoka. R. I. P kiswahili 😂
🤣🤣🤣🤣
@@maulidsaid9448 ha ha ha
Hivi ni fuse imedondoka?? Au gari aina ya fuso limepata ajali? Au fuso limedondoka..
Inakuaje muandishi unashindwa kumenteni lafudhi hivi Tanzania kuna mkoa unaitwa Ilinga, madeleva ndio nini
unatangaza vizuri ila matamshi ya nakushinda, sio balabala ni barabara na sio iyo ni hiyo🤔
Wwe umenishinda tabia
Kwamba ww hujawahi kukosea au ndo ujuaji
Tatizo kiswahili kigumu ndomaana tukitembea nchi za watu hatueleweki matamko yetu sio sahihi tunaferi lugha yetu Ila bado Sana kujuwa vizuri.
siyo ujuaji....kurekebishana ndo mpango mzima...mtu akosee ukae kimya...NO.....!!!! .nitajifunzaje kama nakosea na watu wa mute!!????
Usha wahi ku tokea MOMBO mjini ku elekea milima ya Usambara kule Mtae, Soni, Lushoto, Bumbuli, Magoroto na zaidi?
Kama bado, basi jaribu kwenda huko Barabara za milima ya Usambara, kisha chukua videoclip, halafu fananisha kati ya mlima Kitonga na milima ya Usambara, wapi ni hatari na kunako tisha zaidi 😅🏔!
Uki fanikiwa uje utu juze tafadhali 🙏🏽
Nenda kwetu moro mgeta Kama utarudia tena
@@edithachipondwa8847 Hebu elezea pakoje? Nipe picha kidogo 😅😃
@@edithachipondwa8847 nacheka kama mazuri. Napasikia tu ingawa ndio kwetu huko
Bila shaka gari itakuwa inapanda kwa lisaa
ndio
huko mwazon mlikoazia ni kona za Iyofi kitonga sijaiona kitonga mlima mkali co hivyo, mm ni mkazi wa iringa najua sana
Wewe mkazi wa Iringa ila njia huijui kwakweli..hiyo Ni kitonga maybe kwakuwa mvua zinanyesha vichaka vingi ndio maana
Hiyo kitonga yenyewe mzee baba, mi mwenyewe nimepita hapo kama mala mbili hivyo hiyo sehemu naijua vzr
Hajui mzee kajisaidie ukalale.
ningekua nauwezo ningefuta comment yako!.....infact...siyo iyofi,its Iyovi.na unadanganya bwn hapo ni kitonga panajieleza....kwamba jamaa hawajielewi kias hicho??? Iyovi barabara ni smooth sana na ni panaa..na pana kona ndefu kiasi.....
Kitonga pakawaida tuuu njoo soni Lushoto
Huolima wa Rushoto ni kilometa ngapi na kuna kona ngapi? Acha ushamba Kitonga ni No. 1 tu madereva wote wanajua hilo.
@@gibsonntamamilo490 ushawah kufka au unalopoka tu Fanya uchunguzi kwanza kitonga ni maatufu kwakua wanapta watu wamikoa mbalmbal lakini njoo hadi mombo alafu unze kupanda mlima ndio utajua tofaut kat ya nyani na ngedele simba na duma mbwa na mbwamwitu/mbweha