TAZAMA STENDI ZA MABASI TANO NZURI ZAIDI TANZANIA NA UNAMBIE IPI KALI ZAIDI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 237

  • @pinchesmbuche4354
    @pinchesmbuche4354 11 วันที่ผ่านมา +2

    As a Kenyan this is the best in East and Central Africa.

  • @user-xh3hm5zi3i
    @user-xh3hm5zi3i 21 วันที่ผ่านมา +3

    Magufuli alifanya kazi nzuri sana 🙏😍🥰🥰😘😘

  • @henrydege378
    @henrydege378 ปีที่แล้ว +20

    Magufuli tutakukumbuka daima ungekuepo hivi vitu nakwetu tungevipata.mungu ailaze roho yako mahali pema namwanga wamilele ukuangaze amina.

  • @user-cm8jx5qf3w
    @user-cm8jx5qf3w 20 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Mimi naona Mungu tumpe nafasi ila kama Kuna mkono wa mtu wa kishetani Na Mungu ampe adhabu inayo staili Haina kutubu mana ametuferisha Watanzania wengi AMINA.

  • @user-rp1lt1oi4e
    @user-rp1lt1oi4e 18 วันที่ผ่านมา +1

    zote nnzuli sana mungu akulaze mahala pema mzee wetu joni pombe magufuli tutalukumbuka daima mzee wawanyonge

  • @niyonkurusalim2186
    @niyonkurusalim2186 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Magufuri mungu ampe pepo kbsa

  • @josephattindi9333
    @josephattindi9333 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mwenye ndoto alilala na ndoto yake pengine angekuwepo tungekaribia kufika Ile nchi aliyokuwa akiota sikuzote endelea kupumnzika kwa amani jembe 😢😢

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 ปีที่แล้ว +10

    Ya dar na mwanza mashallah ❤🥰🥰🇴🇲👌

    • @HeryethAleck
      @HeryethAleck 3 วันที่ผ่านมา

      We si wa mwanza kama mm

  • @niyongabojonas4760
    @niyongabojonas4760 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akutunukie vizuri DJP MAGUFURI

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 ปีที่แล้ว +3

    Makatili na wampambe wawo wamezulumu taifa la TZ na watz lakini Siku yakiama ambao inakaribia kila aliosika namauaji wa Hayati Magufuli atajitetea mbele yamungu yalale Salama hapo alipo jembe la watz amen

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 ปีที่แล้ว +6

    waooh kazi iendelee zote zuri mashallha

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 ปีที่แล้ว +15

    Magufuli hakika alifanya kazi!!

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 ปีที่แล้ว +6

    Magufili juu"ungelikuepo Tz ingekuwa ulaya" pumzika kwa Amani baba"sifa zikufikie huko uliko"

  • @hajiyakara8301
    @hajiyakara8301 ปีที่แล้ว +17

    2mpoteza mtu mzima kabisa afrika nzima

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 ปีที่แล้ว +3

    Daaah magufuli tutamkumbuka milele sie wananchi katutendea mengi mengi saana 🇹🇿

  • @winniecharles8883
    @winniecharles8883 ปีที่แล้ว +2

    Respect JPM pumzika kw amani baba

  • @HafsaHabibu-hi2lg
    @HafsaHabibu-hi2lg 7 วันที่ผ่านมา

    Salute kw anko magu

  • @daurdwambuto1877
    @daurdwambuto1877 ปีที่แล้ว +8

    Alikuwa raisi wa afrika mzee wetu magufuli lala salama tutakukumbuka kwa mengi uliyoyafanya

  • @SabunNgalaba-oi6ml
    @SabunNgalaba-oi6ml 21 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe urie Andra tarifa hii umetukumbusha mbali sana

  • @wilsonelijah
    @wilsonelijah ปีที่แล้ว +6

    1.stand ya magufuli mbezi
    2.stand ya nane Dodoma
    3.stand ya nyegezi mwanza
    4.stand ya morogoro
    5.standi ya nyamhongoro then katavi inafata mwisho

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว +9

    Miaka michache Mambo makubwa

  • @magambojuma5385
    @magambojuma5385 22 วันที่ผ่านมา

    Uhakika mzee magufur mungu amlaze mahali mema peponi

  • @user-gr9px4pi2w
    @user-gr9px4pi2w ปีที่แล้ว +2

    Hakika hayati Rais Magufuli ameibadilisha sana nchi yetu , ameitendea haki Tanzania, wananchi tulio wengi tulimpenda sana Rais wetu Magufuli, hakika bado Tunalia sana , alimpenda Mungu, aliipenda nchi yake na alitupenda sana wananchi wake, nani kama Magufuli? Moyo unauma sana. Ndani ya miaka 5 tu ya uongozi wake maendeleo ya nchi ni kama miaka 20. Je angefika miaka 10 hakika tungefika mbali,

  • @georgedaudi4600
    @georgedaudi4600 ปีที่แล้ว +5

    1,mbezi maguful. 2,nyengez mwanza zinatish San

  • @WilliamManyelezi
    @WilliamManyelezi 27 วันที่ผ่านมา +2

    Sitendi ya dodoma ni ya pili ya kwanza ya mbezi

  • @Maalim_Samatta
    @Maalim_Samatta ปีที่แล้ว +12

    Magufuli bus terminal ni baba lao in Tz

  • @rehemaabdullah7606
    @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว +7

    Huyu baba kweli tutamkumbukaa

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 ปีที่แล้ว +9

    JPM 🙏🏽

  • @mbarukumakakala4895
    @mbarukumakakala4895 ปีที่แล้ว +4

    Jpm mbez namba moja msamvu namba mbil

  • @lidyacharles1201
    @lidyacharles1201 ปีที่แล้ว +7

    Huyo ndio anko magu r I p

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 ปีที่แล้ว +6

    ukwel Mwanza imependelewa sana Ina stend mbili nzr balaa

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 ปีที่แล้ว +7

    Tutampata wp mtu kama huyu?
    RIP JPM😭😭😭

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 ปีที่แล้ว +10

    JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM forever

  • @ShamiliMwangosi
    @ShamiliMwangosi 2 วันที่ผ่านมา

    Magufuli ndo no one aipingwi tz

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 หลายเดือนก่อน

    Mungu awalaani woote wlohusika na kifo xha jembe letu" Tanzania yetu ingekuwa ulaya!"woote wafe kifo xga aibu

  • @MabamboMabambo
    @MabamboMabambo หลายเดือนก่อน

    Mungu Mkubwa amlinde sana magufuli nawazazi wangu wote

  • @kelvinzegega2242
    @kelvinzegega2242 ปีที่แล้ว +7

    Zote kali bt msamvu top tukiacha masiaara

  • @msemasungura5651
    @msemasungura5651 ปีที่แล้ว +3

    Zote nzuri

  • @SaiMbena
    @SaiMbena 12 วันที่ผ่านมา

    Msamvu aiseh babalao mana ni ndogo ila ina raman kali sana ni mfano wa meli

  • @dankedaudimwangombe3962
    @dankedaudimwangombe3962 ปีที่แล้ว +2

    Kali ya dare s salaam

  • @agustinopaulo7981
    @agustinopaulo7981 ปีที่แล้ว +2

    Ya kwanza stendi ya magufuli Terminal bus
    Ya pili Nyamhongolo Terminal bus mwanza hizo ndo stend kali kwangu

  • @lelemabuyagu1457
    @lelemabuyagu1457 ปีที่แล้ว +8

    Mwamba jpm

  • @StivinMpesa
    @StivinMpesa 7 วันที่ผ่านมา

    Kizuri hakidum hakika

  • @geraldwagumba1947
    @geraldwagumba1947 ปีที่แล้ว +5

    AmakweliTanzania imepigahatua hongerajohnpombe

  • @aloycehongoa6284
    @aloycehongoa6284 ปีที่แล้ว +8

    Kazi ya Mungu itukuke kwa mtumishi wake JPM.

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 ปีที่แล้ว +3

    1.mbezi 2.nyegezi mwanza 3.Nyamohongoro mwanza

    • @thomasbutingo17
      @thomasbutingo17 ปีที่แล้ว

      Hpn nyamhongolo ni nzr zaid ya nyegez mara mbili

    • @bonnymakuke3153
      @bonnymakuke3153 ปีที่แล้ว

      @@thomasbutingo17 nyegezi ilikua bado haijaisha vizuri Ila niatari wewe!

  • @ziadamtebwa3712
    @ziadamtebwa3712 ปีที่แล้ว +2

    Kwa kweli mungu ampe nguvu Mweshimiwa mama samia kazi ni kubwa miji lnapendeza.

    • @rehemaabdullah7606
      @rehemaabdullah7606 ปีที่แล้ว +1

      Mpuuz nn stend kajenga Bibi yenu hiyo? Au unataka cheo lkulu🙄🙄🙄kamalizia Kaz hiyo

    • @seraphinalameck1731
      @seraphinalameck1731 ปีที่แล้ว

      @@rehemaabdullah7606 msamehe alikuwa amesinzia katoka usingizin na kucoment bila kuelewa anachocomment

  • @user-bp3kp4on2r
    @user-bp3kp4on2r 17 วันที่ผ่านมา

    daaah ama kwer bb wa afric

  • @flova7022
    @flova7022 ปีที่แล้ว +2

    Kweli si Kila pombe ni kileo..pombe zingine ni nguzo za nchi

  • @theresiauhahula6710
    @theresiauhahula6710 9 วันที่ผ่านมา

    Magufuli buss terminal ndo mpango mzma

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf หลายเดือนก่อน

    Magufuli Tanzania alikua ameiiinua haki ya mungu amulide apumuzike kwa amani

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala9162 ปีที่แล้ว +2

    Mwanza wanabahati sana Terminal stand mbili zote zipo ndani ya Jiji

    • @Josamjosam8
      @Josamjosam8 11 หลายเดือนก่อน

      Ndo maana likaitwa jiji la miamba the rock city

    • @peterpatrice9108
      @peterpatrice9108 หลายเดือนก่อน

      si kwenu lakini

  • @user-bt2tz4re2p
    @user-bt2tz4re2p หลายเดือนก่อน

    Hakika mimi ndiye aliyenifanya nipige kura kwa mara ya kwanza magu bado tunakuenzi ilisema tutakukumbuka kweli yametimia

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 ปีที่แล้ว +6

    Zote kalii Sana Sana ya dar lkn muonekano zote nzuri mnoo na nmependa Sanaa kuwpo Kama Moll kila stand inajitosheleza na kila kitu mtu akifika anawza kubook hotel akalala akanunua anaxhotaka apo apo yan iko powa😍😍the kila mwaka ilikua kinatoka kitu naimani In Sha Allah tutajenga vingi zaid kwa muda mchache na imara

    • @petromartini7349
      @petromartini7349 ปีที่แล้ว

      Kizuri kweli hakidumu ,,Sasa hv Hela imerudi ilikotoka ,,,ila hata mama anapambana sana tumpe mda ,,,maana walianzisha wote na yeye anamalizia ujenzi uliokuwa bado haukukamilika ,,tuna viongoz wazuri sema tunataka matokeo ya haraka sana

    • @mariamlucas9054
      @mariamlucas9054 ปีที่แล้ว

      @@petromartini7349 mjnga huyo

  • @J4UPro
    @J4UPro ปีที่แล้ว +4

    Sitamsahau mwamba

  • @agnesslucas4744
    @agnesslucas4744 ปีที่แล้ว +3

    magufuri ulifanya kazi kweri

  • @Sanagu05
    @Sanagu05 14 วันที่ผ่านมา

    Bariadi - Simiyu

  • @jaydenbedas5729
    @jaydenbedas5729 ปีที่แล้ว +2

    Humu ndo alimokua anapeleka pesa magu pesa ulifanyabkazi na hatumdai chench

  • @luganomwaipaja-bj6qz
    @luganomwaipaja-bj6qz ปีที่แล้ว +2

    Maboresho ya mazingira tafadhali kwenye stendi tunaomba, kama vitalu vya maua na miti kama ilivyo kwenye viwanja vya ndege

  • @martharenati1660
    @martharenati1660 ปีที่แล้ว +2

    Hakika tuendelee kumuenzi Baba Magufuli amefanya mengi Kama mwanadamu wengine hatuwezi

  • @jeremiahmakoye6340
    @jeremiahmakoye6340 ปีที่แล้ว +5

    RIP Hon.Dr.JPM

  • @peterkapel5332
    @peterkapel5332 29 วันที่ผ่านมา

    Kwanini Nyamhongolo na Nyegezi uziunganishe wakati ni Stendi mbili zinafakanya kazi tofauti

  • @godfreyanthony4386
    @godfreyanthony4386 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli Bus Terminal yakiume💚💚💚💚

  • @EliudMwashitete
    @EliudMwashitete 26 วันที่ผ่านมา

    Sumbawanga

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo17 ปีที่แล้ว +15

    1. Stend ya maguful mbezi 2.Nyamhongolo Mwanza 3.Dodoma stend 4.Nyegez stend Mwanza 5. Msamvu stend Morogoro 6.Stend ya katavi.

    • @aidancherehani9431
      @aidancherehani9431 ปีที่แล้ว +2

      Stendi ya Katavi haiifikii stendi ya Sumbawangai

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว +2

      Zote kazi za JPM na vitu vizuri Tanzania ya mavi kunuka mtaviona nchi jirani bibi tozo hamna kitu hapo

    • @thomasbutingo17
      @thomasbutingo17 ปีที่แล้ว +2

      @@kabwelasutiviraka4765 Kwan alotoa Hela zake mfukon Hela zlikua za watanzania huo ulikua wajibu wake kama kikwete alivojenga shule za kata Nchi nzma xo usiwe na ushabiki na kiongozi Fulani viongozi wote walopita wamefany meng Mazur

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว +1

      @@thomasbutingo17 hamna chochote fisadi Kikwete na zero brain huyu bibi tozo, JPM amefanya makubwa sana na kazi zake ziko kila sehemu hamuwezi kupoteza legacy yake! Yule mwanamapinduzi aligusa kila sehemu alijenga kila sehemu , ona uongozi wa ovyo wa muimba taarabu hamna chochote cha maana na hamna mradi wowote wa maana atakao uacha kama legacy yake

    • @thomasbutingo17
      @thomasbutingo17 ปีที่แล้ว

      @@kabwelasutiviraka4765 Swali je hzo pesa alitoa mfukon mwake? Huo ni wajibu kama Rais lazm afanye ivo

  • @Dimentious-bj3yh
    @Dimentious-bj3yh หลายเดือนก่อน

    Dah mzee halpambana

  • @MaywaTifurukwa
    @MaywaTifurukwa 12 วันที่ผ่านมา

    Magu alikuwa Mtanzania sio Mwanasiasa

  • @FredsonHytham-dx4xk
    @FredsonHytham-dx4xk ปีที่แล้ว

    The best President in Tanzania

  • @jonasntikangishwa3791
    @jonasntikangishwa3791 ปีที่แล้ว +1

    Respect JPM

  • @estherjackson6038
    @estherjackson6038 ปีที่แล้ว +6

    Hata ya SINGIDA mkeka wa hatariii!

  • @rehemahassan7685
    @rehemahassan7685 ปีที่แล้ว

    Stand ya Ramadi hamjaiweka hapo no nzuri sana

  • @AmaniThomas-xk1be
    @AmaniThomas-xk1be 11 หลายเดือนก่อน

    Ahsante 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @hekimalyaumi8214
    @hekimalyaumi8214 ปีที่แล้ว

    Namba 1 nikali sana

  • @aizackmwinuka3624
    @aizackmwinuka3624 ปีที่แล้ว

    nyegez send inaongoza

  • @FikiriAbdalah-qe9ue
    @FikiriAbdalah-qe9ue 15 วันที่ผ่านมา

    Daima tutakukumbuka ila sita sahau pindi umenivunji nyumba yangu bira maripo ubungo pindi wewe ni rais

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl หลายเดือนก่อน

    Tutamkumbuka daimaaa

  • @filbert9138
    @filbert9138 ปีที่แล้ว +1

    Make a video comparison between beautiful city DODOMA AND MWANZA , ARUSHA

    • @Josamjosam8
      @Josamjosam8 11 หลายเดือนก่อน

      Unachekesha wew mwanza ni jiji lenye hadhi nafasi ya pili tanzania usiilinganishe na hivyo vijiji

  • @paullukas5131
    @paullukas5131 ปีที่แล้ว

    Aic nashindwa hata kuchagua zote kiwango juu bg up magufuli

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 ปีที่แล้ว

    Magufuli hatumsahau maishani katuachia kumbukumbu kubwssmnoo

  • @Girethi-fj2or
    @Girethi-fj2or 2 วันที่ผ่านมา

    Magufuri sitndi

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 11 วันที่ผ่านมา

    Magu alifanya kaz, sjui kwasasa, samia kafanya nn?

  • @FeristerJoseph-lh7qu
    @FeristerJoseph-lh7qu 20 วันที่ผ่านมา

    Pumzika kwa amani kazi ulifanya baba magufuli

  • @FredsonHytham-dx4xk
    @FredsonHytham-dx4xk ปีที่แล้ว

    Moro Town 🔥🔥🔥🔥

  • @jumaotumani925
    @jumaotumani925 ปีที่แล้ว +1

    Mwanza kaka nyegez

  • @AishaNassor-lm6eq
    @AishaNassor-lm6eq หลายเดือนก่อน

    Magufuli ndie raise peke kwa upande wangu Bado sijaona wa kufanya nae

  • @MwaketalemaMast
    @MwaketalemaMast 28 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤❤

  • @rahmaSimba-gl9qc
    @rahmaSimba-gl9qc ปีที่แล้ว

    1 magu
    2 Nyegezi
    3 nyamongolo
    4 msavu
    5 nane8

  • @omarsaleh733
    @omarsaleh733 ปีที่แล้ว +1

    Waooo

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 ปีที่แล้ว +3

    Stend ya Singida Ni nzuri Sana , Lakini hapa haijawekwa

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 ปีที่แล้ว +1

      Tatizo haina jengo la abiria

    • @aidancherehani9431
      @aidancherehani9431 ปีที่แล้ว +1

      Kile nikituo cha mabasi nasio stendi..... Stendi ndo hizo ulizotajiwa hapo

  • @ElesiaMsambwa
    @ElesiaMsambwa หลายเดือนก่อน

    Hakika Magufuli alituweka mahali pa kuonekana katika Afrika na duniani kimiundo mbinu. Je stand ya Njombe iko namba ngapi?

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 ปีที่แล้ว +1

    MAGU hoyeeeeeee

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 ปีที่แล้ว +1

    Fedha hip zilitoka wapi

  • @Justin-gt8ji
    @Justin-gt8ji 5 หลายเดือนก่อน

    Moshi Kilimanjaro ipo ndani

  • @Taymaster-xd1ox
    @Taymaster-xd1ox 21 วันที่ผ่านมา

    Ya kabind mbona haipo

  • @Tumwaminifute123
    @Tumwaminifute123 2 หลายเดือนก่อน

    Bado na ya Njombe

  • @user-dn9op4tm5h
    @user-dn9op4tm5h หลายเดือนก่อน

    Dar stand ya magufuli ndo kali

  • @MosesMamaya
    @MosesMamaya 5 หลายเดือนก่อน

    Dar mwanza morogoro

  • @YasintaPhilipo-jq9eh
    @YasintaPhilipo-jq9eh ปีที่แล้ว

    Siion bariad stand

  • @PaulsenMgema
    @PaulsenMgema ปีที่แล้ว +12

    Rest in Peace JPM

    • @thomastarimo
      @thomastarimo ปีที่แล้ว

      Tutakukumbuka kaka maguu kwa utumishi wako uliotukuka Leo hii imebackia magofu akuna kinacho endelea zaaid ya rushwa kila kona mbaya zaid kaka magufuli kuna ili jeshi LA polisi uchwara wanapokea rushwa bila adabu bila hofu wanakamata pikipiki za watumishi wanaenda kuwatoza faini za kijambazi faini 75000 upewi risiti wanachofanya wana record kwenye dafitari jioni wanakuja kugawana maeneo ya ana togo

  • @JohnClauline-fu6xg
    @JohnClauline-fu6xg 8 หลายเดือนก่อน

    Mbezi