ROBOTI KUBWA LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ส.ค. 2023
- ROBOTI LILIVYOMPELEKEA RAIS SAMIA KIFURUSHI CHA 5G
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
ALLAH atunusuru huu ni mtihan wala sio neema ,masanamu yamefika Tanzania , innalillah wainailaih rajiun,yarabii tunusuru na huu mtihan😭😭😭
Hii Dunia yakustajabisha hapo itafikia watuwataondolewa kwenye Imani yakweli Na kuanza kutumikia masanamu Allah atunusulu
ndio maviongozi yakiislam ya kiafrica yalivo yamejaa ushetan tu sasa hapo watoto wataanza kuwamin masanam nasio Mungu
Acheni ushamba aise
@@aishaalbalushaishabalush8291unaijua vizuri Dubai wewe, huko ndo kuna marobot ya kila aina, acha ushamba
Unasumbuliwa na ushikirina akili mwako. Tatizo jingine tembea kidogo nje ya nchi uone Dunia. Kuna Mambo zaidi ya hayo.
@@hamedhabsi2752 huko unaposema kunamambo zaid ya hayo hakuna raiya anaelala njaa rabda apende mweyewe kutokula sasa tanzania robot la nini wakat wanainchi hawana hata ajira wanao ajiriwa watoto na family za viongozi mnapenda kufananisha mavitu bila kufananisha serkal inawasidia kiasi gani wanainchi woote wasio na ajira ? unadhani hatutatembei hadi tuone nijambo jema kwa tanzania ? kwanza unapopataja wanainchi wao wanalishwa na serkal zao ndio maana hata kazi wavivu kufanya sasa tanzania upeleke robot lakutumia mabillion ya pesa wakat watanzania wananguvu ya kazi zile anazozifanya robot tena wao wanafanya kwa mshahara mdogo tu huo ni ujinga ulipitiliza maji shida umeme mgao hayo mabillion waliolinunua hilo robot si wangeongeza miundo mbinu mnaajiri robot wakat wanainchi wanadhiki na shida ya kazi yoyote iwe ngumu au nyepesi tena kwa mshahara mdogo kwa mwezi nasio mabillion kwa wek tumia akili nasio matako
Imetisha inchi yetu Tanzania mungu ailinde
Asante Sana Media ya wasafi Tanzania.tuko nyuma yenu.
Hongera Mama yetu Kwa kazi nzur unayo tufanyia Watanzania Mungu Akurinde Amina
Siku za mwisho maarifa ya mwanadamu yataongezeka sanaa
Nakukubali usemi wako
Kweli ni neema au jaman eeeeemwenyez Mungu tunusuru kwa kweli
Yani hii nchii ni ya ajabu sana haya mambo hata mwenyezi mungu hayamfurahishi hata kidogo ndio mana nchi inakuwa na matukio ya ajabu ajabu sana Yana mudhi sana mwenyezi mungu naomba wote walishiriki huu upuzi Ali asisi hili jambo mwenyezi mungu utakua namna ya kumhukumu yalabi
Khaaaaa😢😢😢😢 ndio tumefikia huku kweli Ee Mungu tuteteee acha mafuriko yaje tu R.I.P MY PRESIDENT JPM nitakukumbuka kila siku ungekuwepo usingekubali hili dude lije
😂😂😂nacheka kama mazur Yan mtihan
Mungu atunusulu nahizi laanaa ushetani umeanza kuzidi hizo zote ninembo za shetwani
Allah akulinde
Hakuna mtumishi wa mungu utakae msikia wa shekhe hapo nipo hapa njaa mby sana amli za mwenyezi mungu zinavunjwa wao wameka kimya subhuuhaanalah
Mungu tusaidie tunaangamia ngoja siku awatoe meno mtakaa sawa
Nacheka sana! Nchi imekuwa ya vituko kila cku! Rip JPm!
Ukamufufue
@@maulidipingika4452mpo WENGI sana hata sikushangai wewe ukiwa mmojawàpo wanaofurahia haya màmbo yanayoendéléa na kúibuka kila síku nchiñi
SAS magufuli angefanyaj looh
Huna maana ww kwahyo huu ni ujinga angefanya magufuli ndo lingekuwa la maana?
Mjinga ww muua watu ndo unamkumbuka
Eeeee mungu naomba utusaidie😢😢😢
Mungu yupo pamoja nasi wapenzi wa Mungu
Jamani kweli Dubai imeipania Tanzania
Kabisa
Kuifilisi 😂
Sijapenda maroboti
Mungu simama mwenyewe.
Hongera Teknoloji
Pole pole maisha yakwenye film yanaanza kutokea binadamu anajifukuza mwenyewe ndio imeanza ss watazidi kuyabolesha mpk yawe na uwezo zaidi ya binadamu
Mungu ni mungu tu...
TUMEPIGWA NA KITU KIZITO HATUNA ROBOTI HAPO AYO NI MAVAZI TU😂😂😂
Kuandaa maigizo haya utaambiwa matrion ya pesa
🤣🤣🤣
Roboti alikuwepo wakati wa mwendazake og😅😅😅
😂😂amin
Hongereni sana wabunifu🎉🎉🎉🎉🎉
Akulinde allah raisi wetu
Dah! Hii sio nzuri jamani tunapotea
Mhe. Rais hongera Sana kwa hatua kubwa na maendeleo ya Hali ya juu, Mungu akulinde .
Utakapokosa ajira mpongeze tena
Astaqafullah, mwenyez mungu atulinde na vizaz vyetu hii ni hatari vinaanza hivi hivi
Mashaallah mama yetu
Kodi za waTanzania matumizi yake yamefikia hapa.Mungu tuhurumie
Ni ujinga sana watu wanakufa hospital kwa kukosa fedha ya matibabu ,kaka inaumiza kina dada amefariki last year kwa kukosa elfu 30tuu na akapoteza maisha kwa kukosa kuhudumiwa ,(amana hospital)
Mnaojipanga kusoma kwajili ya kuingia bandalini mmeona hayo tafuteni kazi nyingine kbs
Daaah anatisha ningekutana nae ningekimbia wallah
Mungu akulinde una baya mama
Robot ana kichwa cha shetani! Haya njia ya mpinga Kristo inaandaliwa!
Nafuatilia kutoka Kenya... Kazi nzuri pale 😅😅😅😅😅🎉
Inna lilahi wa innailayhi rajiuun
Noma Sana
mungu tusaidie uyuraisi anatutisha tanzania atunavita lakini tumeletewa roboti sijuilanini jaman
Haya maroboti yanafaa kulima Sana sio kuaa ofsin kuziba riziki za vijana chunguzen Hilo tutalewa na vitu vingene sio litakuja liwageuke mh me simo 🙄🙄
Viva raisi Samia SAAAFI Sana kwakweli
Hvo ndivyo wagonjwa watauliwa wth that microchip robot😂😂😂😂
R,I,P JPM tumekumic
Mmh inauma sana kwa sisi watanzania
Na wengine Bado kazi hatuna
7:38
400000
My beautiful president
Kwelii
Kazi nzuri tupunguze gharama za bando wakulima tuongeze Kasi ya kujifunza kilimo tija ili tuongeze uzalishaji Bado Mabwana shamba na Mabibi shamba ni wachache sana
Wangapi mlio ona moto kwa hio roboti to alama ya freemason??????? Kama umeona nipe like tujuane
Mungu atuponye
Hongera Dr Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano pamoja na Dr Jakaya Kikwete Rais Mstaafu.
Wazazi wako
Kwa lipi? Kwa ajili ya robotic. Ingekuwa vizuri kama hali ya maisha ingekuwa nzuri.
Acha upuuzi brooo ,
Mm nalia na mashekhe wa Tanzania kweli hii ni sawa??? Au hawaoni Hali ya kuwa wanaojua kitabu kitakatifu kimeleza Nini juu ya masanam au ndo wanaona aibu kusimamia haki na maelezo ya mwenyezi mungu ila wanakubali msimamo wa wanadam wenzao kweli mashekhe mpo mtaenda kumjibu mbele ya mungu nyie kaeni kimya tu
Kwa hio hizo hela za bandar mmnunua robot kwer hii nchi inaliwa😢
😂😂😂😂😂
👍👍👍👍💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍
Mnatumua robot ili watanzania wakose kazi Kuna very intelligent girls good in mathematics and physics wangefanya hiyo kazi! Mnatumua robot! Tanzania bado kwenye kufikiri
😮 kwakweli namimi nimejiuliza ,itakuaje??
Kwenye Airtel Kuna mkono wa serikali ndo maana huduma za internet ziko kiwiziwizi.
Kabisaa
Kabisaa
Yann yote hayo mtakuja kuleta majini na mashetani wa vichwa saba😢😢😢ni huzuni kwa kweli
Mama upo makini wewe kiongozi ikulu yako miaka 100%nimependa uongozi wako sanaa mama
Safi kabisa
Hovyo kabisa
Hapo wamesha sahau utufu wa Allah na rehema zake ila roboti na tecknologia ndio wameona zinafa zaidi ila Allah yupo watakuwa na ujasili wa kumjibu
Mama samia ni comedie wakutosha😂😂
Mm royo tua tuu 😮
hayo Maroboti ndiyo yatakuwa yanafanya kazi Bandarini baada ya DP WORLD kukabidhiwa Bandari
😂😂😂😂😂😂Mbavu zangu😂
Mh jamani hiki ni nini Ina maana sisi watu hatuna maana Hadi tuwe na robot Tena mbele ya rais wetu mungu tunusulu na hili
Haya ndio ya filauni sasa duuuuuu Tanzania tanzania
🙏🙏👍👌❤️❤️🇰🇪
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mungu wangu
Ongereni
Sijaelewa jamani likitu la nini sasa hilo,jamani makubwa sijajuwa lqbda ushqmba au makubwa
Super
Ndo mara ya kwanza kuona Roboti anajampa😂
😂
Congratulapp
Mnatuona wa Tanzania nimaboya
Wajinga sana Hawa tatizo hawajali chochote kuhusu raia
Moja ya lugha zinazonichefua ni neno duniani. Kwamba tumezoea kuyaona huko duniani Sasa yamekuja Tanzania. Kwa hiyo sisi tuko sayari Gani.
Hata mm aisee
I think we need to thanks thats improvement of technology
@@Reybizohakuna improvement yoyte apo ni ya kununua kwa watu iyo
Nice
That horrogram is amazing
Leo ndio naona robot anaumwa, nchi ngumu hii 😂😂😂
😀😀😀 , khaaa nimecheka, watu bhana khaaa.
😂😂😂😂nyie jmn
Ngoja nyaya zigusane muone litakavyocharuka na kuwapa mkong'oto
national anthem
Jitu lenyw linatisha HV af linawaka moto duh! Rip doctor john pombe magufuli ungekuwepo hy mambo yasingetokea
Tunataka starlink ya Elon musk
Mmmh hakuna robot hapo 😂 mwendo wake tu unajieleza
Waoo
Huyo nimtu kavaa manguo ya chuma cyo robot
Pia watanzania tutateseka sana kazi tutakosa kweli awafanyi aki
nchi inamambo hii,Lugha ya picha Asante sana mweshimiwa Rais
Nasisi yanga tutakuja na robot letu siku moja
Jamani mama yetu analia
😂😂😂 anaogopa adudu robot
Mbona kama vile mtu huyo, ebu jaribuni kumchapa viboko atasema tu
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hongera mama
Tutaona vituko zaidi lini utaenda kukagua miradi?? Roboti linatusaidia n8ni
Duuu mungu tusaidie wenyew wamefanya kitu Cha maana kabisa ila mungu tusaidie
Hongera sana Raisn
Mama Samia maroboti😂😂😂
❤🎉
Mnashukuriana tu ahsant msitafu ahsante mhe: rais duh aya nch ya kwenu hii huu ndio wakatiwenu
Mwisho wanadamu watajua kutengeneza moyo,tutakua hatufi ila wanadamu watapunguza kuzaa.
Mmmmh!!!! Kazi tunayo
sasa mbona linatembea kama limetoka kutairiwa😅😂
😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Hhhhhhhhh
Kifurushi Cha 5G ni Cha wenye uwezo jamani doo!
KAMA HUJUWI MAANA YA 5G BORA UNYAMAZE TU.
@@salimmalaka256itakuwa hajui maana yake 😂😂😂
Mkulupukaji
Speed ake ni zaidi ya mara ishirini ya 4G speed
Mamà samia alitaka kulia ❤❤❤