MCHINA ATETEMEKA MBELE YA DC WA ARUSHA BAADA YA KUDHULUMU MIL 26 ZA ASKOFU, "NITAKUVURUGA HAPA HAPA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
  • #Dc #ArushaDc #mkuuwawilaya #mkuuwamkoa #arusha #wikiyahaki #makonda #Rcmakonda #rcarusha #arusha #arushamjini #arachuga #arusha #chugacomedy #chugadance #makonda #paulmakonda #kizaziog #babalababa #kenyonyo #dipperrato #majanaba #markubamajanaba #waduduwarchuga #makonda #kenyonyo #kizaziog #chugacomedy #chugadance #chuga #arusha #makonda #pdiddy #fidovato #target #chidbenz #fidovato #fido #krg #krgthedon #khaligraphjones #khaligraph #kenyan #kenyanyoutuber #kenyanewsmedia #kenyanews #tanzania #tanzanianews #tanzanianews #tanzanianmusic #tanzanianyoutuber #diamondplatnumz #diamond #diamonds #alikiba #dah #alikibadah #kings #kingsmusic #kingsrecords #dharau #mapoz #inbrahtz #diamondplatnumz #harmonize #kondegang #kondeboy #wasafi #youtube #youtubeshorts #cr7 #diamondplatnumz #aka #a.k.a #coasttitch #coastal #costarica #costa #papa #papawemba #morgan #morganheritage #alikiba #diamondplatnumz #mondi #mapoz #harmonize #harmonize_tz #kondegang #konde #kondeboy #anjela #anjellatz #poshqueen #poshqueennaharmonize #poshnaharmonize #mpenzi #cr7 #niposingleharmonize #wemasepetu #wemawhozu #whozu #whozunawema #wemanawhozu #mapenziyawemanawhozu #penzi #penzizitowemanawhozu #kenyonyo #dipper #kenyonyonadipperrato #comedy #comedyvideo #comedymoments #comedyshorts #comedyvideos #comedyfilms #comedyshow #nyokaa #storyyanyokaa #storybynyokaa #movieyanyokaa #tamthilia #tamthiliayanyokaa #bugibenga #benga #arusha #arushamjini #fido #fidovato #msaniifidovato #mkaliwahiphopfidovato #vatoloco #chugaiyo #fidovatoftrayvanny #rayvannynafidovato #movie #movies #moviereview #inswahili #kwakiswahili #kiswahili #kiswahilitv #kipagocomedy #wachaga #moshi #arushamjini #vichekesho #mwakampya #chrismas #missomisondo #djmisondo #missondo #rayvanny #rayvany #rayvannymissomisondo #rayvannykitukizito #kitukizito #arusha #chugadance #chugacomedy #chugaboy #majanaba #majanabamarkuba #markuba #hanang #mafuriko #manyara #mafurikohanang #hanangmafuriko #majanabamarkubamafuriko #madawa #madawayakulevya #vichekesho #yvonnekrg #krgdoughteryvonne #kichanga #mtotomchanga #mtotoatupwakichakani #mtotomchanga #ashikwaakitupamtoto #uswahilini #uswahiliniarusha #arushamjini #kenyonyo #wadudu #chugacomedy #chugadance #waduduwachuga #machaliiyar
    #madawa #madawayakulevya #waathirika #wasanii #allydangote #paulinegekul #gekul #dangote #arusha #arushamjini #fidovato #allydangote #fidovatoallydangote #allydangotefidovato #chugaiyo #fidovatoamchanaallydangote #fidovatodangote #fidovatovsallydangote #fidovsdangote #dangotevsfidovato #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #arusha #dangote #allydangote #dangoteauawa #mwiliwadangote #arushamjini #dangotemochwari #watuwaendakumuonadangote #dangoteazikwa #dangoteafariki #sinoniarusha #ungalitediarusha #arushamjini #taharukiyatawala #auawanawananchi #millardayo #millardayoupdates #kusagatv #global #globalnews #auawa #millardayo #millardayoupdates #millardayo #inatisha #watuwafurika #wananchiwenyehasirakali #wananchi #binadamu #amwaga #amwagadamu #achomwavisu #mchomavisu #taharuki #taharukiyatanda #taharukiyafunika #mochwari #jijilazizima #arushawatuwafurikamochwari #damu #trendingshorts#Mochwary #mochwari #mrrocky #arusha2099 #arusha #fidovato #johmakini #dogojanja #fidovatonajohmakini #fidovaton #wimbowamrrockyarusha2099 #derby #vatoloco #fidovatonako2nako #fidovatonembo #fidovatochugaiyo #fidovatoarachuga #fidovatonaweusi #fidovatoweusi #weusi #johmakiniweusi #vatolocoweusi #harmonize #ngarenaro #ngarenaroarusha #arusha #wananchi #wananchiwenyehasirakali #matapeli #jambazi #majambazi #vibaka #simu #wiziwakutumiasimu #derby #magoliyayanga #magoliyayanga #magolinbc #magoliligikuu #golilayanga #mashabikisimbayanga #mashabikiyangasc #shabikiyanga #yangasc #yangafc #yangayaifungasimbagoaltano #waduduwachug #kariakooderby #derby #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoli #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #golden #cr7 #cr7fans #cr7shorts #christiano #messi #messiskills #messifans #messi10 #messifans #messi10 #comedia #comedy #comedyvideo #comedyshorts #comedyfilms #comedymoments #comédia #chugacomedy #chugadance #chugadanceofficil #vichekesho #shabiki #mashabiki
    #mashabikisimbayanga #rosaree #wadudu #waduduwachuga #makaomakuuyahiphop #rosareesong #rosareemusic #waduduwachuga #wadudu #kariakoo #derbyyasimbanayanga #simbasc #simba #simbafc #livesimba #yangasc #yangafc #yanga #yangaleo #yanganasimba #yangatv #yangalive #yangavssimba #kariakoo #baleke #derby #boko #aziziki #magoliyayanga #magoliyasimba #golilachama #golilasimba #goliya #cr7 #cr7f

ความคิดเห็น • 148

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 หลายเดือนก่อน +35

    siomchina tuu kuna mtanzania mwenzetuu pia anaitwa maganga niizaidi ya mnyamaa anaajiri mtuu saa moja anafukuza saa mbili naanasema haogopi serekali anatesa wafanyakazi vibaya mnoo nimkatili vinaya mnoo mimi nilipita kuosha gari pale nilishuhudia yule jamaa nimyamaa

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน +2

      Afungiwe biashara yake ,wakat uchunguzi uafanyika huyu mswahili

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa หลายเดือนก่อน +2

      Maganga wa maeneo ya Kwa mromboo??

    • @amanimlengwa9202
      @amanimlengwa9202 27 วันที่ผ่านมา

      Huyu Maganga tunamjua wote wa Arusha.
      Huyo ni mnyama, hana utu hata kidogo na inasemekana huwa anatabia ya kuimiliki serikali kwa pesa zake.
      Si yule aliye Mbauda kule?
      Bora huyu mchina iwapo ni huyo Maganga.

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 27 วันที่ผ่านมา +1

      ndio huyoo yani yule sio mtuu kabisa utasema anaishi dunia yakee yani akikupa ajira asubuhi huewezi fika saa tano kama serekali imuangalie kwajicho latatu na uraiya wake hakuna mtanzania nwenye roho alioko nayo yule mtuu

    • @AdorophinapKahwa
      @AdorophinapKahwa 27 วันที่ผ่านมา

      @@amanimlengwa9202 maganga tangu tukiwa wadogo ni katili tu. Nashangaa mpaka Leo amedumuje inamaana hata viongozi anakula nao

  • @Mariam99-ld4gw
    @Mariam99-ld4gw หลายเดือนก่อน +12

    Mm napenda nimsikilize makonda tu hawa wengine naona vichekesho tu😂😂😂

    • @sakayonsakihunga3496
      @sakayonsakihunga3496 หลายเดือนก่อน +1

      Kweli kabisa naona hata chalamila kaanzisha but Hana vibe

    • @robertmahenge3614
      @robertmahenge3614 หลายเดือนก่อน +3

      Makonda jembe awa wengine wababaishaji tu.

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 หลายเดือนก่อน +2

      Ni kweli ,hawana uwezo wamefosiwa tu
      makonda no jiniasi

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa ndugu ..

  • @husseinshabani3306
    @husseinshabani3306 14 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha inawaka moto kama china vile. Ukionea umekwisha. Safi sanaa.

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x หลายเดือนก่อน +6

    ingekuwa kwao haojamaa siyo, tz tujifunzeni, raia wa china wengi nimataperi sana,

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน +3

    Mchina alipe gar ya watu,lakin hao maafisa wetu mhhhh......duh!!! Sjui

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq หลายเดือนก่อน +5

    Mkuu wa wilaya umebuma kwa kukosa ufahamu wa kuendesha mashauri.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 21 วันที่ผ่านมา

      Hawezi kazi huyu anamuiga makonda ila unaona kabisa ni arrogant hana mapenzi na wananchi ila tumuache atasiadia kdgo

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz หลายเดือนก่อน +3

    Tatzo anaongea hatoi nafasi yakujieleza kama makonda anavyo fanyaga hana vebe huni makonda Bg up

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 29 วันที่ผ่านมา +1

      Sio kama makonda,hatoi nafasi KUMSIKILIZA mtu kama kiongozi yyte anavyotakiwa.

    • @florencejames-jo1cz
      @florencejames-jo1cz 28 วันที่ผ่านมา

      @@fredyjeremia7074 asa kiongozi unaongea pekeako huwapi nafasi ya kujieleza ujue changamoto zao we unatoa hukumu bila kusikiliza pandezote mbili asa ndo Nini maon kwa upande wangu lakin

  • @user-up9gz8ij1s
    @user-up9gz8ij1s 29 วันที่ผ่านมา +1

    Uko vizuri mkuu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 หลายเดือนก่อน +5

    HUWAMUZI GANI MKUU WA WILAYA FUNGULIA KESI YA WIZI HUYO AU AWALIPE WOTE AKIMALIZA DENI LUDISHA KWAO

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน +5

    Hao wachina kama kosa hilo umelifanya weye huko kwao unapotezwa ninkunyongwa tu. Naye akamatwe akanyongwe. Halafu mpelekeni Uhamiaji je ana status ya kuishi na kufanya kazi TZ kisheria? Afilisiwe na arudoshwe kwao kwani hapa TZ hakuna waTZ hawawezi kufanya?mnatoa vibali vya wageni kufungua garages. TZ njaa mwisho

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 หลายเดือนก่อน +7

    Bongo kweli tumeoza yani officer uhamiaji anajua na anakiri kua jamaa hana vibali vya kuishi lkn wanamruhusu kuishi na anafanya biashara bila tabu daaah!!!

    • @ludovickbenjamin6104
      @ludovickbenjamin6104 หลายเดือนก่อน

      Inasikitisha sanaa asee,
      Tena anajibu kwa ujasiri kabisaa hana kibali. Na wanamuangaliaa kabisaa @ssalimsalim3864

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน +1

      Ni aibu hovyo,,halaf yanaongea bila aibu ety Hana vibali.🤣🤣 Ndo wanajua Leo??

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      KASEMA PASPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE ALIKUWA AMUULIZE SABABU YA KUWA IKO POLISI NA TOKEA LINI.

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 หลายเดือนก่อน +2

    Huyo mchina serikali yake ikijua anafanya utapeli huyo mchina kazi anayo, atanyongwa.

  • @hanskitundu874
    @hanskitundu874 หลายเดือนก่อน +3

    Afisa uhamiaji unajua kabisa jombaa Hana vibali vya kuishi na kufanya KAZI nchini na anasumbua ria na gerezani haujampeleka au kumrudisha kwao

    • @justerissaya9165
      @justerissaya9165 28 วันที่ผ่านมา

      Hawez mrudisha wakat anapewa rusha

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 หลายเดือนก่อน +16

    Bila Makonda kuanzisha clinic ya kusililiza watu,haya mambo yasingekuwepo.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน +2

      Kuna shida gani mtu akianzisha jambo zuri watu wakaliendeleza

    • @raphaelnambombi3709
      @raphaelnambombi3709 หลายเดือนก่อน +2

      Na mkuu wa mkoa wa mwanza nae ameanza kufanya hivi

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน +2

      Dhuluma ni nyingi sana nchi hii. Hongera Mh. Makonda kwa kulianzisha

    • @adoniemanuel908
      @adoniemanuel908 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa ndugu unamjua yule sio binadamu wakawaida nizaidi ya shetani kunasiku nilienda kuosha gari aliwapiga wafanya kazi kama mbwaa hasamini utui wamtuu yulee

    • @emmanuelmayunga1518
      @emmanuelmayunga1518 หลายเดือนก่อน +1

      Very true

  • @BedaKunguluche
    @BedaKunguluche หลายเดือนก่อน +3

    Hii kweli ni Comedy

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u 21 วันที่ผ่านมา +1

    mkomage mkiona wachina shobo wabongo wenzenu mnatunyima kazi mkiona mchina shobo ila pole

  • @asmartonline5030
    @asmartonline5030 13 วันที่ผ่านมา

    Huyo kwa aibu hii China wananyongaga tuu.........

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +2

    Weka ndani mpuudhi

  • @ngejejemashubi4213
    @ngejejemashubi4213 27 วันที่ผ่านมา

    Yani afisa uhamiaji anasema Hana vibali vya kuishi kweli ,? Hatari sana

  • @billaljuma6297
    @billaljuma6297 20 วันที่ผ่านมา +1

    Tapeli huyo mchina

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa shat ya drafti ni mtumishi wa uma kasema,,ni kitengo gani mbona ana maelezo mengi mno!! Nenda kwa point tukwelewe.kwani we mgen na magerej!? Hyo karatas ni ya nini au ...

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน +1

    Tumeshakuelewa mkuu wa wilaya,,watafte kwa mda maalum wasikilize wote kama kiongozi.

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 หลายเดือนก่อน +3

    Shida ya Wachina ni kamari

  • @wensislauschimba2792
    @wensislauschimba2792 19 วันที่ผ่านมา

    Ila Kwa huyo amesingizia mchina

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s หลายเดือนก่อน +1

    Kama sio Mkuu wetu wa mkoa makonda mngeongea hivi .

  • @drtobias_
    @drtobias_ หลายเดือนก่อน +1

    Makonda ana radha yake kwenye jambo km hilo

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 หลายเดือนก่อน +3

    Wachina wezi tu

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS หลายเดือนก่อน +1

    DHULUMA SIO NZURI SANA. INA GHARAMA YAKE

  • @mohddelo
    @mohddelo หลายเดือนก่อน +1

    Safi

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 17 วันที่ผ่านมา

    Makonda tu ndo ataweza ishu ya mchina,

  • @lovenessfracis
    @lovenessfracis 27 วันที่ผ่านมา

    Hakuna kitu hapa angekua makonda angemnyoosha tapeli huyu

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 16 วันที่ผ่านมา

    Mnyakuu tu huyu kelele

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 18 วันที่ผ่านมา

    Kk mwenye shati la draft ana mlologo wa story sana

  • @SaidHassen-gf5tx
    @SaidHassen-gf5tx หลายเดือนก่อน +1

    Watu weupe wametudharau sana .mtuhumiwa mpka anaenda kufuatwa na gar ya DC Tena kwa kubembelezwa.huyo ni mwizi Kama wez wengine ..anatumia gereji Kama kivuli tu...huyo ni wakuondoshwa nchini na alipe ela za watu...haya mambo mtu meeusi hawez kufanya china ata sekunde moja..serikeli tuone makucha watu Kama hao .wawe na heshima na serikeli

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      KIUFUPI NI MWIZI TU

  • @MathiasFrancis-hl4ph
    @MathiasFrancis-hl4ph 21 วันที่ผ่านมา

    Sijaelewa pccb imeingiaje hapo lkn kweli 11m unatoa tu bila progress

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +2

    Duh!!mwajjna Wangu Felician DC tiya jera kwanza iyo mbuzi ya kichina ujue mtandao wake akae jera kwanza akuna dhamana kabisa yani uniongee mbele zangu eti peleka police nitatoka ihiiiiiiiiiiiiiiiii baba ihiiiiii baba pumbavu

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 19 วันที่ผ่านมา

    Wachina wengi ni wezi lakini serikali ipo kimya huku wakielewa

  • @GoodluckKimbe
    @GoodluckKimbe 22 วันที่ผ่านมา

    Tatizo laviongozi wetu sijajua wanatatizogan tukifa fanyakosa ss wabongo tunavofanyiwa kama wakimbizi lakin watuwamataifa yambali wakifanya makosa wana belezwasana daaaaaaa

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 16 วันที่ผ่านมา

    INAMAANA MCHINA KAWAFANYA MSHINDWE KUWA NA MIC HATA MBILI?

  • @AwadAbedalla
    @AwadAbedalla 15 วันที่ผ่านมา

    🇪🇸🤔👍👍👍❤❤

  • @user-jl5zh6qi2w
    @user-jl5zh6qi2w หลายเดือนก่อน

    Hii kweriiiiii comedy show

  • @NasraN-hr5uh
    @NasraN-hr5uh หลายเดือนก่อน +2

    Haka kachina kanaubavu gani wa kusumbua watanzania

  • @Gamba177
    @Gamba177 หลายเดือนก่อน +3

    Gari yako au gari la serikali acha kudanganya walipaji kodi hapo

    • @herbethlukogela7657
      @herbethlukogela7657 หลายเดือนก่อน

      Unatake vitu personal sana kaka..... Gari anekabidhiwa yeye kwahiyo yeye ndo mwenye gari

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      MBONA UELEWA MDOGO??? KASEMA PIA LIPO GARI LA SERIKALI LIMEKAA HAPO SIKU NYINGI SIO ALILOLIPELEKA.

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 หลายเดือนก่อน +2

    Sukuma ndani huyu .
    .
    China's as

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 วันที่ผ่านมา

    Mchina DADEKI 😂
    Jamaa eti siyo Mtu wa Kawaida...😅😅😅 Mchina TAPELI fukuza Huyo Bwege..Tia ndani hata Serikali ya China haitaki wizi..
    Afisa uhamiaji mbona umeniangusha Mama yangu unajua mtu kuwa hana Vibali unaongea hadharani hata Haibu huna..? Sasa unafanya Kazi gani..? Siku zote mko wapi..?

  • @fatmamansour676
    @fatmamansour676 17 วันที่ผ่านมา

    Unyanyasaji Wa tz tu nafanya

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf 24 วันที่ผ่านมา

    Msimuonee mchina mnashindwa kushugulika nawezi wamamilioni mmeanza kumsumbua mchina

  • @timothbenard8213
    @timothbenard8213 27 วันที่ผ่านมา

    Looo hana hata vibali jamani selikali hii na maafisa uhamiaji wanajuwa nani mwenye kosa hapo

  • @cleverjesus
    @cleverjesus 25 วันที่ผ่านมา

    Pilato hi!

  • @Zubaiba
    @Zubaiba 18 วันที่ผ่านมา

    Hadi chaji imeisha bado sijafaham mada ni nn

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 หลายเดือนก่อน

    Duuuh ila hii nchii yetu viongozi ni wana demka tu

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 21 วันที่ผ่านมา

    Huyu akakae sero miaka kumi na mko walau

  • @DanielFisoo
    @DanielFisoo 28 วันที่ผ่านมา

    Huyo mchina amemrushia babu yangu milion 18 mpaka sahiv bado anakaa na gari yetu

  • @sebastianthadeus5270
    @sebastianthadeus5270 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo atakimbia usimwache anatakiwa kukaa ndani tu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      ATAKIMBIYAJE NA PASSPORT IKO POLISI???

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 หลายเดือนก่อน

    Eti asurubiwe 😂😂😂😂😂

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +4

    Sasa kama ana vibari wewe Afisa uhamiaji mliluwa wap?mnatia aibu nanyie mkae ndani😂

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa9202 27 วันที่ผ่านมา

    Mchina anaonewa kiboya.
    Halafu huyu DC anajaribu kutembelea copy za Konda halafu hazijulii kabisa yaani.
    DC fala tu.
    Maelezo ya mchina yako kidogo poa ukilingalinisha na order za DC.

  • @upgo6112
    @upgo6112 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu kiongizi ni anaegemea upande Moja ... Angeenda kujihakukishia

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 หลายเดือนก่อน

      Huyu hafai kuwa hata mwenyekiti wa kijiji

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 28 วันที่ผ่านมา

    Anamuiga makonda

  • @saidmwangasama
    @saidmwangasama 27 วันที่ผ่านมา

    Wachina wote hapa tz heshima wamekosa sana na hawa wa maguluduli ni wahun tu hawatow furusa kwa watazania ili wanufake tz

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 หลายเดือนก่อน

    Eti polisi anasema anamjua huyo tapeli na Yuko mtaani wakati muuza kuku Yuko jela

  • @user-me5on9ir7b
    @user-me5on9ir7b หลายเดือนก่อน +2

    Huyu afisa wa uwamihaji ni pumbavu kabisa yaani hanajuwa mtu hanaishi bila vibali kisha hanamwachilia fukuza huyo mwanamke shenzi kabisa

    • @comsmkemwa2671
      @comsmkemwa2671 หลายเดือนก่อน +1

      Duh hicho kiswahili ulichoandika ndio changamoto sasa!!!

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah หลายเดือนก่อน

      Kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂

    • @fredyjeremia7074
      @fredyjeremia7074 หลายเดือนก่อน

      Kala russhwa bila shaka.

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 28 วันที่ผ่านมา

    Gari inatengenezwa mil26 duuuh ila ni maisha tu

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana anawatapeli amewaona.haeafu huwezi kutumia lugha ya kusema anaishi kwa makaratasi

  • @justerissaya9165
    @justerissaya9165 28 วันที่ผ่านมา

    Mtu anakwambia serkali inamtambua bado unategmea nn apo

  • @evidencekangimba1538
    @evidencekangimba1538 25 วันที่ผ่านมา

    huyu so mchina mbona anaongea kiswahili kama wabongo

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex หลายเดือนก่อน +1

    Mkuru wa wilaya unazingua,Na Wewe anakulipa Nini ??? Eti akatengeneze !!! Huyu machina anatakiwa aende jela Na afungwe ,Yuko Bila vibali alafu anaachiwaje awe huru mkuru wa wilaya acha ubabaishaji ,nahisi Na Wewe unahusika ,kisheria kabisa huyu anatakiwa awekwe kizuizini Kwa kuishi Bila vibali afungwe jela Kwa utapeli,mbona mnawafumbiya macho Hawa ni Nini mnawaogopa mbwa Hawa kule kwako wanatutesa tukiwa Na kosa dogo tu.waafrika munanikeraaaaaa.

    • @user13375
      @user13375 หลายเดือนก่อน

      Dc😮😮

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf 24 วันที่ผ่านมา

    Mtangazaji ki Swahili jitaid

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 หลายเดือนก่อน

    Ila hii nchi inajua kuigiza sana, mpaka mtu anakaa miaka yote bila vibali ni kwa sababu gani??

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd หลายเดือนก่อน

    Watu wa kusikilizwa ni wengi sasa muda woote unamsikiliza mtu mmoja tuuu.

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd หลายเดือนก่อน

    Mil 11 kutengeneza subaru?

  • @liverpoolfootballclub9985
    @liverpoolfootballclub9985 15 วันที่ผ่านมา

    Be fair give the chinese man time to explain. As a leader you have to listen both side of the story

  • @YahayaKishakwi
    @YahayaKishakwi หลายเดือนก่อน

    Iv kero zimeanza leo au uchaguzi umekaribia

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 28 วันที่ผ่านมา

    Mikoa mingine mnangoja nn kuanza. Mtu hana kibali anaishi tyu kwao hawana ujinga huo watanzania kuelimike

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 หลายเดือนก่อน

    Tatzo huwa mnababaika naa ngozi nyeupe angekuwa mweusi sku nyingi mngemkamata

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3u 29 วันที่ผ่านมา

    Sheriazauwekezaji waraia wakigenizikoje?.kama wanapewahohovyotu nakuanza kuwafanyaraia wenye nchi kamawatimwa wao ilihali niwatiwalioshindwamaishakwenye nchizao Tanzania watanzania tunakuwajehanamu kwa ajili yawaekezaji via wasionautu kamahao?

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 28 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wamekua waigizaji

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 หลายเดือนก่อน

    Na akikimbia je

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960 28 วันที่ผ่านมา

    Nyongaa ujinga huo kwao wakiwakuta hawatawaacha

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 หลายเดือนก่อน

    Mchina anakichwa kama kobe😅

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      SEMA CHAKOBE KIDOGO 😂😂😂😂😂😂

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 หลายเดือนก่อน +1

    Uchaguzi Umekariba tutaona mengi Huyu Alikua wapi mkuu?

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili7496 หลายเดือนก่อน

    Viongozi you are not serious, mtu anaishi ndani ya nchi kinyume Cha Sheria, na bado mnamchekea, ingekuwa ni huko kwao, huwezi kufanya ujinga kama huo

  • @AbdulrahimSwedi-ll9ly
    @AbdulrahimSwedi-ll9ly หลายเดือนก่อน

    mpango was kulipa ndo tunataka

  • @oam14l
    @oam14l หลายเดือนก่อน

    Mbona kama maigizo?

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi iyo muachie makonda mana ww haujui kabisa uenda ata wanamsingizia ila makonda anatuliza akili mana uenda kila kitu na izo pesa Wanachukua wengine

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 28 วันที่ผ่านมา

    Razima nyuma kunamtu hayupo pekeyake

  • @kingkinye1419
    @kingkinye1419 28 วันที่ผ่านมา

    Mh

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 20 วันที่ผ่านมา +1

    Mchina asikilizwe

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 หลายเดือนก่อน

    Ale virungu kidogo kama mhalifu mwingine

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry หลายเดือนก่อน

    Mahakama zk.ehqmiq mitaani lakini mahakimu hawa wengine hawana uweledi na hii itasababisha sintofahamu Lazima kwanza tujitathmin je kila kiongozi anauweledi wa kusimamia haki kishetia? Tusikutupuke tu. Makonda mfano mzurisa je wengine wanauweledi kama yeye? Elimu na uweledi ni vitu viwili tafauti. Hatuwezi kuharibu badala ya kutengeneza? Think twice

  • @mwatelaedward1638
    @mwatelaedward1638 หลายเดือนก่อน +1

    Wanamwonea mchina wabongo ni wajanja sana haiwezekani eti mchina ni mgeni anajua kiswahili chote inamaana ameishi miaka mingi Tanzania nawanajua ana pesa sasa wanatafuta njia za kumdhulumu. Kama kweli amekua akidhulumu watu kwa inchi ya kigeni mbona hajachukuliwa hatau siku ya kwanza.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      MCHINA HUYO MWIZI TU USIMTETEE.

  • @piusnagawantu8475
    @piusnagawantu8475 หลายเดือนก่อน

    Haya mambo yanafanyika Tanzania tu kwa sababu watanzania tunaonekana wajinga. Serikali yenyewe ndio hivyo ya kubahatisha tu kwa sababu sheria zetu zinachezewa na wageni. Nchi imekuwa jalala tu. Hana vibali lakini yuko na garage. Haibu kwa nchi nzima.

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 หลายเดือนก่อน +2

    Mpeni nafasi ya kuongea mnamuandama sana

    • @urbanmission3072
      @urbanmission3072 หลายเดือนก่อน

      Ni KWERI hawampi nafas ya kuongea huyu mkuu wa WILAYA kabila GANI?

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      KAMPA MDA ATAELEZEA VIZURI HUKO ALIPOPELEKWA MWIZI HUYO.

  • @nassorally9008
    @nassorally9008 หลายเดือนก่อน

    Mkuu wa wililaya kamandi fata sheria

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 หลายเดือนก่อน

    Kama kesi yangu

  • @omarimussa7904
    @omarimussa7904 หลายเดือนก่อน

    Safitu wabongo wanashobo sana narangi nyeupe Wacha

  • @tumainiellyimo4657
    @tumainiellyimo4657 29 วันที่ผ่านมา

    Afisa uhamiaji anamfahamu na hana vibali vyakishi Tz,hii nchi yetu watanzania tujifunze kuipenda na kuijali na si kugeukia matumbo yetu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      MPKA PP IKO POLISI KWA UTAPELI WAKE.

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu หลายเดือนก่อน

    Watanzania ni wajinga kupita kiasi hamuwezi kutapeliwa na mtu kila siku halafu mnamwacha tuu

  • @johnsimba
    @johnsimba หลายเดือนก่อน

    Mtu wa uamiaji kasema Hana kibali sasa kama Hana kibali anaishije alafu serikali ipo serikali Tena inampa mda ni vichekesho hivi china unaweza ukafanya hivi wakakuacha acha tu, aisee Hiyo kesi ilifaa Makonda aisikilize m Hina Leo asingerudi kwake angeenda kisongo gerezani

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 29 วันที่ผ่านมา +1

      PASSPORT IKO POLISI KWA UWIZI WAKE.

  • @renatus5687
    @renatus5687 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa mchina ni kama anaonewa tu