Mhe. Bashungwa Mungu akubariki sana. I am so overwhelmed indeed. Ukigusa maisha ya wahitaji basi Mungu naye hushughulika na maisha yako pia. Glory to God 🙏
Mh. Bashungwa na Mzee wa Jogoo Hongereni sana. Mnasaidia sana kutuunganisha wananchi na serikali yetu. Mh. Bashungwa Mungu azidi kukulinda, na kukuongezea hekima na busara katika utendaji wako.
Aaaah aaah! Mama adija jiandae 😂😂😂.Huyu Mzee namkubali sana muongeaji na mcheshi. Lakini wafanye mpango wamuwezeshe mzee hata basi wamjengee nyumba nzuri hata ya chumba kimoja maana anajari sana maendeleo ya wengi kuliko ya kwake mwenyewe.Mungu amjalie sana mzee na mtani wangu Waziri Bashungwa 🎉🎉🎉
Dah mzee yuko vizuri namkubali na Bashungwa Mwenyezi Mungu akubariki ubadilishe maisha ya huyu mzee hiyo dua sio ndogo imemfikia Mwenyezi Mungu haina unafiki wowote imetoka moyoni haswaaa
Haya yote tunayoyaona ni matunda j.p.m ameliacha Taifa na viongozi wenye upendo,nahuruma, bashungwa, na makonda mungu awalinde sana endeleeni nahuo moyo matunda mutayaona
MHE. BASHUNGWA nakupongeza sana kwa kumtembelea Mzee KIMBWEMBWE a.k.a. Mzee wa Jogoo wa Somanga- Kilwa huko mkoani Lindi.Hakika Mhe. Waziri BASHUNGWA nakuombea kwa MWENYEZI Mungu akubariki sana kwa kujitolea kutaka kumfanyia "JAMBO" la "UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI" baba yake "RAIS".
Tuna watu wazuri sana katika hili Taifa ila wamefungwa mikono!!! May the Living God bless you Hon. Innoocent Bashungwa. Nimebarikiwa sana kwa kuona Makazi ya Mzee wetu!!!
Masha allah nmeisklza hii video hadi namhisi huyu mzee natamn angepew nyumba nzuri tu apo apo na sio kujengew tu kw sbb utachlewa ujenzi kutokana umri wake...allah amhifadh na amjaalie umri mrefu aamn ya rabbal almn❤
Nimeipenda sana ziara ya namna hiii Mh. Waziri pongezi kwako kwa kumtembeleaa mzee huyu na kumjulia hali nyumban kwakee na kujionea mazingra anavyoishi pamoja na familia yake.., viongozi wengine igeni mfano wa namna hiii msipite barabarani na misafara yenu hiyo haitoshii watembeleeni hata wananchi majumbani mwao mwone maisha halisi
Mama Yangu Samia tambua unamajembe Yafuatayo: Jerry Silaha, Bashungwa, Biteko. Hii ni Kwa Mawaziri.Sifamu kama Kuna mawaziri wengine. Ila kama itakupendeza. Dorothy Gwajima arudi afya. Madudu ni mengi mama yangu.
Bado tunao watu wema na huruma kwa jamii makonda ali hapi jerry silaa biteko majaliwa bashungwa doròthi alikuwa anajali sana MUNGU awainue zaidi katika kulitumikia taifa lenye viongozi wenye ubinafsi
Mungu akuzidishie waziri bushungwa umefanya kitendo cha kiungwana sana na mzee mbwembwe ni mmoja wa wazee wenye busara sana mungu akuweke inshala ntafunga safari kuja kukusalimia kunako na majaaliwa sisemi lini lkn ntakjja inshala
Mheshimiwa Bashungwa ni kiongozi wa aina yake, ana unyenyekevu wa hali ya juu, hana majivuno, haweki cheo mbele. Ubinadamu uko mbele. Mungu amjalie uzima, hekima na uzima.
Si vyema ,tukawa tunafurahia uhuru wa inchi hii mbila kukumbuka mikoa na maeneo yaliyo pigania uhuru kama vita vya majimaji maeneo hayo yanahitaji kuboreshwa sana.
Mh bashungwa hongera sana,kwa kumkumbuka huyo mzee , mungu akubariki sana
Mhe. Bashungwa Mungu akubariki sana. I am so overwhelmed indeed. Ukigusa maisha ya wahitaji basi Mungu naye hushughulika na maisha yako pia. Glory to God 🙏
Bashungwa anafaa kuwa raisi baada ya mama Samia kumaliza muda wake
Na haonekani kama anaigiza yupo real ndo nachompendea hapo…..
Nitafurahi sana huyu mzee akijengewa nyumba ana moyo wa kipekee sana
Ety katamiwa mingi lete hapa😂😂😂 very humble na ndo utanzania wety haswa😂
Mh.Bashungwa Tunza hiyohekima ambayo mwenyezi Mungu kakutunuku. Ubarikiwe sana, na abarikiwe Mh.Dr.Samia Suluhu Hssan kwa kukuteua kuwa waziri.
Mh. Bashungwa na Mzee wa Jogoo Hongereni sana. Mnasaidia sana kutuunganisha wananchi na serikali yetu. Mh. Bashungwa Mungu azidi kukulinda, na kukuongezea hekima na busara katika utendaji wako.
🇹🇿Yeah!kazi nzuri mhe.waziri hongera sana tuendelee kuijenga Tanzania kila kona ipendeze.
Alhamdulilah 🙏 Kuna watu Wana roho na wamezaliwa na vizazi vya Mungu na sio vya nyoka! Hongera sana waziri kwa kujali Hali za watu wengine!
Mzeee Mwenyezi Mungu akutunze mno ,japo una cacomedy ndani nimekupenda mama Amina imba kdg hapo
😂mama Khadija jiandae
Aaaah aaah! Mama adija jiandae 😂😂😂.Huyu Mzee namkubali sana muongeaji na mcheshi. Lakini wafanye mpango wamuwezeshe mzee hata basi wamjengee nyumba nzuri hata ya chumba kimoja maana anajari sana maendeleo ya wengi kuliko ya kwake mwenyewe.Mungu amjalie sana mzee na mtani wangu Waziri Bashungwa 🎉🎉🎉
Mzee mstalabu sana ❤ muenyezi Mungu akulinde kuakila jambo
Mama Khadija jiaandaee😂😂
Mzee mchesh ady raha me nimependa sana mama adija jiandae
BABA MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINA
Dah mzee yuko vizuri namkubali na Bashungwa Mwenyezi Mungu akubariki ubadilishe maisha ya huyu mzee hiyo dua sio ndogo imemfikia Mwenyezi Mungu haina unafiki wowote imetoka moyoni haswaaa
Mungu akubaliki sana mzee kwa moyo wako na Waziri safi sana. Kweli na kuku tulimuona ❤❤❤❤👍👍👍👍🙏🙏kwa kumbuka mzee huyu.
Haya yote tunayoyaona ni matunda j.p.m ameliacha Taifa na viongozi wenye upendo,nahuruma, bashungwa, na makonda mungu awalinde sana endeleeni nahuo moyo matunda mutayaona
MHE. BASHUNGWA nakupongeza sana kwa kumtembelea Mzee KIMBWEMBWE a.k.a. Mzee wa Jogoo wa Somanga- Kilwa huko mkoani Lindi.Hakika Mhe. Waziri BASHUNGWA nakuombea kwa MWENYEZI Mungu akubariki sana kwa kujitolea kutaka kumfanyia "JAMBO" la "UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI" baba yake "RAIS".
Nimependezwa sana na uyu babu mungu amtimizie ndoto zake
I real like this minister!
Mjeengeeni nyumba nzuri sasa. Anajitoa kwa upendo wake
Ma shaa Allah Alhamdulillah mwenyezi mungu akuzidishie wepesi Ameen Mzee wangu
Ni faraja sana kukumbuka wazee hawa, hongera mh, Bashungwa ubarikiwe sana
Tuna watu wazuri sana katika hili Taifa ila wamefungwa mikono!!!
May the Living God bless you Hon. Innoocent Bashungwa.
Nimebarikiwa sana kwa kuona Makazi ya Mzee wetu!!!
Indeed
Damu ya Magufuli ina inatembea ndani ya vijana wake hawa. Asante Bashungwa.
Hongera sana, mh waziri
Jmn daah Mungu akupe raha ya milele huko ulko magufuli tunakukumbuka sana
Masha allah nmeisklza hii video hadi namhisi huyu mzee natamn angepew nyumba nzuri tu apo apo na sio kujengew tu kw sbb utachlewa ujenzi kutokana umri wake...allah amhifadh na amjaalie umri mrefu aamn ya rabbal almn❤
Watching from Kenya. Asanteni kwa kumheshimu mzee
Hongera mzee kwamoyo mzr nimefurah sana pale uliposema nilimuomba magufuli ajenge hospital ingawa mm maisha yng sio mazur ila achana nayo
Hapo tumepata funzo la Subra Kwa mze wetu. Hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.
Amen 🙏
haswa
Mungu akulaze mahali pema peponi ndugu Magufuli
Safi sana bashungwa ndio maana nakuelewa kijana wa watu.hauna bayaaaaaa mungu akupe nguvu.
Mzee huyu ana upeo mkubwa angekua kijana angekua chawa mzuri sana,Kwa kweli nimependa sana,bashungwa mwambie mama nyumba itajengwa fasta
😀😀
Nafurahi sana kuona vijana wa humri wangu wakiwakilisha vema kama huyu bashungwa Mungu ampe afya njema kwa kuwakumbuka wazee
Mzee wa jongoo yuko vizuri sanaa..eti tuishie hapa hapa tuombe dua sasa😂
Mashallah mheshimiwa bashungwa Allah akuongezee palipo pungua insha-Allah 🙏🙏
Amiin yarabily liallamina Allah takabalin duaa yarabiy
Allah awafanyie wepes ujenz wa nyimba yake uishe kwa haraka innshaa'Allah
Bashungwa nakupenda sanaa...
Mdogo Wangu uko makini mnoo Mungu akuzidishie Inshallah.
❤❤ Kweli hiyo nyumba sio nyumba.Mungu akujalie waziri.👍👍🙏🙏
Huyu mzee ni hazina ya nchi ana madini ya kutosha
Dah!!! Ninoma mzeee yuko vizuri
MashaAllah Muheshimiwa Bashungwa ALLAH akulinde kwa kila Baya Amin Amin Amin
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waziri Mungu akulinde ktk Wizara hii hudumu
Mhe Bashungwa mwana(mzee kimbwembwe) kasema siku akitangulia mbele ya haki hakikisha unaenda kumzika , kumbuka umeweka ahadi hutakiwi kuivunja. Kwa kutekeleza ahadi hio utapata baraka zake.
Hongera sna Mh Mashungwa kwa Moyo wako mzurii
Mh Bashungwa Hongera sana
Hongera sana waziri bashungwa kwa kuwakumbuka hao wazazi wetu
Mama Khadija jiandae.
Huyu mzee anaupendo sana
Bashungwa kazi nzito mwanao kakupa itunze hiyo imepigwa muhuri tayari
Mzee ana busara sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kazi nzuli wazili, fanya kitu kwa uyu mzee itakua falaja kwa watanzania😪😪😪😪
Kazi nzuri ❤❤
Hizo BARAKA ulizozichota hapo Mzee kubwa mno.
Mno
Waoo safi kuwagusa wahitaju umenena jambo la kuhusa moyo wa mzee Mungu akuwezeshe mh bashugwa
Makamanda wanatafuta miwa 😅😅😅😅😅💪
Habari hawana😅
Nimeipenda sana ziara ya namna hiii
Mh. Waziri pongezi kwako kwa kumtembeleaa mzee huyu na kumjulia hali nyumban kwakee na kujionea mazingra anavyoishi pamoja na familia yake.., viongozi wengine igeni mfano wa namna hiii msipite barabarani na misafara yenu hiyo haitoshii watembeleeni hata wananchi majumbani mwao mwone maisha halisi
Kimbwembwe naomba tu alete miwa watu wale jamani mpaka mzee kasema kuna makamanda huku😂😂😂
😢😢😢😢😢😢😢😢nimemiss magu jaman
Hongera sana wazuri!
Mama Yangu Samia tambua unamajembe Yafuatayo: Jerry Silaha, Bashungwa, Biteko. Hii ni Kwa Mawaziri.Sifamu kama Kuna mawaziri wengine. Ila kama itakupendeza. Dorothy Gwajima arudi afya. Madudu ni mengi mama yangu.
Bado tunao watu wema na huruma kwa jamii makonda ali hapi jerry silaa biteko majaliwa bashungwa doròthi alikuwa anajali sana MUNGU awainue zaidi katika kulitumikia taifa lenye viongozi wenye ubinafsi
Hata yule mpina na kabudi wako fresh. Sema kabudi hatuoni mkazo wake Madini yake anaishi nayo, lakini huyu biteko namuona kama ni raisi ajaye
Kazi Iendelee..
Mze ana roho Nzuri kweli kila anapo kutana na viongozi anaombea jami na hajiombee yeye.
Nimependa Mze wangu 😢😢
nmeangalia nmeskia furaha sana asant sana Bashungwa
Babu amechangamka🤣🤣🤣🤣🤣
Tena daraja liwe refu na kubwa. Mama Hadija jiandaae😁😁😁👍👍❤❤
Huyu mzee anaroho njema sana na anaupendo na watu wake wa karbu maana pindi alipoonana na magu angeliomba ajengewe nyumba ila aliomba hospitali
We mzee kimbwembwe umegonga palepale nilipokuwa napaona
Hebu mm sijapona kaka nifahamishe
Mzee anachangamka huyu manshallah
Mzee...kibwebwe.....uko na IMANI..... MUNGU amekukumbuka
Iwe heri kwako
Good job waziri
Nimeipenda story hii
Mungu akuzidishie waziri bushungwa umefanya kitendo cha kiungwana sana na mzee mbwembwe ni mmoja wa wazee wenye busara sana mungu akuweke inshala ntafunga safari kuja kukusalimia kunako na majaaliwa sisemi lini lkn ntakjja inshala
Maamini raisi magufuli na baba wa taifa mwalim Nyerere Bado wopo hai Bado mii
mzee anasema ulijuaje mama adija jiandae 😅😅😅
Amina. Kweli bashungwa una hekima mnoo. Na huyu mzee busara tele. Mungu atangulie kila kona. Amina.
Mungu akujaze kher inshaallah
Omukama akwebembele, kumkumbuka huyo Mzee. Mbarikiwe sanaaaa
I love you bashungwaaaa❤❤❤❤
Mheshimiwa Bashungwa ni kiongozi wa aina yake, ana unyenyekevu wa hali ya juu, hana majivuno, haweki cheo mbele. Ubinadamu uko mbele. Mungu amjalie uzima, hekima na uzima.
Bashungwa Mungu akubariki
Amina
Hongera waziri
Mama dija jiandae ❤
R. I. P Papa Magufuli
Swahiba wangu kimbwembwe usinisahau Jamaa yangu
Mungu akupe mema mengi Mh. Bashungwa.
Mungu akutunze daima milere mweshimiwa kaka angu bashungwa umetenda vizuri sana
Mzee wangu ni mcheshi mno mzee wa somanga....hongera sana
Huyu Bashungwa jamaa Mcheshi sana utadhani sio Waziri ajashtuka madaraka mungu aepushie mbali ata kama anakua uraiani anaweza kusavaival safi sana
❤❤❤nawapenda sana viongozi wetu
Inshaalah mh. Waziri huo ndio uadilifu anaoutaka alah tabaraka wataala kuwafanyia kher watu mnao watawala Alah akupe malipo mazur Dunian na akhera
Mjengeeni nyumba huyo ni historia tayari
Ni kweli
Hapo sawa
Daaah mzee wanguu🙏🙏
Si vyema ,tukawa tunafurahia uhuru wa inchi hii mbila kukumbuka mikoa na maeneo yaliyo pigania uhuru kama vita vya majimaji maeneo hayo yanahitaji kuboreshwa sana.
Ndio mjue hela mnazoiba muone hayo ndio maisha wanayoishi watanzania. Acheni wizi kuweni waadirifu.
Ameen Mungu amepokea maombi
Wazalendo wanabaki kuwa masikini na wenye dhamana wanatoa ili warudi madarakani waendelee kutawala