WAZIRI BASHUNGWA ATINGA NYUMBANI KWA MZEE ALIYEMPA MAGUFULI KUKU "ALISEMA NIKAMUOE MAMA YAKE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

ความคิดเห็น • 202

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 หลายเดือนก่อน +27

    Mh bashungwa hongera sana,kwa kumkumbuka huyo mzee , mungu akubariki sana

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 หลายเดือนก่อน +15

    Mhe. Bashungwa Mungu akubariki sana. I am so overwhelmed indeed. Ukigusa maisha ya wahitaji basi Mungu naye hushughulika na maisha yako pia. Glory to God 🙏

    • @boscokikoti
      @boscokikoti หลายเดือนก่อน

      Bashungwa anafaa kuwa raisi baada ya mama Samia kumaliza muda wake

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 หลายเดือนก่อน

      Na haonekani kama anaigiza yupo real ndo nachompendea hapo…..

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 หลายเดือนก่อน +18

    Nitafurahi sana huyu mzee akijengewa nyumba ana moyo wa kipekee sana

  • @tyivbra
    @tyivbra หลายเดือนก่อน +17

    Ety katamiwa mingi lete hapa😂😂😂 very humble na ndo utanzania wety haswa😂

  • @user-fk4st8qj2k
    @user-fk4st8qj2k หลายเดือนก่อน +12

    Mh.Bashungwa Tunza hiyohekima ambayo mwenyezi Mungu kakutunuku. Ubarikiwe sana, na abarikiwe Mh.Dr.Samia Suluhu Hssan kwa kukuteua kuwa waziri.

  • @kinasaba
    @kinasaba หลายเดือนก่อน +8

    Mh. Bashungwa na Mzee wa Jogoo Hongereni sana. Mnasaidia sana kutuunganisha wananchi na serikali yetu. Mh. Bashungwa Mungu azidi kukulinda, na kukuongezea hekima na busara katika utendaji wako.

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 หลายเดือนก่อน +7

    🇹🇿Yeah!kazi nzuri mhe.waziri hongera sana tuendelee kuijenga Tanzania kila kona ipendeze.

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 หลายเดือนก่อน +3

    Alhamdulilah 🙏 Kuna watu Wana roho na wamezaliwa na vizazi vya Mungu na sio vya nyoka! Hongera sana waziri kwa kujali Hali za watu wengine!

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 หลายเดือนก่อน +12

    Mzeee Mwenyezi Mungu akutunze mno ,japo una cacomedy ndani nimekupenda mama Amina imba kdg hapo

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 หลายเดือนก่อน +1

      😂mama Khadija jiandae

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho หลายเดือนก่อน +23

    Aaaah aaah! Mama adija jiandae 😂😂😂.Huyu Mzee namkubali sana muongeaji na mcheshi. Lakini wafanye mpango wamuwezeshe mzee hata basi wamjengee nyumba nzuri hata ya chumba kimoja maana anajari sana maendeleo ya wengi kuliko ya kwake mwenyewe.Mungu amjalie sana mzee na mtani wangu Waziri Bashungwa 🎉🎉🎉

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye2190 หลายเดือนก่อน +10

    Mzee mstalabu sana ❤ muenyezi Mungu akulinde kuakila jambo

  • @stephanojmafumbira5369
    @stephanojmafumbira5369 หลายเดือนก่อน +7

    Mama Khadija jiaandaee😂😂

  • @user-ye4qx9py6x
    @user-ye4qx9py6x หลายเดือนก่อน +6

    Mzee mchesh ady raha me nimependa sana mama adija jiandae

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 หลายเดือนก่อน +9

    BABA MAGUFULI TUTAKUKUMBUKA DAIMA MUNGU AKULAZE MAHALA PEMA PEPONI AMINA

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e หลายเดือนก่อน +2

    Dah mzee yuko vizuri namkubali na Bashungwa Mwenyezi Mungu akubariki ubadilishe maisha ya huyu mzee hiyo dua sio ndogo imemfikia Mwenyezi Mungu haina unafiki wowote imetoka moyoni haswaaa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akubaliki sana mzee kwa moyo wako na Waziri safi sana. Kweli na kuku tulimuona ❤❤❤❤👍👍👍👍🙏🙏kwa kumbuka mzee huyu.

  • @RobartShello-qj4vr
    @RobartShello-qj4vr หลายเดือนก่อน +9

    Haya yote tunayoyaona ni matunda j.p.m ameliacha Taifa na viongozi wenye upendo,nahuruma, bashungwa, na makonda mungu awalinde sana endeleeni nahuo moyo matunda mutayaona

  • @misanjolivigha2396
    @misanjolivigha2396 หลายเดือนก่อน +7

    MHE. BASHUNGWA nakupongeza sana kwa kumtembelea Mzee KIMBWEMBWE a.k.a. Mzee wa Jogoo wa Somanga- Kilwa huko mkoani Lindi.Hakika Mhe. Waziri BASHUNGWA nakuombea kwa MWENYEZI Mungu akubariki sana kwa kujitolea kutaka kumfanyia "JAMBO" la "UJENZI WA NYUMBA YA KUISHI" baba yake "RAIS".

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 หลายเดือนก่อน +5

    Nimependezwa sana na uyu babu mungu amtimizie ndoto zake

  • @rukizatv1421
    @rukizatv1421 หลายเดือนก่อน +10

    I real like this minister!

  • @salhaomar5382
    @salhaomar5382 หลายเดือนก่อน +6

    Mjeengeeni nyumba nzuri sasa. Anajitoa kwa upendo wake

  • @user-ob9nu5dp1s
    @user-ob9nu5dp1s หลายเดือนก่อน +2

    Ma shaa Allah Alhamdulillah mwenyezi mungu akuzidishie wepesi Ameen Mzee wangu

  • @francomwalutende7864
    @francomwalutende7864 หลายเดือนก่อน +4

    Ni faraja sana kukumbuka wazee hawa, hongera mh, Bashungwa ubarikiwe sana

  • @christfamilychurch-cfctanz4270
    @christfamilychurch-cfctanz4270 หลายเดือนก่อน +10

    Tuna watu wazuri sana katika hili Taifa ila wamefungwa mikono!!!
    May the Living God bless you Hon. Innoocent Bashungwa.
    Nimebarikiwa sana kwa kuona Makazi ya Mzee wetu!!!

  • @benatusmarwa8360
    @benatusmarwa8360 29 วันที่ผ่านมา +2

    Damu ya Magufuli ina inatembea ndani ya vijana wake hawa. Asante Bashungwa.

  • @user-es7jx9vx4v
    @user-es7jx9vx4v หลายเดือนก่อน +8

    Hongera sana, mh waziri

  • @saranduruma7990
    @saranduruma7990 หลายเดือนก่อน +3

    Jmn daah Mungu akupe raha ya milele huko ulko magufuli tunakukumbuka sana

  • @alfeshhassan4181
    @alfeshhassan4181 หลายเดือนก่อน +6

    Masha allah nmeisklza hii video hadi namhisi huyu mzee natamn angepew nyumba nzuri tu apo apo na sio kujengew tu kw sbb utachlewa ujenzi kutokana umri wake...allah amhifadh na amjaalie umri mrefu aamn ya rabbal almn❤

  • @bryanmuoki6250
    @bryanmuoki6250 หลายเดือนก่อน +1

    Watching from Kenya. Asanteni kwa kumheshimu mzee

  • @jumakinonono-jj4zy
    @jumakinonono-jj4zy หลายเดือนก่อน +2

    Hongera mzee kwamoyo mzr nimefurah sana pale uliposema nilimuomba magufuli ajenge hospital ingawa mm maisha yng sio mazur ila achana nayo

  • @shaban6644
    @shaban6644 หลายเดือนก่อน +11

    Hapo tumepata funzo la Subra Kwa mze wetu. Hakika Allah yupo pamoja na wenye kusubiri.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akulaze mahali pema peponi ndugu Magufuli

  • @grationkato7658
    @grationkato7658 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana bashungwa ndio maana nakuelewa kijana wa watu.hauna bayaaaaaa mungu akupe nguvu.

  • @athumanmsuya2688
    @athumanmsuya2688 หลายเดือนก่อน +9

    Mzee huyu ana upeo mkubwa angekua kijana angekua chawa mzuri sana,Kwa kweli nimependa sana,bashungwa mwambie mama nyumba itajengwa fasta

  • @frankthadeo1679
    @frankthadeo1679 หลายเดือนก่อน +3

    Nafurahi sana kuona vijana wa humri wangu wakiwakilisha vema kama huyu bashungwa Mungu ampe afya njema kwa kuwakumbuka wazee

  • @soudsoud7330
    @soudsoud7330 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee wa jongoo yuko vizuri sanaa..eti tuishie hapa hapa tuombe dua sasa😂

  • @mohamedlugongo
    @mohamedlugongo หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah mheshimiwa bashungwa Allah akuongezee palipo pungua insha-Allah 🙏🙏

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora1180 24 วันที่ผ่านมา

    Amiin yarabily liallamina Allah takabalin duaa yarabiy
    Allah awafanyie wepes ujenz wa nyimba yake uishe kwa haraka innshaa'Allah

  • @EagerBirthdayCake-zh8xb
    @EagerBirthdayCake-zh8xb หลายเดือนก่อน +1

    Bashungwa nakupenda sanaa...
    Mdogo Wangu uko makini mnoo Mungu akuzidishie Inshallah.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +7

    ❤❤ Kweli hiyo nyumba sio nyumba.Mungu akujalie waziri.👍👍🙏🙏

  • @henrymruma9260
    @henrymruma9260 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu mzee ni hazina ya nchi ana madini ya kutosha

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l หลายเดือนก่อน +4

    Dah!!! Ninoma mzeee yuko vizuri

  • @khamisshee803
    @khamisshee803 หลายเดือนก่อน +4

    MashaAllah Muheshimiwa Bashungwa ALLAH akulinde kwa kila Baya Amin Amin Amin
    AKA BACHUCHU MOMBASA 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 หลายเดือนก่อน +3

    Waziri Mungu akulinde ktk Wizara hii hudumu

  • @mahendekaramadhan2948
    @mahendekaramadhan2948 หลายเดือนก่อน +4

    Mhe Bashungwa mwana(mzee kimbwembwe) kasema siku akitangulia mbele ya haki hakikisha unaenda kumzika , kumbuka umeweka ahadi hutakiwi kuivunja. Kwa kutekeleza ahadi hio utapata baraka zake.

  • @evaristmakanza8305
    @evaristmakanza8305 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sna Mh Mashungwa kwa Moyo wako mzurii

  • @mandomediasolutions7045
    @mandomediasolutions7045 หลายเดือนก่อน +3

    Mh Bashungwa Hongera sana

  • @daudpius130
    @daudpius130 22 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana waziri bashungwa kwa kuwakumbuka hao wazazi wetu

  • @JohnSebuge
    @JohnSebuge หลายเดือนก่อน +2

    Mama Khadija jiandae.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu mzee anaupendo sana

  • @anandemungure2500
    @anandemungure2500 หลายเดือนก่อน +5

    Bashungwa kazi nzito mwanao kakupa itunze hiyo imepigwa muhuri tayari

  • @erastokweka3010
    @erastokweka3010 หลายเดือนก่อน +8

    Mzee ana busara sana

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kazi nzuli wazili, fanya kitu kwa uyu mzee itakua falaja kwa watanzania😪😪😪😪

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri ❤❤

  • @JosephatMushi-ne9hn
    @JosephatMushi-ne9hn หลายเดือนก่อน +6

    Hizo BARAKA ulizozichota hapo Mzee kubwa mno.

  • @anethkasase
    @anethkasase หลายเดือนก่อน

    Waoo safi kuwagusa wahitaju umenena jambo la kuhusa moyo wa mzee Mungu akuwezeshe mh bashugwa

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g หลายเดือนก่อน +8

    Makamanda wanatafuta miwa 😅😅😅😅😅💪

  • @SalumonEustace-cl4mk
    @SalumonEustace-cl4mk หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda sana ziara ya namna hiii
    Mh. Waziri pongezi kwako kwa kumtembeleaa mzee huyu na kumjulia hali nyumban kwakee na kujionea mazingra anavyoishi pamoja na familia yake.., viongozi wengine igeni mfano wa namna hiii msipite barabarani na misafara yenu hiyo haitoshii watembeleeni hata wananchi majumbani mwao mwone maisha halisi

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 หลายเดือนก่อน +1

    Kimbwembwe naomba tu alete miwa watu wale jamani mpaka mzee kasema kuna makamanda huku😂😂😂

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 หลายเดือนก่อน +16

    😢😢😢😢😢😢😢😢nimemiss magu jaman

  • @patrickmuvendi142
    @patrickmuvendi142 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana wazuri!

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t หลายเดือนก่อน +5

    Mama Yangu Samia tambua unamajembe Yafuatayo: Jerry Silaha, Bashungwa, Biteko. Hii ni Kwa Mawaziri.Sifamu kama Kuna mawaziri wengine. Ila kama itakupendeza. Dorothy Gwajima arudi afya. Madudu ni mengi mama yangu.

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 หลายเดือนก่อน +1

      Bado tunao watu wema na huruma kwa jamii makonda ali hapi jerry silaa biteko majaliwa bashungwa doròthi alikuwa anajali sana MUNGU awainue zaidi katika kulitumikia taifa lenye viongozi wenye ubinafsi

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 หลายเดือนก่อน +1

      Hata yule mpina na kabudi wako fresh. Sema kabudi hatuoni mkazo wake Madini yake anaishi nayo, lakini huyu biteko namuona kama ni raisi ajaye

  • @UjenziTv_
    @UjenziTv_ หลายเดือนก่อน +4

    Kazi Iendelee..

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน +7

    Mze ana roho Nzuri kweli kila anapo kutana na viongozi anaombea jami na hajiombee yeye.
    Nimependa Mze wangu 😢😢

  • @muury9723
    @muury9723 หลายเดือนก่อน +1

    nmeangalia nmeskia furaha sana asant sana Bashungwa

  • @mariamusaulo4429
    @mariamusaulo4429 หลายเดือนก่อน +6

    Babu amechangamka🤣🤣🤣🤣🤣

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +1

    Tena daraja liwe refu na kubwa. Mama Hadija jiandaae😁😁😁👍👍❤❤

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh หลายเดือนก่อน +3

    Huyu mzee anaroho njema sana na anaupendo na watu wake wa karbu maana pindi alipoonana na magu angeliomba ajengewe nyumba ila aliomba hospitali

  • @BENALDKILEO
    @BENALDKILEO หลายเดือนก่อน +8

    We mzee kimbwembwe umegonga palepale nilipokuwa napaona

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Hebu mm sijapona kaka nifahamishe

  • @mohammedibakiri5335
    @mohammedibakiri5335 หลายเดือนก่อน +4

    Mzee anachangamka huyu manshallah

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 หลายเดือนก่อน +3

    Mzee...kibwebwe.....uko na IMANI..... MUNGU amekukumbuka
    Iwe heri kwako

  • @user-ng9ps3lo4u
    @user-ng9ps3lo4u หลายเดือนก่อน +1

    Good job waziri

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 24 วันที่ผ่านมา

    Nimeipenda story hii

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie waziri bushungwa umefanya kitendo cha kiungwana sana na mzee mbwembwe ni mmoja wa wazee wenye busara sana mungu akuweke inshala ntafunga safari kuja kukusalimia kunako na majaaliwa sisemi lini lkn ntakjja inshala

  • @kispotm787
    @kispotm787 หลายเดือนก่อน +2

    Maamini raisi magufuli na baba wa taifa mwalim Nyerere Bado wopo hai Bado mii

  • @abdullahmhina2207
    @abdullahmhina2207 หลายเดือนก่อน +2

    mzee anasema ulijuaje mama adija jiandae 😅😅😅

  • @anselmimarandu2293
    @anselmimarandu2293 หลายเดือนก่อน +1

    Amina. Kweli bashungwa una hekima mnoo. Na huyu mzee busara tele. Mungu atangulie kila kona. Amina.

  • @user-ek8bh6xb2i
    @user-ek8bh6xb2i หลายเดือนก่อน

    Mungu akujaze kher inshaallah

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu4367 หลายเดือนก่อน +1

    Omukama akwebembele, kumkumbuka huyo Mzee. Mbarikiwe sanaaaa

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 หลายเดือนก่อน +5

    I love you bashungwaaaa❤❤❤❤

  • @Juliusmganga4734
    @Juliusmganga4734 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Bashungwa ni kiongozi wa aina yake, ana unyenyekevu wa hali ya juu, hana majivuno, haweki cheo mbele. Ubinadamu uko mbele. Mungu amjalie uzima, hekima na uzima.

  • @nelsabugo3613
    @nelsabugo3613 หลายเดือนก่อน

    Bashungwa Mungu akubariki

  • @ISSA-up3zq
    @ISSA-up3zq หลายเดือนก่อน +2

    Amina

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n หลายเดือนก่อน +1

    Hongera waziri

  • @eliambowe2576
    @eliambowe2576 หลายเดือนก่อน +1

    Mama dija jiandae ❤

  • @StelaJohn-nj5yf
    @StelaJohn-nj5yf หลายเดือนก่อน +2

    R. I. P Papa Magufuli

  • @geofreythomasi2710
    @geofreythomasi2710 หลายเดือนก่อน +2

    Swahiba wangu kimbwembwe usinisahau Jamaa yangu

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe mema mengi Mh. Bashungwa.

  • @user-br7sf6ey9t
    @user-br7sf6ey9t หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze daima milere mweshimiwa kaka angu bashungwa umetenda vizuri sana

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 หลายเดือนก่อน

    Mzee wangu ni mcheshi mno mzee wa somanga....hongera sana

  • @shabanidaruweshi-jw5jy
    @shabanidaruweshi-jw5jy หลายเดือนก่อน

    Huyu Bashungwa jamaa Mcheshi sana utadhani sio Waziri ajashtuka madaraka mungu aepushie mbali ata kama anakua uraiani anaweza kusavaival safi sana

  • @hadisalum8658
    @hadisalum8658 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤nawapenda sana viongozi wetu

  • @AdamMohamedi
    @AdamMohamedi หลายเดือนก่อน

    Inshaalah mh. Waziri huo ndio uadilifu anaoutaka alah tabaraka wataala kuwafanyia kher watu mnao watawala Alah akupe malipo mazur Dunian na akhera

  • @Veni584
    @Veni584 หลายเดือนก่อน +6

    Mjengeeni nyumba huyo ni historia tayari

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo sawa

  • @user-kg3cr9gg1h
    @user-kg3cr9gg1h หลายเดือนก่อน

    Daaah mzee wanguu🙏🙏

  • @user13375
    @user13375 หลายเดือนก่อน +2

    Si vyema ,tukawa tunafurahia uhuru wa inchi hii mbila kukumbuka mikoa na maeneo yaliyo pigania uhuru kama vita vya majimaji maeneo hayo yanahitaji kuboreshwa sana.

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio mjue hela mnazoiba muone hayo ndio maisha wanayoishi watanzania. Acheni wizi kuweni waadirifu.

  • @HappinessMamuya
    @HappinessMamuya หลายเดือนก่อน

    Ameen Mungu amepokea maombi

  • @mbwanarajab7238
    @mbwanarajab7238 หลายเดือนก่อน +1

    Wazalendo wanabaki kuwa masikini na wenye dhamana wanatoa ili warudi madarakani waendelee kutawala