MWANZO MWISHO:Dakika 15 Za Mlima KITONGA Kuelekea IRINGA Ni Balaa!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2020
- MWANZO MWISHO:Dakika 15 Za Mlima KITONGA Kuelekea IRINGA Ni Balaa!
ATTENTION: Hii Video Haikuchukuliwa hivi karibuni, ni video ya siku za nyuma imewekwa kwa lengo la kukuonyesha mandhari ya mlima wa Kitonga kuelekea mkoani Iringa Tanzania.
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Yaani bila ving'amuzi sasa tungeendelea kuzikwa tu madreva wetu wanaovertake kwenye kona bila kujari..Wanakuwa na pressure zawapi...ukifika salama unashukuru MUNGU
Asanteni kwa kunipotezea dakika 17 za maisha yangu
Nashangaa uo mlima sioni bonde Sion ushuzi mtupu
😜😜
Mwenzenu naogopa kwenda Iringa kwasababu ya Huu mlima
Aisee njia ni ya hatari,ni kumuomba Mungu ufike salama
Imagine kama pangelikuwa hakuna lami Gari ngapi zingeanguka..sasa nimeona gari kadhaa zimeanguka
Kwa madereva wa kibongo wasivyo na nidhamu, hii itakuwa death point.,maana wakiona to lami speed utafikiri wanakimbizwa. Dereva wa bus ana overtake kwa kona damn
Yule Dereva was Bus ana hatari sana
Kama huyo dereva was basi 09:08
Subhanaallah huyu mwenye basi la brue haina abiria yuko speed sana na barabara ni mbili kwenda na kurudi hatari sana
Aghalau serikali ingefikilia kutanua njia hii
Ndo mmeanza ile safar ya mikoani au?
Kwa Sisi wenyeji wa huko ni kilima cha kawaida sana....Si umeona Alsaed alvyopotea kama upepo?
Wana mbeya tuna weka roho mkononi tukienda mbeya tu dar
Mara yakwanza kupita ilikuwa 2004 nilienda Msalimia late uncle sikuwa na uwoga wowote
Duh Nina kumbuka nilipita hapo mwaka 2021 kwenda KWA uncle nilijihisi kutapika Ila baada ya kuona nyani nika enjoy zaidi na uwoga wangu palepale
mnazingua hiyo mbona nikutokea iringa na wala sio kwenda iringa. Hapo gari linashuka na sio kupanda
Khaaaaa hapo anaenda iringa hzo lory ndo zaenda dar
Noma sana
Mm hii noma
The first time I passed this road I was like Jesus Jesus
yan hiyo sim ilivypanguka nlidhan gar imepinduka asee 😌😌
Kama umemuona bodaboda akiwa speed Kali gonga like hapa
Barabara bado ndogo zina hitaji kutanuliwa na halama za barabarani ziongezwe sehemu za hatali kama nchi za wenzetu ina hitajika 4 way na matuta madogo dogo sana
4 way ndiyo ltakuwa babkubwa maana barabara ni nyembamba sana
Aiseee njia ni nyembamba sana
Revenue collection at 14:22
Hivi Afrika tumeshindwa kabisa kujenga reli za mikoani😢 Hizi hatari tungekua timeziepuka sana
Duhuu! Kweli ni hatari sana .....
Siku ya kwanza kuupita roho ju n presh aisee ni mkubwa mno
Mbona kitonga kwetu ukisi ziwa nyasa tungefika apo ndio Kama unamalizia kupumua,,maanaake gari inapita moja na lami hamna halafu umbali wa korongo Ni Kama unachungulia kuzimu,,,Ani kitonga ingekua kwetyu tungelala usingizi
Mmetudanganya
Wangetengeneza barabara ya kwenda na ya kurudi zikatengana kabisa
Kwan uyo dreva anamkimbiza nani
Hivi walikosa pakupitisha njia
Ni milima na mabonde makubwa!!
Yani apo ndo pazur Sana hamna sehem nyingine
Dereva wa basi jamani utadhani amebeba gunia na si binadamu
Duh ap so kitonga bhanaaaa
Sasa mbon wew unashusha akat ulsema ni kupandisha?
Mwanang #Allysaid kaitandika hiyo speed kaacha manyoya tu huku nyuma
Umeonae
Yaani Trafic wapo juu ajali ipo chini kwa nini wasigawanyige kutimiza wajibu wao mie kwa wazo langu huo mlima ufungwe Camera then Barabara zitanuliwe kisha pembeni waweke mawe makubwa (kingo za kudumu) pia swala la magari spana mkononi wawe nayo makini sanaaa
Asa mawe sindo hatari waki pindisha ndo wanakufa vizuriii
Barbara yakawaida tu hii we amino GARI lako Galina tatizo haina shida mbona
Mbona hicho kinanda Cha FUTURE YEAR 2050,2070,2100 kinachoonesha miaka ya mbele
Kaka hiyo ni Kitonga? Dah,basi sawa
Hakunaga gari ya kushinda bas mwendokasi
Hii sio kitonga kwa ni kabla hata hujafika Ruaha mbuyuni ukitokea Dar
ila barabara zetu ni nyembamba sana
Hatal cana
A see niatal
Kumbe kawaida tu.
Ni hatari ila ile barabara ya kupitia mlima magara ukitokea arusha kwenda Haydom, ni hatari zaidi. Mlima ni mkali zaidi na kona ni nyingi sana.
Nafahamu sana mlima magara, ukitoka Arusha kuja Mbulu afu kuja Haydom. Ni balaa, unaambiwa magara ina kona zaidi ya 200. Inatisha kwelikweli.
Ww mwenyewe hauko care pumbavu
Tumshukuru hakuanguka kwenye hilo korongo maana huyo na gari ndiyo vilikuwa bye bye
Kumbe ni kawaida TU hata hautishi
Allsayde inatembea kwa sekunde
Waliotengeneza hii Barabara ase nahsi kama walikua buku basi walikamirisha wakiwa jero na iv so poaaa
Pazur balaa yan kijan bichiiiii
Hivi Madereva wetu, ni sahihi kuwasha double hazards wakati chombo kinatembea? Na wa mbele na ntuma yako atafsiri nini??
Yah ni sahihi kwan unampa tahadhar wa nyuma yako
Naomba kuuliza hv inaruhusiwa kuovateki kwenye kona?
Kubahatisha na ni hatari
Hairuusiwi
General rule ni kwamba huruhusiwi kuovertake kwenye solid line...
Ila kuna exceptional kwa kila general rule.
Mfano gari inaweza kua imeharibika ikasimama na ili upite kulia kulipita ni lazima uvunje hiyo general rule. Vinginevyo inabidi ukae nyuma ya hilo gari hata wiki moja( njia yenu ifungwe ) hadi hiyo gari itengamae...
Kuna wakati pikipiki ( 2 wheels) ipo kushoto pembezoni kabisa inatembea taratibu na eneo linaruhusu kupita speed zaid ya 50! Lakini pia kuna solid line , Unaweza kuipita kwa kuingia kidogo kulia. Ila ukikutana na traffic polisi anayekomalia sheria atakupiga faini😁😁
Hairuhusiwi
Ndioo
hatar mnazijua nyie sio AL SEADY GANGILONGA WAKIWA NA NDUGU ZETU WA BODA
Huyu anatoka iringa anaenda moro
Uliandikiwa faini ?😁😁
Sasa unapandisha mlima au unashusha bro 🙄🙄
Hiyo siyo kitonga bana, hizo ni Kona za mto Ruaha kitonga gari hiziendi speed hiyo basi mpaka inaovateki Chezea kitonga nini wewe . Kitonga iko mbele hapo yani kuisha hizo kona unapanda mlima Wenyewe ukiisha mlima unaipata COMFORT MOTEL.
Unamaanisha kona za iyove
Itakua huijui kitonga wwe
I don't see anything special here ...a normal ride just like any other ride
Nyie jamani sio waungwana hata KITONGA yenyewe hamjatufikisha. What is it halafu uyarajia kugungua clip zako mbeleni. Business lost.
Hilo basi la blue lime potelea wapi??
Bas ni shida yanatembea
Watu kazini wala sio utalii
Sasa hapo ni kuelekea Iringa au kutoka Iringa?
Kutoka Iringa
Kitonga.ndo.iko.mkoa.gani
Iringa
Yaani hapo umetuonyesha barabarani tu na so maporomoko ya mlima kitonga
Kwanini unaendelea kumuachia uyu kaka ajui kabisa mimi nipo hapa kwaajili yako Ananias but kama utaendelea kumuachia uyu basi Nita unsubscribes Chanel yako
Madereva wa mabas wanatembea na kipindi