MLIMA KITONGA: MADEREVA WAPAZA SAUTI/ TUNATEKWA, KUKABWA, AJALI/ WIZI WA MAFUTA!/ HAKUNA DORIA?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 มิ.ย. 2022
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#kitonga #ajali #wizi
Mtangazaji unauliza maswali ya muhimu sana Asante sana 🙏🏼
Safi sana mdogo wangu unajua kujieleza comfidence.
Dar 24 tv yenu inakua kubwa sana. Watangaji wenu wapo sawa sana. Ongereni kwenu. Ila serekali apa inabidi pawekwe kituo cha police.
Subhannahllah poleni sana Allah azidi kuwasimamia
Ndugu ntangazaji nimejiskia DARAJA sana kutuwakilisha..mungu akubariki.kazi nzuri
Mabasi ya abiria apo ndo yanayovunja Sheria yanaovateki nimabasi yote yanayopita njia iyo yanaovateki kinoma Tena balaa yanachomoa sn
Eti hawawezi kulinda gari lenye mahindi! Kwani hilo gari mwenye nalo halipi kodi halijulikani? 🤔
Ninawazo hapo kwa kuakunautekaji naomba serikari iweke urinzi wakutosha au kama inawezekana wange weka hata Kambi ya jeshi
Good job Dar24
Kwa mawazo yangu'' barbara hiyo ya kitonga ipanuliwe zaidi ya hapo
😪watu wa maroli Kwa kweli Mungu awalinde nimefanya Sana KAZI mizani najua changamoto zenu
Jamani ni hatari sana. Hawa madereva wa mabasi wapimwe akili kwa kweli. Hiyo new force jamani Angeua watu
"Well done dar mpya mnafanya kazi nzuri"
Barabara ya Kitonga NI balaa Ishugurikiwe
Duh, kweli ndugu ule mlima wa Chiweta hatari huu wa Kitonga una afadhali, Ila safari zinafurahisha unasoma mengi Cha msingi umakini na kuzingatia malengo
Safi
Mrishaaa ambiwa na viongozi. Msimzungumzie dereva maana dereva hana umhimu kwenye inchi hiiiiii
Ni kwer broo
Asante
Huo mlima uchimbwe barabara iwe chini,bora gharama nyingi kuokoa maisha ya watu
YAKO maenea ktk barabara zetu Kuna mistari mirefu Sana ya kukataza kuovertake na njia inaonekana vizuri kwa uwazi kama mdaula na maeneo kutokea dar karibu na chalinze na kwingine sasa hayo ndio ya Hela Kwa wale wa barabarani pesa mstari, mistari kama hii iangaliwe, zipo alama haziko sawa, mf bumps lkn hamna alama, au alama ya tuta lkn hakuna, ukitokea iguguno singida kuja mizani Kuna SEHEMU alama ya mteremko mkali lkn hakuna huo mteremko. Pia huwa Kuna SEHEMU hakuna vibao vya 50 LKN wanakamta speed, Kwa smart phone
Hapo kila kona inatakiwa kisheria pawe na kiyoo kile kinachoonyesha pande zote 2, waambieni viongoz wa mitaa waviweke
Good dar24
Mimi naitwa sadiki musa. Ningeomba selikali itafte kipimo chausingi kitakacho Jua Kama dereva ana usingizi. Kiwepo kwenye vituo. Maana ajalinyingi pia usingizi na uchomvu wa madereva.
Jamani ni atari wapatiwe ulinzi
Mungu2 atusaidie maderevaaa
Kitonga unaendesha km 60 kweli?. Hiyo barabara ni ya zaidi ya miaka 60
Huyo dereva ana staili pongezi anazingatia kanuni za udereva nashauri madereva wenzake wamuige
Very true,,,, there is a lot of challenge in that mountain kitonga,,, once i came there from Kenya it was so challenged me but i learned more. Love Tz
Mkiwa mtaani mnadharau polisi
Mungu awaxaidie
Kamanda anakosea sana kusema hawajibiki kumlinda mtu mmoja mmoja. Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake, swala la ujumla halijaongelewa kwenye hiyo sheria. Huyo mtu mmoja unaye kataa kumlinda ndio huenda analipa mshahara wako. Polisi ya Tanzania inasahau wajibu wake.
Ni kweli kabisa mama
Mkiwa mitaani mnasema polisi hawatulindi
Ushauri wangu kitonga .serikali jamani panueni barabarani hapo ziwe hata four ways tu mtaona mabdiliko .
Tatzo apo balabalan ni nyembamba sana,,,ingeongezwa upana,,,,iyo ni kaz ya serikali sasa ,,,,Mungu atusaidie sana
Barabar ya kitonga ndogo san unapo toka chin gar inakuwa inanguvu inabidi yenye nguvu iende mimi nataka baraba mbili za kupanda hapo kidogo nafuuu tarfik kazi yake hapo iwe kutoa huduma za kusaidi watu waenda fast kwa ukamimlif siyo kucheki spid
Nduguyetu alitekwagahapo kafungwa galiikabebwa ikakutwadumila imetelekezwa mzigoumeshushwa
Eneo la kitonga, Sekenke na mengineyo ni lazima yaundiwe vikosi maalum vya usalama barabarani vitakavyofanya ukaguzi wa magari yatumiayo mapito hayo, mizani za kupima mizigo husika, ratiba za mapito kwa magari ya mizigo au abiria na hata mafunzo ya utalaamu wa kuendesha magai makubwa na madogo katika maeneo hayo kwa madereva wote. Kampuni zipewe jukumu la kulipia kiwango fulani kwa huduma hizo.
Ni jukumu la serikali kupanua barabara ili kuwe na wepesi wa kuendesha magari sehemu hiyo
Waweke ile bango la barabarani linaloonesha kliomita kadhaaa gari linalotoka mbele ili aweze kuovertake maana basi laa abiria kuvumilia folen ni ngumu ndo ukute kama klm 20 mbele imejaaa malory na mda wakupanda yanakuwa slow kwajili ya kilima serikali ingejiichanga na maana me naamini magar ya mizigo wanalipa ushuru mkubwa tu pia gar likipita njia iyo la mzigo anatoa 10000 mbona hela ya mabango itatosha tu
Nashauri hapo kitonga pajengwe parking kubwa mbili mwanzo wamlima na mwisho wamlima.
Askari wanakaa hapo kwajili ya kutafuta pesa,wasongeshe maisha yao lakin sio kwajili ya kumlinda raia
Kwel
Eti hawawezi kulinda 🌽 wakati ni bidhaa muhimu sana
Home sweet home
Ushauli wangu naitwa noeli kitonga iwekwe utalatibu gar ziluusiwe Kimi kumi kwenye kushuka na kupanda ajali zitapungua
Mimi niwashauri usalama barabarani wekeni utaratibu kwamfano masaa mawili mruhusu magari ya kupanda tu ili yaweze kuovateki na lisaa limoja kushuka tu mnazuia mengine huo nimfano mnaweza kufanya nusu saa kushuka na lisaa kupanda ili barabara itumike kama double rod
Bongo jau 🤔🤔🤔✍️✍️✍️⛽⛽⛽⛽
Mwakindole unaniangusha kwenye majibu"
Wewe kama mhandisi ilitakiwa ubuni kama iwe Barabara iwe ni two-way au haiwezekani.
Mimi ndo mayunga
Nliwahi kupandisha Kitonga saa 2 asubuhi nlikutana na roli za kutosha aisee bonge moja la foleni, nipo na crown athlete nikawa naangalia kona na taa za dereva wa roli kuna sehemu kona ikikata kushoto unaona upande wote wa kulia, kama kupo kweupe nlikua natoa nawapunguza kufika Ilula nikapigwa mkono, traffic wanakomaa nimeovertake Kitonga, kila nikijitetea kwamba nlikua naovertake kwa tahadhari zote wapi, ikabid niwaambie tu hiyo fain hailingani na umuhimu wa maisha yangu na nikiowabeba, andikeni cheti tu. Kuna afande mmoja akaniita chemba akasema we tembea pale kitonga kwa gari yako sio kwa kufata foleni, nimeskiliza maelezo yako upo sahihi, ila niache! Basi kibingwa nikakunjua roho nikaamsha
umeeleweka, kukaa nyuma ya roli ni hatari kuliko kuovertake
Wezi ni hao hao wanakijiji wa hapo.
Ameitaja Chiweta Malawi waoh nimewahi kufika huko ni balaa
Hapafai hapo kuovateki wafungeni wote wanaopita kimbelembele
Tipa fuso kwenye yadi
Nimemuelewa mama
Unyam san
Baadhi ya nchi zilizo endelea huezi kuendesha truck zaidi ya masaa 11,na lazma uwe na kifaa kwenye gari kinacho monitor mida huo,na endapo itazidisha muda itakua ni kosa la jinai,na ticket yake ni hela ndefu.Na njiani kuna mzani(scale)weight area lazma upite,truck ipimwe imebeba uzito kiasi gani.So huko kwetu mambo twayafanya sivyo.Kwanza car inspection hazifanyiki
🤣🤣nimefanya Sana KAZI mizani ni rushwa Tu
@@prettyh7509 Mizani ninayo ongelea ni mizani ile ambayo hata anae kupimia mzigo humuoni,ila utamuona kukiwa kuna hitilafu yoyote na ni mzani ambao upo connected straight na computer,halafu sio eneo moja pekee yaani ni kila baada ya miles/km kadhaa lazma utakuta sehem nyingine tena na ni lazma upime.Na usipo pima wewe kama dereva utapewa ticket na kampuni yako pia itapewa ticket.So ni lazma upime maana hata boss wako hatofurahia kampuni yake iwe na record mbaya.Africa mambo ya rushwa ni miongoni mwa vitu vinavyo halibut maaendeleo ya nchi coz haki haitendeki na ndiyo maana matatizo hayato kwisha
@@kdloon2030 ndo hyo hyo unayosema derava anapitia sehem ya mzani halaf tunarekodi uzito wa tani alizobeba baada ya hapo anapew risit
@@kdloon2030 uko sahihi kabisa tunaendekeza Sana rushwa
@@prettyh7509 Huku nilipo ni tofauti sana na huko,huku wasimama kwenye mzani kama mzigo wako uko poa hupewi risiti,green light itawaka then utaondoka,ikiwa bado ipo kwenye red light huruhusiwi kuondoka.Na endapo utakua umezidisha uzito truck yawekwa pembeni na huto ruhusiwa kuondoka. Na kuna kampuni nyengine zina card maalum kabisa,so hizo hua hazipiti kunako mzani.Na endapo ukajifanya muerevu na kupita tuu High way bila kupita kwenye mzani Police atakae kukamata umepita na amekuona waeza kupewa ticket kama 3,moja ya kukiuka sheria,then ya pili ya kwako dereva ambae umekubali kuendesha truck ipo overload na ya 3 ni ya kampuni
Ata iyo foleni inakua kubwa kutokana na uzaif wa Gali baazi Ili liangaliwe upya kwanba Gali zisizo kua nanguvu zikiona foleni kubwa askali wazipumzishe pembeni na zile zenye uwezo zipit
Au ijengwe barabara nyingine upande wa pili yani ng'ambo ya pili ya mlima ili magari yakupanda yawe upande mwingine na yanayoshuka upande mwingine
Najipongeza nilipita hapo kitonga na kipasso changu najipongeza kwa kweli mwanamke wa shoka!
mmh!!😁😁😁
Mtangazaji umejipanga yani unauriza maswali ambayo yanapoiti kubwa sana kifupi unakipaji sana yani nakupa ofa kuna kitimoto nusu na peps kwamangi uje ukure nitaripa mimi
Jomba wewe ni dini gani huna imani
Biblia inasema uzima na umauti upo kinywani mwako.
Unaaza kukiri kuwa sijapatwa majanga labda wiki2 zijazo.
Hapo tiyari umeshakubali
Shetani nae yupokazini. Kasome ayubu 1-6 utaelewa
Uchongwe upunguzwe kona kwani serekali ndio inashindwa na hilo?
Hilokweli dogo inabidi barabara itanuliwe namtandao uwe unashika hapo haishiki
ila watu wa mabasi tuhurumieni mwe
Kona 72!!!! Duuh haya mwenyeji wetu asante kwa taarifa
🤣🤣🤣🤣🤣
WAACHE KUSAFIRI USIKU LA SIVYO WATAPATA SHIDA. iLE SHERIA YA KUTOSAFIRI USIKU WAO HAIWAHUSU?
Zijengwe kambi ndogo za jeshi maneno hayo
Supported
Hadi 2025 mtasikilizwa asaiv yuko bize
wee acha tu ndugu yangu
Anaranda tuu raisi wetu. 😂
Yupo bize ana uza senema yake alio cheza
Police 🚔 wasianfalie madawa waje porini
Kwa nini serikali isiweke cctv camera maeneo yote nyeti?
zaibiwa zote
Hapo hata wakiweka cctv ni bure cha msingi serikali ilichukulie serious suala hili iweke ulinzi wa kutosha na barabara ipanuliwe ndio suluhisho pekee na hizo changamoto zitapungua hatimae kuisha kabisa
Wizi mlima Kitonga ni NADRA.USIKU malori yanaenda wapi
Na walisha katazwa kupita usiku mahali hapo ila ving'ang'a🤔🤔🤔🤔
Madereva wanafaa wale mirungi
Uko sawa baba
Serikali itenge bajeti kwa ajili ya kutanua barabara na ukuta upande wa poromoko au shimo la zaid ya mita 2.
Uwiii
Ukifika kitonga masikio pia yanaziba
😂😂😂we kama mimi
Kamanda anakosea sana kusema hawajibiki kumlinda mtu mmoja mmoja. Kazi ya polisi ni kulinda raia na mali zake, swala la ujumla halijaongelewa kwenye hiyo sheria. Huyo mtu mmoja unaye kataa kumlinda ndio huenda analipa mshahara wako. Polisi ya Tanzania inasahau wajibu wake.