WANAUME WALIKUA HAWANITAKI KWASABABU YA UFUPI WANGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
  • Tuppy ametueleza safari ya maisha yake ya kimahusiano na kutumia online dating
    Changamoto alizopitia ambazo kwasasa anazisimulia huku anacheka.
    Thank you Tuppy, you are Amazing 🥰
    www.oda.international

ความคิดเห็น • 199

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 หลายเดือนก่อน +5

    SHENA UWE UNATULETEA WADADA KAMA HAWA ,MAANA UNAENJOY NA ANAFURAHISHA NA NIMZURI MIE NIMEMPENDA SHE So NATURAL , and REALLY NA SHEMU WETU ALOMPATA AMEPATA MKE MWEMA , HONGERA DADA TUPPY ,
    SEMA WAINGEREZA WANAONEKANA KICHOMIII

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 9 หลายเดือนก่อน +5

    Nimekupenda bure your so real

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 10 หลายเดือนก่อน +3

    Relly dada TUPPY NIMEPENDA STORY YAKO DADA ,YOU ARE SO UNIQUE, BARIKIWA DADA , WALA SI DHAMBI KUOLEWA NA UNAYEMTAKA UZALENDO NI MOYONI NA SI DHAMBI KUKAA NA TAIFA LOLOTE UKIONA MTU ANAKUPINGA KWENDA NJE YA NCHI YAKO KUTAFUTA MWENZA ,MASIHA , BIASHARA NK JUA HUYO HAPENDI HUFANIKIWE ,ANAKUHOFIA , NA HAPENDI UFANIKIWE

  • @jn19882
    @jn19882 10 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu Tuppy msichana mrembo roho safi... Nmempenda sana. Vichekesho kibao. Nakutakia maisha mazuri wewe na familia yako mrembo.... Mob love from Kenya 🇰🇪

  • @xhdhdhhdnxhx913
    @xhdhdhhdnxhx913 10 หลายเดือนก่อน +5

    Tappy uko na talent unaezakuwa comedian maarufu duniani love u mommy from kenya

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kipindi kizuri Goodjob,jaman tuppy mzuri sna ananatural Beauty Nzuri sna

  • @neemanyove9130
    @neemanyove9130 9 หลายเดือนก่อน +4

    Dada amejua kunivunja mbavu jmn,,, she's so funny 😂😂😂 tunazidi kujifunza asante da Shena

  • @estersaul8180
    @estersaul8180 6 หลายเดือนก่อน +4

    Love you Tuppy

  • @hijalijuba3742
    @hijalijuba3742 หลายเดือนก่อน

    Nimempenda sana dada Tupi, Ningependa tufanye biashara ya italii. Ameshapata mzungu sasa atafute pesa, walete Wajerumani hiku nyumbani.

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 6 หลายเดือนก่อน +3

    Dada mchangamfu sana pongezi kwako

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani sijawahi kucheka hivi maisha yangu yote huyu dada is so real amejua kunichekesha leo

  • @Nguvuzauniverse.
    @Nguvuzauniverse. 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona tuppy n mrembo Sana jamani❤

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 10 หลายเดือนก่อน +3

    Nawapenda ❤️😘😘

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 10 หลายเดือนก่อน +5

    Umependeza Sana da tuppy

  • @ishramajuto105
    @ishramajuto105 5 หลายเดือนก่อน

    one among the best interview❤❤❤

  • @annwangai5814
    @annwangai5814 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejua mengi hapa nashukuru sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona ana sura nzuri
    Huyo kaka alikuwa mshenzi

  • @teresiamathias8636
    @teresiamathias8636 10 หลายเดือนก่อน +6

    Kwakweli kanipa moyo kumbe na mm nitapata tuu asante mdogowangu Tupi

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 10 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu dada Mungu ambariki ukimsikiliza unajifunza mambo mengi na yuko muwaz sana dahh ila haya maisha watu tunapitia mengi kikubwa hakuna kukata tamaa

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 10 หลายเดือนก่อน +1

    Umenifurahisha sana

  • @ElizabethPeterChiwalo
    @ElizabethPeterChiwalo 10 หลายเดือนก่อน +8

    Mimi tangu 2017,bado natafuta sijakata tamaa

    • @twaibasalim-lq2kk
      @twaibasalim-lq2kk 6 หลายเดือนก่อน +1

      tuelekezeni t unafanyajee kuingia huko

    • @angelinamwenda4133
      @angelinamwenda4133 2 หลายเดือนก่อน

      Mimi mwenyewe natafuta sijapata

  • @sarahgustaph2710
    @sarahgustaph2710 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mtu kama kakuchoka atakutaftia sababu hakuna Cha ufupi..Yote maisha riziki n popote...❤❤Mungu mwema...Leo wako paleee Wana watch...hii..interview..aibu kwao😅😅😅WAUKWELI WAPO....inauma sana jamani...Mapito Yana mwisho amabo ni furaha tuu❤❤🙏🇹🇿Nakupenda Tupphy.

  • @nahaisha7631
    @nahaisha7631 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli kbsa wazungu hawanaga shukran

  • @verachikulupi8063
    @verachikulupi8063 4 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana huyu dada❤❤❤

  • @singalongwithirene6134
    @singalongwithirene6134 10 หลายเดือนก่อน +2

    My dear Prisca great to see you again here ...❤

    • @peaceisrael8158
      @peaceisrael8158 9 หลายเดือนก่อน

      Prisca yupi tena

    • @singalongwithirene6134
      @singalongwithirene6134 9 หลายเดือนก่อน

      @@peaceisrael8158 huyo Tuppy jina lake halisi ni Prisca

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 10 หลายเดือนก่อน +12

    Mapito yakizidi, ushangai likija jingine yaani (hakuna jipya) Mungu ni mwema

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wow wow Da Tupi amerudi Tena mashaallah hope ntaenyoj hii interview ngoja niangalie🥰

  • @Thyme938
    @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน +3

    Lkn tuppy mbona we ni mzur na ni mrembo, Kwa Nini walikua wanakuambia ivyo! Lkn wanadamu

  • @BerthaKihanga-qd5hy
    @BerthaKihanga-qd5hy 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu awabariki sana,Good work.

  • @rayfissoo6477
    @rayfissoo6477 10 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Mungu ambariki

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 10 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wenye mapito tuko wegi nyinyi acheni , but bado sijakata tamaa stii believe God l hope siku atanikumbuka,shena nije nikupe, love this girl she so really ❤

  • @EmiliaYona-g9e
    @EmiliaYona-g9e 3 หลายเดือนก่อน

    l love da tupy ❤❤❤

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 10 หลายเดือนก่อน +2

    Usikate tamaa

  • @ajabburundi6043
    @ajabburundi6043 3 หลายเดือนก่อน

    Tuppy Sorry zako nzuri

  • @joelirunde2823
    @joelirunde2823 6 หลายเดือนก่อน +2

    Umenikumbusha kunguni
    Nililala hotel moja Zanzibar nilikesha!!
    Kunguni hadi kwenye net.

  • @zainabufeka87
    @zainabufeka87 6 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani leo zamu ya tup nilikuwa na wish😅😅kukuona ukihojiwa😊

  • @WinfridaJuma-vm2wp
    @WinfridaJuma-vm2wp 9 หลายเดือนก่อน +1

    Da shena ana tabasam zur jamani🥰 mie kila akicheka tu macho kwaKe😊

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 10 หลายเดือนก่อน +5

    Yani Tuppy anachekesha jamn eti ukitafuta mzungu unakua kama tour guide kula kitu wewe😂😂😂 nimecheka sanaaa huboi mamii kukuskiliza

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 10 หลายเดือนก่อน +1

    Haya tunakusubiria dada mpk mwakani inshaaAllaah tutajiunga darasa

  • @ShemsaKiobya
    @ShemsaKiobya 5 หลายเดือนก่อน

    Ana vichekesho. Sana

  • @christinarussambi2161
    @christinarussambi2161 4 หลายเดือนก่อน

    Online zote huwa lazima ulipie? Kama zipo ambazo hazilipiwi naomba unisaidie unitajie

  • @adrianochieno6131
    @adrianochieno6131 5 หลายเดือนก่อน

    Dada this is the best lady you have ever enteviewed😂😂😂!!! She is so honest to the core and quite cynical😂!! Please give me her contact🇰🇪

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 6 หลายเดือนก่อน +2

    Yan huyu dada me nampenda sana ni mcheshi sana😂😂😂😂😂😂

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 9 หลายเดือนก่อน

    She is so real

  • @hawababy120
    @hawababy120 10 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂😂tuppy nacheka san duuh uko mcheshi aiii😂😂

  • @floraemeeelias7840
    @floraemeeelias7840 10 หลายเดือนก่อน

    Dada kujiunga na darasa lako Ni shingapi? Na unalipia Kwa njia gani?

  • @leonardmary83
    @leonardmary83 10 หลายเดือนก่อน

    Mmependeza ,tupi kabadilika

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 10 หลายเดือนก่อน +1

    Leo mimecheka mbavu zangu😂❤ nimejikuta nampenda sana tuppy

  • @LucyJoseph-pb4um
    @LucyJoseph-pb4um 9 หลายเดือนก่อน

    Tupiy nimekupenda Bure

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 10 หลายเดือนก่อน +3

    Da shena sio pete ina legea ni ngozi ina sinyaa kidogo ili usipitishe joto nje na lipaki ndani ya mwili ili kuweka joto ndani ya mwili .na kipindi cha joto ngozi ina tanuka ili usipate joto la kupitiliza ndio una kuta pete ina bana sana.

  • @gewatv
    @gewatv 8 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂Huyu dada nampenda bureee, I mean the interviewee. Yani ukiwa naye huchoki kumsikiliza, maana kama mchekeshaji vile, 😂yani ukikaa naye utacheka kutwa kucha

  • @Thyme938
    @Thyme938 10 หลายเดือนก่อน

    Isee, kweli maisha yanatafutwa

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ila tuppy😂😂😂
    ana vituko
    Asante kwa kukutia moyo

  • @modelroseoscarphilip6482
    @modelroseoscarphilip6482 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤ i love her 😀😀

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 10 หลายเดือนก่อน +2

    Nampendaga huyu dada ni fun sana rafiki yangu tiktok huwa nachekaga mno 😂😂😂😂

    • @marthamlove1342
      @marthamlove1342 10 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi nampenda hivi anatumia jina gani tiktok?

  • @florencegamaya9277
    @florencegamaya9277 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tuppy napenda tuwe na mawasiliano na mimi niko Germany pia

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nilienda ukweni Nyeri (Kenya), mama mkwe akasema ‘eh, huyu ni mrefu!’

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hata sijaanza kusikiliza nishaumia jamani..,ati mfupi atazaa na upatesheni nayo kosa? Unampenda mtu kumbe anakuita sura mbaya? Namshukuru Mungu sikudeti na hao watu, tena sisi wa kike wenye sura za baba zetu, ningepitia.

  • @madame-w5b
    @madame-w5b 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera dada umenifanikiwa lkni😂😂😂😂tumejifunza

  • @debralawa7842
    @debralawa7842 10 หลายเดือนก่อน

    😅😅😅 aluta continua umenipa ujasiri naendelea kutafuta siachi asante da tupy

  • @nashalyjoseph1755
    @nashalyjoseph1755 7 หลายเดือนก่อน

    Ila Tuppy mnyakyusa mwenzangu😂sishangai wanyakyusa tukogo real hatunaga kupinda pinda halafu tunajikubarigi balaaa

  • @mourineben3026
    @mourineben3026 10 หลายเดือนก่อน

    😆😆Jamn mie hoi enewey good story

  • @Ashreystar8465
    @Ashreystar8465 10 หลายเดือนก่อน +1

    mm napata taab sana nahangaika kutafta bali nashindwa hapa pakulipia,

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kidali kishachukuliwa na kunguru kitambo sanaaaaa😂😂😂 eti Tuppy anatafuta kidali cha mzungu kiko wapi😂😂😂😂

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv 10 หลายเดือนก่อน

    Mhh kiasi chake

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimegundua uwe unakubaliana na ukwer usifos sana mambo na using'ang'anie vitu wakati mwengine ujifunze kuwa muelewa

  • @SubiraMhina-w7l
    @SubiraMhina-w7l 9 หลายเดือนก่อน

    Nifundishe namna ya kupta mzungu na mimi jmn😊😊

  • @ElionaraBandola
    @ElionaraBandola 6 หลายเดือนก่อน

    Umenifurahisha sana Tumpilike😅😅😅

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 10 หลายเดือนก่อน +1

    Shena mimi nataka umfundishe mwanangu private, nikiasi gani? Mimi niko USA.

  • @Adam.k202
    @Adam.k202 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimempenda dada huyu.

  • @AbigaelAroni
    @AbigaelAroni 2 หลายเดือนก่อน

    Naomb connection ya kaz wapendw

  • @JazilaSiraja-st8cu
    @JazilaSiraja-st8cu 3 หลายเดือนก่อน

    Mm mbona mfup lakn nmezaa kawaida tu

  • @olivianiwagila3109
    @olivianiwagila3109 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi napenda tu Tuppy,jinsi anavyojua kujipoza na kuchukua commission zake...😂

  • @ramsrafiki1212
    @ramsrafiki1212 2 หลายเดือนก่อน

    You are so funny girl I like your funny

  • @victorianambololo5718
    @victorianambololo5718 10 หลายเดือนก่อน

    Yaani mm kila siku nachelewa live zako Shena,huwa unakuaga live siku gani? Kingine, dating chat nazokutana nazo ni za kulipia,labda basi nilipie ya mwezi mmoja,je ukiisha wataendelea kunikata hela zaidi?

  • @MathayoLoboi-uw2uj
    @MathayoLoboi-uw2uj 7 หลายเดือนก่อน

    Je mwisho wake?

  • @gracekessy9150
    @gracekessy9150 10 หลายเดือนก่อน

    Aww ❤tuppy wetu ana story tiktok ndio usiseme

  • @rahyanadam8328
    @rahyanadam8328 3 หลายเดือนก่อน

    Nice interview 😂😂

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona naona wewe siyo mfupi na sura yako siyo mbaya.

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hata mzungu wangu hatak nivae mawigi

  • @LucyNyagabona
    @LucyNyagabona 5 หลายเดือนก่อน

    Tunaomba utuwekee whatsap no zako plz maana tunalipia ila atuelewi nivena ungeweka no zako kwajili ya kutusaidia sisi tusio elewa

  • @gra8098
    @gra8098 3 หลายเดือนก่อน

    "Tumechelewa... wake za wazingu"...

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimempenda sana Tuppy❤❤

  • @Tausishaban-he5io
    @Tausishaban-he5io 9 หลายเดือนก่อน

    Yaaaan kwakwl hiii channel inanitia moyo sana na inanifany nizid kuwa mvumilivuu nakupnd da shn

  • @IreneMwanaa-zo2wz
    @IreneMwanaa-zo2wz 10 หลายเดือนก่อน

    Daaa! Tupy hatari

  • @atislady3400
    @atislady3400 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba installed ta tuppy 😅😅😅😅niwe nacheka zangu

  • @nishamwenendi-vh4wk
    @nishamwenendi-vh4wk 10 หลายเดือนก่อน

    Leo tumeingilia humu😂😂😂😂ila nime enjoy

  • @immaculatakadyanji5927
    @immaculatakadyanji5927 9 หลายเดือนก่อน

    Hizi story zinaondoa stress, uwiii😂😅😂

  • @florencegamaya9277
    @florencegamaya9277 5 หลายเดือนก่อน

    Puppy yuko wapi natamani niwe na mawasiliano nae jamani

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 10 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua kuna kitu najifunza,if u born for something to be ndani yako akikatulia mpaka kitokee lkn yule ambaye ajazaliwa kwacho ataelewa maana hakitamsumbua maana hajazaliwa kwacho

    • @kakamkuu5383
      @kakamkuu5383 8 หลายเดือนก่อน

      Da Shena unaupiga mwingi unawaleta watu mbali mbali wanafurahisha na kufundisha kwakweli

  • @Ashreystar8465
    @Ashreystar8465 10 หลายเดือนก่อน

    da shena uki.aliza nisaidie majib yangu nafanyaje ili kuweza kuongea na patners kwa uhuru.

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 10 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna kuchoka mpaka ndoto yako itimie ukisusa wenzako wanakula, yaani hata ukikutana na tukio potezea aluta Continue 😂 mbele kwa mbele

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 10 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂Manager masoko, wateja tumetaradadi hapa😂😂

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 10 หลายเดือนก่อน

    Wanaume nao mxiuuu

  • @AsiaMwaipopo-h7b
    @AsiaMwaipopo-h7b 3 หลายเดือนก่อน

    Tuppy

  • @immaculatakadyanji5927
    @immaculatakadyanji5927 9 หลายเดือนก่อน

    Insta anatumia jina gani?😂😅😂

  • @RehemaBernson
    @RehemaBernson 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi nipo kwenye tinder lakini wame ni like baasi ya watu lakin nikifungua haifunguki ata sms siwezi soma nifanyaje

  • @Sumaiya-h7m1p
    @Sumaiya-h7m1p 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada anavibe yaan😅😅😅😅

  • @otatchabeartrice5569
    @otatchabeartrice5569 10 หลายเดือนก่อน

    Unanichekesha sana wanje 😂😂😂😂😂mpaka nalia sana

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu sie kiziwi amekupa size yako