WANAUME WALIKUA HAWANITAKI KWASABABU YA UFUPI WANGU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 ก.พ. 2025
- Tuppy ametueleza safari ya maisha yake ya kimahusiano na kutumia online dating
Changamoto alizopitia ambazo kwasasa anazisimulia huku anacheka.
Thank you Tuppy, you are Amazing 🥰
www.oda.international
SHENA UWE UNATULETEA WADADA KAMA HAWA ,MAANA UNAENJOY NA ANAFURAHISHA NA NIMZURI MIE NIMEMPENDA SHE So NATURAL , and REALLY NA SHEMU WETU ALOMPATA AMEPATA MKE MWEMA , HONGERA DADA TUPPY ,
SEMA WAINGEREZA WANAONEKANA KICHOMIII
Hahaha hatarii
Huyu Tuppy msichana mrembo roho safi... Nmempenda sana. Vichekesho kibao. Nakutakia maisha mazuri wewe na familia yako mrembo.... Mob love from Kenya 🇰🇪
Tappy uko na talent unaezakuwa comedian maarufu duniani love u mommy from kenya
Relly dada TUPPY NIMEPENDA STORY YAKO DADA ,YOU ARE SO UNIQUE, BARIKIWA DADA , WALA SI DHAMBI KUOLEWA NA UNAYEMTAKA UZALENDO NI MOYONI NA SI DHAMBI KUKAA NA TAIFA LOLOTE UKIONA MTU ANAKUPINGA KWENDA NJE YA NCHI YAKO KUTAFUTA MWENZA ,MASIHA , BIASHARA NK JUA HUYO HAPENDI HUFANIKIWE ,ANAKUHOFIA , NA HAPENDI UFANIKIWE
Dada amejua kunivunja mbavu jmn,,, she's so funny 😂😂😂 tunazidi kujifunza asante da Shena
Nimekupenda bure your so real
Jamani sijawahi kucheka hivi maisha yangu yote huyu dada is so real amejua kunichekesha leo
Kipindi kizuri Goodjob,jaman tuppy mzuri sna ananatural Beauty Nzuri sna
Nimempenda sana dada Tupi, Ningependa tufanye biashara ya italii. Ameshapata mzungu sasa atafute pesa, walete Wajerumani hiku nyumbani.
My dear Prisca great to see you again here ...❤
Prisca yupi tena
@@peaceisrael8158 huyo Tuppy jina lake halisi ni Prisca
Mtu kama kakuchoka atakutaftia sababu hakuna Cha ufupi..Yote maisha riziki n popote...❤❤Mungu mwema...Leo wako paleee Wana watch...hii..interview..aibu kwao😅😅😅WAUKWELI WAPO....inauma sana jamani...Mapito Yana mwisho amabo ni furaha tuu❤❤🙏🇹🇿Nakupenda Tupphy.
Love you Tuppy
Kwakweli kanipa moyo kumbe na mm nitapata tuu asante mdogowangu Tupi
Watu wenye mapito tuko wegi nyinyi acheni , but bado sijakata tamaa stii believe God l hope siku atanikumbuka,shena nije nikupe, love this girl she so really ❤
Uyu dada Mungu ambariki ukimsikiliza unajifunza mambo mengi na yuko muwaz sana dahh ila haya maisha watu tunapitia mengi kikubwa hakuna kukata tamaa
Wow wow Da Tupi amerudi Tena mashaallah hope ntaenyoj hii interview ngoja niangalie🥰
Mapito yakizidi, ushangai likija jingine yaani (hakuna jipya) Mungu ni mwema
Dada this is the best lady you have ever enteviewed😂😂😂!!! She is so honest to the core and quite cynical😂!! Please give me her contact🇰🇪
Mbona tuppy n mrembo Sana jamani❤
Mbona ana sura nzuri
Huyo kaka alikuwa mshenzi
Mimi tangu 2017,bado natafuta sijakata tamaa
tuelekezeni t unafanyajee kuingia huko
Mimi mwenyewe natafuta sijapata
Dada mchangamfu sana pongezi kwako
Da shena ana tabasam zur jamani🥰 mie kila akicheka tu macho kwaKe😊
Umependeza Tupi
Jamani leo zamu ya tup nilikuwa na wish😅😅kukuona ukihojiwa😊
Nampendaga huyu dada ni fun sana rafiki yangu tiktok huwa nachekaga mno 😂😂😂😂
Hata mimi nampenda hivi anatumia jina gani tiktok?
Yani Tuppy anachekesha jamn eti ukitafuta mzungu unakua kama tour guide kula kitu wewe😂😂😂 nimecheka sanaaa huboi mamii kukuskiliza
Lkn tuppy mbona we ni mzur na ni mrembo, Kwa Nini walikua wanakuambia ivyo! Lkn wanadamu
Haya tunakusubiria dada mpk mwakani inshaaAllaah tutajiunga darasa
Nimejua mengi hapa nashukuru sana
one among the best interview❤❤❤
Umenikumbusha kunguni
Nililala hotel moja Zanzibar nilikesha!!
Kunguni hadi kwenye net.
Yan huyu dada me nampenda sana ni mcheshi sana😂😂😂😂😂😂
Nawapenda ❤️😘😘
😂😂Huyu dada nampenda bureee, I mean the interviewee. Yani ukiwa naye huchoki kumsikiliza, maana kama mchekeshaji vile, 😂yani ukikaa naye utacheka kutwa kucha
Nimependa sana huyu dada❤❤❤
Ni kweli kbsa wazungu hawanaga shukran
😂😂😂😂😂😂tuppy nacheka san duuh uko mcheshi aiii😂😂
Leo mimecheka mbavu zangu😂❤ nimejikuta nampenda sana tuppy
Ukiona interview yake ya kwanza ndo utacheka sn
Ila Tuppy mnyakyusa mwenzangu😂sishangai wanyakyusa tukogo real hatunaga kupinda pinda halafu tunajikubarigi balaaa
Nilienda ukweni Nyeri (Kenya), mama mkwe akasema ‘eh, huyu ni mrefu!’
Umependeza Sana da tuppy
Da shena sio pete ina legea ni ngozi ina sinyaa kidogo ili usipitishe joto nje na lipaki ndani ya mwili ili kuweka joto ndani ya mwili .na kipindi cha joto ngozi ina tanuka ili usipate joto la kupitiliza ndio una kuta pete ina bana sana.
😅😅😅 aluta continua umenipa ujasiri naendelea kutafuta siachi asante da tupy
Umenifurahisha sana
Ila tuppy😂😂😂
ana vituko
Asante kwa kukutia moyo
Huyu Mungu ambariki
Kidali kishachukuliwa na kunguru kitambo sanaaaaa😂😂😂 eti Tuppy anatafuta kidali cha mzungu kiko wapi😂😂😂😂
Kidali ndio jamani?
She is so real
Nifundishe namna ya kupta mzungu na mimi jmn😊😊
l love da tupy ❤❤❤
Hongera dada umenifanikiwa lkni😂😂😂😂tumejifunza
Hata sijaanza kusikiliza nishaumia jamani..,ati mfupi atazaa na upatesheni nayo kosa? Unampenda mtu kumbe anakuita sura mbaya? Namshukuru Mungu sikudeti na hao watu, tena sisi wa kike wenye sura za baba zetu, ningepitia.
Usikate tamaa
Aww ❤tuppy wetu ana story tiktok ndio usiseme
Tiktok anatumia jina gani
Tuppy Sorry zako nzuri
Mimi napenda tu Tuppy,jinsi anavyojua kujipoza na kuchukua commission zake...😂
Tuppy napenda tuwe na mawasiliano na mimi niko Germany pia
Hakuna kuchoka mpaka ndoto yako itimie ukisusa wenzako wanakula, yaani hata ukikutana na tukio potezea aluta Continue 😂 mbele kwa mbele
😂😂😂😂 hatarii sana
Isee, kweli maisha yanatafutwa
Tupiy nimekupenda Bure
Mmependeza ,tupi kabadilika
Nimegundua uwe unakubaliana na ukwer usifos sana mambo na using'ang'anie vitu wakati mwengine ujifunze kuwa muelewa
Umenifurahisha sana Tumpilike😅😅😅
❤❤❤❤❤ i love her 😀😀
Unajua kuna kitu najifunza,if u born for something to be ndani yako akikatulia mpaka kitokee lkn yule ambaye ajazaliwa kwacho ataelewa maana hakitamsumbua maana hajazaliwa kwacho
Da Shena unaupiga mwingi unawaleta watu mbali mbali wanafurahisha na kufundisha kwakweli
mm napata taab sana nahangaika kutafta bali nashindwa hapa pakulipia,
Mungu awabariki sana,Good work.
Nimempenda dada huyu.
Online zote huwa lazima ulipie? Kama zipo ambazo hazilipiwi naomba unisaidie unitajie
Ana vichekesho. Sana
"Tumechelewa... wake za wazingu"...
Daaa! Tupy hatari
Leo tumeingilia humu😂😂😂😂ila nime enjoy
Hizi story zinaondoa stress, uwiii😂😅😂
Mimi nipo kwenye tinder lakini wame ni like baasi ya watu lakin nikifungua haifunguki ata sms siwezi soma nifanyaje
Mpaka ulipie
Tufundishe jinsi ya kulipia
Mbona naona wewe siyo mfupi na sura yako siyo mbaya.
Yaaaan kwakwl hiii channel inanitia moyo sana na inanifany nizid kuwa mvumilivuu nakupnd da shn
Dada kujiunga na darasa lako Ni shingapi? Na unalipia Kwa njia gani?
Shena mimi nataka umfundishe mwanangu private, nikiasi gani? Mimi niko USA.
Moja ya vitu nmependa kwa uyu dada ana akili sana yuko vzur sana kichwana nmependa namna alikuwa anajiongeza kupata riziki kwa izo % zake😀😃😄😀
Yaani tuppy jinsi anavyoongea kama namuona dada Zao wa kijiwe nongwa.
😅
Hata mzungu wangu hatak nivae mawigi
Naomb connection ya kaz wapendw
Yaani mm kila siku nachelewa live zako Shena,huwa unakuaga live siku gani? Kingine, dating chat nazokutana nazo ni za kulipia,labda basi nilipie ya mwezi mmoja,je ukiisha wataendelea kunikata hela zaidi?
Victoria Karibu darasani
Namba za WhatsApp +4367764790884
😂😂😂Manager masoko, wateja tumetaradadi hapa😂😂
Huyu dada anavibe yaan😅😅😅😅
You are so funny girl I like your funny
Unanichekesha sana wanje 😂😂😂😂😂mpaka nalia sana
Mm mbona mfup lakn nmezaa kawaida tu
Nice interview 😂😂
Naomba installed ta tuppy 😅😅😅😅niwe nacheka zangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mmejua kunichekesha tuppy na mzungu wake wote kimo sawa 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona kidali hakuonekani tenaaa😂😂😂😂🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Mhh kiasi chake
Akiii leo nimekuwa nakisirani nimejikuta furaha😂😂😂😂
😂😂et nyundo
Nimecheka Hadi najikojoleaaaa😂😂😂
Ok