MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • MAKONDA AONESHWA PICHA ya MAMA ALIYEKATWA MKONO BAADA ya KUBAKWA na KULAWITIWA - AHUZUNIKA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 39

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 16 วันที่ผ่านมา +18

    Bro Makonda, nikwambie neno moja tu, mwenyezi mungu azidi kukulinda, ameen 🤲

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 16 วันที่ผ่านมา +6

    Kaka wewe mungu akulinde sanaa ktk kazi hii uliyolisi kutoka kwa babayetu magu

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda3502 15 วันที่ผ่านมา +4

    Muheshiwa Makonda Mungu akutie nguvu na akulinde kwa k unachapa kazi kuwasaidia Watanzani Mkoani Arusha

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 15 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu akutie nguvu na akulinde mheshimiwa! Nimelia machozi kumusikia huyu mama akizungumzia hili tukio😭

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 16 วันที่ผ่านมา +7

    Wallah haya matukio ya ubakaji yamekuwa tishio kwa Taifa zima Mungu atunusuru na vizazi vyetu. Halafu wabakaji hawachukuliwi hatua wapo tu

  • @jacksonjamesndyabawe471
    @jacksonjamesndyabawe471 15 วันที่ผ่านมา +1

    Uozo mwingi sana tanzania.. Huu ni unyama gani.. Kama hao watu wafungwe maisha.. Pole sana mama

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 16 วันที่ผ่านมา +6

    Mungu akulinde Makonda

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 14 วันที่ผ่านมา

    The guy is very humble, respectively and so on.

  • @JosephAnangisye
    @JosephAnangisye 15 วันที่ผ่านมา +3

    Mkuu wa wilaya wanamlalamkia ni tatzo anakul kodi zetu tu

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 12 วันที่ผ่านมา +1

    Siamini kama ni Tanzania😢 Police ndiyo chanzo cha matatizo yote haya hawafannyi kazi zao😢 😢

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z 16 วันที่ผ่านมา +4

    Oyaaaa makonda nirushie nomber Yako nikupe gifti

  • @user-xc5mk4ro2z
    @user-xc5mk4ro2z 16 วันที่ผ่านมา +4

    Aiseee uyo brother ni hatari

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 15 วันที่ผ่านมา +2

    Sidhani kuna nchi raia wake wanadhulumiwa kama Tanzania, ukitoa nchi zilizo vitani.

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awe nawe makonda nakukubali Sanaa toka kwa magu🙏🙏🙏🙏piga virungu wara rushwa

  • @JudetyMbila
    @JudetyMbila 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde,uendelee kusaidia wanyonge

  • @dativachuwa3566
    @dativachuwa3566 15 วันที่ผ่านมา

    Mh!Mungu akubariki mno chochote kinachotumwa juu yako hakina mamlaka katika Jina la Yesu

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 15 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo Dc aangaliwe vizuri hayuko nawewe huyo ,akiwa nawe nimwema lakini akiwa nawengine niadui huyo,

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 15 วันที่ผ่านมา

    Safi Baba kigani mungu akulinde siku Zote🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 15 วันที่ผ่านมา

    Laanahtullah hao n kua tu, wamekula utamu saa mkono wamemkata ynn,

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 15 วันที่ผ่านมา +2

    Jesus

  • @husseinmrisho8601
    @husseinmrisho8601 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde umekuwa faraja kwa wengi

  • @user-wc8rm2yo9m
    @user-wc8rm2yo9m 16 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania munasema hakuna vita kuna vita zaidi ya kuonewa. Nyinyi maoga tu

    • @CholoFaizaan
      @CholoFaizaan 15 วันที่ผ่านมา

      Niwatanganyika hao cci wazanzibar hatutaki huo ujinga

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 12 วันที่ผ่านมา

    Nchi haina hata haki za binadamu shem on Tanzania

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 15 วันที่ผ่านมา

    Jembe!

  • @sergebaleke695
    @sergebaleke695 15 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda tatizo lako unapenda kujisifu mwenyewe acha watu wakusifu bhana

    • @cyliruta5021
      @cyliruta5021 15 วันที่ผ่านมา

      Rubbish 😊

    • @rashidmsuya5721
      @rashidmsuya5721 15 วันที่ผ่านมา +1

      Kwaiyo apo kajisifu wap?

    • @dativachuwa3566
      @dativachuwa3566 15 วันที่ผ่านมา

      Wewe hayajakukuta kwa familia yako laiti ungejua huyu mama alivyoteseka selina hospital ya Ngaramton

    • @user-uc6fd9md2q
      @user-uc6fd9md2q 15 วันที่ผ่านมา

      Amejifu nn hapo.ukimchikia mtu mchukie kwa sababu zako binafs.sio kumponda

    • @MariamJames-b5x
      @MariamJames-b5x 14 วันที่ผ่านมา

      Hapo kajisivu nini au nawewe niwalewale

  • @CotridaKigwile-d6p
    @CotridaKigwile-d6p 15 วันที่ผ่านมา

    2025 tunahitaj Rais yani akitoa saut au agizo linafanyiwa kaz kwa mda huo R.lp pombe tutakukumbuka

  • @pastoreliwkimaroni8332
    @pastoreliwkimaroni8332 16 วันที่ผ่านมา

    Hilo nitatizo lakitaifa yapo mengi sana

  • @beneginoboniface
    @beneginoboniface 15 วันที่ผ่านมา

    Hivi Sheria ya maadili inajulikana kweli haya mambo Ili yaweze kuisha ni lazima kutimiza Sheria ya maadili MTU akibaka ni lazima sehemu aliyotumia kubakia kukatwa
    MTU akiua ni lazima auawe hiyo Sheria inahitajika kuwekwa wazi

    • @beneginoboniface
      @beneginoboniface 15 วันที่ผ่านมา

      Akiua kwa makusudi ni lazima auawe kwa namna Ile ile

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 16 วันที่ผ่านมา +1

    NAKUKUBALI MUESHIMIWA MAKONDA UBALIKIWE KWA UMAKINI WAKO ❤❤❤

  • @user-di3lr4xb9c
    @user-di3lr4xb9c 15 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutangulie kwa kila jambo