"UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
  • "UMESOMA SHERIA CHUO GANI WEWE? MHAMISHENI KITUO - ANGALIENI UTENDAJI WAKE" - MAKONDA ACHACHAMAA....
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 628

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +41

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @DORCUSSAZIA
    @DORCUSSAZIA หลายเดือนก่อน +200

    Timu Makonda like zifike 500 hapa

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq หลายเดือนก่อน +326

    Kusikiliza bunge na makonda Bora kumsikiliza makonda

    • @user-kz1rx3rk1b
      @user-kz1rx3rk1b หลายเดือนก่อน +18

      Uhakika yaani umesema kweli

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t หลายเดือนก่อน +16

      😂😂😂😂❤❤❤🎉🎉.sahihi kabisa uyu jamaa ata wamfiche wapi anajua tu tofauti na vibwengo wengine wa ccm

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 หลายเดือนก่อน +21

      Ni kweli kabisa Mungu amlinde huyu Mkuu wa Mkoa

    • @paulntalima6998
      @paulntalima6998 หลายเดือนก่อน +8

      Umesema kweri kabsa

    • @RenaldaZeramula
      @RenaldaZeramula หลายเดือนก่อน +8

      Bira5Makonda na ALL HAPI

  • @chandekaamiri3153
    @chandekaamiri3153 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kweli kuliko kusikiliza bunge linalojadili maroboti bora umsikilize makonda team makonda tunaomba like

  • @patrickmukundichalamila3038
    @patrickmukundichalamila3038 หลายเดือนก่อน +107

    Ukitaka kuangalia mabaya ya mtu hakika hutapenda mazuri yake! So mazuri ya Makonda yanazika yale mabaya ambayo hua wanayasema kwake. Team Makonda mpaka fainali kombe la dunia 🎉🎉

    • @albertmbise2670
      @albertmbise2670 หลายเดือนก่อน +1

      Ila ile ya kudhurumu haki ya kuishi watu hyo haiwezi futika

    • @DanfordSimon
      @DanfordSimon หลายเดือนก่อน +3

      Woyooooooo mwamba uyu Apa

    • @J_Pabloescobar0806
      @J_Pabloescobar0806 หลายเดือนก่อน +1

      🎉❤makonda jeshi🫡

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x หลายเดือนก่อน +1

      Watanzania tujitambue watu Kama makonda ni wachache,na Kuna watu pia hawapendi uchapaji kazi wa makonda.
      Leo sisi wote hatuujari kumaliza bandle juu ya kuangalia maana ni utatuzi wa kelo Ila ukisema naangalia hii ya mwisho inakuja nyingine Tena inahudhunisha zaid ya Ile .
      Tuombe uzima mungu baba amjalie afya mengi yatakwisha.

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 หลายเดือนก่อน

      ​@@albertmbise2670huwezi ridhisha kila mtu na hakuna alie kamili sasa soma vizuri then ujibu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 หลายเดือนก่อน +145

    Naunga mkono hoja, ni bora kusikiliza makonda kuliko kusikiliza Bunge la Tanzania

    • @ChegeMsemakweli-cv4qb
      @ChegeMsemakweli-cv4qb หลายเดือนก่อน

      Aise umeongea point sana ndugu

    • @asunigohagi5177
      @asunigohagi5177 หลายเดือนก่อน

      Bora makonda

    • @isayashayo4777
      @isayashayo4777 หลายเดือนก่อน +1

      Na leo Kuna mgeni alikua nje ya bunge anaitwa mdoli bora nimpongeze Raisi kwa kutuletea makonda arusha

    • @DM.2200
      @DM.2200 26 วันที่ผ่านมา

      Bungen kuna futuhi na ze comed sa iv 😂😂

    • @mohamedkindem843
      @mohamedkindem843 22 วันที่ผ่านมา

      Good

  • @deniskimune5232
    @deniskimune5232 หลายเดือนก่อน +45

    ongera, sana mr makonda, hii nchi inahiyaji people kama wewe..Mungu akulinde

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg หลายเดือนก่อน +9

    Tatizo sio kwa mwanasheria liko Kwa walochelewesha kujibu barua, mwanasheria ametekeleza wajibu wake. Lakini pia hapewi nafasi ya kujieleza

    • @edmundmmuniedmund1623
      @edmundmmuniedmund1623 17 วันที่ผ่านมา

      truth.. ukimsikiliza vizuri mwanasheria ingawa hapewi mda wa kutosha kujieleza, tatizo la msingi lipo kwenye utaratibu wa ukataji huo wa rufaa, wala sio Mwanasheria..

  • @davidkimani4391
    @davidkimani4391 หลายเดือนก่อน +51

    Chapa kazi makonda..viva viva

  • @PacohMedia
    @PacohMedia หลายเดือนก่อน +84

    Gonga like kwa Makonda wakeee.....

  • @goodwellmutambo7607
    @goodwellmutambo7607 หลายเดือนก่อน +34

    Bora kusikiliza MAKONDA siyo bunge

    • @SaraMbuya-hr2nj
      @SaraMbuya-hr2nj หลายเดือนก่อน

      😂😂kabisaaaa

    • @TusanieIkonyole
      @TusanieIkonyole หลายเดือนก่อน

      Yaani akili yako ni kama yangu namkumbuka JPM

    • @bogate156
      @bogate156 4 วันที่ผ่านมา

      Kuna Bunge lenye picha za Wabunge....

  • @theresiajames994
    @theresiajames994 20 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu mwepushe Makonda na kilalilo baya endelea kumpa Afya njema azidi kuwasaidia Wa Tz Hongera tena Baba unafaaaa. Kuwa Rais baada ya mama yetu Samia

  • @edwinmanji74
    @edwinmanji74 หลายเดือนก่อน +48

    Arusha Mmebarikiwa sana kumpata huyu Jamaa mtumieni vizuri na kumpa ushirikiano ni kiongozi wa pekee sana ambaye yupo tayari kuthubutu hata kuutoa uhai wake kwa kutetea wanyonge

  • @PendoPatrick-eo5ej
    @PendoPatrick-eo5ej 29 วันที่ผ่านมา +3

    Ukipata kiongozi mwenyewe hofu ya mungu ni raha sana hongera mh makonda na mungu azidi kukuongoza Tz tunakuamini sana❤️

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 หลายเดือนก่อน +9

    Mh Makonda, Mh Jerry Silaa, Mh Anthony Mtaka na wengine kama hawa, mara nyingi wako field, wanashuka kwa wananchi na kutatua kero za wananchi haswa wa chini, imekaa vyema kama kiongozi kiwasukiriza na kutatua kero za wananchi

    • @beatrice4780
      @beatrice4780 หลายเดือนก่อน +1

      Naam. Hii ni orodha ya Matumaini kwa CCM, na ndiyo ingetakiwa kusaidia kumshauri Mhe. Rais masuala ya siasa, maendeleo ya nchi na wananchi pamoja na siasa ya uchumi.

  • @khalifmohamed7303
    @khalifmohamed7303 หลายเดือนก่อน +2

    I really enjoy how the region commissioner of Arusha Tanzania is dealing with domestic issues bonkezi bwana mkuu, I also congratulate the president suluhu Hassan to have such a competent provincial commisser, I wish we Kenyans learn from this

  • @chriseskibet718
    @chriseskibet718 หลายเดือนก่อน +22

    Kwa kweli mungu ni mkubwa sana,baada ya mwalimu Nyerere,sokoine na Dr magufuli wote kuondoka sasa mungu ameleta marejesho ndani ya taifa la Tanzania.... mungu akulinde ndugu makonda RC Arusha.

  • @AsaDotcom
    @AsaDotcom 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Day by day I starting to understand this guy how he does right things.

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j หลายเดือนก่อน +30

    Mama Samia Kwa uteuzi wa makonda mungu amekuongoza Arusha wanabahati kumpata

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน +34

    Siyo kila mkuu wa mkoa anaweza kufanya kama makonda.makonda anavitu vingi sana,anajua sheria,anaakil kubwa,anahofu ya mungu,hamwogopi mtu,anajiamini,hanarushwa,hababaishwi na mtu au kitu.anajua anacho kifanya,anajua cheo chake na mamlaka na zaidi.

    • @banguha
      @banguha หลายเดือนก่อน +6

      Mungu akiwa upande wake hakuna aliye juu yake

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 หลายเดือนก่อน +3

      Makonda anatambua majukumu yake wengine wanawaza rushwa so kuiona haki ya mtu ni ngumu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน

      @@egonemmanuelkudaba4945 nikwel

  • @user-fo9cn6kx1s
    @user-fo9cn6kx1s หลายเดือนก่อน +22

    Mungu baba tunakuomba Mlinde kiongozi wetu paul makonda,,,

  • @DaudKoroso
    @DaudKoroso 20 วันที่ผ่านมา +4

    Vizuri kabisa.
    Gonganisha magari boss tuone ajali

  • @dorotheamethod347
    @dorotheamethod347 หลายเดือนก่อน +19

    Mungu Akubariki Sana Mhe. Nchi hii inahitaji watendaji kama wewe. Mungu Akubariki nasi atusaidie kuendelea kutumikia wananchi. Huwa natazana video zako namtukuza Mungu ❤

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda Mungu akupe maisha marefu kumbe Mungu bado anawatuwake ambao wanapande haki

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 หลายเดือนก่อน +27

    Jamaa anendesha Kwa mabadiliko ya wakati uwazi na ukweli Moja ya misingi ya utawala bora

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 หลายเดือนก่อน +21

    Kuogo au kumskiliza makonda .....kwa mm bora nimskilize makondaaaaaaaa❤❤❤❤

  • @SaedyAhmed
    @SaedyAhmed หลายเดือนก่อน +8

    Kwenye hii nchi TUNGEPATA MAKONDA 10 TU INGEKUA vizuri

  • @user-rn4ue9kg9d
    @user-rn4ue9kg9d หลายเดือนก่อน +5

    Kiukweli sisi binadamu tunafurahia sana mtu kupata matatizo😢

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania หลายเดือนก่อน +43

    Magufuri huyoooooooo 2030

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 22 วันที่ผ่านมา

      Pamenogaaaasss🎉!!!!

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k หลายเดือนก่อน +38

    Yafaa ma Rc na ma Dc wengine wangemuiga makonda mambo yangenoga,kujifunza kwa mwengine haina ubaya.

    • @madaiincubationcenter4947
      @madaiincubationcenter4947 หลายเดือนก่อน +3

      Hata Hayati JPM aliwahi kusema wakuu wa mikoa wengine wajifunze kwa Makonda

    • @maryamabdallah3140
      @maryamabdallah3140 หลายเดือนก่อน +4

      Kwa roho zao mbaya hawawezi kumuiga huyu mwamba

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน +2

      Mimi nimesha jifunza mengi kwa makonda.mimi ni kiongozi mdogo kwenye kikundi flani,nitatumia mtindo wa makonda kutatua.

    • @babuukimario6146
      @babuukimario6146 26 วันที่ผ่านมา

      Hizo akili wanazo?

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 26 วันที่ผ่านมา

      Yawezekana mishahara ya wakuu wa mikoa wengine nimidogo

  • @shalizybety9320
    @shalizybety9320 หลายเดือนก่อน +11

    Yeye ndo mkuu wa mkoa kila kitu kiko chini yake... Yaan ndo raisi wa hapo... Hongera sana mkuuu

    • @ramadhanmussa1309
      @ramadhanmussa1309 29 วันที่ผ่านมา

      Yeye Makonda ndiye Bos wa mkoa anashindwaje kukaa na hao watendaje wa halmashauli wote wapo chini yako unashindwaje kutafuta namna ya kulipa haya malipo yaliyo amĺiwa na mahakama.

  • @consesaphelician9266
    @consesaphelician9266 หลายเดือนก่อน +20

    Dah
    Makonda Mungu akulinde Daima

  • @aminashayo9263
    @aminashayo9263 หลายเดือนก่อน +5

    Mtumishi wa Mungu Paul Makondo huko Arusha ukifikisha mwaka mmoja utakua umezeeka, yani umechokaa mwili na roho mana kesi ya mtu mmoja tu ina songombingo za kutosha, ila tunakuombea endelea kumuwakilisha Mheshimiwa mama kipenzi cha wengi Samia bint Suluhu wa Hassan, pambana kitaeleweka na Bwana Yesu hatakuacha atakuatia nguvu, endelea kuwa karibu na Mungu maana mkoa kama huo bila Roho wa Mungu huwezi chochote,

    • @Avit_khan
      @Avit_khan หลายเดือนก่อน

      Wewe Samia hamna kitu hapo

    • @staralive9260
      @staralive9260 หลายเดือนก่อน

      Katika Yesu hawezi kuzeeka hasa ukiwasaidia wananchi wa hali ya chini

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu asaidie! Watumishi wa umma (Viongozi) wengi hawajiamini kabisa ma wana hofu kubwa wazungumzapo mbele ya Wanasiasa. Sijui shidani!

  • @annamwalongo1554
    @annamwalongo1554 หลายเดือนก่อน +2

    Ukiangalia vile mikoa mingine ilivyo na utulivu viongozi wanaonekana kweny picha hawaendi mitaani utasema Kuna usalama kumbe wananchi hawana pa kusemea...Na Mh Makonda akikanyaga tu mahali unasikia matukio ya ajabu yamekaa miaka bila utatuzi swali la kujiuliza waliokuwepo kabla walikuwa wanafanya nini?hawakuyaona hayo??MUNGU akulinde MH MAKONDA

  • @mbaralifinest6235
    @mbaralifinest6235 หลายเดือนก่อน +6

    Tunakuombea kwa mungu makonda mungu azidi kukulinda juu ya wabaya wote wasikufikie. Nipo mkoa wa mbeya wilaya mbarali ninakupenda sana kwa kazi unayo wafanyia wanyonge mungu atakulipia zaidi na zaidi

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 หลายเดือนก่อน +10

    Makonda wewe ni jembe la mama kanda ya KASKAZINI mama hajakosea kukupereka ubalikiwe sana Uinuliwe sana

  • @ankotemba7369
    @ankotemba7369 20 วันที่ผ่านมา +1

    Apate tuu cheo cha mkuu wa wakuu wa mikoa wote😂😂😂😂❤❤

  • @deusmgema8612
    @deusmgema8612 หลายเดือนก่อน +7

    Ahsante mh makonda hiki kinachoendelea Arusha kwa mtazamo wangu kinawaamusha wanasheria wote Halmashauri zote nchini kutimiza wajibu wake

  • @alfredmwamodo1508
    @alfredmwamodo1508 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa mzee mm niko kenya na ni mkenya lakini MUNGU akubariki sana. Kwa haki unayoitetea kwa wanyonge na wanoonewa ...

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 หลายเดือนก่อน +1

    Good leader your blessed sir

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx หลายเดือนก่อน +5

    Ivi viongozi wengine wanashindwa kujifunza kwa huyu kwamba??

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 หลายเดือนก่อน +13

    Mungu mlinde Paul makonda

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k หลายเดือนก่อน +3

    Mimi viongozi wangu, (1) mama yangu mdogo samia suluhu hasani(2)zito kabwe(3)makonda(mkuu wa mkoa),jeli silaa (wazili) (4)Allyi hapi,❤❤❤❤❤

    • @GodfreySanga-fp3yi
      @GodfreySanga-fp3yi หลายเดือนก่อน

      Mtoe zitto ndugu

    • @user-bc2wd1sq3k
      @user-bc2wd1sq3k หลายเดือนก่อน

      @@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo

    • @user-bc2wd1sq3k
      @user-bc2wd1sq3k หลายเดือนก่อน

      @@GodfreySanga-fp3yi hapana zitto ni nikiongozi nijasiri,ni mbunifu,ni mjuzi, ni mzalendo,wa kigoma yangu,tanganyika yangu,tanzania yangu,na ZANZIBAR, Hana ubaguzi hata kidogo

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda akiitawara hii nchi , atafanana na jpm m namwombea mungu amupe uongoz na amlinde na wabaya

  • @annavinkumbu1954
    @annavinkumbu1954 หลายเดือนก่อน +7

    Dar kiongozi hii nchi jamani tungekuwa na viongozi wa namna hii Raisi asingekuwa na kazi kubwa endapo watenda kazi wake wangaekuwa kama hivi na chama chetu tawala CCM kingependwa na watu wote watu hawakichukii chama Bali wanachukiwa viongozi ambao hawajali Haki ndo wanaopelekea kukichukia chama hii ndivyo inavyohitajika Ili Haki ipatikane. Uonezi umezidi mno na UMUNGU MTU.

  • @leosoga8049
    @leosoga8049 หลายเดือนก่อน

    May almighty God shower you with blessing Mr Makonda.

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 หลายเดือนก่อน +15

    Siko salama nikitoka hapa nisikilize ,nani kaona hilo bango like tujue

  • @VictoraloyceIsaya
    @VictoraloyceIsaya 26 วันที่ผ่านมา +2

    Sheria inasema endapo utachelewa kukata rufaa nje ya mda utatoa sababu ya kwanin ulichelewa makonda jaribu kumsikiliza huyo mwanasheria wew haujui sheria

    • @abdulkarimubashiri4800
      @abdulkarimubashiri4800 25 วันที่ผ่านมา

      Upo sahihi msomi naona hakupewa nafasi ya kutosha kujieleza

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda unanipa Raha sana namuona magufuli yupo hai kwa kazi unayo ifanya Mzee

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 22 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli kabisa,Hapa kazi tu❤❤❤❤❤❤❤❤❤.

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 หลายเดือนก่อน

    thanks so much

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 หลายเดือนก่อน +1

    Nimeona role ya Tanganyika Law Society katika kutetea Wananchi Wanyonge.....Congratulations pia kwako Makonda

  • @CathyMathias-bx4ft
    @CathyMathias-bx4ft หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema kwakweli ccm nitaipenda sasa kwakweli viongoz wengi fisaidi hawatendi haki ,,, mungu ampe umri mrefu makonda ❤❤

  • @alfambeya5379
    @alfambeya5379 หลายเดือนก่อน +2

    Sema makonda unafanya KAZI nzuri....lakini hapo hujampa huyo dada kumsikiliza vizuri maamuzi ya haki zaidi inabidi angesikilizwa hyo dada Hadi mwisho na sio kumkatisha katisha...japo watendaji wanazingua sana

  • @luganokitangalala1757
    @luganokitangalala1757 หลายเดือนก่อน +2

    Siasa mbaya sanaa.. uyu dada anakuwa humiliated kwa sababu za kisiasa... Mwanasheria wa harmashauri hana locus mahakamani yeye anapeleka suala kwa Mwanasheria mkuu wa Serikali sasa yeye kosa lake nini?

  • @FrankMkome-df9bn
    @FrankMkome-df9bn 20 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤ Arusha mmepata kiongozi bora natamai aende mkoa wa MARA

  • @user-uw1fs5mj9l
    @user-uw1fs5mj9l หลายเดือนก่อน +1

    Namshauri mama samia avunje bunge ,lingine lianze la Makonda tuu,na wananchi

  • @sandpardegera7246
    @sandpardegera7246 25 วันที่ผ่านมา +2

    Ila kwa nn hajapenda kumsikiliza mwanasheria wa halmashauri

    • @yohanasport5929
      @yohanasport5929 22 วันที่ผ่านมา

      Aeleweki ndomana hatumsikilizi mwanasheria

  • @ezekielmwasenga4640
    @ezekielmwasenga4640 หลายเดือนก่อน +1

    wWana Arusha mmepata bahati kumpata huyu jamaa,,Makonda M/Mungu azidi kukupandisha viwango vya juu

  • @ritamaro5444
    @ritamaro5444 13 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki Mkuu

  • @agnessslaa1897
    @agnessslaa1897 27 วันที่ผ่านมา +1

    Arusha mambo ni🔥🔥🔥sahii msinishawishi kurudi huko😚

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 หลายเดือนก่อน +14

    Mimi nalia na samia kukuondoa usemaji wa chama wangeyooka nchi mzima mabazirifu wa masikini 😂😂😂

    • @josephmasele9016
      @josephmasele9016 หลายเดือนก่อน +1

      Ilibidi nikwaajili ya hili na hapo atahamishwa atapelekwa kwenye mikoa mingine yenye utata

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 หลายเดือนก่อน

      Kwel kabisaa

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 หลายเดือนก่อน +6

    Kesi ikiwa na personal interest inaharibika .

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe3070 หลายเดือนก่อน +2

    Lema Bado unamashaka na mheshimiwa MAKONDA???
    Lema tuliza boli!! Huyu mheshimiwa siyo saizi Yako kabisa

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 หลายเดือนก่อน +3

    Ukishaulizwa umesoma chuo gani bas umeshaaibishwa funika uso😂😂😂

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu Naomba Mlinde sn Paul Makonda,Ananifurahisha sn Kwa Utendaji wk wa Kazi,Mama Samia Mungu Amekuonyesha kuwa Paul Makonda ni Kiongozi Bora na Mcha Mungu.

  • @WilfredChomo
    @WilfredChomo หลายเดือนก่อน

    Thank you so much ,Mpenda haki Dr.Paul Makonda. USIOGOPE. Asema Bwana.

  • @annamwalongo1554
    @annamwalongo1554 หลายเดือนก่อน

    Wakuu wa mikoa yote na viongozi wa halmashauri nchini wangefanya kazi kama Mh Makonda tungekua mbali sana na viongozi wa juu wangekuwa na kazi nyepesi ktk utekelezaji wa majukumu.Mungu ibariki Tanzania!!!

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani hawa wafanyakazi wa serikali ni majambazi sugu ni kwamba tu hawatumii bunduki wanaudhi sana na waniabisha nchi yetu nzuri ni majizi sana hawamwogopi hata Mungu
    Tunaomba wakutane na nguvu za Mungu wanawates sana wananchi

    • @GodfreySanga-fp3yi
      @GodfreySanga-fp3yi หลายเดือนก่อน

      Na huo ndio msiba mkubwa nchini Kuna kamoja kigoma pale halimashauri dogo hata hajui kujichamba hovyo sana anapenda rushwa kuliko kupenda wazazi wake we acha tu

  • @JemaElia-np6yi
    @JemaElia-np6yi หลายเดือนก่อน +3

    mungu mjaalie afya njema makonda

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 หลายเดือนก่อน +7

    Hawa ndio viongozi tunawataka nchi hii,,, lakin wanapigwa majungu balaaa Mungu tu anawasimamia

  • @lukasmaro4280
    @lukasmaro4280 หลายเดือนก่อน

    Ashukuriwe Mungu kutupatia Magufuli na badae kumchukua nakumrejesha mavumbini nakutuachia Mama Samia kiongozi Mkuu wa Tanzania Nakumuona Makonda anafaa kurudi kuwa kiongozi na Wazir Slaa Mungu mpe Mama Samia maisha marefu na asishauriwe vibaya juu ya Makonda na Slaa

  • @theresiajames994
    @theresiajames994 20 วันที่ผ่านมา

    Mh: Mungu akubariki na kukulinda hakika unafanya kazi pongezi kwako Bab.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde Makonda,yacje kukuloga,Mungu ni mkubwa kuliko mchawi

  • @SelestineJeromeMfoi
    @SelestineJeromeMfoi 29 วันที่ผ่านมา

    Hongera kiongoz chapa kazi mtangulize mungu mbele

  • @sallynakey_tz
    @sallynakey_tz หลายเดือนก่อน +16

    MAKONDA MUNGU AKUWEKE SANA DUNIANI

  • @JanetAlex-yw2hc
    @JanetAlex-yw2hc หลายเดือนก่อน +3

    Napenda kusikiliza makonda kuliko mbunge

  • @pastoryussuphhussen3162
    @pastoryussuphhussen3162 22 วันที่ผ่านมา

    Mh Makonda uko vizuri, nakuombea

  • @adventinalingiza
    @adventinalingiza 13 วันที่ผ่านมา

    .mungu m bariki makonda

  • @DanielPhilemon-pd6wg
    @DanielPhilemon-pd6wg หลายเดือนก่อน +1

    Daaahh. Mh DC hongela sana .. mim nakupongeza sana makuuu..

  • @misifaskills745
    @misifaskills745 หลายเดือนก่อน

    Namuona mbali sana huyu Mh makonda ana mazuri mengi arusha hongereni kupata kiongozi mweny msimamo na maamzi hajali kuhusu kazi yake kuwa rehani anacho jali ni haki kutendeka bila kujali ni upande wa serkal au wananchi mradi tu kuna haki wapo viongozi wetu wengi serkalini hawawezi kuwa na maamzi na msimamo na ndo waliotufikisha hapa hata wananchi kuichukia serkali wapo kwa ajili ya kuwaonea wanachi wanyonge.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +1

    Waliozaliwa miaka 1982 sisi uwaga ni hatari kinauma mtu boya gonga like kama unamkubari kijana Makonda

  • @user-ze8dy1bk7p
    @user-ze8dy1bk7p หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana kaka.

  • @abdallahbashiru1152
    @abdallahbashiru1152 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde sana Makonda wakuu wa mikoa wengine wafunguke kutetea haki za wanyonge

  • @alexmottielitetv361
    @alexmottielitetv361 หลายเดือนก่อน +4

    Arusha wanaenjoy

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 หลายเดือนก่อน +2

    Anagonganisha magari halafu tuangalie ajali iko wapi tunyooshe magari yaliyo pinda kazi iendelee safi sana makonda

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 หลายเดือนก่อน +4

    Magufuli amekufa lakini matendo yake yanaishi ,roho yake inaishi ,waaina kama makonda wapo wengi tu kama kina mpina nawengine

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 29 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Makonda ufahamu wake ni mkubwa sana. Wanaombeza ni hofu ya kuwa "challenged".

  • @HildaMlay
    @HildaMlay 14 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzur shemeji

  • @antonmataba106
    @antonmataba106 หลายเดือนก่อน +6

    Piga kazi kaka wapiganie wanyonge mungu atakulipa hakika

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 หลายเดือนก่อน

    MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA....live long.

  • @alexandernyambo7739
    @alexandernyambo7739 หลายเดือนก่อน +2

    Mheshimiwa Makonda tukimpa awe Rais wa Tanzania itakuwaje jamaani😂😅😂 Si itakuwa mpendwa wetu Magufuli amefufuka tena!!!!
    Tuko tayari kumchangia mia moja moja akachukue fomu ya Urais

    • @user-rn6ft5yz2l
      @user-rn6ft5yz2l หลายเดือนก่อน +1

      Wacha jembe letu liwive umri bado kidogotu

  • @robertjoseph8830
    @robertjoseph8830 หลายเดือนก่อน

    Global tv respect

  • @francobravotheforester542
    @francobravotheforester542 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂 The Man Himself.....Makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it หลายเดือนก่อน +8

    Yani huyu hatari kama kafufuka magufuli

  • @juliethmziray
    @juliethmziray หลายเดือนก่อน

    Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo jambo hongera comred Makonda❤❤🎉🎉😂😂😂😂😂😂

  • @waltermachange7300
    @waltermachange7300 หลายเดือนก่อน +33

    Mheshimiwa Rais bado Sabaya ,kazi iendelee

  • @user-gz2sr2xf9w
    @user-gz2sr2xf9w หลายเดือนก่อน +2

    Arusha watanyooka😅😅😅😅 piga kazi baba hadi vibaka wanawaza itakuaje😅

  • @FrankMkome-df9bn
    @FrankMkome-df9bn 20 วันที่ผ่านมา

    100%nimsikilize makonda kuliko bunge pale bungeni nampenda mtu 1 peke yake king msukuma