RAIS SAMIA AMPIGIA SIMU RC MAKONDA, AONGEA MAZITO KAMBI YA WAGONJWA ARUSHA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Asante Dr samia kwa kuwajali wananchi wako, kumbe huwa unawafatilia viongozi kuhakikisha kazi inaendelea kama ilivopangwa unastahili sifa kwani una mengi ya kufanya lakini pia unajali walio chini kabisa
Mungu akubariki
Hakika mweshimiwa rais uishi MAISHA MAREFU nakushukuru SANA RC WETU makonda Kwa upendo wako.hakika nami nimepata matibabu Nimepona MUNGU awabariki madaktari kwa kujitolea kutusaidia nakutuvumilia nawapenda saaaana
Jamani watanzani nawaombeni tusimame imala tuweze kutimiza malengo yetu
Muheshimiwa Rais tunaomba Makonda utuletee huku mtwara alau utuonjeshe faraja zake.
Makonda unaupiga mwingi sana unamuwakilisha MH na Dr Samia vizuri sana mm nakuombea Mungu akulinde endelea kuwapambania watanzania Mungu awe nawe
Makonda kaka uwe hivo hivo usije ukawa km chalamila yule mzee anamajibu mabovu kwa wananchi hana upendo km ww makonda
Hongera sana mheshimiwa makonda kwa kutangaza uzuri wa Mama
Huu ni ubunifu wa kipekee. "Kazi iendelee!"
Mkuu DC nitakutembelea Arusha tuombe uzima Kwa mungu Samia oyee kazi idelee
Samia hongera Sana mungu we mbinguni akulinde akupe Maisha marefu
Makonda anaekima sana
Waludishe pesa yangu crb bank account fanya bihashala bodaboda pikipi
Muimbajiwainjiribellakombo.
M.mungu atakubariki muheshimiwa makonda pamoja na mama yetu samia.
Nyinyi ndio viongozi tunao wapenda.
Sio kama mwingulu na bashe kazi yao ni kula pesa ya serikali tu.
mimi Kenya zimutuobee
🎉
🎉
😮
Wana arushamlikuwana kiliokingi kupatakiongoziwa wanyonge hayasasa mama amewaleteapungamkono kwa mama.
❤❤❤❤ CCM oyeee mama Samia Safi San makonda hongera
Hongera sana DC makonda pambana usikate tamaa mungu anakusimamia
Ubarokiwe rc makonda
Vizuli jembe makonda mungu anajambo nawewe uko mbelen mungu akubaliki mama
Mimi nimefurhi ubsrikiwe mamasamia
sawa p makonda umejitahidi
Jamani watanzania ni waungwana❤
Hadi raha
Jitihada zako zinakubalika.
Hongera dr samia
Uko vzr makonda
Asante saana Laisi wetu wa jamuhuli ya mungano wa Tanzania kubainisha ukweli huo tupo pamoja nawe by Lameck
Hongera sana mheshimiwa,chapa kazi.
Sanaa makonda
Safi sana
Mungu awabariki sana kazi iendelee
🎉chapa kaz baba
Xx 0:53
Safisana mr makonda namungu akubariki sana
Asante sana mungu kwawema na fadhira zako , naomba kwako mungu usiwaache nakuwapungukia madactar Hawa ambao wameamua kuwahudumia wangonjwa Hawa wa Arusha uwarinde uwaponye pia usimshau mkuu makonda pamoja mama yetu Samia ,mungu uwaponye uwalinde pia uwatunze
@@ASHAYONGO AMIN
Jaman makonda Mungu akusaidie
This is the worst way of managing public affairs.Both Samia and Makonda shame on you.
Hongera sana Makonda ni mchapa kazi duh
Mko vizuri sana viongozi wetu.mwenyezi mungu awalinde baraka ziongezeke katika kaz nawapenda sana
Bos mchawi
Mashallaah mashallaah ❤❤❤
Asanteni, viongozi wangu
Mh makonda watanzania nawana arusha wanakuonasana unavyokuwamsaada kwa wanyonge hakikamwenyezimungu atakulindapigakazibaba.
Hongera sana baba yangu Mungu akubariki sana kazi iendelee
Mchungaji msigwa
Wallah machozi yamenitoka kwa furaha nyingi binafsi ccm mzima nampenda mama na makonda allah awahifadhi nawapenda jaman hawa watu mimi😢
Hadi najisikia araha moyon
hongera sana kaka
❤❤❤❤❤
Good