MCHUNGAJI HANANJA BILA WOGA AWALIPUA WAKRISTO FANYENI TOBA ASHUSHA NONDO 3 KIPINDI CHA KWARESMA LAZ

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 41

  • @DomitinaPetro
    @DomitinaPetro 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huko vizuri mchungaji, Mungu akubariki kwa mafundisho.

  • @user-nz6xy1vs5i
    @user-nz6xy1vs5i 5 หลายเดือนก่อน +1

    Saaafi sana Mungu akupe maisha marefu

  • @user-rk8em3me9p
    @user-rk8em3me9p 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera ww ni PRO.wa zuoni (
    PRo.BIBBLE)

  • @vickylupemba6055
    @vickylupemba6055 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mchungaji Hananja nakuelewa na kila unapoongea ni hekima tupu. Barikiwa sana maelezo yako nitayafuata 💯🙏🏾

  • @asiajoseph314
    @asiajoseph314 2 หลายเดือนก่อน

    DAMU ya YESU nitakase😭😭😭

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 6 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana upo sahii kabisa tuna utapiamlo wa Neno la Mungu

  • @user-jw8pw2pd9l
    @user-jw8pw2pd9l 6 หลายเดือนก่อน

    Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi

  • @wigeasanyerere6451
    @wigeasanyerere6451 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao

  • @user-uu8bd4vi9s
    @user-uu8bd4vi9s 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki sana

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee uko saawa saana mw MUNGU azidi kukupa neema zake yani we people kwako iko wazi saana

  • @aminamacha5594
    @aminamacha5594 6 หลายเดือนก่อน

    Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏

  • @michaelseka6890
    @michaelseka6890 6 หลายเดือนก่อน +2

    Nakuelewa sana mzee wangu Kwa maana unatufungua akili zaidi

  • @jorgitolucasbaluth8903
    @jorgitolucasbaluth8903 6 หลายเดือนก่อน +1

    UTAONDOKA MWENEWE KWENHE UKRISTO SISI ATUMWACHI YESU

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 5 หลายเดือนก่อน

      Umeelewa?

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nakuelewa sana mtumishi wa mungu unatufundisha vema

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 6 หลายเดือนก่อน +1

    Story hizi hazibariki watu wa Mungu, Naomba tumhubili Cristo tu tuachane na mambo ya Imani za wasiotuhusu.

    • @user-lt1bi5nr1x
      @user-lt1bi5nr1x 6 หลายเดือนก่อน +1

      Jifunze kujua ukweli sio unaendaenda kama umejiumba

    • @sultantz7635
      @sultantz7635 6 หลายเดือนก่อน

      Unamuhubiri vipi kwa uongo???

  • @thomasmallya2972
    @thomasmallya2972 6 หลายเดือนก่อน

    Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego

    • @sultantz7635
      @sultantz7635 6 หลายเดือนก่อน

      Kamsengenya nani?

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 6 หลายเดือนก่อน

    💯

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 6 หลายเดือนก่อน

    Media na sio mendia wakenyaaa

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 6 หลายเดือนก่อน

    MNAFANYA TOBA GANI WAKATI YESU KAMA KWA DHAMBI ZENU???

  • @khamismgunya4519
    @khamismgunya4519 6 หลายเดือนก่อน

    Mkristo haukatazwi kujuwa nn uislam wala mwislam hukatazwi kujuwa nn ukristo so ukisoma kwa umakini utajuwa wapi njia sahihi kazi kwako

    • @charlesmakuri792
      @charlesmakuri792 6 หลายเดือนก่อน

      Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 6 หลายเดือนก่อน

      Ukristo wetu unatutosha. Hatuhitaji kujua chochote kuhusu Uislamu

  • @amirymdee4259
    @amirymdee4259 6 หลายเดือนก่อน

    ***Max mindia ni kitu gani?***

    • @MaksMedia1
      @MaksMedia1  6 หลายเดือนก่อน

      Maks Media

    • @kennedyngusulu9411
      @kennedyngusulu9411 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@MaksMedia1hiyo kengele mnaweka kwenye videos zinaudhi sana kelel ni kubwa mnapoteza audience sana taften namna nyingine

    • @mndambimrinji
      @mndambimrinji 6 หลายเดือนก่อน

      KWELI KENGELE INAHARIBU USIKIVU​@@kennedyngusulu9411

  • @titokwareh1852
    @titokwareh1852 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu mzee always Yuko negative, we hubiri neno la Mungu Kama wenzako why kuponda matendo ya wakristo kila siku.? Jikite kwenye Bible acha comedy

    • @wigeasanyerere6451
      @wigeasanyerere6451 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ndg samahan binafsi me naelewa anacho maanisha n tushike neno la biblia

    • @titokwareh1852
      @titokwareh1852 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn

    • @johnmwanja4476
      @johnmwanja4476 6 หลายเดือนก่อน +1

      Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema.
      Barikiwa saana mchungaji.

    • @EuphrasiaNtawatawa
      @EuphrasiaNtawatawa 6 หลายเดือนก่อน +1

      Amesema tusome neno,tujifunze neno,tulijue neno tuliishi neno,bila neno la Mungu turaburuzwa tu

    • @NgengeMkeni-uo5hq
      @NgengeMkeni-uo5hq 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kama anakukera basi ujumbe umekuingia vilivyo😂.. safi sana