Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi
Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao
Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏
Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego
Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema
@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn
Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema. Barikiwa saana mchungaji.
Huko vizuri mchungaji, Mungu akubariki kwa mafundisho.
Saaafi sana Mungu akupe maisha marefu
Hongera ww ni PRO.wa zuoni (
PRo.BIBBLE)
Mchungaji Hananja nakuelewa na kila unapoongea ni hekima tupu. Barikiwa sana maelezo yako nitayafuata 💯🙏🏾
DAMU ya YESU nitakase😭😭😭
Barikiwa sana upo sahii kabisa tuna utapiamlo wa Neno la Mungu
Kipimo cha kutuonesha kama tuko sawa mbele za mungu peke yake tu ndio naona kama umepungukiwa jitahidi kutambua kazi ya sheria katika maisha yetu sheria ni tabia ya mungu halisi
Kweli binafsi natamani hata nikuone,maana unapigana vita ya kweli na haki.asiye kuelewa kweli ana mauza uza kichwani,unataka watu washike neno la Mungu na sio mathehebu na mifumo yao
Mungu akubariki sana
Mzee uko saawa saana mw MUNGU azidi kukupa neema zake yani we people kwako iko wazi saana
Na ss tuouthuria ibada zote ijumaa na jumapili mapadri wanahuburi kuhusu toba kuacha dhambi uzinifu kuiba kuuwa usengenyaji kusaidia asiye kuwa nacho mapadri wanahuburi ila niakili zetu waumini tunahangaika na dunia😅😅😅😅 Amina 🙏
Nakuelewa sana mzee wangu Kwa maana unatufungua akili zaidi
UTAONDOKA MWENEWE KWENHE UKRISTO SISI ATUMWACHI YESU
Umeelewa?
Nakuelewa sana mtumishi wa mungu unatufundisha vema
Story hizi hazibariki watu wa Mungu, Naomba tumhubili Cristo tu tuachane na mambo ya Imani za wasiotuhusu.
Jifunze kujua ukweli sio unaendaenda kama umejiumba
Unamuhubiri vipi kwa uongo???
Nnachoona apa uyu HANANJA LUSEKELO MGOGO ni mnatafta kiki kwa kuchafuana tuu akuna kionhoz makini anakua msengenyaaji fundisha neno achana na ya watu nanyi waandishi acheni kuwachafua watumishi na maswali yenu ya mitego
Kamsengenya nani?
💯
Media na sio mendia wakenyaaa
MNAFANYA TOBA GANI WAKATI YESU KAMA KWA DHAMBI ZENU???
Mkristo haukatazwi kujuwa nn uislam wala mwislam hukatazwi kujuwa nn ukristo so ukisoma kwa umakini utajuwa wapi njia sahihi kazi kwako
Uislam wao kufunga/toba ni kuonyesha watu na kujidai na kuona ufahari kula futari ,kula usiku mchana unaacha/kubadilisha muda wa kula, hananja umeongea vema
Ukristo wetu unatutosha. Hatuhitaji kujua chochote kuhusu Uislamu
***Max mindia ni kitu gani?***
Maks Media
@@MaksMedia1hiyo kengele mnaweka kwenye videos zinaudhi sana kelel ni kubwa mnapoteza audience sana taften namna nyingine
KWELI KENGELE INAHARIBU USIKIVU@@kennedyngusulu9411
Huyu mzee always Yuko negative, we hubiri neno la Mungu Kama wenzako why kuponda matendo ya wakristo kila siku.? Jikite kwenye Bible acha comedy
Ndg samahan binafsi me naelewa anacho maanisha n tushike neno la biblia
@@wigeasanyerere6451hakuna siku anaongea bila kuponda wachungaji wenzake mara sijui wezi, waongo. Nani asiyejua hapa duniani kuna waongo na wezi? But yy kila akiongea anaponda ukristo kwann asijikite kuhubiri Bible. Ukishasema majivu ni ishara ya toba hyo inatosha why ulete tena comedy mara wengine wanajipaka sijui kama nn. Ttzo anajifanyaga kuongea sana comedy mpaka ana bore. Afundishe neno la Mungu inatosha comedy za nn
Namuelewa ssna mchungaji juu ya ukweli ktk Injili....Tuache kuburuzwa na sheria za dini/ dhehebu bali tujifunze nini neno la Mungu( Injili) linasema.
Barikiwa saana mchungaji.
Amesema tusome neno,tujifunze neno,tulijue neno tuliishi neno,bila neno la Mungu turaburuzwa tu
Kama anakukera basi ujumbe umekuingia vilivyo😂.. safi sana