Nimeona kipaji kwake huyu mchungaji amekariri mafungu mengi sana nilikuwa namfatisha kwenye bible yuko vizuri sana aiseee ,,, Mungu akubaliki pastor Ananja
Mungu Baba akujalie maisha marefu uzeeke kwa Neema na Rehema na kuhubiri Neno la Bwana mpaka siku yako ya mwisho ya maisha yako haya yoote nayaomba kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Mungu alikuleta kwaajili yetu Ww ndio mtumishi wa Mungu ata vifungo vipo kichwani ww ni mtumishi wa Mungu ila hawa wengi bila kusoma awaendi ila ww kila kitu kipo kichwani jmn mtumishi ww nakupenda sana mm nipo dubai nakufatilia sanaa
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri na pia unatufurahisha sana chakula na mboga bwana hakika ww sio mchungaji wa bahati mbaya ni Mungu alikuchagua penda sana ww Mungu akutunze na kimo chako
Hakika uinuliwe mtumishi Mungu akubarika sana japo sijatimiza ndoto zangu za elimu lakini natiwa moyo namafundisho yako yskua nisikate tamaa IPO Siku ntapata kuendelea namasomo yangu niombee nifanikiwe kupata ada ya chuo miaka mitatu Ili nikasome namim mchungaj
Halafu wachungaji na maaskofu wengine wanatuchanganyia siasa na dini. Kwao tunataka mahubiri kama Haya siyo huo usnaharakati wanaotufantia. Abarikiwe sana mchungaji Hananja tunamwekewa sana.
BWANA YESU ASIFIWE. Naitwa Gladness Kanemba, umri miaka 28, nimeokoka, napenda sana Yesu, ninahuduma ya kuhubiri injili katikati ya watu wenye changamoto za madawa ushoga na ukahaba. Samahani naweza kupata mawasiliano na hivyo vituo?. Natamani ningepata nasafi ya kuhubiri.
Mchungaji kama huyu wapatkane nawengine waige mahubiri kanisani sio kukashifu watu sehemu ya amani Fundisha neno .lakini kanisani kwa ndio kwa kuhubir mda mrefu msibani ibada fupi.
Haleluyaaaaaaaa! "(Luke 2:14)" Glory to THE BLESSED HOLY MOST HIGHER ALMIGHTY MIGHTY in the highest, and on earth peace, good will toward men. Atukuzwe MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu ALIOWARIDHIA. haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!! To the BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY. "(YESAYA 54:17)" No weapon that is formed against thee shall prosper; and every tongue that shall rise against thee in judgment thou shalt condemn. This is the heritage of the servants of THE MOST HIGHER ALMIGHTY MIGHTY, and their righteousness is of me, saith the Haleluyaaaaaaaa GLORY TO THE BLESSED HOLY MOST HIGHER ALMIGHTY MIGHTY. "(YESAYA. 54:17)" Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa MUNGU WA MIUNGU, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE. Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
Kama unampenda na kumkubali huyu mchungaji Kwa huduma yake gonga like kisha SEMA neno kwake
Safi SANA 😊
Hata mimi na muelewa sana huyu kiongozi,
Mungu akupe Maisha marefu
@oda😂😂😂y😂😂😂nmmbaga9806
Yuko poa sana
Waubiri kama huyu hawapo Kenya 😂😂
Huyu na pasta nganga, hakuna différente
Mchungaji uko vzr, unatuondolea stress baba Mungu akupe maisha marefu yenye furaha na amani
mtumishi wa mungu..umefariji sana moyo wangu.ubarikiwe
Asante mchungaji 💯 God bless you mtumishi I'M from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪✝️✝️🇰🇪 ✝️✝️✝️✝️ amen amen amen amen
God bless u pastor, I'm samwel from kenya
Noma sana,,Mzee Biblia kaiweka kichwani yote..
Nipo Kenya, you a ablessing to me and my family, God bless pst Richii
Mahubiri sahihi kwa wakati sahihi ... Hii ndio vijana wanataka kuskia na watu woote wa dunia hiii... Barikiwa Baba hananja nakupenda
Mahubili 0:00
Nimeona kipaji kwake huyu mchungaji amekariri mafungu mengi sana nilikuwa namfatisha kwenye bible yuko vizuri sana aiseee ,,, Mungu akubaliki pastor Ananja
Huyu ni mtumishi halisi, Mungu amemuweka kusababisha Furaha ...furahini ktk Bwana siku zote tena NASEMA furahini..amewekwa kuondoka stress kwa watu
Ukweli huyu amesoma Maisha halisi ya watu, mtaani tumemchoka, ukija kanisani muhubiri anakusimanga umetoa sadaka ndogo, moyo unachaka zaidi.lakini huyu mchungaji ni FARAJA ya watu waliopondeka moyo
Kwanza mtu anaweza enda Ata na mtoto kwenye hili kanisa maana kwingine ni kelele mpaka mtoto anachanganyikiwa ni makelele tu
Mungu Baba akujalie maisha marefu uzeeke kwa Neema na Rehema na kuhubiri Neno la Bwana mpaka siku yako ya mwisho ya maisha yako haya yoote nayaomba kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo
Mchungaji nahanja kama comedian kunsiku tutakuta mahubiri yake kwenye sinema zetu
My Favorite Pastor 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾🔥🔥🔥👍🏾👍🏾
Whoever is reading this, I pray for you that God visits your home today with Healings, blessings, and Miracles. Amen💞
Amina
Ameeeeeeen❤❤
❤@@Gladness682
Ameeeeen
Baba Mungu aendelee kukubariki mafundisho yako yanauchoma Moyo wangu na yanaubadili sana
Namkubali sana askofu
Nabarikiwa na maubiri yako
Nakuelewa sana
I love you from Iringa kwa Dr Rooooose😄😄😄🥰
Uso unachoka kwa machozi😢😢
🤣🤣🤣Mungu nisaidie nimecheka jmn
Sema nimefarijika sana
atleast tumepata mchungaji wa mtaa... Bravo kaka
Mungu alikuleta kwaajili yetu Ww ndio mtumishi wa Mungu ata vifungo vipo kichwani ww ni mtumishi wa Mungu ila hawa wengi bila kusoma awaendi ila ww kila kitu kipo kichwani jmn mtumishi ww nakupenda sana mm nipo dubai nakufatilia sanaa
Yaani mchg Biblia nzima IPO kichwani ukiwa ibadani uwezi kupata usinginzi Amestafu mapema pia atukumjua mapema yaani Ibada ina uhai
Tukisema kuna majembe ktk shamba la Mungu ndiyo hili,ndiyo faida ya kumsikiliza ROHO MT.watumishi jiongezeni ktk ROHO MT.
18:21
😊Upl😊
😊
😊😊u
Hii siku ilikuwa ya neema sana nili enjoy sana yaani huyu mchungaji alinifurahisha sanaaaa🤣🤣🤣🤣
Mimi ni munyarwanda,lakini nakupenda sanaaaaaaaaaaaaaa mungu azidi kukubariki
asante sanaaa
Mimi muislam huyu jamaa ni mchungaji wa aina yake
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri na pia unatufurahisha sana chakula na mboga bwana hakika ww sio mchungaji wa bahati mbaya ni Mungu alikuchagua penda sana ww Mungu akutunze na kimo chako
Mimi muisilamu wallah lakini huyu ndio anahubiri vya maana vya kupoza moyo
Ubarikiwe. Karibu tumwabudu Mungu pamoja.
Nimebarikiwa kupitia neno lako, barikiwa sana na mungu akutie nguvu uendelee kusimama imara amina.
Subirayamkulimacharlessaasita
S
Mi muislam lakini napenda elimi yake na inspiration 🤣🤣🤣
Mungu akubariki sana Mchungaji, nimebarkiwa sana na mahubiri yako. Karibu sana Usharika wa Mwika Moshi.
Ameni asante Baba Mchungaji❤❤
Mungu akupe maisha marefu mchungaji wetu tunskupenda sana
Mimi nampenda sana huyu mchungaji
Pamoja nakua mm ni muislam
Hongera mchungaji
Mungu akubaliki sana mchungaji Hananja unafundisha,unachekesha na unahubiri respect kwako
😢God bless you
Nimecheka kwenye daldala km chizi jmniii Baba Barikiwa sana
🤣🤣🤣
Be blessed pastor, unahubiri ukweli kabisa
Mtumishi karibu monduli juu 2nakupenda sana
Hakika uinuliwe mtumishi Mungu akubarika sana japo sijatimiza ndoto zangu za elimu lakini natiwa moyo namafundisho yako yskua nisikate tamaa IPO Siku ntapata kuendelea namasomo yangu niombee nifanikiwe kupata ada ya chuo miaka mitatu Ili nikasome namim mchungaj
Mungu akusaidie, Ajibu Haja ya Moyo wako. Ameni.
Anafaa huyu amafariji sana Mungu azidi kumbariki. Amina.
Karibu Nairobi city Kenya mchungaji...glory be to God 🙏
Mungu aendelee kukubariki na kukutumia kwa kazi yake takatifu. Unalijua neno. Ubarikiwe sana Baba
Huyu na king majuto mapacha
Uko vizuri Mchungaji,Mungu akubariki
Ubarikiwe na akuongoze safari yako ya kutangaza injili daima ni kipaji umekilimiwa
Ibada nzuri hata shetani hawezi leta uzingizi wakati wa ibada.
Namekusikiza for the first time but you have made me feel blessed and I have just loved you. Church is place of Joy
thank you glory to god piga subsribe uweze kunifutilia mtu wa Mungu
Hakika wewe ndo mchungaji unae hubili ukweli.hata kama ulikuwa na mawazo ukija kanisani kwako lazima mawazo yote yaishe
Hananja baba uko vizuri mahubiri yako yako sawa na yanatia moyo sana.hii ndiyo faraja ya moyo...
Haya Sasa ndiyo mahubiri,hogera sana Mchungaji Hanaja na Mungu akubariki pamoja na familia yako
Mungu akupe miaka mingij🙏
Unahubiri km utani lkn
Usemayo ni kweliiii
Mungu azidi kukutunza daima Baba🙌🙌😂😂😂😂😂
Mungu wetu aendelee kukutia nguvu Mtumishi wa Mungu, Amen.
🤣😂😂🤣🤣🤣🤣 hayo maombi ndiyo yamenibamba
Barikiwa sana Mchungaji. Mungu atukuzwe kwa karama aliyokupa ya kuielewa biblia na kuhubiri.
Halafu wachungaji na maaskofu wengine wanatuchanganyia siasa na dini. Kwao tunataka mahubiri kama Haya siyo huo usnaharakati wanaotufantia. Abarikiwe sana mchungaji Hananja tunamwekewa sana.
for the first time in a while I have watched a full sermon nimependa sana mafunzo sitachoka mpaka Yesu afanye jambo. 🇰🇪
Mchungaji anaujumbe. Hayo do mahubiri na anaonyesha kuinua Biblia vilivyo sio kwa kukariri ila kuitumia katika maisha halisi ya mtu. Abarikiwe sana.
Mungu akubaliki muchungaji
Huyu mchungaji natamani nikutane nae siku nimempenda sana
Amen
@@angeluskapinga2255😊
Ambiwa nakwenda mbinguni kutalii baba🤣🤣🤣🙌 MUNGU akubariki na kukuweka miaka mingi
Maneno yako mazuri sana na ya hekima,sio dini gani ila ni malezi ya haki kwa kila mtu
😅😅😅😅 mungu akupe maisha marefu
Mungu Ana watu
😂😂😂😂😂yaani mchungaji yuaomba,katika jina la yesu...huku mimi kicheko chaniuwa😅😅😅lakini Amen kwa somo "hapachoki mtu hapa"😂
Najisikia kusikiza mawaidha yako
Huyu ndie mchungaji haswa!! MUNGU AMBARIKI
BWANA YESU ASIFIWE.
Naitwa Gladness Kanemba, umri miaka 28, nimeokoka, napenda sana Yesu, ninahuduma ya kuhubiri injili katikati ya watu wenye changamoto za madawa ushoga na ukahaba. Samahani naweza kupata mawasiliano na hivyo vituo?.
Natamani ningepata nasafi ya kuhubiri.
Unapatikana Mkoa Gani Gladness
Dar es salaam, nipo mbezi beach
❤❤ baba unatufurahisha sana
Homgera baba mungu akupe moyo huohuo wa kubeba matatizo ya watu
🎉Safi sana.jeshi😅
Hii ya lini Mtu wa Mungu? Na huo mkutano ni lini?
I feel blessed with the preaching May The good lord bless you pastor
God bless you baba mchungaji
Nimeshtuka na hili la Bagamoyo!! Ulimwengu una mambo mengi! Kwa kweli Mtumishi anakutana na mengi mno!!
Huyu ndo mchungaji sasa
Kwakweli nimebarikiwa na huyu mchungaji
Mchungaji billionaire huyu. Anapendeza kwa mahubiri yake
ubarikiwe kwa mafundisho mazuri,usikate tamaa songa mbele
Karibu Metrochurchwelove nakuru kenya
Nakupenda sana baba, Mungu akupe miaka elf ufundishe vizazi na vizazi
Mchungaji kama huyu wapatkane nawengine waige mahubiri kanisani sio kukashifu watu sehemu ya amani
Fundisha neno .lakini kanisani kwa ndio kwa kuhubir mda mrefu msibani ibada fupi.
Ati tunakemea pepo la usingizi🤣🤣🤣akalale wapi😅😅🙏
Nampenda anavyojua mistari ya biblia tu,Mungu ampe uzee mwema
Yiston lutumo I,think you pastar my self I,m very much the GOG bless you
Alilelewa katika maadili mema ndo maana 😅😅😅 Mithali 22:6
Asiyemwelewa mchungaji huyu, ana matatizo binafsi.
Asante sante mchungaji ipovizuri mwenyezi mungu akupe maisha marefu zaidi hapa Duniani Emeen
Mungu akubariki sana mtumishi..nabarikiwaga sana namahubiri yako
Mungu ampe miaka ya kutosha azidi kutuelimisha kumjuwa Munguuu
Hongera kwa ukweli na sema kweli ili tupone una mahubiri mazuri sana mchungaji Richard hananja
Hakuna kuchoka hapa, Nimependa sana MAOMBI Haya😂😂😂😂😂
NIMEKUKUBALI MCHUNGAJI NIMANENO YA HEKIMA NA BUSARA UMENENA :DAH" UBARIKIWWE SANA~TH-cam ldumu✓✓✓✓
Mchungaji unawafaa vijana sana
Jamani, I have really been blessed... Enjoyed it..... Stress kwisha!
The kind of preaching, waaa so knowledgeable, inspiring. Bible school did something here.
Mchungaji mubarikiwe sana wewe Hanaya pamoja na Mgogo.
Yani na mgogo wanaongea kweli tu
Nilivyokuwa makuona kwa mara ya kwanza imekuwa tofauti na siku ya leo. Hakika umenibariki sana. Katika Waebrania 12:1-3
😅😅😅 ubarikiwe
Haleluyaaaaaaaa! "(Luke 2:14)"
Glory to THE BLESSED HOLY MOST HIGHER ALMIGHTY MIGHTY in the highest, and on earth peace, good will toward men.
Atukuzwe MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE juu mbinguni, Na duniani iwe amani kwa watu ALIOWARIDHIA. haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!! To the BLESSED MOST HIGHER HOLY ALMIGHTY MIGHTY. "(YESAYA 54:17)" No weapon that is formed against thee shall prosper; and every tongue that shall rise against thee in judgment thou shalt condemn. This is the heritage of the servants of THE MOST HIGHER ALMIGHTY MIGHTY, and their righteousness is of me, saith the Haleluyaaaaaaaa GLORY TO THE BLESSED HOLY MOST HIGHER ALMIGHTY MIGHTY. "(YESAYA. 54:17)" Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa MUNGU WA MIUNGU, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema MUNGU WA MIUNGU MUWEZA ZAIDI YA KULIKO YOTE. Haleluyaaaaaaaa! AMEN RAAH! AMEN RAAH! Haleluyaaaaaaaa!
Da! Mchungaji we Ni mwisho Asante nimebarikiwa Sana.
Kweli mchungaji Ana mahubiri mazuri yasiyochosha
Mchungaji wewe Mungu akubariki sana wala sichoki kukuckiliza.Napenda ungekuwa mchungaji wa huku nilipo
😂😂😂😂😂mimi muislam ila namkubali sana 😂
David John Mwingerezi ubarikiwe Mch Hananja
Mi nampenda huyu mchungaji ni mcheshi sana....hinatufanya wachungaji washirika kupenda kanisa.....🙌🙌
Anatupunguza stress
Nimepnd mafundich yak m king
@@nantaembanusurupia5674 mamb
Vp
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mchungaji
Amen amen
HAHAHAHA!! AMINA. BARIKIWA,NGUVU! MOJA!
Mtumishi Dah😂😂😂😂😂
NIMEFARIJIKA SANA MCHUNGAJI MUNGU ALIBARIKI NENO LAKO LISAMBAE DUNIANI KOTE , AMEN
Ubarikiwe sana mchungaji
Ameni mchungaji ba
MUNGU akubariki baba.
Be blessed🙏🙏