MCH HANANJA ALIVYO IBUA MJADALA BAADA YA KUINGIA MSIKITINI, ONA MAJIBU YAKE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 141

  • @martinlema7328
    @martinlema7328 8 หลายเดือนก่อน +1

    Amina... Namwomba Mungu akupatie hitaji la moyo wako.😊

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuli sana mchungaji unaufaamu mkubwa sana mungu akubaliki sana

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 8 หลายเดือนก่อน

    Leo umependeza mtoto wangu na hicho kilemba 💕💕

  • @dullyjabri8393
    @dullyjabri8393 8 หลายเดือนก่อน +7

    Nakukubali sana mzee wangu una Hekima Sana full respect

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 8 หลายเดือนก่อน +3

    HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.

  • @Mtukazi98
    @Mtukazi98 8 หลายเดือนก่อน +8

    Allah akuoneshe haki mzee hananja, ukweli uko vizuri sana mzee wangu

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 8 หลายเดือนก่อน

      Haki na uzima WA milele ni Kwa Yesu kristo alipo huyo mchungaji njoo kwenye kweli na uzima WA milele

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 8 หลายเดือนก่อน

      Uslamu ni njia ya haki, na UKRISTO ni njia ya kweli,, kazi kwako kupambana haki na kweli.

    • @AdamDaudy
      @AdamDaudy 8 หลายเดือนก่อน

      Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 8 หลายเดือนก่อน

      @@AdamDaudy je! Ukweli, na haki, ni kipi kisichoweza kupotezwa na wanadamu?

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 8 หลายเดือนก่อน

      Uko uwakika gani bila uislamu akuna salama siku ya kihama

  • @habibmohamed4728
    @habibmohamed4728 8 หลายเดือนก่อน +3

    Majibu mazuri mtumishi wa Mungu ingawa anajaribu kukuchallenge hakupati Tena

  • @omarmohamed312
    @omarmohamed312 8 หลายเดือนก่อน +17

    mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน

      Amini

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 8 หลายเดือนก่อน +1

      Haki iko kw YESU KRISTO tu, Wala kwingine apana

    • @omarmohamed312
      @omarmohamed312 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@fredrickgitonga1972 nendeni na wakati someni kitabu chenu. mitaona munakoelekea.

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน +2

      @@fredrickgitonga1972 ....
      Ni kweli haki ipo kwa Yesu ila sio kumuabudu,
      Yesu mwenyewe alikuwa anaabudu, leo watu wanamuabudu yesu....😂😂

    • @zainabzanzibar1518
      @zainabzanzibar1518 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@RamadanPaulna wemekwenda mbali zaidi kwa sasa hawamuabudu yesu bali wanamuabudu yele mcheza filam wanasema ndio yesu

  • @ramadhanihafidh7732
    @ramadhanihafidh7732 8 หลายเดือนก่อน +2

    😂 6:55 wewe ni mtu wa hekima kama najash wa Ethiopia

  • @africaonechannel1289
    @africaonechannel1289 8 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mzee ANA AKILI!!!!!!!
    And Generally Speaking These Old Boys nitafauti sana na This New Generation!!!!.

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 2 หลายเดือนก่อน

    Ananja wewe ni kiumbe unae tumia kichwa chako vizuri

  • @kingdullah7843
    @kingdullah7843 8 หลายเดือนก่อน

    nakuelewa sana mzee wang

  • @HatibuAbdalla
    @HatibuAbdalla 29 วันที่ผ่านมา

    Sio sahihi mungu anasema hawatakuwa hawatakuwa radhi mayahudi na wakirsto mpaka mfuate Mila yao.hiyo sio hoja ya utanzania tatzo hao maimamu hawapo sahihi katka naamuzi ktk dini.sio tatzo elimu tatzo kuwa na ustiqama jee! angekuwepo mtume angekubali kufanya.tatzo la maimamu be wetu wamenunuliwa na viongozi was dunia

    • @TatuShakha
      @TatuShakha 24 วันที่ผ่านมา

      Umerudia kusoma ulichoandika ?

  • @abdallahkikungulu9141
    @abdallahkikungulu9141 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akupe maisha malefu sana mchungaji

  • @DawsonKiwia-qt6zf
    @DawsonKiwia-qt6zf 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.

  • @MusaPeterMatogoloWalaga
    @MusaPeterMatogoloWalaga หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana mchungaji

  • @yusuphibrahim2850
    @yusuphibrahim2850 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji upo vzr mungu amekipa uwezo mkubwa mungu akubariki

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 8 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee akili nyingi sanaaa

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 7 หลายเดือนก่อน

    يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ
    Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 8 หลายเดือนก่อน

    Mzee ningekuwa Mwandishi hapo ningekuuliza hiv " kati ya mchungaji na wazazi ,nani anaweza kukubariki " ?

    • @zamdanamwenje9415
      @zamdanamwenje9415 8 หลายเดือนก่อน +2

      Alishawahi kujibu kuwa ni wazazi tafuta clip clip za miaka mingi

  • @giftami7792
    @giftami7792 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kesho kutwa wakristo wenzake watamkata

  • @SaidSalum-p5h
    @SaidSalum-p5h 7 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Hananja Mungu akupe afya na nguvu na maarifa zaidi.
    Ukweli nikua unaongea ukweli.
    Tuko pamoja!!

  • @AbdallaMsendele
    @AbdallaMsendele 8 หลายเดือนก่อน

    Apana ,Mtumishi uko katika kweli.
    Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu.
    Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.

  • @Christina-n6b
    @Christina-n6b หลายเดือนก่อน

    Nakukubal

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 8 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana mchungaji❤❤❤

  • @farajifundi1160
    @farajifundi1160 8 หลายเดือนก่อน

    Saf sana mzee

  • @KhadijaKipua-dw7yz
    @KhadijaKipua-dw7yz 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyo ndio Hananja bwana unanikosa sana babaangu wewe Mungu akubariki sana

  • @ramadhanihafidh7732
    @ramadhanihafidh7732 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mtu wa haki unaekubalika na kila mwenye akili na imani ya uwepo wa MWENYEZI MUNGU mtukufu

  • @MwanaidMagasa
    @MwanaidMagasa 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulipe maneno yako ukweli kabisa

  • @sostentulian9462
    @sostentulian9462 8 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani ningekuwa na ubongo ka mzee hananja

  • @jumaomari3842
    @jumaomari3842 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe kweli ni mtumishi nakusikiliza sana Yani una nimalizia bando

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 8 หลายเดือนก่อน

    🎉una upeo saana baba mtumishi

  • @abdul-azeezmagram4973
    @abdul-azeezmagram4973 8 หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji kuwa makini na maswali yako yanalenga uchonganishi kwenye imani za watu usije ukajutia maswali yako

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera mchungaji uyasemayo Ni sahihi, , na wachache wanaoelewa hayo, ,baadhi ya waislamu wahamisjha ugomvi sio Amani,

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 8 หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mkristo lakini Nakubali kabisa Hananja alifanya vizuri Sana kuitika mwaliko

  • @IssufoCassimo-c4r
    @IssufoCassimo-c4r 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali baba❤❤❤❤

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 8 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo

    • @alleyd.alleyd
      @alleyd.alleyd 8 หลายเดือนก่อน +1

      Don't pretend like you know too much.

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 8 หลายเดือนก่อน

    UMEONGEA VZR SANA NA HUYU DADA ATAFANYA KAZI NZR SANA YAANI MUANDISHI WA HABARI

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 8 หลายเดือนก่อน +1

    Babu kamaliza wanao penda udini mnapigania pepo je niyakwenu ua kama hakuna pepe je mmeuwaniya nini😮

    • @maalimhamad1297
      @maalimhamad1297 8 หลายเดือนก่อน

      Huyo nawewe akilizenu nyote sawa

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 8 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@maalimhamad1297kwani baba Ako aliwahi kufika peponi? Hebu mwambie atume kwene status tuone peponi pakoje.

  • @ZaituniLaizer
    @ZaituniLaizer หลายเดือนก่อน

    Nakukubali sana mchungaji una busara 🎉😊

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah.. maneno Yako yapo sahihi...

  • @hemedsimbaathwartv
    @hemedsimbaathwartv 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah mi n muislam ktk kenya , huyu mzee ana busara xna

  • @border2bordercuisine168
    @border2bordercuisine168 7 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio viongozi wa dini tunaowahitaji Tanzania

  • @SaidWawa-y9d
    @SaidWawa-y9d 8 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana wewe mzee ni mwamba sana aisee

  • @ramadhanomar6805
    @ramadhanomar6805 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hananja ni Genius anaelewka sana🎉

  • @IsackTheonest
    @IsackTheonest 7 หลายเดือนก่อน

    Uko vzr mchg, ss sote ni wamoja

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 8 หลายเดือนก่อน +1

    Akili nyingi sana mzee nakibali

  • @seynabhaji8035
    @seynabhaji8035 8 หลายเดือนก่อน

    Busara imetawala hapa

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 8 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli wata wa zamani walikua na masuria na c vibaya wake wa4 kafundixa mtume muhammad (SAW) alivyopewa Quran mathnaa wa thulatha warubaa

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 8 หลายเดือนก่อน

      Muhamad kaingiaje hapo anaongelea mfalme sulemani au muhamad nae alikuwa mfalme duh!

    • @abuubakar7594
      @abuubakar7594 8 หลายเดือนก่อน

      @@jpmanotaofficial639 Muhammad (SAW) unamjua kwanza?

  • @jastinmkoba
    @jastinmkoba 8 หลายเดือนก่อน

    Anazeeka vibaya sana wazee wenzie wanabusara🤷

  • @JumaBakir
    @JumaBakir 8 หลายเดือนก่อน

    Mzee maneno yako mazito yanaitaji yachukuliwe nawatu wote

  • @KABIBIPETER
    @KABIBIPETER 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @RonnieBertin-f7f
    @RonnieBertin-f7f 4 หลายเดือนก่อน

    HUYU BABA ANA MADINI ADIMU SANA

  • @ShamimMsofe
    @ShamimMsofe 8 หลายเดือนก่อน

    Mzee wangu una busara sana mzee wangu Allah akujalie .

  • @jumasungula8510
    @jumasungula8510 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee unaakili sana

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 7 หลายเดือนก่อน

    Uyu mchungaji anahekma sana

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน

    Hananja tunakupenda sana waislam....

  • @abdulhamidisiraja4930
    @abdulhamidisiraja4930 7 หลายเดือนก่อน

    Yupovizurisana

  • @Swaahib-i7n
    @Swaahib-i7n 8 หลายเดือนก่อน

    Ni Bakwata jamani msimlaum mzee hananja

  • @nassormohamed6520
    @nassormohamed6520 8 หลายเดือนก่อน

    Nmekuelewa sana mchungajii

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 8 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri kuhusu utumishi wa Mungu 🕌⛪️☝🏿

  • @EvodiusbarakaMtundu
    @EvodiusbarakaMtundu 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee wabusala

  • @kinyuwaJr
    @kinyuwaJr 8 หลายเดือนก่อน

    Uko sahihi mchungaji

  • @maskatifakii7107
    @maskatifakii7107 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana..Hawana..Elimu!!!

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 8 หลายเดือนก่อน

    IMANI ZA KISHOGA KUFUNGA NDOA👀👀😂😂😂

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 8 หลายเดือนก่อน

      utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani
      Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂

    • @natafutamatatizo4382
      @natafutamatatizo4382 8 หลายเดือนก่อน

      @@jpmanotaofficial639 Tutawabarikimashoga kufunga ndo kanisani🤣🤣🤣👀

  • @ISSAAbdillah-z3i
    @ISSAAbdillah-z3i 8 หลายเดือนก่อน

    Heshima yako bradha👏

  • @SudiSheikh
    @SudiSheikh 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!

    • @youngrappertz1735
      @youngrappertz1735 8 หลายเดือนก่อน +1

      Prove

    • @SudiSheikh
      @SudiSheikh 8 หลายเดือนก่อน

      U want a prove,how do u want aprove n I can't believe!,go n read in Islam it's there very open.

    • @SudiSheikh
      @SudiSheikh 8 หลายเดือนก่อน

      U can't believe,there is an interesting story abt Muhammad sw wen he went to heaven.ucan even Google on ua phone

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 8 หลายเดือนก่อน +1

      Muhamad gani alie kufa kwa sumu au kunamwingine alie mbaka haisha au unamuongelea muhamad sala mchezaji wa Egypt 🇪🇬 🤔

    • @SudiSheikh
      @SudiSheikh 8 หลายเดือนก่อน

      @@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza

  • @MOHAMEDJUMA-x1i
    @MOHAMEDJUMA-x1i 8 หลายเดือนก่อน

    point wewe ni mtu makini

  • @joshuamunisi8461
    @joshuamunisi8461 8 หลายเดือนก่อน

    Fact mzee upo vizuli

  • @NoahNjeje-n1w
    @NoahNjeje-n1w 8 หลายเดือนก่อน

    Naombeni namba ya huyu mzee

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallh 🙏🏽☝🏽

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 8 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mchungaji.....

  • @idrisandaka2198
    @idrisandaka2198 8 หลายเดือนก่อน

    Na traffic waache rushwa

  • @elmes09
    @elmes09 5 หลายเดือนก่อน

    Una baya 🙏🏻

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 8 หลายเดือนก่อน

    Naungezaliwa uchawini.....?
    Tafuta haki acha kurithi mzee. Otherwise nakukubali na kukuthamini sana .

  • @umazisalim8070
    @umazisalim8070 8 หลายเดือนก่อน

    Baba nakupenda buri

  • @mwinyimwinyimkadam9948
    @mwinyimwinyimkadam9948 8 หลายเดือนก่อน

    Upo vzr Mzee

  • @ibrahimsaad617
    @ibrahimsaad617 8 หลายเดือนก่อน

    Mwamba ❤Unajua

  • @rashid3562
    @rashid3562 8 หลายเดือนก่อน

    Genius

  • @stanleyjohn2929
    @stanleyjohn2929 8 หลายเดือนก่อน

    Kabisa

  • @EffortEffort-c7r
    @EffortEffort-c7r 8 หลายเดือนก่อน

    Nice

  • @francoulanga
    @francoulanga 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @Philipoupdates
    @Philipoupdates 8 หลายเดือนก่อน

    Mbego nina mkasa nitafute

  • @HellenMendard
    @HellenMendard 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uko vizuri baba!

  • @SaidiYahya-t1c
    @SaidiYahya-t1c 8 หลายเดือนก่อน

    Mama Samia pambana na rushwa tunakuomba mama rushwa imezidi nchii hii

  • @HAMZALUHANGA
    @HAMZALUHANGA 7 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji yupo sahihi, binafsi naamini imani zote zinazo fundisha utii, waaminifu, upendo, na kumtii Mungu zipo sawa.

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 8 หลายเดือนก่อน

    Baba umetisha❤❤

  • @gooleserviceyoutubescandar3450
    @gooleserviceyoutubescandar3450 8 หลายเดือนก่อน +1

    Masha Allah Amiiin.

  • @SmilingPlanets-yx9rm
    @SmilingPlanets-yx9rm 8 หลายเดือนก่อน

    On point

  • @yohanampangule8817
    @yohanampangule8817 8 หลายเดือนก่อน +3

    Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..

    • @carterjordan4216
      @carterjordan4216 8 หลายเดือนก่อน +5

      Allah, Jehova, Mungu, God, ni lugha hizo mkuu. Siyo imani.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 8 หลายเดือนก่อน +1

      ###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje?
      Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?

    • @SaidiRashid-yc3rc
      @SaidiRashid-yc3rc 8 หลายเดือนก่อน +2

      Hujuwi ulitendalo usamehewe

    • @rahimukayela297
      @rahimukayela297 8 หลายเดือนก่อน +3

      Jamaa ni empty knowledge ALLAH, JEHOVAH, BUDDHA, JAH, GOD, izo ni lugha tu za watu kw Kiswahili ndo MWENYEZI MUNGU.

    • @emmanuellwinga5686
      @emmanuellwinga5686 8 หลายเดือนก่อน

      Bomu lingine hili linaweza tulipukia

  • @AssumaneDaniel-yz7co
    @AssumaneDaniel-yz7co 8 หลายเดือนก่อน

    Udini ni sababu ya kuharibika África

  • @zuchu9750
    @zuchu9750 8 หลายเดือนก่อน

    Mch Yuko vizuri kwa majibu