HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.
Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu
mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.
Sio sahihi mungu anasema hawatakuwa hawatakuwa radhi mayahudi na wakirsto mpaka mfuate Mila yao.hiyo sio hoja ya utanzania tatzo hao maimamu hawapo sahihi katka naamuzi ktk dini.sio tatzo elimu tatzo kuwa na ustiqama jee! angekuwepo mtume angekubali kufanya.tatzo la maimamu be wetu wamenunuliwa na viongozi was dunia
Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.
يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari
Apana ,Mtumishi uko katika kweli. Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu. Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.
Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo
utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂
Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!
@@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza
Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..
###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje? Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?
Amina... Namwomba Mungu akupatie hitaji la moyo wako.😊
Uko vizuli sana mchungaji unaufaamu mkubwa sana mungu akubaliki sana
Leo umependeza mtoto wangu na hicho kilemba 💕💕
Nakukubali sana mzee wangu una Hekima Sana full respect
HONGERA MTUMUSHI, AKILI KUBWA SANA. ILA HATA WAISLAM NAO WANAAMINI SULEIMAN NI NABII LAKINI PIA NI MFALME. KWA HIYO KWENYE UFALME WAISLAM NA WAKRISTO KWA MUJIBU WA MFUNDISHO YA VITABU VYAO WOTE WANAAMINI SAWA KUWA SULEIMAN ALIKUWA MFALME.
Allah akuoneshe haki mzee hananja, ukweli uko vizuri sana mzee wangu
Haki na uzima WA milele ni Kwa Yesu kristo alipo huyo mchungaji njoo kwenye kweli na uzima WA milele
Uslamu ni njia ya haki, na UKRISTO ni njia ya kweli,, kazi kwako kupambana haki na kweli.
Uislamu ni dini ya HAKI na yeyote atakae amua kufuata Dini isiyokua Uislamu aelewe kua Dini hiyo haitokubaliwa siku ya malipo .Nasaha zangu kwa ndugu zangu Wakristo SILIMUNI ili mpate SALAMA siku ya hukumu
@@AdamDaudy je! Ukweli, na haki, ni kipi kisichoweza kupotezwa na wanadamu?
Uko uwakika gani bila uislamu akuna salama siku ya kihama
Majibu mazuri mtumishi wa Mungu ingawa anajaribu kukuchallenge hakupati Tena
mzee hananja ni mtu wa busara sana na ni mtu anaesema ukweli sana. sisi waislamu wengi tumetokea kumkubali na tunamuombea Allah amfungue zaidi aone haki ipo wapi. hachukii uislamu.
Amini
Haki iko kw YESU KRISTO tu, Wala kwingine apana
@@fredrickgitonga1972 nendeni na wakati someni kitabu chenu. mitaona munakoelekea.
@@fredrickgitonga1972 ....
Ni kweli haki ipo kwa Yesu ila sio kumuabudu,
Yesu mwenyewe alikuwa anaabudu, leo watu wanamuabudu yesu....😂😂
@@RamadanPaulna wemekwenda mbali zaidi kwa sasa hawamuabudu yesu bali wanamuabudu yele mcheza filam wanasema ndio yesu
😂 6:55 wewe ni mtu wa hekima kama najash wa Ethiopia
Huyu Mzee ANA AKILI!!!!!!!
And Generally Speaking These Old Boys nitafauti sana na This New Generation!!!!.
Ananja wewe ni kiumbe unae tumia kichwa chako vizuri
nakuelewa sana mzee wang
Sio sahihi mungu anasema hawatakuwa hawatakuwa radhi mayahudi na wakirsto mpaka mfuate Mila yao.hiyo sio hoja ya utanzania tatzo hao maimamu hawapo sahihi katka naamuzi ktk dini.sio tatzo elimu tatzo kuwa na ustiqama jee! angekuwepo mtume angekubali kufanya.tatzo la maimamu be wetu wamenunuliwa na viongozi was dunia
Umerudia kusoma ulichoandika ?
Mungu akupe maisha malefu sana mchungaji
Safi sana mchungaji ukiwa borne town unakuwa mwerevu zaidi wa shamba hawatakuelewa. Umeongea vizuri inategemea watu wameudhuria kwenye dhehebu lingine wamefuata nini pia umehimiza watu kulima, kufanya kazi watanzania wengi wanapenda kudeka wanakwepa kuwajibika hayati Magufuli aliliona hilo akawapeleka msobe msobe vijana wengi wanapenda kujiremba na kutunzwa usichoke mwalimu.
Barikiwa sana mchungaji
Mchungaji upo vzr mungu amekipa uwezo mkubwa mungu akubariki
Huyu mzee akili nyingi sanaaa
يَأَيُّهَا النَّاسُ إِنَّا خَلَقْنَاكُم مِّن ذَكَرٍ وَأُنثَى وَجَعَلْنَاكُمْ شُعُوبًا وَقَبَائِلَ لِتَعَارَفُوا إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَنْقَنَكُمْ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ خَبِيرٌ
Enyi watu! Hakika tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke, na tumekufanyeni watu na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi miongoni mwenu mbele ya Mwenyezi Mungu ni yule aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi na Mwenye khabari
Mzee ningekuwa Mwandishi hapo ningekuuliza hiv " kati ya mchungaji na wazazi ,nani anaweza kukubariki " ?
Alishawahi kujibu kuwa ni wazazi tafuta clip clip za miaka mingi
Ubarikiwe
Kesho kutwa wakristo wenzake watamkata
Mchungaji Hananja Mungu akupe afya na nguvu na maarifa zaidi.
Ukweli nikua unaongea ukweli.
Tuko pamoja!!
Apana ,Mtumishi uko katika kweli.
Mtu awezi kukataa mwalimo,pili Dini zote anaye juwa ni Mungu.
Zidi ya yote, Dini mbaya ni ile yenye kuhuwa na kuaribu.
Nakukubal
Hongera sana mchungaji❤❤❤
Saf sana mzee
😂😂😂😂😂😂😂😂 Huyo ndio Hananja bwana unanikosa sana babaangu wewe Mungu akubariki sana
Wewe ni mtu wa haki unaekubalika na kila mwenye akili na imani ya uwepo wa MWENYEZI MUNGU mtukufu
Mungu akulipe maneno yako ukweli kabisa
Natamani ningekuwa na ubongo ka mzee hananja
Wewe kweli ni mtumishi nakusikiliza sana Yani una nimalizia bando
🎉una upeo saana baba mtumishi
Mtangazaji kuwa makini na maswali yako yanalenga uchonganishi kwenye imani za watu usije ukajutia maswali yako
Hongera mchungaji uyasemayo Ni sahihi, , na wachache wanaoelewa hayo, ,baadhi ya waislamu wahamisjha ugomvi sio Amani,
Mimi ni mkristo lakini Nakubali kabisa Hananja alifanya vizuri Sana kuitika mwaliko
Nakukubali baba❤❤❤❤
Mchungaji Hananja usiongee sana ukapitiliza, wewe ni mchungaji mtu wa imani unasemaje pengine mbingu haipo?? Siku nyingine utawaambia watu habari za kwenda mbinguni wakuelewe?? Acha ukomedi ktk kila jambo
Don't pretend like you know too much.
UMEONGEA VZR SANA NA HUYU DADA ATAFANYA KAZI NZR SANA YAANI MUANDISHI WA HABARI
Babu kamaliza wanao penda udini mnapigania pepo je niyakwenu ua kama hakuna pepe je mmeuwaniya nini😮
Huyo nawewe akilizenu nyote sawa
@@maalimhamad1297kwani baba Ako aliwahi kufika peponi? Hebu mwambie atume kwene status tuone peponi pakoje.
Nakukubali sana mchungaji una busara 🎉😊
Mashallah.. maneno Yako yapo sahihi...
Mashallah mi n muislam ktk kenya , huyu mzee ana busara xna
Hawa ndio viongozi wa dini tunaowahitaji Tanzania
Safi sana wewe mzee ni mwamba sana aisee
Hananja ni Genius anaelewka sana🎉
Uko vzr mchg, ss sote ni wamoja
Akili nyingi sana mzee nakibali
Busara imetawala hapa
Kweli wata wa zamani walikua na masuria na c vibaya wake wa4 kafundixa mtume muhammad (SAW) alivyopewa Quran mathnaa wa thulatha warubaa
Muhamad kaingiaje hapo anaongelea mfalme sulemani au muhamad nae alikuwa mfalme duh!
@@jpmanotaofficial639 Muhammad (SAW) unamjua kwanza?
Anazeeka vibaya sana wazee wenzie wanabusara🤷
Mzee maneno yako mazito yanaitaji yachukuliwe nawatu wote
❤❤❤❤❤❤❤
HUYU BABA ANA MADINI ADIMU SANA
Mzee wangu una busara sana mzee wangu Allah akujalie .
Mzee unaakili sana
Uyu mchungaji anahekma sana
Hananja tunakupenda sana waislam....
Yupovizurisana
Ni Bakwata jamani msimlaum mzee hananja
Nmekuelewa sana mchungajii
Somo zuri kuhusu utumishi wa Mungu 🕌⛪️☝🏿
Mzee wabusala
Uko sahihi mchungaji
Safi sana..Hawana..Elimu!!!
IMANI ZA KISHOGA KUFUNGA NDOA👀👀😂😂😂
utafungaje ndoa wakati unaowa owa hovyo wake wa nne4 utamvisha pete nani umuhache nani
Kwahiyo ndugu zetu waislamu mambo ya ndoa mtaangalia kwa mbali kama balamwezi 😂
@@jpmanotaofficial639 Tutawabarikimashoga kufunga ndo kanisani🤣🤣🤣👀
Heshima yako bradha👏
Wewe mzee,acha uongo, MUHAMMAD alienda usiku mmoja na akarudi,akaeleza kila kitu paka jinsi kulivyo huko mbinguni.na alikutana na Mola wa viumbe wote.kasome!!!
Prove
U want a prove,how do u want aprove n I can't believe!,go n read in Islam it's there very open.
U can't believe,there is an interesting story abt Muhammad sw wen he went to heaven.ucan even Google on ua phone
Muhamad gani alie kufa kwa sumu au kunamwingine alie mbaka haisha au unamuongelea muhamad sala mchezaji wa Egypt 🇪🇬 🤔
@@jpmanotaofficial639 sawa iko siku utakuja juta,utatamani dunia ianze upya lakini majuto yako siku hiyo hayatakufaa kitu.endelea kupinga eti mnaona mnaudhi waislamu.kila mtu atalipwa sawa na vitendo vyake,kumbuka hayo unayoyasema pia ni katika vitendo vyako.utalipwa tu.endelea kucheza
point wewe ni mtu makini
Fact mzee upo vizuli
Naombeni namba ya huyu mzee
Mashallh 🙏🏽☝🏽
Hongera Mchungaji.....
Na traffic waache rushwa
Una baya 🙏🏻
Naungezaliwa uchawini.....?
Tafuta haki acha kurithi mzee. Otherwise nakukubali na kukuthamini sana .
Baba nakupenda buri
Upo vzr Mzee
Mwamba ❤Unajua
Genius
Kabisa
Nice
❤❤
😂😂😂
Mbego nina mkasa nitafute
Uko vizuri baba!
Mama Samia pambana na rushwa tunakuomba mama rushwa imezidi nchii hii
Mchungaji yupo sahihi, binafsi naamini imani zote zinazo fundisha utii, waaminifu, upendo, na kumtii Mungu zipo sawa.
Baba umetisha❤❤
Masha Allah Amiiin.
On point
Sahihi kualikana ,Ila Ni lazima Uwaeleze UKWELI kuwa YESU NDIYE NJIA YA KWELI ,NA HUKO KWENYE UISLAMU WAMEPOTEA ,,,...LAKINI NAONA MCHUNGAJI HUNA USHUHUDA KABISA KABISA. Humjui Allah ,UNASEMA ,unamshukuru.....ALLAH SIO JEHOVA BABA ,,,,HAPA LEO NIMEJUA WEWE BADO SANA..
Allah, Jehova, Mungu, God, ni lugha hizo mkuu. Siyo imani.
###Yohana Kwani wewe lugha yako ya kijijini huyo muumba mbingu na ardhi huwa mnamuitaje?
Maana kwa uhakika wewe si mswahili wa mjini, una lugha yako ya kijijini, hivi Yehova huwa mnamwitaje?
Hujuwi ulitendalo usamehewe
Jamaa ni empty knowledge ALLAH, JEHOVAH, BUDDHA, JAH, GOD, izo ni lugha tu za watu kw Kiswahili ndo MWENYEZI MUNGU.
Bomu lingine hili linaweza tulipukia
Udini ni sababu ya kuharibika África
Mch Yuko vizuri kwa majibu