UTACHEKA MAFUNDISHO YA MCHUNGAJI HANANJA/ HAUWEZI KUONA PISI KALI UKIWA NA NJAA/ SADAKA SABA/ NGADA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2024
  • All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
    Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
    Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 24

  • @rwizamtugwarwiza9022
    @rwizamtugwarwiza9022 หลายเดือนก่อน +1

    Mch yupo vizuri sana binafsi namkubali sana

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 11 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu Anaongea Utadhani Amemeza Kengele, Huna Haja hata ya Interview, Unamkaribisha Studio Saa Nne Asubihi Unamuuliza Mchugaji Ni Aje, Basi Jibu lake Linaishia saa 7 Mchana! WTF!

  • @rwizamtugwarwiza9022
    @rwizamtugwarwiza9022 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa

  • @gpupinternational
    @gpupinternational 4 หลายเดือนก่อน +2

    God bless you pastor Ananja❤.

  • @user-ui1qs9yl1n
    @user-ui1qs9yl1n 2 หลายเดือนก่อน +1

    UGONJWA WA ROBA KOFIA YA MDOMO I LIKE THAT

  • @godfreysiame1196
    @godfreysiame1196 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kila Siku Huwa Silali Bila Ya Kupitia Clip Za Mch. Wangu Hananja Hakika Wewe Ni Kioo Cha Jamii Lkn Pia Watukumbusha Tuishi Tukiyatenda Yaliyo Mema Na Kumjua Mungu Kiundani Hivyo Nakumbuka Ulisema Ktk Kitabu Cha Yesu Kristo Kuwa 'Mtaifahamu Kweli Na Kweli Itawaweka Huru'

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mm muislam lakini mchungaji huyu nikimsikiliza Kuna vitu vingi najifunza Tena huyu Mzee ana kitu moyoni ila nakuombea mungu akupe mwisho mwema usife mpaka usilimu

  • @naphtalkingori8811
    @naphtalkingori8811 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mchungaji Hananja nimekukubali kwa analysis yako.

  • @IsraeiMwankwasya
    @IsraeiMwankwasya 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi namuelewa sana huyu mchungaji anaongea kweli tupu

  • @ashirafabdallah9171
    @ashirafabdallah9171 4 หลายเดือนก่อน

    Namfurahia sana mzee wetu

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 6 หลายเดือนก่อน +2

    SIJAWAHI ONA MCHUNGAJ KAMA HUYO TOKA NIUMBWE....YE ANACHANA TU UTAJUA WEWE.

  • @user-xq9nf8qm8v
    @user-xq9nf8qm8v 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli Hananja,akili kubwa mno.

  • @odanmmbaga9806
    @odanmmbaga9806 5 หลายเดือนก่อน

    Mchungaji Yuko vizuri

  • @katabaroonlinetv9688
    @katabaroonlinetv9688 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa Bando linaenda kihalali sio zaylissa mara manara media zote zimehamia kwa manara

  • @eryclassictz6011
    @eryclassictz6011 6 หลายเดือนก่อน

    Uyu mzee nilikua smuelew ila now namkubar sanaa coz anahubir vitu ving sanaa, din,ndoa,mitandao,biashara

  • @OliverKibet-ox6eb
    @OliverKibet-ox6eb 5 หลายเดือนก่อน

    Mzee mwenye busara🎉

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera baba

  • @EliasiSabuni
    @EliasiSabuni 4 หลายเดือนก่อน

    I'm aprishate

  • @odanmmbaga9806
    @odanmmbaga9806 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @Ommylayzah_tz
    @Ommylayzah_tz 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mzee apewe uwaziri

  • @danielmaikuva1647
    @danielmaikuva1647 5 หลายเดือนก่อน

    Natamani mawasiliano ya mchungaji huyu tafadhali natamani kuongea naye binafsi.Niko Kenya

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 4 หลายเดือนก่อน

    Mchg hananja unapiga singeli ya ukweli mtupuu

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetz 6 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂

  • @rwizamtugwarwiza9022
    @rwizamtugwarwiza9022 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa