UTACHEKA MAFUNDISHO YA MCHUNGAJI HANANJA/ HAUWEZI KUONA PISI KALI UKIWA NA NJAA/ SADAKA SABA/ NGADA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ม.ค. 2024
- All the African Music. Hottest SHOWS... Mapinduzi Ya Burudani
Times FM Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz - บันเทิง
Mch yupo vizuri sana binafsi namkubali sana
Huyu Anaongea Utadhani Amemeza Kengele, Huna Haja hata ya Interview, Unamkaribisha Studio Saa Nne Asubihi Unamuuliza Mchugaji Ni Aje, Basi Jibu lake Linaishia saa 7 Mchana! WTF!
Barikiwa
God bless you pastor Ananja❤.
UGONJWA WA ROBA KOFIA YA MDOMO I LIKE THAT
Kila Siku Huwa Silali Bila Ya Kupitia Clip Za Mch. Wangu Hananja Hakika Wewe Ni Kioo Cha Jamii Lkn Pia Watukumbusha Tuishi Tukiyatenda Yaliyo Mema Na Kumjua Mungu Kiundani Hivyo Nakumbuka Ulisema Ktk Kitabu Cha Yesu Kristo Kuwa 'Mtaifahamu Kweli Na Kweli Itawaweka Huru'
Mm muislam lakini mchungaji huyu nikimsikiliza Kuna vitu vingi najifunza Tena huyu Mzee ana kitu moyoni ila nakuombea mungu akupe mwisho mwema usife mpaka usilimu
Mchungaji Hananja nimekukubali kwa analysis yako.
Mimi namuelewa sana huyu mchungaji anaongea kweli tupu
Namfurahia sana mzee wetu
SIJAWAHI ONA MCHUNGAJ KAMA HUYO TOKA NIUMBWE....YE ANACHANA TU UTAJUA WEWE.
Kweli Hananja,akili kubwa mno.
Mchungaji Yuko vizuri
Hapa Bando linaenda kihalali sio zaylissa mara manara media zote zimehamia kwa manara
Uyu mzee nilikua smuelew ila now namkubar sanaa coz anahubir vitu ving sanaa, din,ndoa,mitandao,biashara
Mzee mwenye busara🎉
Hongera baba
I'm aprishate
Safi sana
Huyu mzee apewe uwaziri
Natamani mawasiliano ya mchungaji huyu tafadhali natamani kuongea naye binafsi.Niko Kenya
Mchg hananja unapiga singeli ya ukweli mtupuu
😂😂😂
Barikiwa