MZEE MAKAMBA AWAVUNJA MBAVU RAIS SAMIA NA KIKWETE AKISIMULIA ALIVYOPATA UPOFU GHAFLA - "ACHA NISEME"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 31 มี.ค. 2022
- MZEE MAKAMBA AWAVUNJA MBAVU RAIS SAMIA NA KIKWETE AKISIMULIA ALIVYOPATA UPOFU GHAFLA - "ACHA NISEME"
Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu Hassan, ameongoza mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa, kinachofanyika jijini Dodoma.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Jizi kubwa hilo, hakuna lolote, nchi inaliwa Kama vitumbua. JPM gone, wote wezi wakubwa wamerudi!
Ccm mliiua ikaja magufuli akaifufua. Leo magufuli kaondoka mmefurahia mnanena yenu mmerudi kwa kasi mnaenda kuiua ccm kama mlivyoiua kabla ya 2015
Makamba makamba makamba nakupenda sana, yaani naimani iko siku nitapiga hata picha na wewe, pia dada angu jamani samia nakupenda sanaaaaaa, ila iko siku hata nitakushika hata mkono. Nakupenda mama samia Sanaa, piga kasi dada angu samia
Maghufuri ndoalifanya ccm isimame sasa subili 2025 mtajua hamjui
Kama Mungu katuchagulia Samia basi Mungu hatupendi
Haaa haaaaaa balaa
Nimeshangaa Huyu mzee kaupata kura 100% Nimeshituka. Bado tuna nchi ama TANZANIA imerudi kwa wenyewe? Na Watanzania tumekubali, KATULOGA nani?. CCM lazima watoke madaraka na legacy ya Hayati Magufuli iendelee. Huyu mama kawadanganya Watanzania. Samia hakuteuliwa kuwa Rais.
Yaani mama napenda sana unavyo cheka...Mwenyezi Mungu akuweke..Ameen Ya Rabbal Alameen
Waramba asali
Chama kinaenda kufa naiona Tanzania mpya yenye chama kisicho cha kinafiki
Great job political by nature
Ccm oyeee...
msiongee sana hamjui kesho kitaibuka nini....? , " PALE UNAPOFIKIRI UMESIMAMA , ANGALIA USIANGUKE"
MAKAMBA NI MTU MZURI SANA YEYE NI MUISLAM LAKINI ANAWAAMBIA SOMENI BIBLIA. SAFI SANA MAKAMBA.
Wez wakubwa nyie mnakiua chama icho
Makamba anafuraha sana kumuona kinana maana anajua kazi ya 2025 imeenda kuisha
Nchi imebaki sasa mkononi mwenu mnafanta mnavyotaka! Nanyi mtakufa tu kama ambavyo mmemfanyia Jpm
Mwigulu unasimama tu ila moyoni unautaka uraisi. 2025 hakuna goli litakaloingia mtafungwa tu tu dakika ya pili
Hapo mtafungwa tu 2025
Makamba kachoka mikopo unafuraia unaona ni asali malipo yake inakuwaje
Mitambo sasa dah
Lazimaa tuipendeee nchi yetu tuwe na amaani tuwe wazelendo tuelimikee tuwashinde watu wanafki wanapendaaa matumbo Yao wanatishas watanzaniaa tusiwaoogope tuwajibu vizuri kisiaasaa na kuiiipendaa nchi yetu kwani nchi hii imeshatengenezwa na wazeeee
Kikundi cha Mungiki kimerudi
Ha ha ha ha ha mnalamba asali nyuki zimeingia kwenye mzinga wa bibi!!
Ni wakati wa wahuni jmn, tuvumilie jmn
Mpaka lini?
Mnalambaaa?
Unafki mtupu
Kwa kweli siasaa ni kamaa njaa ya Simba kukosa kifarin maaanaa kifaru atamjeruhi Simba lakini Simba hakubali kushindwaaa hivyo watanzaniaa tuelimikee tuwe wajanja tuwe hodari tuwe Makini kuinjengaa nchi yetu siyo malumbano siyo kutafutanaaa na kulipizanaa visasi nchi haitakwenda mbele tuwe tunawajuwa watu waziri na kuwajuwaa watu wabaya waarifu WA nchi yetu
Asali aliyoitengeneza JPM.
CCM has lost direction.
how
Probably you have lost your direction.
@@Abc-kb4zo Hawa keyboard warriors waache tu waropoke.Wamebakia matusi
@@abdulkatalango2890 yo can see for yourself. All the corrupts are back to the government. Tanzanians are not fools. CCM can’t chose a president for them. The woman does not qualified to lead us. She lied to Tanzanians.
@@gracegrace6200 hao wala rushwa unaodai wamerudi ni kina nani na lini walikamatwa kwa kosa hilo au ni chuki zenu na nyimbo mnazoimbishwa? tuliambiwa lowasa ni fisadi na tuliibishwa hivyo lowasa aliondoka ccm na baadae alirudi na kupokelewa na magufuli sikukuona miss english kushout mifano kama hiyo ni mingi alichofanya magu hata kama wakati mwingine alifanya kinyume na sheria na taratibu kwenu kilikuwa sawa ila akifanya mwingine inakuwa haramu
CCM wote waizitu
Mnanenepa kwakodi zetu alafu mnatunyeya mikononi 2025 mtaimba kuru lakini pulesha mtauguwa katiba mpya
Ccm nayo iona Leo niile nilio ichukia miaka Sita au sabailio pita ambapo mambo mengi sana yamikuwa ya ajabu sana
Nawaomba watanzania wakrito kwa waisalamu Kila mtu kwa dini yake tuiombee sana Tanzania