RAIS SAMIA ASHIKA KICHWA, MZEE MAKAMBA AKIWACHANA CCM "TUACHE UNAFIKI, TUAMUE LEO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- RAIS SAMIA ASHIKA KICHWA, MZEE MAKAMBA AKIWACHANA CCM "TUACHE UNAFIKI, TUAMUE LEO"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kama unayapenda mazuri yote aliyofanya hayati Magufuli weka like zote hapa👍
jl
❤😂
JPM was surrounded by wolves in shèeps clothing. RIP Magu.
Magufuri tutakukumbuka milele baba pumzika kwa amani kipenzi cha moyo wangu💔💔💔😭😭🙏🙏
Rest in peace dady
R.l.p rais wa wanyonge 😭😭 tulikupenda na tutazid kukupenda daima😭😭 baba yetu
Wema hufa mapema, Rest in Peace Magufuli
Mabaya hubaki ili yatubu badala ya kutubu yanabwabwaja tunajiuliza kwa mini Raid wakristo tu huaga dunia??
Ndiyo ukweli ndugu pumzikeni salama viongozi wetu NYERERE MKAPA JPM
Rest in peace Magufuli we are always in our hearts 💕
We are always in our hearts ndo nini sasa 🤔🤷🏼♂️
Tafadhali, ungetumia lugha unayo ifaham vizur ili tuelew vizur dhamira yako
😂😂😥🙏
Yah we missed him because no zanzibar killed yet, no more bullets like for Lissu, no founds peoples died in the sea, no others like Azori and bensanane and Ali Juma...........................
Hilo Ni kosa la simu ya TECNO..🤣🤣
CCM imeshakufa, tunasubiri mazishi yake.
Mazishi ni mwaka 2025
Achen kujipendekeza kwan mama anatakiwa kuambiwa ukweli, nchi imemshinda kwan hakuna anacho kifanya zaidi ya madudu
😂😂😂Wakati wenzangu mnahuzunika na hii kauli mi ni yatima lakini nimejikuta nacheka tuu. Nimejaribu kumtafakari Mungu nikawaza angekuwa ni mwanadamu halafu anasikia kauli jeuri kama hii. Ooh Mungu si wa hasira ni mwingi wa rehema,ametupa utashi tuchague wenyewe. Mungu nakuomba rehema kwa huyu mzee hajui asemalo, mpe uzee mwema, utakaokuwa na tija kiroho utakaokuwa na uwezo wa kujua jema na baya kwako. Kamkumbushe nafasi yako kwetu wanadamu uliotuumba.
Amina
Amen
Ni kweli Mungu amrehemu
Anajua tu!!! Na uzee wake wote ule asijue 🙄
Huyu mzee ni hatari sana anaweza kuwagawa hata waccm wenyewe
Kabsaaa
Huyu mzee bhna bas lem keep quiet
Wazuri hawafi nazani mama yerere mama mkapa mama magufuli wamelia Sana kauli hiyo daah mzee huyu mjinga Sana mungu atalifanyia kazi kaulihii
kwaiyo walikufa ni wabaya
Jamani!!
Yaani, Siku zote Mungu hutusikia na hutizama Yale yote tunayomtendea....Huyu Mzee makamba Kwa akili yake hiyoo amemkufuru mungu Kwa kiasi Kikubwa sanaaaaaaa.....Hapo inaonesha kuwa alikuwa hampendi Magufuli
Kumbe uhovyo wa January Makamba karithi kwa baba yake, najua anapalilia ugali wa mwanae ila mama Samia hao wanakudanganya tu piga ua galagaza 2025 CCM lazima ikufie mikononi, kama huamini tuma watu waje huku mitaani wakufanyie utafiti wakawaida ktk vikundi vya watu mbalimbali utapata majibu, kiukweli kila mtu hakukubali kabisa kwani hata hiyo 2025 watu wanaona mbali sana, ila watu wako wa karibu uliowateua watakudanganya tu kwamba usihofu utashinda kwa ajili ya kulinda position zao kiunafiki - Ulichoharibu mama ni kuonyesha waziwazi Ile tu ulivyoingia kumchukia mtangulizi wako Magufuli na kugeuza njia, misimamo na imani (attitudes) zote alizozipandikiza kwa watu ambavyo kiukweli ndivyo vilivyosaidia Tanzania kuanza kung'ara duniani, Kwa misimamo yake, tuliingia uchumi wa kati tukiwa katikati ya janga la korona, watanzania heshima ilipanda duniani, miundo mbinu bwelele kila mahali, hivi Sasa mama tumerudi kulekule mwaka 47 watu wanafanya wanavyotaka, mama watu wa magharibi wakikusifia sana ujue umeshanasa kwenye njia zao Ili waendelee kukunyonya, hakuna mzungu anaetaka eti akusaidie uwe powerfully kiuchumi kama yeye Sasa atamnyonya nani ? Kwa nini Marekani hamtaki mchina au mjapani ? kama kweli wana Nia ya kusambaza upendo wa kwamba kila mtu ainuke kiuchumi ? somo Hilo mama, ndio maana Magu walimchukia kwasababu alishawastukia... RIP JPM.
2025 mama ashapita bila kupingwa, Ccm mbele kwa mbele aietaka aende kutengeneza chama chake
Sio wote unaowaona wanatembea barabarani ukajua wanaakili timamu, wengine akili zilishakufa amebakiwa na box tupu kichwani.
Miizi mikubwa hiyo bila kubadilisha katiba yataiba nikelo Kubwa hicho chama kipo ajili ya matumbo yao
Mzee umezeeka vibaya hata huyo mamaako Hera nizake ccm muage naakili ndio aliokua anasema bashiru hela Kodi za wananchi
Unajidanganya sana na upuuzi wako, huyo magufuli mnaemsifia aliiba kura na kubaka matokeo Sasa akili kichwani mwako
Alie gundua uyu Mzee Amezeeka vibaya amna kitu kichwani..
Tena unaambiwa ni mkorofi vibaya 😁😁
Rest in HEAVENS uncle Magu 😢
Team magufuri paka kufa mimi namagufuri siangaiki kupiga kula atakae pita ndio huyo mungu nijalie mwisho mwema
kaka muda ukifika akiwepo mgombea mzuri kampigie kura ndio dawa ya kuyaondoa haya mabuku
acha ujinga hupigi kura!!! Kwahiyo magufuli atakuja kukuletea dawa hispitali au barabara huyu amemaliza mwendo wewe piga kura
@@jeniphanzeran8231 ukitilia maanani wenye uchungu na imani ya taifa wapo . na watajitokeza hapo mbele . Tanzania inahitaji kukombolewa kwenye mikono ya wezi na walafi walio jimilikisha hii nchi kwa muda mrefu na kuidumaza kimaendeleo
Umezeka. Vibaya
@@jeniphanzeran8231 nioneshe mzarendo nikampigie kura 🤣
Body language ya kikwete ina onekana kuna sehemu ambayo Mzee ametereza kiasi kikubwa 🙆🙌😄
Asante coz umeliona hlo
Wote ni hao hao tu!
Nimemuona hajui la kufanya tu
Jk hakupenda kabisaa anamuona km kachanganyikiwa huyu lopolopo amekuwa.jua limeshazama inaonyesha na gari imeshawaka hiyo.
@@bahiyalumelezy3016 asingependa kaur hizo asingecheka bana hivi watanzania huon hata pc kuwa kaur hizo zime mfurahisha kikwete? tazama tena kwa mara ingine uelewe vizur yaani kikwete kafurahiya kweli alivoambiwa yeye ni mzur hafi kacheka sana so wanamtuma nandio maana wanampa hata umwenyekit jana tu wamemchagua tena kuwa mwenyekit wa makatubu sasa sijui mnalionaje hilo anaongea mavi na wanampa cheo
Huyu mzee anahati miiliki ya dunia ataishi alinde dunia kwahiyo sisi yatima wazazi wetu waliokufa walikuwa watu wabaya 😭😭😭
Mmmmmm
Mungu anamuona lakini
Rabisi
Mama nafikiri ujumbe umeupata ukitoboa 2025 mungu mkubwa
This man should rest "niujinga tu ipo kwa kichwa yake"
Shida miaka.mingi huyu mzee akiongea watu wacheka, mzee wetu anahisi yuko Sawa lakini it's high time akosolewe, amenisikitisha Kwa waandishi
Docƙita.wakala
Kwanin.uteseke.wakat.dockita.wakala.yupo
Magufuli ni rais wa aina yake tofauti na watanzania wengi. Ndiyo maana baada ya kifo cha Magufuli sifuatilii tena habari za Tanzania. I am from Bujumbura
KWAHIYO NYERERE, MKAPA , MAGUFULI, KIJAZI Ndo wabaya waliokufa . KUNA UDINI UKO HAPA
Wewe ndiwe mchochezi kaambali tukikuambia Italia yote huja yaona umeona Hilo wakitawala wabaya nchi inalia dhuluma umangi mezaa ngoja nikubakishe hapo
@@professorwangwande1752 lini dhuluma imetoweka Tanzania?
Mungu atawaonyesha watanzania ukweli, Mzee huyu anakiburi cha uzima " Kweli watu wazuri awafi kwa mujibu wa Mlamba Asali baada ya kifo cha Rais Magufuli" tunapaswa kutafakali vizuri maneno haya yanaukweli Mkubwa ulionyuma ya pazia. Naliona giza zito katika nchi yetu ukweli unaongea daima RIP Magufuli ukweli unaongea daima.
Ina umaa
Wazuri hawafi maana yake mazuri yao yanaendelea kuwafaa watu hata kama wao wamekwisha kuondoka duniani heroes get remembered &Legends never die🇨🇩
Kuongea sana jukwaani Kuna kuharibu umeongea kauli tata Hadi watu wameshtuka na kutulia ukumbini uyo mzee cku nyngne asiruhusiwe nafasi Kama iyo Rais tunamuitaji Majaliwa 2o25 Hadi 2o35
@@Desireyakubu ndomaana Kikwete hajafa
@@elensaid1508 hakuna ambae hatakufa
Bado tunakazi kubwa sana nchi hii
Unasema hili mwanao aendelee kutumyanyasa hovyo
Ety wazuri hawafi. Jaman kwelii, kauli hiii inaonyesha kuwa huyu mzee alikuwa hampendi uncle magu kabisa afu anakelaaa kinoma, sie tumemkumbuka rais wetu tuliempgia kura jpm hao wengne mmmh sinajibu walitoka wapi rest in peace jpm nyerere mdgo
Ccm wanajisaha sababu vyombo vya habari vyote ccm watangazaji wote ccm hawawatu wakimbilia ccm kwa sababu gani vyeo au watanzania tunateketea haya mambo si sawa vijana
nashindwa wewe mzee nikuweke katika kundi gan
Kafie huko mbele mzee unajipendekeza .mungu yupo rest in peace magufuli
Wewe mwenyewe utakufa mbwa ww kwa hiyo wazazi wetu walikua wabaya kipenzi chetu magufuli alikua mbaya kwa sababu kakuinua wewe mwanamke na kumfukuza huyu jambazi makamba kinana na maendeleo tumeyaona mnaiba pesa tu maisha magumu nyie na watoto wenu mnaishi vizuri Bashir u anajielewa sasa 2025 mtaisoma namba tutalinda chama kwa kuweka kichwa tu mikono vidole vyote wapinzani.
Makubwa nahama CCM, aibu tupu RIP MAGUFULI
Fanya hivyo na pole kwa kuchelewa kuwajua hawa sio hiki sio chama sasa mzee wa hovyo kama huyu anasema unaogopa katiba??? Seriously 😐 ndio maana samia haifati katiba
You are not a CCM potea tu
Mzalendo, ilikuwa ccm unafanya Nini? Mbona asilimia 90 ya watanzania walihama siku nyingi tu? Wanaogopa risasi za mapolisi wa CCM tu na ndo maana wamekaa kimya.
Kweli chawa hata wazee wapo
KUUPIGA MWINGI
Kwa mara ya kwanza ndani ya chama na serikali lilitumiwa na nani, wapi, na alikuwa akitoa ujumbe gani ndio tatizo kwa walio wengi linapoanzia!
Ilikuwa ni kulinganisha viongozi wawili, mtumiaji wa msemo huo alihusisha kadi nyekundu na ya njano pia kwa viongozi husika!
HOTUBA ni muhimu mno maana humdhibiti mzungumzaji na hupunguza makosa ya kihisia, uropokaji, jazba, nk!
R.I.P Magufuli , tulikupenda na tutaendelea kukupenda daima 🙏🏾
Umenena kweli kiongozi binafsi hata machozi yananitoka nikikumbuka JPM na watu wanavyomdhihaki kwa jeuri ya uhai waliopewa na MUNGU pumzika salama baba JPM
Sas hapo Magufuli anafata nn kwenye Chama Mze??? au ndo kujikombakomba Tena kisa mpo huru sawa bhana tukutane 2025 nyambua mkubwa
Hii dhana ya Rais kuwa ndiye mwenye Fedha ni dhana potofu sana. Inaua morale ya wananchi kulipa Kodi. Ni lazima wananchi waambiwe Maendeleo hayawezi kuja mpaka walipe Kodi. Fedha ni za wananchi na wenye Nchi ni wananchi.
Hayo yalikuwa mawazo ya Magu sio sasa
Samia anahela kazitoa wapi anauza nini makamba kafe mbele hizo ni kodi za watanzania azokopa mnakula tulipe cc yatima na wajane makamba mtumzima ovyo dashi mkubwa wewe unategemea vya yatima na wajane mpaka kifo chako hutauona ufalme wa mungu na utaadhibiwa hapahapa duniani .
Sahihi kabisa nasisitiza kila mara nguvu kubwa iwekwe kwenye kufundisha elimu ya Uraia ,watoto na watu wote waijue historia ya nchi yao,katiba yao,wajibu wao,na nini wajibu wa serikali kwao badala ya kuweka nguvu kubwa watoto wajue kiingereza tu,tunatengeneza msiba mkubwa huko mbele..
Mnafiki wa kwanza ni wewe umesema wazuli hawafi maanayako nini? Umejipa uungu umekosea sana na umepoteza sifa
Wewe Mzee hovyo kabisa eti watu wazuri hawafi
Huyu Mzee hovyo kweli
Kumbe Samia anaharibiwa na vizee hivi!
Ndo maana hafurukuti!!!
InshAllah MUNGU Mwenyezi yupo na ss waTz...2025 nataman tuwaoneshe nguvu ya wanyonge
We mzee mpuuzi wewe mtakuja jutia na hilo genge lenu la mafisadi. MUNGU YUPO ATATOA HUKUMU.
Mm nauhakika asilimia 95 ccm hawataweza kuingia peponi,Tena Hawa ndo watakuwa kuni kule mbngun
Pole mama magufuli mama yetu jipe moyo maneno hayo tunajua yamelalua moyo wako na sisi pia
Yaani Kwa kauli hiyo ya kwamba watu wazuri hawafi na kutoa mfano Kwa Kikwete pamoja na Kinana....hiyo Ina maanisha kuwa John. Magufuli alizungukwa na watu wabaya wengi sana humo humo ndani ya Chama..na waliokuwa wanatamani waone siku amekufa Ili wao wafurahie
Makamba ccm bila polis hamtoboi kwenye uchaguzi
Hakika mnafiki ata kua katika daraja la chini kabisa katika Moto WA jahannam
Kumbe kuna wazee hawamjui mungu kabisa eti wazuri hawafi jakaya yupo kwa sisi watanzania tunasema asante kwa kauli yako mungu anakuona mzee makamba
Acha wabwabwaje in upumbavu kushindana na marehemu
Nakupenda sana Mama Samia. Nadhani unaona panapovuja... A Lot of pretenders.... Hawatakuweka salama hawa. You better mind what you think and feel, Hii ndio Miruzi ya kumpoteza mbwa. MY CONDOLENCES KWA FAMILIA YA MTOTO WA AFRIKA, OUR FOR EVER BELOVED JPM.
Hapo mzee umetereza,unaposema watu wazuri hawafi ndio maana kikwete na kinana wapo,kwahiyo unataka kuwaambia umma wa watanzania kuwa MH.Magufuri alikufa kwakuwa alikuwa na roho mbaya? Kauli hiyo itakutafuna wewe na kizazi chako
Muogope mwenyezi mungu..huo ni ugali unatetea Kwa mwanae..ila mungu atawaona hata nyinyi mtakufa tu.umauti hautamiacha mtu
Hana lolote huyu Mzee anajipendekeza kwa Rais ili Mwanae aendelee kula bata
Maana yake ni kwamba magu alikuwa mbaya ndo maana alikufa loooo mzeee hata we ni mzuri saaaaana ndo sababu unaishi bado
Ama kweli Magufuli alikuwa amezungukwa na fisi wenye njaa na wanafiki
Mmmm serekali yetu wacha tuishi tu na tusubili mungu atakapo tuchukua turidhike naviliopo 🙏🙏🙏🙏🙏mungu nipe mwisho mwema
Ubaya WA magufuli wetu niikuipenda ichi yake pamoja na kupenda wanaichi wake NDIO ubaya WA magufuli hata nyie mtakufa,
Miss you Magufuli kipenzi cha wa Tanzania saivi kukosa maji Umeme ni kawaida na hurusiwi kusema.
Hapo ndipo inadhairisha walamba asali msoga timu majipu ndio mliomuangusha magufuli damu nzito mnapayuka payuka na kuwafungua watu ninyi ndio wauaji mungu amlaze mahala pema peponi jpm tulimuelewa amina
Hata Mimi nawaza hivyo hivyo, wamemuua sasa wanasheherekea kweupe peee bila aibu na kashfa Tele as if wao ni Mungu
Rest in peace jpm
Mzee umeongea pumba nying 😂
Mzee Makamba anasema watu "wasibanwe na Katiba, wala wasibanwe na kanuni" wavunje tu mradi watimize lengo lao.Anasahau Baba wa Taifa Mwl Nyerere katika hotuba yake mwaka 1995 Kilimanjaro Hotel aliwahi kusema "Mtu asiyeheshimu katiba hatufai" Tena Mzee Makamba nasema wazuri hawafi" maana yake Hayati Nyerere Hayati Mkapa, Hayati Magufuri walikufa kwa sababu walikuwa watu wabaya sana.!!!! Wazuri wakabaki Marais wastaafu walio hai leo na uongozi wa awamu ya sita na yeye mwenyewe mzee Makamba,watu wema sana ndio maana wako hai hadi leo. Hii inaonyesha udhaifu mkubwa wa huyu mzee kupima maneno ya kusema sifa zinamzidia hadi anakufuru. Ndiyo maana Ukatibu Mkuu ulimshinda ccm ikataka kufia mkononi mwake. Mwaka 2025 ni siri ya Mungu Mzee Makamba hajui Hilo??!!!
Kizee kinafiki
Kweri watu wote tumebaki mdomo wazi kwa kaulizake waliokufa hawana haki? Kunanini hapo??
Dah umenimalizia maneno
Mungu amsamehe ila tubaki tikijua "vizuri havidumu"
Bahasha ndo inaongea apo
Ila CCM bna, aina hii ya mawazo kwenye karne tuliyonayo tunategemea tufike wapi?
Bashiru kweli mwanasiasa mkubwa mzee Ana zeeka vibaya🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Kabisaaqqa
Mbn Kama Dr.Philip kadharau vile?
Ni ukweli mzeee makamba kakiweka mahapi pabaya chama Cha mapinguzi, hawa wazee wawe wanapewa vya kuongea sio kuongea TU Kisha kapewa mike akakanushe maneno aliyo Sema kuwa watu mazuri hawafi mungu atamwona
yule mzee alikuwa na maadui wengi hadi kwenye chama chake kwa kauli hizi,,
Ee Mungu nijalie hekima nakuzuia ulimi wangu wakati wa furaha!
Maana furaha ikizidi unaweza ukakufuru”
Huyu Mzee asali imezidi mpaka anakufuru.
Imebidi Leo niwakumbuke nilio waona wakiniacha nakuelekea akhera😭😭😭😭😭🥲🥲
Kweli kabisa yaani Mimi ccm naipenda lakini mzee makamba kaniweka jiapanda mama akajipime watu wanalinda matumbo yao kwa kauli ya mzee makamba sio mara ya kwanza kusema hivo
@@enockfanueli3008 ndugu tuwe pole sana wenzetu asali imezidi mpaka wanakufuru.
mchague wewe mzee sisi atutaki
Watu aina hii ndio wanaotuaribia Nchi!
Alie gundua uyu Mzee Amezeeka vibaya amna kitu kichwani..
Kwahiyo unashaulije
Magufuli alikuwa na Hali ngumu kwel
"WATU WAZURI HAWAFI, NDIO MANA KINANA YUPO, NDIO MANA KIKWETE YUPO" WE Mzee Hutakufa mana unajiona Mungu mjomba wako
Kwa hiyo Nabii Musa,Yesu, Ibrahim n.k ni wabaya? Kwa hiyo King Farao( Firauni) aliishi muda mrefu sana ni Mtu mzuri? Na ndo maana wanatuburuza wanavyotaka coz hatufikilii kwa kutumia kiungo kipasacho
@@allyhassan7522 nikwel hawa viongozi wapambe sana hasa watoto wao wakipewa madaraka
Hiki chama kimeozaaa wazee wao ndio hawa wanaongea utumbo idea hakuna sisi wananchi hatuwataki hatuwapend mpo muda mrefu madalakani lakin still mpaka leo ...umeme shida maji shida sepen😏
Njaa inamsumbua sana
@@allyhassan7522 to.q...
Mzeee hii kauli yako si nzuri hata kidogo ni umemkejeli mwenyezi Mungu ila kwa Mungu ndio anaejua zaidiii
Huyu mzee Hana akili
KWA UFAHAM WANGU WEMA WOTE HUONDOKA MAPEMA NA WABAYA HUDUMU MUDA MWINGI TU KAMA WACHAWI NK SASA HII KAULI YA WABAYA NDIO HUFA HARAKA WAPI KAIPATA DUH HII NCHI SIJUI INAELEKEA WAPI
Allah!! Hakulipe hapa hapa Duniani kwa kauli yako,,sisi tulipoteza wazazi wetu walikuwa wabaya na wewe mzuri Endelea kuwepo Alhabdulillah!🙏
Hii kauli kumbe imetuumiza wengi,wazuri hawafi,sie tulio fiwa na wazazi,kaka na wengineo, Mhuuuuuuu
Yaan kila mara hawa watu wanaposimama jukwaani kuhutubia,, nakumbuka JPM,, rip my president 💔💔💔😭😭😭,, ulinifundisha kitu,,, tumebakiwa sas na vituko kwenye MAJUKWA A 😭😭😭💔💔,, NIMEKUKUMBUKA SAN HAYATI JPM😭😭💔💔💔💔
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!😭😭
Kabisa magufuli ni mfanoo
Aisee hata Kama huna hakili lazima uwajuwe wabaya wa magufuli
Wazuri ndio wanakufa Ili wasiendelee kupata visuawishi vya kutenda mema...Mzee tafuta sifa sio usimpangie Mungu usituvunje mioyo sisi tulifiwa na wenxetu.....
Hicho ni kielelezo cha kuvunja KATIBA!! Makamba kachemka !! Ujinga mtupu.
Makamba Makamba Makamba Iam very sorry 🙏
Nimesha juwa Tanzania niya watu wa pwan na Tanga Kama hujuwi ujuwe
Ndo ukweli wenyewe
Wazuri hamfi, walo kufa wote wabaya sio?, mzee tafakari sana ujinga huo ulo ongea,
Najua mnamtusi marehemu Magu ila ngoja mtaona
Kwakaulihii,kifo cha Jpm, kinautata,kumbe wanaokufa wabaya
Mmefeli.25 Tutajua lakufanya.Mzee Yusuph Usijidanganye Tunajua Huu ndio Mwisho Wa CCM.
jamani njaambaya sana kila nikivuta picha je angekuwa rais wetu ingekuwaje nakuwa majibu sina
WAJINGA HUZEEKA PIA' MAVI KWELI MZEE WEWE
Live daaa twateseka yeye anaongea mavi tu apo
Huyu Mzee aombe msamaha kabla ya siku ya kesho kma magufuli alikuwa mbaya ndio maana alitangulia sawa lkn kma nia kuu na malengo ya JPM ilikuwa kuisukuma Tanzania mbele ata yy siku zake chache sana.
Hili lizee ligwadukaji kila kukicha sijji anaenda wapi apunguze mukali siku za kuishi si nyingj hapa duniani makamba tubu!
Aombe msamaha mapema
Tena zimebaki chache sana namuomba Mungu ata yy asiushuhudie uchaguz 2025
Rest in peace shujaa wetu Magu
Yaani mimi, nashkuru siyo Mungu, na Mungu bakia kuwa Mungu Baba,, MAGUFULI WEWE LALA BABA, lakin hakika hutoondoka mioyoni mwetu,,
Nyie watu Mungu na awarehemu ili nchi ipate rehema,
Kuna watu ni watu wazima na ni machawa jitu kubwa kichwani zero Kama magufuri ni mbaya Basi mtuue na sisi wewe mzee ni mpumbavu njooni mnikamate fara weww RIP Magufuri
kaka hawa watu wanalinda maslahi yao hapo ,. ndio maana wanasema vitu bila kijali .
Makamba pengine ana kinyume chake ss hatujamuelewa,WAZURI HAWAFI😳😳 pumzika kwa Amani mama,R,I,P RAIS WANGU MAGU🙏🙏
.
Utopolo mtupu.mtu mzima hovyo.Maghufuli tunakuhitaji jamani .laiti ungekuwepo ,duh sipati picha...kula ni zetu watanzania...
Huyu mzee ameamua kumdhiaki mwenzie alie tangulia mbele za haki eti watu wazuri hawafi kwan watu wote wanao kufa ni wabaya sio daah
Huyu Mungu kama anasikiaga viliyo vya waja wake ninakuomba baba 2025 isiwe ccm madarakan uwaaibishe
Mana wanajikuta miungu watu
Nimekasirishwa na hii speech
Sawa Mzee mungu ameskia kauri yako na Imani ataifannyia kazi maana hata hao wabaya aliwaumba yy hata mwl Julius alikuwa mbaya au unajitengenezea mazingira
Namimi pia hatasina lakueleza bali naomba watanzania tufunguke macho
tunaweza kufanyaje ili tutimize lengo hilo nipo tayari
Dawa ni kujitokeza sana ktk vituo vya kupigia kura na kumchagua yule kiongozi atakae kuwa sahii kwetu sisi wanyonge
Hata kama wanaweza kuiba kura lakin zikiwa nyingi watakosa namna
Sio ccm tu mungu hata yeye na mwanae wasiwepo uchaguzi huo wa 2025 et mama vunja katiba wao ndio walitunga
mmmmm wazuri hawafi wewe mzee akili hazikutoshi nyooo umetukwaza sana mzee mzima hovyooo pole mama Magufuli nadhani umeumia sana hapo ukumbini R.I.P Magufuli 😭😭😭
Jamani tumekwazika sasa mama magufuli amelia tena pole mama yetu
Yaani kweli aisee, Mama Magufuli ameumia sanaaaaaaaaaa, nahisi hata atakuwa ametokwa na machozi mengi na atakuwa amekumbuka mbali sana
"Wazuri hawafi" Duh!!
Haki ya Nani HUYU SAMIA AKITOBOA 2025 MNIITE MBWA NIMEKAA PALE.
Magu pumzika kwa amani tulikumpenda mno ndo mana mungu alikuvuna Mapema. Amina
Слава Украине ✨🇺🇦✨
😂😂😂wna ccm punguzeni unafiki na kiki
Huyu mzee cjui Mungu amsamehe kwa kweli.ujinga si ujinga kweli wametukomoa
@@geofreydamas1697 anatafta ulaji na kiki jaman hamuon au hii nchi ili ije ikae sawa tuombe mungu atokee tena mkristo rais hapo ndo itakaa sawa tena ila hawa kina swara tano hawa aaapana royal tour royal tour royal family 😂🏃🏃🏃🏃🏃
CCM VIPI UJINGA WOTE ANAONGEA HUYU MZEE WATU WANASHANGILIA????HIVI WAAFRIKA KWELI TUKO VIZURI KICHWANI???
Vizee vinafiki sana hivi
Tunaomba Mh January Makamba, umshauri baba yako ajitokeze hadharani aombe watanzania radhi.... Mungu yupo na hadhihakiwi kwa kazi zake. TAFADHALI, FANYA HIVYO
Kwendraaaaaa
Huyu mam kichfuchi 2 wabiye sio haondo mafisadi wazury ndowanatangulia allah amrehm president makufuli 💔😭😭
Hakuna fikra mbaya kama kujiwekea umilele, kwa jeuli ya mafanikio ya matumbo yenu. Kama kweli Mungu yupo tusubiri tuone matokeo ya wazuri awafi. Asante Mungu jiziilishe mwenyewe na liokoe Taifa letu. Ukweli unaongea daima RIP Magufuli.
Wazuli hawafii? ??? Haya bwana
Mzee kakosea hakuna ambaye hataonja mauti
Huyumji nga,anaesema eti,ninakupenda,mama,etihawa,hawatakuacha,salama kubwa jingabumpende,umgo"nge" kazikwako, hautamachasalama,mwenyewe wazalendo,wajpm,hatuna,roho,mbaya kamahizo
Nasiku zote wazuri hawadum😭😭😭😭😭😭😭😭
Acha tu tunyamaze maana maneno mengine mmhh 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Maisha ni zawadi kutoka kwa mungu, kauli ya kwamba wazuri hawafi ni kumukufuru mwenyezi mungu. Kwa hiyo hao jakaya na kinana wataishi milele kwa kuwa wao ni wazuri na wewe utaishi milele kwa kuwa wewe ni mzuri hongera Mzee wetu tumejifunza kwenu tutakuwa wazuri ili tuishi milele. Ndugu watanzania wenzangu na wanaccm wenzangu tuzidi kuwaombea viongozi wetu , kwani uongozi ni msalaba. Mungu bariki nchi yetu wabariki viongozi wa dini na serikali. Amina.
mwehu weee. viongozi gani hawa , wakati nchi ina kila majanga hivi sasa
Mzee kateleza ulimi kibinaadamu
Mzeee mshenzi sana huyu. Wana uzuri gani. Wauwaji tu na wala nchi. Mfyuuuuuu
@@benjaminjoseph1747 vuri hawana kaka tazama nchi walivyo ifanya , kama tambara bovu lililo jaa matundu , halafu wapo kupeana sifa za kudanganyana
@@bakariomari8758 hakuteleza ulimi wale ni wizi na wanasherekea kurejeana kwao kuitafuna nchi , na ndio jeuti inapo anzia
Huo ushindi 2025 labda mjipigie kura wenyewe