Ridhiwani: Nape, Bashe hawawezi kufukuzwa CCM, hata Kikwete alipinga hoja ya Nyerere
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ส.ค. 2018
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
safii,endelea hivyo hivyo kaka.nadhani uko vizuri katika kujenga hoja endelea hivyo hivyo.maelezo yako yamejaa uzalendo.wewe siyo mchochezi hata kidogo.
Mh Ridhiwan huko sahihi Mungu akubariki kwa busara zako
Huko# uko sahihi.
SAFI SANA RIDHIWAN UNA HEKIMA KAMA BABA YAKO NA MUNGU ATAZIDI KUKUBARIKI NA KUKUINUA INSHAALLAH UTAFIKIA NGAZI YA MZEE WAKO KIKUBWA USIWE MNAFKI TU SIMAM A IMARA KATIKA HAKI UTAONA MAFANIKIO YAKO
mtt wa nyoka n nyoka, tunataka vijana mithili ya Magufuli tufike mbali
ridhiwani uko vizuri geita nakupata vizuri
safi sanaa
Uko vizuri sana
Kweli MZEE, mti mwema hutoa matunda mema, na wewe ni mwema kama kikwete, enzi utu kaka.
Ridhiwani ww ni kijanaa mdogo ila unayo busara na hekima
well said...tunapaswa kuangalia ni vipi tunajikwamua kutoka kwenye huu umasikini sio kugombana wenyewe kwa wenyewe.
nyayo za mzee kikwete haswaa . busara zilezile
Safi sana kikwete Jr.
Hongera sana Mhe.Ridhiwani Kikwete,unajibu maswali kikomavu sana. CCM imekujenga vizuri.
Liz upo vizuri mkuu
Umeangea vzr ila sisi tunataka mandeleo sio porojo half mandeleo sio maji wala umeme barabara tunahitaji tupate afya bora na maisha bora kwasasa tumekosa mtu hata mlo moja hatimizi vizur miaka hasin bado tu huduma za kijamii hazipatikan kiukamilifu dah nyinyi watu wabata sana wataifa hili
Uko good,sasa ccm ndala ndefu mmesikia maneno hayo mnaotaman mali kuliko utu, ili msitolewe kwenye nafasi zenu ujumbe umewafikia
HIVI HIZO HUDUMA ZA AFYA PASIPOKUWEPO UMEME, MAJI UTAZIFANIKISHAJE WAKATI NI VITU VYA MUHIMU SANA?
UKISHANIPA JIBU LA SWALI HILO JIBU NA HILI PIA ... KAMA HAKUNA BARABARA KABISA AMA HAKUNA BARABARA ZIPITIKAZO MWAKA MZIMA HAO WAGONJWA WATAFIKAJE HUKO MAHOSPITALINI, ZAHANATI AMA VITUO VYA AFYA?
NA JE DAWA, VITENDANISHI NA VYAKULA KUTOKA MASHAMBANI AMA VIWANDANI AMBAVYO NI MUHIMU KUJENGA NA KUIMARISHA AFYA ZA HAO HAO WAGONJWA VITAWAFIKIAJE?
Safi xan
uko vzr ridhiwani umeongea vzr sana umekomaa kaka
Tz inalia😭, wabunge waCCM wmekuwa bubu😷, wako bungeni kutetea matumbo yao, wametishwa na mkuu wao lazima wapitishe kila kitu. CCM na bunge ni dhaifu.Tz inalia😭
Nenda Somalia
Tena huwezi sema ccm na bunge. Bunge linawabunge toka vyama vyote ni muhimu utambue hilo.
@@saimonmanyerezi7169 , Bunge na spika ni wa CCM. wabunge wa CCM wana majority kwenye votes. Kila kinachoamuliwa na serikali ya CCM wanapitisha kama mabwege . Hawhoji hawaulizi, wameonywa na mwenyekiti wao( rais) wasihoji....elewa hilo wacha ujinga.
Nitasema ukweli Daima fitina kwangu ni mwiko!
Pamoja wanataka kukuua kisiasa uskate tamaa
Una roho safi kama baba yako...mungu awabark...sasa tunamkumbuka jmn
Naungana na wewe Ridhiwan shida kuna watu wako ccm hawataki kuambiwa ukweli
umekomaa kisiasa safi sana
Hiyo unaongea wwe Mr.Jiwe hajui hyo..hyo miswada itawasulubisha wenyewe
Viva Ridhiwan
Mbona rais hakubali kukoselewa?
Magu apendi kukosolewa anataka kupigiwa tu makofi
Mh RIDHWAN nakuona Kama HAZINA na kiongozi SHUPAVU wa Taifa letu. ALLAH akuzidishie na akulinde uwe mwenye Afya njema. Wewe ni mwana CCM,lakini ni MZALENDO KWANZA
Du!!! safi sana kaka kwamfumo huo utaongoza mwanzo mwisho katika jimbo lako kwani nivyema kutambua kua hakuna mkamilifu Siku zote
Jiwe hajui hayo
Wezi2
Kivip
Saaaaafi sana bro umekuwa kichama
Ah, mtu anakosa hata mlo moja kwa siku, imekaaje hiyo. Kijana wa miaka 25/30 analalamika maisha magumu. Vijana wengi kaxi wanayoimudu ni kupiga debe stendi. Sawa, hivi sasa ujenzi wa mji mkuu wa Dodoma unaendelea, ujenzi wa reli std geji unaendelea, ujenzi wa bwawa kubwa huko Rufiji unaendelea, ujenzi wa bomba la mafuta unaendelea, ujenzi wa barabara mbalimbali karibu nchi nzima unaendelea. Ujenzi wa majengo ya wizara mbali mbali huko Mtumba unaendelea. Mtu atalalamika hakuna ajira, ni mawili au vijana wengi wamedekezwa na wazazii wao au hawataki kujiongeza. Kalaga baho.
Juzi tu Tanzania imepata oda ya kuuza mahindi tani LAKI SABA.hivi hawa wasiokula wanaishi dunia gani?
Tunapenda kulaumu tuuuu. Serikali inahimiza uhuru na kazi. Katika dunia ya leo mashine ni nyingi ambazo zinaondoa ajira za mikono ivi hatuoni. Sasa mitaro inachimbwa na mashine. Magogo yanarandwa kwa mashine na kadhalika hatujaamka tu
vizuri
Uko vizuri
Siasa Tanzania
Ridhiwan kikwete
Jiwe halijui hilo
Ninyi ccm hamuambiliki mnataka kutuletea vita na kuua watu kwanini mwakiuka KATIBA? Anaekiuka KATIBA Alaaniwe wote ni walewale hakuna Hirizi Wala makufuli
we subiri babaako akuadisie ndo utuleteee online huku,,,,
Wenye Neema ya hekima ya kimbingu tunakuelewa vema mh; Ridhiwani
Wapiga KULA kudadeki... 🌈
Ukovizuri kaka
Mlio ahidi ccm kgm mbona hamuitendei haki? Kgm ilikosea nn ccm
Excellent buddy
Tanzania bila CCM inawezekana.....bn 2020
LABDA 2050
hapa nimekuelewa sana
iki kichwa nahuyu kafunzwa na mzee wake ustaarabu nimzury anajua kutumia ulimi wake mbelezawatu mungu akuongoze kijana pambanaa
Chama cha mapinduzi kilikua hakipo wakati wa uhuru
unaongea busara tupu
Dogo kaiva sana anaongea yupo Smart sana hongera
Mi nikikumbuka China nakata tamaa gas mtwara, wema ni akiba chalinze jitasimini
Kwel huyu jamaa alikuwa noma sana siyo mtu Nzr kabisaa kipindi cha awamu ya nne cha baba yake huyu dogo hasa gesi na ngada ni dhambi nyingi alifanya jmn
Maendeleo ya mtandaoni yapo mbunge wetu wa chalinze
Uongoz ni hekima yes sio kukurupuka
Kiongozi uko vizuri
HE,S SMART
Nyerere si kama haya majoga mapoyoyooo!!!
Fukuzeni hao mafisadi!!! JPM chapa kazi dunia nzima iko nyuma yako!!!
Kivip
Busara kamaa baba ake big up mh
No comment.
Wewe utatutoa kwenye umasikini kama baba yako natamani uwe raisi hata leo
Ashy Msigwa alaf ww ridhiwani mbona unaeleweka bila rushwa jamani big up sana kk
KKNGU RIDHIWANI KAMA HAO KINA BASHE NA NAPE WANALETA SHIDA KTK CHAMA KWA NINI WASITOLEWE CCM?
Wewe teresea masawa akina bashe watolewe ndani ya chama mbona wewe unaiba mme wa mtu mwenye mme anakuvumilia au tukuseme
Umeambia hawaja fanya kosa isipokuwa wapo ktk moja ya majukumu yao..!!!
@@abdyickarimabdyickarimnurr5020 sio vzr kuumbuana bana!!
Sijui kama umemuelewa
Sijajua Kama mwanachama akikikosoa chama chake pale kwenye kasoro ni utukutu. Kwa wenye mtazamo huo wako kinyume na katiba ya chama hicho.